MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS
.
.
.
.
.
.
.
#kifochamracowazabronsingers #daktaribingwataasisiyamoyoyajakaya #munishi marcowazabronsingers #tikitvkiakilizaidi
Asante kwa Maelezo na kwa Kazi kubwa. Mimi nazidi kuishukuru Muhimbili naelewa kazi yao na naikubali, BABA yangu alifanyi operation hapo miaka mitatu iliyopita na tunashukur Mungu anaendelea vyema. Pale wanadamu wanapo kwama TUMWACHIE MUNGU AFANYA KULINGANA NA MAPENZI YAKE
Ameni ameni ameni
Poleni sana dr.Mlihitahidi sana kwa mujibu wa maelezo yako,lakini MUNGU mwenye nguvu nyingi alishapanga ya kwake.Poleni sana pia wafiwa.Mapenzi ya MUNGU yatimizwe.🙏🙏Amen.
Amefafanua vizuri jamani😢😢doct
Kw kwli Dactari nimemuelewa, kwanzo hapo kw kuchunguza afwa zetu,mungu atufariji sote🙏🙏🙏🙏🙏
Hongera sana Madaktari kwa kazi nzito mliyoifanya kuokoa maisha ya kijana wetu. Binadamu anao uwezo wa kuahirisha kifo na sio kuzuia kifo hiyo ni kazi ya Mwenyezi Mungu pekee.
Mlifanya upande wenu kwa nguvu na maarifa yenu kama wanadamu.Lakini Mungu aliishachagua ua lake lililo bora Mungu awatunze tunazidi kuwaombea madaktari wetu
Doctor Mungu awabariki sana, roho ya maremu ipunzike Kwa amani
Madakitari mna kazi subway na Mungu awabariki,hao madakitari uliwataja ndio waliomfanyia dadangu operation ya moyo mwaka 2021 mpaka sasa dadangu ni mzima. Na dadangu kipindi icho umri wake ni 50. Basi tu imetokea Marcos kaondoka na pia maombi ni muhimu sana kipindi cha operation..Madakitari Mungu awabariki kwa kazi kubwa mnayofanya
Kwaa wale ambao hawaijui Muhimbili hospitali ya Taifa. Niwambie tu nchi yetu imewekeza vema kwenye vitengo vingi vya tuba hapo Muhimbili. Mimi ni shuhuda nimekuwa na wagonjwa kadhaa hapo. Wanafanya kwa kiwango cha juu. Wakishindwa ni uhalisia wa ukomo wa maisha ya mwanadamu. Prof. Nyagori amejieleza vema
Acha Mungu aitwe Mungu mapenzi yake yametimia na kazi yake haina makosa
Mbona anijitetea sana, mbona haeleweki huyu dk
Usijitetee bwana lisemwalo lipo hasa hospital za serkali za Tz Kuna mambo mengi sana yanayo husu wa gonjwa yanafavywa ndivyo sivyo hata mm ninapoona jambo kumwa la hatari nitalifikilia mara mbili tuna sema Hadi ya mungu simtimes Mungu anairuhusu Hadi sio kwakupenda mie SIo Dr lkn mafikilio ya haraka upasuwaji umechukua siku nzima Ingekua sawa TU kuruhusu aende India wangekubali ombi la familia kuchana kifua hiyo ni ishu ingine kiukweli kwa tz tuseme uhalisia tumbo ni sawa lkn kifua kichwa vinahitaji umakini ungalizi na digital yakutosha tunaposema ni isitokee kwa mwingine ubaya zaidi wakati wa magufuli ilikua inaonyesha vipimo original vinawekwa kwenye hospital zingine hapo muhimbili vinawekwa vya kawaida hii ni shida mtu lamda moyo umeziba TU unaambiwa umeoza watu tunajawa hofu
@JosephMzipila wewe ndo hueleweki au shule haimo
@@JosephMzipilakikubwa shule
Hii yakumwambia mgonjwa una asilimia 13 yakupona na asilimia 87 inaweza ukafa hii so sawa ,,,mlimuua kwa Kuwaza aisee.
Ukiambiwa ukweli unapata nafasi ya kutengeneza na mungu
Hata mm kama jambo langu ni gumu niambiwe tu
Kweli kabisa heri uambiwe ukweli
That's medically un ethical... Unless the patient asks to be told but you cannot say you have 13% chance to survive.. And ask them to choose.. ... This are assumptions. THERE ARE SO MANY FACTORS TO PUT THIS STATEMENTS ACROSS... 😢😢😢😢pole kw familia na marafiki wa Marco.
Yaan kama hujawah kukutana na nyagori utajion mzima kabisa ila ukikutana n huyu Dr jiandae kiakil maan Huwa hajui kudanganya mgonjwa yaan kanyooka
Poleni na hongereni Kwa kazi nzuri wataalam na madaktari bingwa. Ushauri wangu Kwa serikali pamoja na madaktari ningeomba kama waliona angeenda India labda angepona kikwazo kikawa ni hatoweza kufika akiwa hai ingekuwa vyema kuomba madaktar wa India au kuwa na connection nzuri kwamba madaktar wa kule wangesafirishwa waje kuokoa maisha bill zote za safar na operation mgonjwa alipie endapo mgonjwa ataridhia ingesaidia Kwa kias
Daah!!! Miili yetu hii, Mungu tu ndiye anayeijua kwakweli. Pumzika kwa amani mtumishi.
Tunawaombea na tunajivunia madaktari wetu,Mungu awape uvumilivu kwa haya mnayosikia,tunajua mmeokoa maisha ya watanzania wengi,Namuomba Mungu awainue ili tujivunie Tanzania yetu,Mungu aliweka Roho ya maarfa kwa Bezaleli akawajaze saa hii Ameni.MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU 5:48 5:50 U❤❤ 5:21
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni za kuhesabika nazo zimejaa shida na taabu😭😭Tunashukuru Mungu hata ktk Hili tuna Imani IPO siku tutakutana tena 😭😭😭😭kazi ya Mungu Haina makosa.Rest in peace kaka
Hongera kwa kazi nimekuelewa vizuri,mikono yenu ibarikiwe na YESU KRISTO ALIE HAI muweze kuwasaidia wengi wahitaji
Mwanadamu siku zake za kuishi sio nyingi na zimejaa tabu amemaliza mtumishi wa mungu Mungu awafaliji kwa wakat huu mgumi Marko amelala msijiulize sana mshukuruni Mungu kwa kuwa ni mwema kwa mama fadhili zake ni za mile ameen
Dr Bingwa kachambua vzr sana hongereni M Dr kwa kupambana Poleni wafiwa 😢
😂😂 bado darasa linamuhusu
Hongere madaktari kwa kazi nzito, Mungu afariji familia😢
Good job bro juu watu wanaropokwa very careless
Haisaidii tena nyamazeni tuu
Doctor mungu atakulipa kwa juhud zako enderea kutoa huduma kaka
Amen, inaumiza but mmepambana sana tunawashuru madaktar
Kama alikua na ushinda ya fingo i think ndio ilishababisha moyo 😢 pole sana kwa familia
Sasa kumbe asilimia kumi natatu nibora hata mngemuacha tu pengine mungu angemnusuru
😢 Mungu huyo huyo ndiye aliruhusu kipenzi hebu tumpe utukufu tu hata katika hili japo linaumiza
Hakuna wa kulaumiwa madaktari wamefanya sehemu yao
Uko sa hihi dada
Kama wewe ndiye daktari utamuacha mgonjwa mbele yako usimhudumie eti unamuangalia tu una subiria afe, ? Na Mungu sii wakati wote huponya bila vitendo vya kibidamu, Jitihada hufanyika huku maombi yakiendelea,..kwa hiyo acha mawazo ya kebehi kwa madaktari.
Asikimia 13% wangeacha 2 walimmalizia yani
Ikiwa option ya hata %2 itamuoka ni bora kufanya
Nyie wasenge tu mmeua viongoz wangap hapo mpk wanapaita machinjion bora angepoteza maisha gafura sy nifanyiwe nikiwa na probability ya 13%
No No muhimbili kwa sasa serikali ifike mahali ifanye kuajili wataalamu kutoka nje hawa wa kwetu mimi siwaamini kabisa
asante kwa kueleza vyema daktari na ufafanuzi uzuri mwenye hataridhika ako na zake zamsumbua
Asante docta kwa maerezo mazuli siku yamwanadamu ikifika mwisho akuna wakusimamisha siku hio .
Kwa hili ni mungu ndie anajua kwani maelezo ya huyu daktari Mimi sijamuelewa mungu ni mwem
Hapa nimeelewa kwanini Viongozi na matajiri wanaenda kutibiwa Nje ya Nchi hasa India.
Kwahiyo operation za kujifungua ni za mtaani?
Hii imeniumaa sana
Dr kiukweli ameelezea vizuri japo mimi sio mtaalam wa afya . Acha Mungu aitwe Mungu😢
Poleni jamani nguvu zote hizi kuwajibu Munishi na yule wa Mbeya hawawezi kuelewa.Maisha yetu yapo mkononi mwa Mungu.
Mbona anatufokea..na mawani lake
Pole doctar tunajua Jinsi gani mlivyoumiya😭😭😭😭😭
Nawaza, mtu ana shida ya moyo, unampa maelezo kuwa unafanyiwa upasuaji ila unaasilimia 13% za kupona na 87% za kufa. Huo tu mshtuko unaweza mwondoa mtu. Mimi nadhani ndugu wqnastahili kuambiwa hayo ila mgonjwa hakupaswa kuyajua. Alipaswa kupewa confidence kuwa atapona.
Ana haki ya kukataa pia asifanyiwe ndio maana ni muhimu kuambiwa ili naye aridhie. Na ukiona mpaka wanasema hivyo ujue ni jambo ambalo ni gumu hivyo linahitaji maamuzi ya wote.
You were not ready for an open heart surgery.. Stop talking too much.. Msingefanya thts guess work.. There was enough time to bring him to kenya.. Tjat was a young person who coud sustain until he get the right doctors.. How do you transfuse 30 units of wholeblood.. Do platelet apheresis (Extract pltes from the donors) .. To avoid thrombocytopaenia..especially because of prolonged surgery and highly invasive procedure. 7:17
Wakristo wanatkiwa kuuriza majibu Yao ndani ya biblia kwa sababu Elia mtishbi alipokutana na wajumbe WA mfarme ahabu aliwauriza kuhusu ugonjwa wake aliwaridisha waulize mbere za Mungu hivyo mkiwafuata matabibu mjue mmemuamini Mungu kupitia wao hivyo tumtafakari Mungu vyema tuache rawama .mbarikiwe Sana na poreni
Jaman jaman dkt na yeye ni binadamu alilolipanga mung binadamu awez kulipangua msimseme dkt kiasi icho ivi mnajua blidi ya damu inavyotoka na kuangaika kumwekea damu kila mara sote tutaondoka kwa njia yoyote
Mlimsimamisha moyo hamna uhakika hapo ndipo aliaga...pia mlimvunja moyo kwa kutaja asilimia chache za kupona
Life is short...wakuropokwa wacha
Wacha alale mtumishi wa Mungu,, ninachofurahi ni kwamba aliambiwa ana aslimia 13 za kupona,, kwahiyo ninaimani ndugu yetu, amelala mikononi mwa Bwana.
13% tu ya kuishi daaaaahhhhh!!!!!!!! Mungu atusaidie sana sisi ni maua
Many people don't know what's going in the spirit, I would like to advise people to trust God in every situation.... this world and its systems are corrupt. It takes God's power to save our lives.
Mapenzi ya MUNGU nilimkubali sana na nyimbo zao za hisia kali Zabron nawapa 1st Gospel
Achacheni n mjinga MUNISHI
naomba tumuamini mwenyezi Mungu,kuwa siku ikifika akuna jins.mimi pekee nimemuelewa dactar😢
Kipindi cha Magufufi hospitali za zilifanya vizuri, siku hizi ni sinema
Kwan nayeye sialikufa kaasababu hizohizo
Muache raisi wetu alikolala kapumzika kwa amani usimutumie unapotaka kueneza sera zako za hovyo.
narudia tena, kipindi cha JPM hospitali za umma ziliwatendea wagonjwa kwa haki kabisa, sasa hivi ni sinema
@@bitumwatemu2731waliokuwa na vyeti FAKE hawataki kumsikia
@@justardzelphine6526 bado hujasema na utasema.. ww mpaka useme.
Huyo Dr. Wa Kachina tunaweza kumuamini,?
Kwa ambaye hajafika Muhimbili akiwa na mgonjwa wa moyo anayetakiwa kufanyiwa upasuaji unaweza ropoka kama mnavyoropoka humu. Hawa madaktari wanafanya kazi kubwa sana na wamefaulu kwa wengi tu.
❤ubarikiwe! Mungu akishaamua huwezi kupinga!
Kweli kbs mpendwa angu yaaan sisi binadamu jmn hatuna jema angepona ungeona ambavyo wangeongea tuna madaktari bingwa hiyo kazi ya kucheza na mwili wa binadamu mwezio Si mchezo
I really dont understand why he was not treated here in kenya' they chose to travel all the way to Tanzania instead of rushing him to KNH or even Nairobi hospital' madaktari pale wangeokoa maisha yake' poleni kwa familia may his soul rest in peace...
kenya hakuna wabobezi wa magonjwa ya moyo
@@PAULMKOMBOZI aga khan hospital' mater hospital' KNH' this are just but a few who could do a better job than the overrated "Jakaya kikwete"!
Ukute Kenya walishajua kuwa hili jambo ni gumu na kupona ni asilimia ndogo sana. Na hata angepoteza maisha huko wangesema bora angerudishwa Tz wangefanya kwa umakin zaidi. Kumbe ni ugumu tu wa kazi yenyewe.
@@PAULMKOMBOZIhuko Kenya watu hawafi
Aitatusaidie kujibu haya yote , MAANA HAITAMRUDISHA KAKA YETU MICHAEL, KAENI madactari muwaze na kuangalia mlipoanguka au kufanya vyema , maana maisha ya mtu KUPOTEA SI jambo dogo 😢😢😢
Bora sana huyu ambaye mungu alimpa taarifa ya kujiandaa kiroho (maombi) ili aingie mbinguni kila aliyezaliwa na mwanamke duniani kufa ni lazima .bwana ametwaa Amina
Embu tutolee ujinga kaka yako umemuumba ww..!! Au ulitaka aishi milele? Mngempeleka kanisani aombewe apone.. mliona kanisani haviwezi mkawaamn madactar afu sahv unajikuta professor wao kwamba unajua walipokosea.
UKO VIZURI DOCTOR
Binafsi nimemuelewa sana daktari polen sana madaktari
In God we trust,pumzika kwa amani mwamba
Je million 17 zitarudi
Bora wangemuacha tu
Hamna lolote uongo
Hata wangeachana na upasuaji jameni😢😢 was though
Siku zikifika hakula la doctor hakufanya kazi,,mm naamini ni mungu tu,ndiye anajua ni kwanini,hatuwezi pata jibu
Rudi shule bwana usomehe moyo aja story mingi
Daktr haezi zuia kifo , pia hao n binadamu ,
That's why politicians and the high ranking citizens do not even trust our hospitals. The incompetence and lack of facilities and equipments is astonishing😢. Tutaelekea wapi jameni?
Utakapoumwa na kuokolewa na madaktari hao ndipo utakojua thamani yao
Waacheni madaktari wamejitahidi na wameeleza ukweli wasukuma wachawi sana siwaamini kbsaa mmemloga mwenzenu aisee
Kwahiyo madaktari walipumzka kuhudumia wagonjwa wengine bila kujali wako serious kiasi gani? Jamani jamani madaktari fanyeni kazi zenu bila kujali cheo wala wadhifa wa mgonjwa
Wewe zero brain kakojoe ulale. Yaani kwa akili zako za mende ndio uwafundieshe cha kufanya. Fyuuu.
Kuna madakitari tofauti wenye ujuzi au utaalamu za aina mbali mbali
Kweli kabisa @@antonylwanga2978
Ushawahi fanya kazi ukiwa umechoka, kifuatacho kuharibu tu, alafu ndio unaenda kucheza na roho za watu, wao ni binadamu siyo maroboti et hawachoki.. pia Muhimbili ni kubwa sana na madaktar wa vitengo vingine pia waliendelea na kazi kama kawaida.
Hadithi nyingi za nini???
Ni vyema kumweleza mgonjwa na ndg uhalisia ili aamue kufanyiwa au la Kwa kuwa ni laizima usaini file kabla hujafanyiwa op ni tafiti za kitaalam hizo
Tunawashukru ila msinge mwambia hizo asilimia alikufa kwa hofu jamani
Kichwa Kinasema daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya, Je ni kweli huyoo daktari anafanya kazi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete?
Huyu ni ndugu wa marehemu na ni Daktari Bingwa pia.
Huyo ni prof. Wa tiba ya Moyo prof. Dr Nyagori
Anafanya kazi huko ndiyo ila ni ndugu piaa wa hii familia
Sasa ataenda hapo kuongea mbele kuongea tu bila kuwa daktari
Ila binaadam kuna mda mnashangaza eti angeachwa angepona hamna anaekaa milele kila mtu ataondoka kwenye dunia hii kubwa tufanye mema
Kama mlikuwa hamna uhakika wa kufanya operation, inaonyesha wazi mlifanyia majaribio kuona kama mnaweza
China na sayansi wapi na wapi
Mtu anapresha anaumwa moyo af anaambiwa Jambo la kushitua kwamba akiingzwa kwenye oplereshen niasilimia chache za kupona cndo mawazo yakazd kumshitua
RIP bro🙏
Hii ni kwa faida ya mwimbaji Munishi na wasiojua ila waropokaji wenzake wote.
Mwingine alisema 50%
Huyu anasema 15%
Apo ndo mlimpa pressure
Makosa waliofanya nikumueleza mgonjwa anaeza pona ama kufa walimuongezea mshituko wangeambia familia peke yake
Na kavaa miwani mieusi apate ujasiri wa kuongopa vyema
Jamaa tapeli huyu hamna jipya anatumia nguvu nyingi kufanya watu wasahau uchunguzi
Wewe ambaye sio tapeli, kamfufue bhasi. Hizi fee free education zinatengeneza kizazi cha ajabu sana
We umesomea nn jamaa nawaswas na elimu yako?
Tulia na ushike adabu yako
TUNAWAPA POLE HATA MADACTARI KWA JUHUDI ZAO!!!
Lakin mbona alikuja na ndege akitoka Kenya?
alipanda bus had mwanza
@@masalakulwa7601 Kwenda Dar alipanda ndege my dear
Kwan hali yake anatoka kenya kuja mwanza kwenda dar ilikuwa ni sawa na alivyokuwa ndani ya taasisi ya moyo au ww hujui maswala ya moyo kadri mda unavyozd kwenda ndo ukubwa wa tatizo unaongezeka na mda wakuishi unapungua.
M nngeshauri kwa ndugu, marafiki na wapenzi wa marehemu embu punguzeni hisia na imani ya kwamba mlijua marco ataishi milele, au mlikuwa mnacho kitabu cha siri za Mungu kujua marco angefariki vp!! Kifo n mpango ya mwenyezi Mungu na hakuna ajuaye siku wala saa zidi kuomba na kutubu maana hujui chako ni lini.
Kwanini wakenya wasingemtibia huko huko? Wakaona wampandishe ndege tu aje Tz, au India moja kwa moja? haikua kazi rahis na tabia ya madaktar wakati mwingine utaambiwa mchukue mgonjwa wako ukamuuguzie nyumbani kumbe washajua huyu sio wa kupona.
Mungu fariji familia
Kwanini akupelekwa nairobi,mzunguko mwingi
nairobi hakuna hospitali yenye uwezo wa kutibu magonjwa ya moyo wagonjwa kutoka kenya wanakuja kutibiwa hapo
Uongo huo
Huo ni kujitetea tu uongo
Mara50%huyu13%ndo nn
Dunia tu wapitaji
Bas yote yshatokea tunaomba hzo pesa zimsaudie mjane
😅😅😅😂😂 nimecheka
😅😅😅ndio
Madakitari wa muhimbili hako series yaani shida tupu yaani bado sana moyo kupasua hawawezi hata hata mngekua miambili hamna lolote
Upo tu mtaani unazulula baada ya kushiba makande hujui hata kidogo Ubora wa Muhimbili na wamefanya makubwa sana.
@NtamamiloGi😂😂bson
Unaweza ukawa unaongea hvyo na shule ulikuwa unafeli tyu huoni haya unayemtukana n bingwa mbobezi ngazi ya juu kabisa kwenye elimu ya udactari? Embu heshimu taaluma za watu..!! Ukiambiwa ww ufanye operation ya moyo unaweza? Au kuropoka.
Wewe na Munishi ni waropokaji tu!! Thibitisha uliyoyasema, utaweza!!
Acha uongo wewe siku zikifika zimefika ,mbona wengine wanaponeaMuhimbil?