MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • MUNISHI AJIBIWA VIKALI NA DAKTARI BINGWA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIFO CHA MARCO W ZABRON SINGERS
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #kifochamracowazabronsingers #daktaribingwataasisiyamoyoyajakaya #munishi marcowazabronsingers #tikitvkiakilizaidi

ความคิดเห็น • 155

  • @freddiemanento6318
    @freddiemanento6318 23 วันที่ผ่านมา +6

    Asante kwa Maelezo na kwa Kazi kubwa. Mimi nazidi kuishukuru Muhimbili naelewa kazi yao na naikubali, BABA yangu alifanyi operation hapo miaka mitatu iliyopita na tunashukur Mungu anaendelea vyema. Pale wanadamu wanapo kwama TUMWACHIE MUNGU AFANYA KULINGANA NA MAPENZI YAKE

  • @Vivia-m7g
    @Vivia-m7g 16 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana dr.Mlihitahidi sana kwa mujibu wa maelezo yako,lakini MUNGU mwenye nguvu nyingi alishapanga ya kwake.Poleni sana pia wafiwa.Mapenzi ya MUNGU yatimizwe.🙏🙏Amen.

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 23 วันที่ผ่านมา +17

    Amefafanua vizuri jamani😢😢doct

  • @AmAm-xt1og
    @AmAm-xt1og 23 วันที่ผ่านมา +7

    Kw kwli Dactari nimemuelewa, kwanzo hapo kw kuchunguza afwa zetu,mungu atufariji sote🙏🙏🙏🙏🙏

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 21 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Madaktari kwa kazi nzito mliyoifanya kuokoa maisha ya kijana wetu. Binadamu anao uwezo wa kuahirisha kifo na sio kuzuia kifo hiyo ni kazi ya Mwenyezi Mungu pekee.

  • @mamaeu3147
    @mamaeu3147 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mlifanya upande wenu kwa nguvu na maarifa yenu kama wanadamu.Lakini Mungu aliishachagua ua lake lililo bora Mungu awatunze tunazidi kuwaombea madaktari wetu

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 22 วันที่ผ่านมา +1

    Doctor Mungu awabariki sana, roho ya maremu ipunzike Kwa amani

  • @ednaednamillanzinia2826
    @ednaednamillanzinia2826 22 วันที่ผ่านมา +1

    Madakitari mna kazi subway na Mungu awabariki,hao madakitari uliwataja ndio waliomfanyia dadangu operation ya moyo mwaka 2021 mpaka sasa dadangu ni mzima. Na dadangu kipindi icho umri wake ni 50. Basi tu imetokea Marcos kaondoka na pia maombi ni muhimu sana kipindi cha operation..Madakitari Mungu awabariki kwa kazi kubwa mnayofanya

  • @ocholawayoga5986
    @ocholawayoga5986 23 วันที่ผ่านมา +29

    Kwaa wale ambao hawaijui Muhimbili hospitali ya Taifa. Niwambie tu nchi yetu imewekeza vema kwenye vitengo vingi vya tuba hapo Muhimbili. Mimi ni shuhuda nimekuwa na wagonjwa kadhaa hapo. Wanafanya kwa kiwango cha juu. Wakishindwa ni uhalisia wa ukomo wa maisha ya mwanadamu. Prof. Nyagori amejieleza vema

    • @ndunihasani3232
      @ndunihasani3232 23 วันที่ผ่านมา +3

      Acha Mungu aitwe Mungu mapenzi yake yametimia na kazi yake haina makosa

    • @JosephMzipila
      @JosephMzipila 22 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona anijitetea sana, mbona haeleweki huyu dk

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 22 วันที่ผ่านมา

      Usijitetee bwana lisemwalo lipo hasa hospital za serkali za Tz Kuna mambo mengi sana yanayo husu wa gonjwa yanafavywa ndivyo sivyo hata mm ninapoona jambo kumwa la hatari nitalifikilia mara mbili tuna sema Hadi ya mungu simtimes Mungu anairuhusu Hadi sio kwakupenda mie SIo Dr lkn mafikilio ya haraka upasuwaji umechukua siku nzima Ingekua sawa TU kuruhusu aende India wangekubali ombi la familia kuchana kifua hiyo ni ishu ingine kiukweli kwa tz tuseme uhalisia tumbo ni sawa lkn kifua kichwa vinahitaji umakini ungalizi na digital yakutosha tunaposema ni isitokee kwa mwingine ubaya zaidi wakati wa magufuli ilikua inaonyesha vipimo original vinawekwa kwenye hospital zingine hapo muhimbili vinawekwa vya kawaida hii ni shida mtu lamda moyo umeziba TU unaambiwa umeoza watu tunajawa hofu

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 22 วันที่ผ่านมา +1

      ​@JosephMzipila wewe ndo hueleweki au shule haimo

    • @taturajabukhalfani7953
      @taturajabukhalfani7953 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@JosephMzipilakikubwa shule

  • @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm
    @ManenoAnthonyMachaku-dt4jm 22 วันที่ผ่านมา +7

    Hii yakumwambia mgonjwa una asilimia 13 yakupona na asilimia 87 inaweza ukafa hii so sawa ,,,mlimuua kwa Kuwaza aisee.

    • @RebeccaBhoke
      @RebeccaBhoke 22 วันที่ผ่านมา +2

      Ukiambiwa ukweli unapata nafasi ya kutengeneza na mungu
      Hata mm kama jambo langu ni gumu niambiwe tu

    • @estherwaliaula9132
      @estherwaliaula9132 22 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa heri uambiwe ukweli

    • @MrNorthshoremc
      @MrNorthshoremc 22 วันที่ผ่านมา

      That's medically un ethical... Unless the patient asks to be told but you cannot say you have 13% chance to survive.. And ask them to choose.. ... This are assumptions. THERE ARE SO MANY FACTORS TO PUT THIS STATEMENTS ACROSS... 😢😢😢😢pole kw familia na marafiki wa Marco.

    • @NishadyHajil
      @NishadyHajil 20 วันที่ผ่านมา

      Yaan kama hujawah kukutana na nyagori utajion mzima kabisa ila ukikutana n huyu Dr jiandae kiakil maan Huwa hajui kudanganya mgonjwa yaan kanyooka

  • @JenethFrank
    @JenethFrank 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni na hongereni Kwa kazi nzuri wataalam na madaktari bingwa. Ushauri wangu Kwa serikali pamoja na madaktari ningeomba kama waliona angeenda India labda angepona kikwazo kikawa ni hatoweza kufika akiwa hai ingekuwa vyema kuomba madaktar wa India au kuwa na connection nzuri kwamba madaktar wa kule wangesafirishwa waje kuokoa maisha bill zote za safar na operation mgonjwa alipie endapo mgonjwa ataridhia ingesaidia Kwa kias

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 22 วันที่ผ่านมา +2

    Daah!!! Miili yetu hii, Mungu tu ndiye anayeijua kwakweli. Pumzika kwa amani mtumishi.

  • @umbokeenockmwakagenda3966
    @umbokeenockmwakagenda3966 20 วันที่ผ่านมา +1

    Tunawaombea na tunajivunia madaktari wetu,Mungu awape uvumilivu kwa haya mnayosikia,tunajua mmeokoa maisha ya watanzania wengi,Namuomba Mungu awainue ili tujivunie Tanzania yetu,Mungu aliweka Roho ya maarfa kwa Bezaleli akawajaze saa hii Ameni.MUNGU IBARIKI TANZANIA YETU 5:48 5:50 U❤❤ 5:21

  • @user-kr6dc5cc2s
    @user-kr6dc5cc2s 23 วันที่ผ่านมา +5

    Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni za kuhesabika nazo zimejaa shida na taabu😭😭Tunashukuru Mungu hata ktk Hili tuna Imani IPO siku tutakutana tena 😭😭😭😭kazi ya Mungu Haina makosa.Rest in peace kaka

  • @user-rd3hk5qt5p
    @user-rd3hk5qt5p 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera kwa kazi nimekuelewa vizuri,mikono yenu ibarikiwe na YESU KRISTO ALIE HAI muweze kuwasaidia wengi wahitaji

  • @AnnaLwanda-oj4jn
    @AnnaLwanda-oj4jn 23 วันที่ผ่านมา +7

    Mwanadamu siku zake za kuishi sio nyingi na zimejaa tabu amemaliza mtumishi wa mungu Mungu awafaliji kwa wakat huu mgumi Marko amelala msijiulize sana mshukuruni Mungu kwa kuwa ni mwema kwa mama fadhili zake ni za mile ameen

  • @MahamuduMgongolwa-rw6ep
    @MahamuduMgongolwa-rw6ep 23 วันที่ผ่านมา +6

    Dr Bingwa kachambua vzr sana hongereni M Dr kwa kupambana Poleni wafiwa 😢

    • @facef5577
      @facef5577 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂 bado darasa linamuhusu

  • @StelaMangalachuma
    @StelaMangalachuma 20 วันที่ผ่านมา

    Hongere madaktari kwa kazi nzito, Mungu afariji familia😢

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 23 วันที่ผ่านมา +3

    Good job bro juu watu wanaropokwa very careless

  • @africangirllifestyle7686
    @africangirllifestyle7686 20 วันที่ผ่านมา +3

    Haisaidii tena nyamazeni tuu

  • @KhadijumaKhadijq
    @KhadijumaKhadijq 22 วันที่ผ่านมา +1

    Doctor mungu atakulipa kwa juhud zako enderea kutoa huduma kaka

  • @cylviapatric7343
    @cylviapatric7343 22 วันที่ผ่านมา +1

    Amen, inaumiza but mmepambana sana tunawashuru madaktar

  • @jeikary8767
    @jeikary8767 22 วันที่ผ่านมา +2

    Kama alikua na ushinda ya fingo i think ndio ilishababisha moyo 😢 pole sana kwa familia

  • @marryhancy1632
    @marryhancy1632 23 วันที่ผ่านมา +10

    Sasa kumbe asilimia kumi natatu nibora hata mngemuacha tu pengine mungu angemnusuru

    • @leoniaathuman1038
      @leoniaathuman1038 22 วันที่ผ่านมา +1

      😢 Mungu huyo huyo ndiye aliruhusu kipenzi hebu tumpe utukufu tu hata katika hili japo linaumiza
      Hakuna wa kulaumiwa madaktari wamefanya sehemu yao

    • @EdwardImbwana-e6m
      @EdwardImbwana-e6m 22 วันที่ผ่านมา

      Uko sa hihi dada

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kama wewe ndiye daktari utamuacha mgonjwa mbele yako usimhudumie eti unamuangalia tu una subiria afe, ? Na Mungu sii wakati wote huponya bila vitendo vya kibidamu, Jitihada hufanyika huku maombi yakiendelea,..kwa hiyo acha mawazo ya kebehi kwa madaktari.

    • @vencalson8108
      @vencalson8108 21 วันที่ผ่านมา

      Asikimia 13% wangeacha 2 walimmalizia yani

    • @apolleorevocatus8577
      @apolleorevocatus8577 20 วันที่ผ่านมา

      Ikiwa option ya hata %2 itamuoka ni bora kufanya

  • @jacksule7557
    @jacksule7557 21 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie wasenge tu mmeua viongoz wangap hapo mpk wanapaita machinjion bora angepoteza maisha gafura sy nifanyiwe nikiwa na probability ya 13%

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso 22 วันที่ผ่านมา +2

    No No muhimbili kwa sasa serikali ifike mahali ifanye kuajili wataalamu kutoka nje hawa wa kwetu mimi siwaamini kabisa

  • @everlynemoraa9423
    @everlynemoraa9423 22 วันที่ผ่านมา +1

    asante kwa kueleza vyema daktari na ufafanuzi uzuri mwenye hataridhika ako na zake zamsumbua

    • @LeonidasNteturuye
      @LeonidasNteturuye 21 วันที่ผ่านมา

      Asante docta kwa maerezo mazuli siku yamwanadamu ikifika mwisho akuna wakusimamisha siku hio .

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa hili ni mungu ndie anajua kwani maelezo ya huyu daktari Mimi sijamuelewa mungu ni mwem

  • @kennedymbogho1999
    @kennedymbogho1999 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa nimeelewa kwanini Viongozi na matajiri wanaenda kutibiwa Nje ya Nchi hasa India.
    Kwahiyo operation za kujifungua ni za mtaani?

  • @petrahmaggie4768
    @petrahmaggie4768 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hii imeniumaa sana

  • @belithakalinga4263
    @belithakalinga4263 22 วันที่ผ่านมา

    Dr kiukweli ameelezea vizuri japo mimi sio mtaalam wa afya . Acha Mungu aitwe Mungu😢

  • @givenmsomba9358
    @givenmsomba9358 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni jamani nguvu zote hizi kuwajibu Munishi na yule wa Mbeya hawawezi kuelewa.Maisha yetu yapo mkononi mwa Mungu.

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 16 วันที่ผ่านมา

    Mbona anatufokea..na mawani lake

  • @furahanyamba3636
    @furahanyamba3636 22 วันที่ผ่านมา

    Pole doctar tunajua Jinsi gani mlivyoumiya😭😭😭😭😭

  • @nicodemusjohn6474
    @nicodemusjohn6474 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nawaza, mtu ana shida ya moyo, unampa maelezo kuwa unafanyiwa upasuaji ila unaasilimia 13% za kupona na 87% za kufa. Huo tu mshtuko unaweza mwondoa mtu. Mimi nadhani ndugu wqnastahili kuambiwa hayo ila mgonjwa hakupaswa kuyajua. Alipaswa kupewa confidence kuwa atapona.

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 19 วันที่ผ่านมา

      Ana haki ya kukataa pia asifanyiwe ndio maana ni muhimu kuambiwa ili naye aridhie. Na ukiona mpaka wanasema hivyo ujue ni jambo ambalo ni gumu hivyo linahitaji maamuzi ya wote.

  • @MrNorthshoremc
    @MrNorthshoremc 22 วันที่ผ่านมา +3

    You were not ready for an open heart surgery.. Stop talking too much.. Msingefanya thts guess work.. There was enough time to bring him to kenya.. Tjat was a young person who coud sustain until he get the right doctors.. How do you transfuse 30 units of wholeblood.. Do platelet apheresis (Extract pltes from the donors) .. To avoid thrombocytopaenia..especially because of prolonged surgery and highly invasive procedure. 7:17

  • @SosipitarStaford
    @SosipitarStaford 21 วันที่ผ่านมา

    Wakristo wanatkiwa kuuriza majibu Yao ndani ya biblia kwa sababu Elia mtishbi alipokutana na wajumbe WA mfarme ahabu aliwauriza kuhusu ugonjwa wake aliwaridisha waulize mbere za Mungu hivyo mkiwafuata matabibu mjue mmemuamini Mungu kupitia wao hivyo tumtafakari Mungu vyema tuache rawama .mbarikiwe Sana na poreni

  • @LevinaLeonidas-l1p
    @LevinaLeonidas-l1p 23 วันที่ผ่านมา +1

    Jaman jaman dkt na yeye ni binadamu alilolipanga mung binadamu awez kulipangua msimseme dkt kiasi icho ivi mnajua blidi ya damu inavyotoka na kuangaika kumwekea damu kila mara sote tutaondoka kwa njia yoyote

  • @MercyMugalitsa
    @MercyMugalitsa 16 วันที่ผ่านมา

    Mlimsimamisha moyo hamna uhakika hapo ndipo aliaga...pia mlimvunja moyo kwa kutaja asilimia chache za kupona

  • @lilianomoke8759
    @lilianomoke8759 23 วันที่ผ่านมา +3

    Life is short...wakuropokwa wacha

  • @spesiozabisansaba6424
    @spesiozabisansaba6424 22 วันที่ผ่านมา

    Wacha alale mtumishi wa Mungu,, ninachofurahi ni kwamba aliambiwa ana aslimia 13 za kupona,, kwahiyo ninaimani ndugu yetu, amelala mikononi mwa Bwana.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 22 วันที่ผ่านมา

    13% tu ya kuishi daaaaahhhhh!!!!!!!! Mungu atusaidie sana sisi ni maua

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 22 วันที่ผ่านมา

    Many people don't know what's going in the spirit, I would like to advise people to trust God in every situation.... this world and its systems are corrupt. It takes God's power to save our lives.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 21 วันที่ผ่านมา

    Mapenzi ya MUNGU nilimkubali sana na nyimbo zao za hisia kali Zabron nawapa 1st Gospel

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 16 วันที่ผ่านมา

    Achacheni n mjinga MUNISHI

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 22 วันที่ผ่านมา

    naomba tumuamini mwenyezi Mungu,kuwa siku ikifika akuna jins.mimi pekee nimemuelewa dactar😢

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 23 วันที่ผ่านมา +4

    Kipindi cha Magufufi hospitali za zilifanya vizuri, siku hizi ni sinema

    • @halimaKaniki-g6i
      @halimaKaniki-g6i 22 วันที่ผ่านมา

      Kwan nayeye sialikufa kaasababu hizohizo

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      Muache raisi wetu alikolala kapumzika kwa amani usimutumie unapotaka kueneza sera zako za hovyo.

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 22 วันที่ผ่านมา

      ​narudia tena, kipindi cha JPM hospitali za umma ziliwatendea wagonjwa kwa haki kabisa, sasa hivi ni sinema

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 22 วันที่ผ่านมา

      ​@@bitumwatemu2731waliokuwa na vyeti FAKE hawataki kumsikia

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      @@justardzelphine6526 bado hujasema na utasema.. ww mpaka useme.

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 22 วันที่ผ่านมา

    Huyo Dr. Wa Kachina tunaweza kumuamini,?

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 23 วันที่ผ่านมา +6

    Kwa ambaye hajafika Muhimbili akiwa na mgonjwa wa moyo anayetakiwa kufanyiwa upasuaji unaweza ropoka kama mnavyoropoka humu. Hawa madaktari wanafanya kazi kubwa sana na wamefaulu kwa wengi tu.

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio 23 วันที่ผ่านมา

      ❤ubarikiwe! Mungu akishaamua huwezi kupinga!

    • @AntonyBruno-om8mr
      @AntonyBruno-om8mr 22 วันที่ผ่านมา

      Kweli kbs mpendwa angu yaaan sisi binadamu jmn hatuna jema angepona ungeona ambavyo wangeongea tuna madaktari bingwa hiyo kazi ya kucheza na mwili wa binadamu mwezio Si mchezo

  • @kinyanjuicarlos8899
    @kinyanjuicarlos8899 22 วันที่ผ่านมา +1

    I really dont understand why he was not treated here in kenya' they chose to travel all the way to Tanzania instead of rushing him to KNH or even Nairobi hospital' madaktari pale wangeokoa maisha yake' poleni kwa familia may his soul rest in peace...

    • @PAULMKOMBOZI
      @PAULMKOMBOZI 21 วันที่ผ่านมา +1

      kenya hakuna wabobezi wa magonjwa ya moyo

    • @kinyanjuicarlos8899
      @kinyanjuicarlos8899 20 วันที่ผ่านมา +1

      @@PAULMKOMBOZI aga khan hospital' mater hospital' KNH' this are just but a few who could do a better job than the overrated "Jakaya kikwete"!

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 19 วันที่ผ่านมา

      Ukute Kenya walishajua kuwa hili jambo ni gumu na kupona ni asilimia ndogo sana. Na hata angepoteza maisha huko wangesema bora angerudishwa Tz wangefanya kwa umakin zaidi. Kumbe ni ugumu tu wa kazi yenyewe.

    • @suzomhongo2052
      @suzomhongo2052 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@PAULMKOMBOZIhuko Kenya watu hawafi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 23 วันที่ผ่านมา +2

    Aitatusaidie kujibu haya yote , MAANA HAITAMRUDISHA KAKA YETU MICHAEL, KAENI madactari muwaze na kuangalia mlipoanguka au kufanya vyema , maana maisha ya mtu KUPOTEA SI jambo dogo 😢😢😢

    • @jothammalale8702
      @jothammalale8702 23 วันที่ผ่านมา

      Bora sana huyu ambaye mungu alimpa taarifa ya kujiandaa kiroho (maombi) ili aingie mbinguni kila aliyezaliwa na mwanamke duniani kufa ni lazima .bwana ametwaa Amina

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      Embu tutolee ujinga kaka yako umemuumba ww..!! Au ulitaka aishi milele? Mngempeleka kanisani aombewe apone.. mliona kanisani haviwezi mkawaamn madactar afu sahv unajikuta professor wao kwamba unajua walipokosea.

  • @petermalema5702
    @petermalema5702 22 วันที่ผ่านมา +1

    UKO VIZURI DOCTOR

  • @leoniaathuman1038
    @leoniaathuman1038 22 วันที่ผ่านมา

    Binafsi nimemuelewa sana daktari polen sana madaktari

  • @mwarikimwariki2653
    @mwarikimwariki2653 23 วันที่ผ่านมา

    In God we trust,pumzika kwa amani mwamba

  • @barakaamos3538
    @barakaamos3538 22 วันที่ผ่านมา

    Je million 17 zitarudi

  • @FrankDamiano-ll2xy
    @FrankDamiano-ll2xy 23 วันที่ผ่านมา +1

    Bora wangemuacha tu

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hamna lolote uongo

  • @ii-bt3yj
    @ii-bt3yj 22 วันที่ผ่านมา

    Hata wangeachana na upasuaji jameni😢😢 was though

  • @HhdgjhjNfhvbnn
    @HhdgjhjNfhvbnn 22 วันที่ผ่านมา

    Siku zikifika hakula la doctor hakufanya kazi,,mm naamini ni mungu tu,ndiye anajua ni kwanini,hatuwezi pata jibu

  • @SammyGuto-yb1vs
    @SammyGuto-yb1vs 21 วันที่ผ่านมา +1

    Rudi shule bwana usomehe moyo aja story mingi

  • @Omar-n4q3i
    @Omar-n4q3i 23 วันที่ผ่านมา +5

    Daktr haezi zuia kifo , pia hao n binadamu ,

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 20 วันที่ผ่านมา

    That's why politicians and the high ranking citizens do not even trust our hospitals. The incompetence and lack of facilities and equipments is astonishing😢. Tutaelekea wapi jameni?

    • @suzomhongo2052
      @suzomhongo2052 17 วันที่ผ่านมา

      Utakapoumwa na kuokolewa na madaktari hao ndipo utakojua thamani yao

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 22 วันที่ผ่านมา

    Waacheni madaktari wamejitahidi na wameeleza ukweli wasukuma wachawi sana siwaamini kbsaa mmemloga mwenzenu aisee

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kwahiyo madaktari walipumzka kuhudumia wagonjwa wengine bila kujali wako serious kiasi gani? Jamani jamani madaktari fanyeni kazi zenu bila kujali cheo wala wadhifa wa mgonjwa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 23 วันที่ผ่านมา

      Wewe zero brain kakojoe ulale. Yaani kwa akili zako za mende ndio uwafundieshe cha kufanya. Fyuuu.

    • @antonylwanga2978
      @antonylwanga2978 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kuna madakitari tofauti wenye ujuzi au utaalamu za aina mbali mbali

    • @christinarussambi2161
      @christinarussambi2161 23 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa ​@@antonylwanga2978

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 19 วันที่ผ่านมา

      Ushawahi fanya kazi ukiwa umechoka, kifuatacho kuharibu tu, alafu ndio unaenda kucheza na roho za watu, wao ni binadamu siyo maroboti et hawachoki.. pia Muhimbili ni kubwa sana na madaktar wa vitengo vingine pia waliendelea na kazi kama kawaida.

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 22 วันที่ผ่านมา

    Hadithi nyingi za nini???

  • @anordlema3326
    @anordlema3326 21 วันที่ผ่านมา

    Ni vyema kumweleza mgonjwa na ndg uhalisia ili aamue kufanyiwa au la Kwa kuwa ni laizima usaini file kabla hujafanyiwa op ni tafiti za kitaalam hizo

  • @salomekense525
    @salomekense525 22 วันที่ผ่านมา

    Tunawashukru ila msinge mwambia hizo asilimia alikufa kwa hofu jamani

  • @7675kio
    @7675kio 23 วันที่ผ่านมา +3

    Kichwa Kinasema daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya, Je ni kweli huyoo daktari anafanya kazi Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete?

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 23 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu ni ndugu wa marehemu na ni Daktari Bingwa pia.

    • @ocholawayoga5986
      @ocholawayoga5986 23 วันที่ผ่านมา +1

      Huyo ni prof. Wa tiba ya Moyo prof. Dr Nyagori

    • @witnessezron4607
      @witnessezron4607 23 วันที่ผ่านมา +1

      Anafanya kazi huko ndiyo ila ni ndugu piaa wa hii familia

    • @255tz8
      @255tz8 22 วันที่ผ่านมา

      Sasa ataenda hapo kuongea mbele kuongea tu bila kuwa daktari

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 21 วันที่ผ่านมา

    Ila binaadam kuna mda mnashangaza eti angeachwa angepona hamna anaekaa milele kila mtu ataondoka kwenye dunia hii kubwa tufanye mema

  • @charlesseba2000
    @charlesseba2000 22 วันที่ผ่านมา

    Kama mlikuwa hamna uhakika wa kufanya operation, inaonyesha wazi mlifanyia majaribio kuona kama mnaweza

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา

    China na sayansi wapi na wapi

  • @MwanahamisMaganga
    @MwanahamisMaganga 20 วันที่ผ่านมา

    Mtu anapresha anaumwa moyo af anaambiwa Jambo la kushitua kwamba akiingzwa kwenye oplereshen niasilimia chache za kupona cndo mawazo yakazd kumshitua

  • @JanethMokili
    @JanethMokili 22 วันที่ผ่านมา

    RIP bro🙏

  • @AliceKangwa-f4g
    @AliceKangwa-f4g 21 วันที่ผ่านมา

    Hii ni kwa faida ya mwimbaji Munishi na wasiojua ila waropokaji wenzake wote.

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา

    Mwingine alisema 50%
    Huyu anasema 15%

  • @OMARIMLAPONI
    @OMARIMLAPONI 22 วันที่ผ่านมา

    Apo ndo mlimpa pressure

  • @winsyombua5821
    @winsyombua5821 21 วันที่ผ่านมา

    Makosa waliofanya nikumueleza mgonjwa anaeza pona ama kufa walimuongezea mshituko wangeambia familia peke yake

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา

    Na kavaa miwani mieusi apate ujasiri wa kuongopa vyema

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 23 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa tapeli huyu hamna jipya anatumia nguvu nyingi kufanya watu wasahau uchunguzi

    • @mgayan1222
      @mgayan1222 22 วันที่ผ่านมา

      Wewe ambaye sio tapeli, kamfufue bhasi. Hizi fee free education zinatengeneza kizazi cha ajabu sana

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      We umesomea nn jamaa nawaswas na elimu yako?

    • @josephinemtei186
      @josephinemtei186 21 วันที่ผ่านมา

      Tulia na ushike adabu yako

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 23 วันที่ผ่านมา

    TUNAWAPA POLE HATA MADACTARI KWA JUHUDI ZAO!!!

  • @christinelihavi4068
    @christinelihavi4068 23 วันที่ผ่านมา +1

    Lakin mbona alikuja na ndege akitoka Kenya?

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 22 วันที่ผ่านมา

      alipanda bus had mwanza

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 22 วันที่ผ่านมา

      @@masalakulwa7601 Kwenda Dar alipanda ndege my dear

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      Kwan hali yake anatoka kenya kuja mwanza kwenda dar ilikuwa ni sawa na alivyokuwa ndani ya taasisi ya moyo au ww hujui maswala ya moyo kadri mda unavyozd kwenda ndo ukubwa wa tatizo unaongezeka na mda wakuishi unapungua.

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      M nngeshauri kwa ndugu, marafiki na wapenzi wa marehemu embu punguzeni hisia na imani ya kwamba mlijua marco ataishi milele, au mlikuwa mnacho kitabu cha siri za Mungu kujua marco angefariki vp!! Kifo n mpango ya mwenyezi Mungu na hakuna ajuaye siku wala saa zidi kuomba na kutubu maana hujui chako ni lini.

    • @joshuaadauth4150
      @joshuaadauth4150 19 วันที่ผ่านมา

      Kwanini wakenya wasingemtibia huko huko? Wakaona wampandishe ndege tu aje Tz, au India moja kwa moja? haikua kazi rahis na tabia ya madaktar wakati mwingine utaambiwa mchukue mgonjwa wako ukamuuguzie nyumbani kumbe washajua huyu sio wa kupona.

  • @DianahRobbie
    @DianahRobbie 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu fariji familia

  • @denisyohana8104
    @denisyohana8104 21 วันที่ผ่านมา

    Kwanini akupelekwa nairobi,mzunguko mwingi

    • @PAULMKOMBOZI
      @PAULMKOMBOZI 21 วันที่ผ่านมา

      nairobi hakuna hospitali yenye uwezo wa kutibu magonjwa ya moyo wagonjwa kutoka kenya wanakuja kutibiwa hapo

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta 22 วันที่ผ่านมา

    Uongo huo

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา

    Huo ni kujitetea tu uongo

  • @dikakimishawasumbwahalisit7596
    @dikakimishawasumbwahalisit7596 21 วันที่ผ่านมา

    Mara50%huyu13%ndo nn

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 23 วันที่ผ่านมา +1

    Dunia tu wapitaji

  • @amiduabdallah-l9z
    @amiduabdallah-l9z 22 วันที่ผ่านมา

    Bas yote yshatokea tunaomba hzo pesa zimsaudie mjane

  • @songeza
    @songeza 23 วันที่ผ่านมา +2

    Madakitari wa muhimbili hako series yaani shida tupu yaani bado sana moyo kupasua hawawezi hata hata mngekua miambili hamna lolote

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 23 วันที่ผ่านมา

      Upo tu mtaani unazulula baada ya kushiba makande hujui hata kidogo Ubora wa Muhimbili na wamefanya makubwa sana.

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 22 วันที่ผ่านมา

      ​@NtamamiloGi😂😂bson

    • @bitumwatemu2731
      @bitumwatemu2731 22 วันที่ผ่านมา

      Unaweza ukawa unaongea hvyo na shule ulikuwa unafeli tyu huoni haya unayemtukana n bingwa mbobezi ngazi ya juu kabisa kwenye elimu ya udactari? Embu heshimu taaluma za watu..!! Ukiambiwa ww ufanye operation ya moyo unaweza? Au kuropoka.

    • @AliceKangwa-f4g
      @AliceKangwa-f4g 21 วันที่ผ่านมา

      Wewe na Munishi ni waropokaji tu!! Thibitisha uliyoyasema, utaweza!!

    • @user-wh9zj7kf7h
      @user-wh9zj7kf7h 21 วันที่ผ่านมา

      Acha uongo wewe siku zikifika zimefika ,mbona wengine wanaponeaMuhimbil?