Naumiaga sana nikiskiliza ngoma zako kwanini hivyo ndugu yangu skuoni katika ukubwa na mafanikio yalinganayo na kazi zako dah! Kama na wewe nishabiki wa belle 9 unaumiaga kama Mimi ebu gonga like hapa zifike 1.k kunajambo tumfanyie trust me
Kwa bahati mbaya siku hizi muziki umekuwa Ni takataka kiasi ambacho ukiwa msanii wa kweli huwezi pata sikio la watanzania! So sad! Watanzania wanataka mziki mwepesi usio na ufundi na uliojaa upuuzi! Hapo utawapata! Inasikitisha Sana! Kazi nzuri Sana broo! Ufundi mwingi sana kwenye hii Kazi!
I think hii ngoma inadeserve zaidi ya 1m views, tatizo hayupo kwenye limelight ila ni bonge la artist tangu Enzi za sumu ya mapenzi hadi sasa tupo muongo wa21
Hii ngoma ni kati ya zile ambazo hua zinapenya tartiibu katka maskio ya waskilizaji, na baada ya muda flani zinakaa milele katika nyoyo zao. Big up sana belle tisa, kwa ngoma Kali kabisa
Belle9 Unajuwa sana Shida ipo kwenye Management yako inashindwa kukupambania upenye,Mana game ya Sasa Ina fitina mpaka ndumba nyingi nakushauri badilisha management ww ni msanii mwenyewe talanta kuwashinda Diamond na Konde boy
Real music speaks itself, shout out to the king B9🐐 thanks for keeping the good music alive. Achana na wale wa promo nyingii ila porojoo tupu. You deserve the best.
As skia nkuambie usimpe zote peke ak roho mbay iyo msikilize Belle alaf msikilize Rama d utakosa kuchagua utashindwa is tarented awa wat wanna voice ya juu kal nzur lakn dunia ya leo mungu ndo anaejua
Nyimbo kali, utunzi mkali, melodies kali, ujumbe umeshiba watu kama kama hawa ni mfano wa kuigwa hakuna lugha chafu.... abwanaee ishi miaka mingi tupo tunaenda Nyimbo kama hizi Nyimbo ya kuishi
Hii ngoma nimeidownload ipo audio and video lakini kila ninapopita TH-cam nikikutana nayo tu siwezi kuacha kuiplay maana hii for me ni best 2022_2023 na pia nategemea itadumu adi kufikia 2024 hii ni best rhumba wakubali wakatae hii kazi umefanya ndg yangu
Yes ana kazi nzuri sana. Lanini hizi ni ngoma pendwa sana miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000...Sasa hivi ngoma zinazo chezwa sana ni zile za kujirusha na si kusikikiza. Mziki laini kwa sasa umekufa kabisa. Anatakiwa abadilike kama anataka kubaki kwenye game
HIVI HII NGOMA ANGEIMBA #DIAMONDPLATINUM INGEKUWA WAP SAHV KAMA SI HUKO DUNIA JAMAN ACHENI KUMBANIA BELL9 BONGE LA SONG TENA THIS DESERVE TO BE SONG OF THE YEAR 🎶🎶🎶🎶😂😂😂😂🙏🙏🙏
Naumiaga sana nikiskiliza ngoma zako kwanini hivyo ndugu yangu skuoni katika ukubwa na mafanikio yalinganayo na kazi zako dah! Kama na wewe nishabiki wa belle 9 unaumiaga kama Mimi ebu gonga like hapa zifike 1.k kunajambo tumfanyie trust me
Bro waimbaji wakali wa muda wote wa mziki wa kizazi kipya ni benpol na belle9 time will tell, na heshima yao naamini itarudi
Belle anauwezo mkubwa!
Kwanza enzi zile za sumu ya penzi,the guy ni mkubwa kimziki💪
Mbona kama mwenyewe ya Harmonize
Uyu jama ananiliza everyday
His achievement doesn’t match his talent and longevity he has in this industry..
Bro
What’s missing
Belle9 back on game mkali wangu Kama unamukubali like nikuone basi Watu ngoma Kali saana respect you
Hii ngoma imeweza sana, kama unakubali nipee likes
Yeah man belle anaweza kinoma tatizo sjui ni awa waganga wanao gamga mpka njaa
Noma sana Belle 9 , binafsi nakumbuka Toka 2010 song kama Masogange na sumu ya penzi.
@@jimmykajoller2234😊❤❤❤❤😊❤😊❤❤😊
Kwa bahati mbaya siku hizi muziki umekuwa Ni takataka kiasi ambacho ukiwa msanii wa kweli huwezi pata sikio la watanzania! So sad! Watanzania wanataka mziki mwepesi usio na ufundi na uliojaa upuuzi! Hapo utawapata! Inasikitisha Sana! Kazi nzuri Sana broo! Ufundi mwingi sana kwenye hii Kazi!
Yap unachosema Ni kweli hii ngoma nikali mnooooo💥
belle 9 wordwide
Good job bro Nimerudi x12 Kama wapo Kama mm ambao wamerudiana hii ngoma gonga Like
My favorite Rhoumba in 2022-2023 ngoma kali sana 🔥🔥
Huu Msani Belle 9 , mimi namkubali, shabiki wako toka mji mkuu Kinshasa.
Huyu jamaa anachuja maneno afu anayapanga afu anatupea kitu kali mashabiki zake. Ukunda South Coast Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Belle 9 is very underrated artist..but he is the Best singer and composer with magical vocals. Great song. Great visuals. Creativity at its peak💥💯
Witch craft bongo
it depends on how he markets himself....understand
Line
I think hii ngoma inadeserve zaidi ya 1m views, tatizo hayupo kwenye limelight ila ni bonge la artist tangu Enzi za sumu ya mapenzi hadi sasa tupo muongo wa21
Mwanamuziki wangu bora wa wakat wotee belle9
Belle 9 akiamua huaga anatoa machine sana 🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma ni kati ya zile ambazo hua zinapenya tartiibu katka maskio ya waskilizaji, na baada ya muda flani zinakaa milele katika nyoyo zao.
Big up sana belle tisa, kwa ngoma Kali kabisa
Belle king of melodies ngoma zote kali muda wako unafika kaka
I don't care the views,subscribers...belle tisa 🐐🐐 the only tanzanian artist with unique and magical voice,,y'all tanzanians sleeping on your legends
From Mozambique here, belle 9 watu is my favourite song # 🔥🔥🔥
Hukoseagi Belle9, nakupa maua yako kabisa.
Belle 9 Mwenye mziki wake hujawai kosea
Belle9 Unajuwa sana Shida ipo kwenye Management yako inashindwa kukupambania upenye,Mana game ya Sasa Ina fitina mpaka ndumba nyingi nakushauri badilisha management ww ni msanii mwenyewe talanta kuwashinda Diamond na Konde boy
Oya uyo jamaa mkwawa anaweza sana aliyoimba kakiitikio ka mwsho
Mziki mzuri💯🔥 komaa humo humo, Now tuishi humu tuimbe style kama za drake zile, tusitumie nguvu tunaimba kama hatutaki na mziki unaenda.
Dahh wabongo hatusapot vitu vizuri jamaa hana views wa kutosha kulingana na uzuri wa ngoma
Mimi huwa nakuitaga kengele Tisa mtu hatari sana wewe🔥🔥🔥🔥kazi nzuri
Real music speaks itself, shout out to the king B9🐐 thanks for keeping the good music alive. Achana na wale wa promo nyingii ila porojoo tupu. You deserve the best.
The king 👑 of melody Tanzania kila mtu anasikio lake la kusikiliza mziki Rasta umetumia creativity ya hali ya juu unajua ukweli utabaki kuwa ukweli
As skia nkuambie usimpe zote peke ak roho mbay iyo msikilize Belle alaf msikilize Rama d utakosa kuchagua utashindwa is tarented awa wat wanna voice ya juu kal nzur lakn dunia ya leo mungu ndo anaejua
What a perfect way to start new year, excellent 👍.. much love and blessings from KENYA 💯🇰🇪🔥
2023 belle9 umeanza na moto sana 🔥🔥🔥
Dah!wew jamaa sina chakusema🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Still my favourite Bongo Artist..since 2008, still got them vocals
Hii ameuwa
@@nijoboy5818 kali sana
Belle 9 Hatari sana Kama kawaida 🔥🔥🔥
Daa Belle 9 daa basi tu 🤔unajua sanaaaa
Good sound/good lyrics mistari imejibu mashtaka shavu kwa director ❤️❤️❤️
Belle Nine... hujawahi kuniangusha...daa Bonge la Hit👏👏
Nyimbo kali, utunzi mkali, melodies kali, ujumbe umeshiba watu kama kama hawa ni mfano wa kuigwa hakuna lugha chafu.... abwanaee ishi miaka mingi tupo tunaenda Nyimbo kama hizi Nyimbo ya kuishi
Ngoma kali sana hii, alafu kuna mtu sasa iv et anasikiliza chitaki😃, bell9 big up💪
Kweli
Belle 9,,tixha xana babaaaaa🎉🎉🎉
🔥🔥🔥belle9 unajua mwamba knoumaa
Belle 9 kuanzia hii mwaka tupatie back to back...this is liiit🌪️🌪️🌪️
inshallah itakua hvyo
Kuna konakona, shika bomba wewee....🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwaka mpya mambo mapya nakbal mtu mzima bell9
Ni balaaa, Umetisha Bro
Belle ni shavushavu ,,hongera kaka bonge la ngoma✓✓✓ wanitamani vs watu✓✓✓
Belle 9 kuwaa serious kwa Industry ya ngomaaaa......promote your music 🎶 🎵 👌 🙌
One of the most underrated yet very talented artist. On repeat today
Nakuelew san belle ww n wamoto sana kaka rnb wakuachie tuu
We jamaa ninoma video Kali , sound Kali, aise
kazi safi sana kakangu hapa 254 tunakukubali na kukuaminia mkuu
Daaah bonge ngoma nimeicheki kwa moyo woote na kuipenda kwa Moyo woote
Good music 💯, good interesting 💯, good talent 💯, biggest able 💯, Belle 9tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯. Bro unajua salute 🇹🇿🇹🇿💯.
Hii ngoma nimeidownload ipo audio and video lakini kila ninapopita TH-cam nikikutana nayo tu siwezi kuacha kuiplay maana hii for me ni best 2022_2023 na pia nategemea itadumu adi kufikia 2024 hii ni best rhumba wakubali wakatae hii kazi umefanya ndg yangu
Belle amezencuah apo ange sema "Mama Shika KONG@@ ngoma ingekuah kali. zaidi man
My favorite artist BELLE 9,❤️❤️❤️❤️❤️LET'S SHOW LOVE TO HIM
Wewe ni noma bro still tunakukubali🔥🎼🎶
Bongo wasani wanoimba ni watatu tu kuna rich mavoko, baraka the prince, belle 9 wengine ni fujo belle 9 ngoma kali sana
Kweli King K pia yuko poa kimzik
Hhhh
Ndugu watu wanoimba ni wengi sana sema hujawafatilia tu kina Beka Ibrozama,Rama D,kiba nk
we kaka unajua sana keep going broo 🍁💪🏿
Ngoma kali sana ila umesuka kama mwanamke
Belle 9 mtu wangu kwanzia kitambo sana umetupea dawa .big up
#Bonge la ngoma🔥🔥 the raeal bongo flavour 🙏
Ngoma iko full kinoma noma baba Love is song
Mwanangu mwenyewe ❤💚💛🔥🔥
Kudadekiii #belle9 ww ni NOMAA broooo hatariii.
Iki kipaji kingine iki ni noma sana sjui kwa nn apewiair time yanii
Congratulations, bonge la nyimbo
Wimbo tam. More love kutoka kenya
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Yalipo nidodea nikaenda kwa Amina
Nilopo kolea nikazama mazima
Legendary song never get disappointed 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥@Belle9
Yes ana kazi nzuri sana. Lanini hizi ni ngoma pendwa sana miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000...Sasa hivi ngoma zinazo chezwa sana ni zile za kujirusha na si kusikikiza. Mziki laini kwa sasa umekufa kabisa. Anatakiwa abadilike kama anataka kubaki kwenye game
What a HiT 💥💥💥 Once a Legend, always a LeGeNd 🙌🙌🙌
Hii ngoma afanye ft na Ali kiba. Kuna voice imekosekana
umu umeonyeshaa mauwezoooo dingiliiii 🙌
My favorite, most talented yet most underrated Artiste From TZ, been your fan tangu jadi. Tangu siku za Sumu ya penzi.
Ngoma Kali Sana belle 9 kaweza
Daah aisee hii ngoma Kali sana
Umetisha mwanangu bonge la ngoma
basi tyu yani mana unajua sana kaka sema mziki wa tanzania ushaharibiwa na wajing flani kwa maslahi yao
Haunifelishi Mwanangu 💯✔️
Lazima kuwe na mizik ambayo wanao jua mziki tunasikiliza wengine sikilizen hiyo makelel for those who love good music were here to support u bro❤
HIVI HII NGOMA ANGEIMBA #DIAMONDPLATINUM INGEKUWA WAP SAHV KAMA SI HUKO DUNIA
JAMAN ACHENI KUMBANIA BELL9 BONGE LA SONG TENA
THIS DESERVE TO BE SONG OF THE YEAR 🎶🎶🎶🎶😂😂😂😂🙏🙏🙏
watu wabaaaaaayaaa good song my legend
Mtoto uyu akonakipaji this children have talents
Anae jua anajua bwana
pamoja sana bele 9 nakukubali tangu kitambo
It's your boy Akim dollar Again
From Zambia
Kaka we mutu mbaya nakukubali Kwa myaka Kazaa
This really kind of good music alive" big bang in town from moreeeee twn .....
WAtuuu watu WAtuuu nomaaaaaaaaq saaaaaaaana ka producer Ako ni kananiiiiiiiiiii jaman
Kuna Huyu Jamaa kaimba kiitikio Mkali sana Asee.
Belle9 is a true R&B virtuoso 👑💖
Shame how he's underrated
Bellenine unajua 🙌
Ngoma tamuuu na huyuu ndo belle 9
Imekaa poa sana Belle9.
You deserve to be recognised Belle tisa!!
Kali sana jamaa anajua mno
Bro you sing so so so much God bless you your Lil talented 🙌❤️
dah...hii ngoma ilivyo tamu mpaka natamani kulia
The guys who finished with the hook..some powerful vocals as well
Rhumba Kali sana hiii🔥🔥
Aisee nimerudia mara 10 🙌🙌🙌🙌🙌
belle9 unajua mpaka unakeraaaaaaa ❤️
Saut ya enzii huyu fundi sanaaa
Jamani hii ngoma kali... Love from Kenya....