Ni jambo ya ajabu mtoto yunis kuponya aliye na nguvu kupitia bikira maria ,,, naweza mpata aje Nina mzazi wangu Moja aliugua mwaka 2002 hadi Leo hii anashida ya mwili,,,
Glory be to God. I request for your prayers to pray for me get married I need a husband to start my family. Naomba mnifungulie nyota yangu ya ndoa mungu awabariki niko Kenya.
this idol worship.who is Maria ?does she has power than Jesus,you need to rebuke devil from this child anapepo yackupiteza watu. Jesus is holly not commedian
Baba tafadhali bado yule mama mwenye alinipa shilingi alafu tatu bado bado wanataka maji utaweza kutuma kwasababu our sister John mary ni mgonjwa umombee
Kuna waliowahi kutoka Hospitali ya Shirati ambayo ni jirani kabisa na hapo Bukama waliowahi kuja hapo wakatibiwa wakapona na kutoa ushuhuda juu ya upnywaji wao?
Hbr mm Nik Zanzibar nimezunguruk hd nimekata tamaa jmn mtoto wangu Yuko vby hd nalia n mm n baba ake Yan family yote inamattz naomb namb nidafir nije n namb maji y Barak jmn nikifanikiwa ata zawad nitampatia mtoto
Habari zenye Mimi naitwa Mary kutoka Kenya naomba tu mniombee kwa mara yangu wa kwanza kusikia nikonashida niombee pia Mimi nipate kulipa madeni Nina daiwa nimetembea kutafuta usaididizi Kila Kona lakini sijafanikiwa tafadhali naomba tu
Njamani mimi naimani sana na yunis lakini nilikua nakosa nauli yakuja huko,,sasa kwa sasa nipo tayari kuja nipeni maelekezo kuhusu kufika huko pia labda kunagharama zinahitajika??
Shida kunamambo yarohoni na yakimwili kinacho mwongoza yunisi sio mwiuli bali roho wa mungu ndani yake mtakakua mnampa wakati mgum kumuoji au kumchailechi akili ndani yake ipo nguvu kumbwa
@@BMGOnlineTV mim.nip dodoma.unaweza nisaidiy namba yako nikuombe mdogo wangu unichukuliy hayo maji unitumiye kweny bas nitakutumiy hela ya usumbufu ninaumwa.mdog.wangu
Yunis ako upended gan pia mm nwtakq hatuombee familia yetu wasichan wote tuolewa juu hatuna nyota ya ndoa plz mama yunis mwambie tu nsomba kwa moyo msafi juu hsta niwe hapa people ye. Iko nitamshukuru tu nikisikia kuwa like sister angu mkubwa ameolewa nitShukuru mola san plz mm nakuomba mzee yunisi huo hujimbe lewak@BMGOnlineTV
@@BMGOnlineTV nko Saudi naomba mnieke kwa maombi juu siko kwa ndoa in kwa nyota yangu ilichukuliwa, naomba mama maria anirejeshee ndoa yangu,watoi wanaitaji kuishi na baba yao
Nlisumbiwa na matatizo ya macho kwa miaka zaidi ya 25, nlifika hapo na nkapona kwa dakika tuuuu
Barikiwa sana. Imani yako ilikuponya
Namba Namba baba yunisi
Ni jambo ya ajabu mtoto yunis kuponya aliye na nguvu kupitia bikira maria ,,, naweza mpata aje Nina mzazi wangu Moja aliugua mwaka 2002 hadi Leo hii anashida ya mwili,,,
Fika kwao Kijiji cha Bukama, Rorya
Wpi hapo ni kenya kweli
Kama unaishi dar unapanda gari la musomma
mtumishi wa yunis naomba uniombee Kwa ndoa yangu Iko na shida. mume wangu hataki kuniona kabisa na watoto ako mpango wa kando
Amen
Acha mungu atende kazi yake.niweke kwa maombi
Barikiwa
Mungu abariki hiyo mtoto naomba namba mamangu mgojwa ningependa kumleta apate uponyaji
Tuwasiliane+255757432694
Habari
Nzuri
Glory be to God. I request for your prayers to pray for me get married I need a husband to start my family. Naomba mnifungulie nyota yangu ya ndoa mungu awabariki niko Kenya.
Amin
Received in Jesus name and mother of Jesus protected you
Amen I receive in Jesus name
Be blessed. I believe through your prayers I will be married In Jesus name.
Uyumtoto kuchaguliwa na Mungu sio hao manabii wa uongo nimewachoka sana waache kumtania Mungu
Amen
Glory be to God me naomba kufika mahali hapo tafadhali naomba nielezwe njia.Asante
Barikiwa sana
Yesu ni njia, kweli na uzima na si vinginevyo
Amina
Hakika ❤❤❤❤
Tafadhali naomba mtoto Eunice aniombea iliniweze toka hapa niliko kwa mateso Tafadhali wa weso wa mungu amina
Amen
this idol worship.who is Maria ?does she has power than Jesus,you need to rebuke devil from this child anapepo yackupiteza watu. Jesus is holly not commedian
If you respect Jesus, also respect his mother 🙏
Wale wapinga Catholic bado hawaamini??hapa sasa!!!
@@Catherinekwamboka-hl6ki waombeeni
Yunis niombe nipate nyumba na.nifungue kazi yangu
Amen
Amen amen amen mubarikiwe na mimi pia mnisaidie maombi ni
Amen
Naomba namba yenu ili naomba kuombewa
Tuwasiliane +255757432694 BMG
Tumsifu yesu kristu.naomba namba ya Baba yunisi niweze kuongea nae.
Tuwasiliane+255757432694
Yesu anaokoa mwaminini Yesu na si vinginevyo Matayo 8:16-17
Usisahau kumheshimu mama ikiwa unamheshimu mtoto wake
Be blessed!
Amen
Tusaidienu namba ya simu
BMG TV +255757432694
Nielekezwe njia plz
Ya kwenda wapi?
Mungu azidi kumlinda daima
Amen
Masikini weee Mungu awqpe macho ya Rohoni.yesu ndo mponyaji sio maji. Au chochote
Amen
Simu nitumie maji na mimi
Tuwasiliane +255757432694 BMG
Baba tafadhali bado yule mama mwenye alinipa shilingi alafu tatu bado bado wanataka maji utaweza kutuma kwasababu our sister John mary ni mgonjwa umombee
Uko wapi? Je ni mbali? Unaweza kufika Bukama ukachukua maji?
Amen 🙏 i receive in Jesus name please pray for me to get the job
@@beatricechepkurui9161 blessed
Hbr jmn naomb majibu yngu bc naomb uponyevu nimetesak San n mtoto wangu pia naomb namb za simu nije huko
Barikiwa, karibu kwao na Yunis Bukama Rorya
Mitajia number za baba yake zawa Whatsapp
Tuwasiliane+255757432694
Kuna waliowahi kutoka Hospitali ya Shirati ambayo ni jirani kabisa na hapo Bukama waliowahi kuja hapo wakatibiwa wakapona na kutoa ushuhuda juu ya upnywaji wao?
Kama wako tayari waje tuwahoji
Mungu ni mwema, asanteni sana
Barikiwa sana
Mungu akubarik yunis na wazazi w
Muteuliwa mtoto Eunice naomba uniombe pamoja na nyumba yangu naomba kwa majina naitwa Betha
Amen
Nakupenda sana Eunice naomba na mm niombee
Barikiwa
Yunis niombea mim lute
Amina
Mm nina omba uponyaji Eunice
Hbr mm Nik Zanzibar nimezunguruk hd nimekata tamaa jmn mtoto wangu Yuko vby hd nalia n mm n baba ake Yan family yote inamattz naomb namb nidafir nije n namb maji y Barak jmn nikifanikiwa ata zawad nitampatia mtoto
Mama Yunis +255693268319
Nina omba uponyaji Eunice ninashu
Ninaomba uponyaji Eunice nitashukuru
13:39
Amen
Numbur ya simu
Sawa
Namba ya Whatsapp plz ntumie picha nko kenya
Namba ya nani?
Naomba No za Baba yunice nahitaji Maombi
+255693268319
@@BMGOnlineTVEunice pray for my family and my marriage
Haya n majaabu ya mungu 🙏🙏
Kwa kweli
Wajina Mungu wa ajabu
Nko tayari atakama kutuma.picha
Fika tu nyumbani kwao
@@BMGOnlineTV nko kenya jamani
Mimi naumwa miguu naomba Yunis aniombee nippne naitwa Daina naomba namba
Barikiwa
Mimi Asire❤ naomba yunisi aniombe nipone miguu imeviba
Amen
Naomba mtoto yunis aimbee familia yangu
Amen
Nina omba uponyaji Eunice ninashu
Ninaomba uponyaji Eunice nitashukuru
Amina
Mi naomba maomba yunic. Niombea sanaaaa
Mama Yunis +255693268319
Hapana wako vizuri sana
Akina nani?
❤❤❤
Niombee na Mimi piya Kwa Kazi na mambo
Amen
Jamani napataje mawasiliano Nina kakaangu mwaka niwatatu anaumwa tu nikulia kulia kwa waganga kwamapastor mbali mbali tumeenda msaada jamani
Poleni sana, fika kwao Yunis Kijiji cha Bukama Wilaya ya Rorya
Nahitaji maji ya baraka kutoka kwa Yunis niko kenya naeza yapata kivipi?
Fika kwao Bukama ama upate mtu mwaminifu akutumie
@@BMGOnlineTVhaya will try to revist huko
Pukamu n wsp plz juu pia mm natamani kufika hapo @@BMGOnlineTV
Where is this little angel, which country
Tanzania
Tanzania wapi nataka maji niko kenya ni pesa gapi
Hiyo maji naweza pataje
Unafika Bukama ama unamwagiza unayemwamini
Habari zenye Mimi naitwa Mary kutoka Kenya naomba tu mniombee kwa mara yangu wa kwanza kusikia nikonashida niombee pia Mimi nipate kulipa madeni Nina daiwa nimetembea kutafuta usaididizi Kila Kona lakini sijafanikiwa tafadhali naomba tu
Amen
Naomba nitafte
Imani yako itakuponya
Kabisa
An Mary adhiambo
Naomba namba amuombee mama yangu ana presha na vidoda vya tumbo
Mama Yunis +255693268319
Mungu yupamoja nawe
@@BMGOnlineTV mungu yupo atapona
Njamani mimi naimani sana na yunis lakini nilikua nakosa nauli yakuja huko,,sasa kwa sasa nipo tayari kuja nipeni maelekezo kuhusu kufika huko pia labda kunagharama zinahitajika??
Maji ni sadaka ya elfu tatu tu za Tanzania (utatu Mtakatifu).
Emeni
Blessed
Naomba namba
+255693268319
Naomba namba ya simu tafadhali
+255693268319
Hello nko Nairobi naomba unisaindie na number ili tuongee
Namba ya nani unahitaji?
Number ya yunis pliz weka kwa wall
Mama Yunis +255693268319
Baba Yangu na mm naomba ayo maji nisaidie nipo e baba
+255693268319
Napataje namba ya wasap.ili nitume picha ya mtoto aombewe
Tuwasiliane
Shida kunamambo yarohoni na yakimwili kinacho mwongoza yunisi sio mwiuli bali roho wa mungu ndani yake mtakakua mnampa wakati mgum kumuoji au kumchailechi akili ndani yake ipo nguvu kumbwa
Amina
Yunsi. Naombaa. Uniombee nipate. Mtoto
Amen
Tunaombeni namba bas ndugu ili kama tunakuja huko tuwe tunawasiliyan.nao
Sawa +255686967279 mzee Ogot (ila usiwe mwepesi wa kuagiza maji, bora kuyafuata mwenyewe maana kuna watu waliagiza na hawakutumiwa)
@@BMGOnlineTV mim.nip dodoma.unaweza nisaidiy namba yako nikuombe mdogo wangu unichukuliy hayo maji unitumiye kweny bas nitakutumiy hela ya usumbufu ninaumwa.mdog.wangu
Naomba naomba ya simu nitumie picha ya mjukuu wangu aombewe
Mama Yunis +255693268319
Yunis ako upended gan pia mm nwtakq hatuombee familia yetu wasichan wote tuolewa juu hatuna nyota ya ndoa plz mama yunis mwambie tu nsomba kwa moyo msafi juu hsta niwe hapa people ye. Iko nitamshukuru tu nikisikia kuwa like sister angu mkubwa ameolewa nitShukuru mola san plz mm nakuomba mzee yunisi huo hujimbe
lewak@BMGOnlineTV
Asifiwe yesu naomba namba
Mama Yunis +255693268319
Please naomba nabari ya simu
Mama Yunis +255693268319
Asante be blessed all. Amen I received in Jesus name
Hio maji ni how much nko kenya
Utoke sadaka upendavyo
Number
+255693268319
Bikira Maria atukuzwe ! Ninashukuru mtoto amerudia huduma.Tumsifu mwokozi Yesu.
Amina
Milele amina.
Sasa tunamtukuza yesu ama tunamtukuza maria
Anyalo yudo number?
+255693268319
No. Ya simu naomba
+255693268319
@@BMGOnlineTV nko Saudi naomba mnieke kwa maombi juu siko kwa ndoa in kwa nyota yangu ilichukuliwa, naomba mama maria anirejeshee ndoa yangu,watoi wanaitaji kuishi na baba yao
Naomba namba ya simu baba yunis
Sawa
Jamani Australia ni mkali sadaka wapeni pole
Imani yao imewafikisha Bukama bila kujali umbali
Jamani nahitaji maji hayo ya baraka nipo kenya
Unafuata Bukama ama unamwagiza unayemwamini
Naomba nami niombee ili nipate mtoto
Amen
Nahitaji maji kutoka kwa Junis niko Arusha nitapataje?
Unayapata Bukama Rorya
Bado yup jamn unis
Bado yupo wapi?
Number ya dimu
Namba gani ya dimu?
Naomba unisamehe namba,yako mupendwa
Baba Yunis?
@@BMGOnlineTVmunapatikana mkowa gani naitaji nifike
@@martinatusaye8267pia mm hiy ndio swali langu
Number us baba yunis
Nahitaji kupata mtoto naomba maombi yako unice,Naamini utaniombea na nitapata
Amen
🙏🙏
Amen Amen Amen 👏👏👏💒💒💒💒
Naitwa Eunice kutoka Kenya Asante mukuwe munaniombea shjnda ya madeni
Barikiwa
Nina shida nipate maji nashindwa kupata numba ya simu ya Baba Yunis au yamtoa huduma tafadbali
Unaweza kufika Bukama?
@@BMGOnlineTV Niko masasi mtwara naweza kufika lakini sio sasa
@@SurprisedForestBridge-fc2fd amen
Nina mtoto mlemavu jee anaweza akamponya
Imani yako iko upande gani?
Naomba namba ya simu ya Yunis.
Mama Yunis
Tupe namba y mama yunis plz🙏@@BMGOnlineTV
Baba Unice bado hujanitumia maji yangu nilituma pesa tangu mwaka jana
Msikilize tena vizuri th-cam.com/video/kPaf4F6_egY/w-d-xo.htmlsi=KA9nXd7fYBefWo3G
Akuna kuabudu sanam!
Fanyeni kazi achaneni na uninga!
Njia izi za kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu zimezidi kila kona!
Waombeeni
Naomba no ya simu
Mama Yunis +255693268319
Baba naomba namba yunis
+255693268319
Kwani ukitoka Ausitiralia ndo nn kwani umetoka mbinguni?
Usanii mtup.
Just Money laundering!
Pelekeni UJINGA MNENE-uko!
Kila mtu na imani yake
Nko nairobi naomba maji niko na shida nyingi yunis
Tuwasiliane +255757432694 BMG
Naomba yunis aniombee njia zangu zifunguke
Amina
Eunice niombee tafadhali njia zangu zifunguke
Mtumishi wa mungu eunice tuombee matatizo kwenye maisha yetu ikaishe na pia tukaweze kufunguliwa
Amen
Naitwa purity naitaji maombi nimekua n shida tangu utotoni mwangu n ndoa yangu
Pole sana, fika kwa mtoto Yunis huko Bukama ndoye anaombea watu
Amina Amina
Barikiwa