😂😂😂😂acha ni cheke Dr mwaka unaweza mwambia nakupenda mbavu zangu.,plus mapigo ya moyo wangu ,plus uhai wangu au pumzi zangu katika mda umeandika unajibiwa maneno machache asante ivyo tu ,au you to je apo mume atakua na nguvu tena 😂😂😂😂tunapitia mengi
yaani mke wangu ni mwaka 14 nianze kumuita eti honey sijui nini nimerogwa na kulishwa limbwata au hata mengo zitafunguka siku hiyo, ni mama P TU IMEISHA HIYO.
😂😂😂😂acha ni cheke Dr mwaka unaweza mwambia nakupenda mbavu zangu.,plus mapigo ya moyo wangu ,plus uhai wangu au pumzi zangu katika mda umeandika unajibiwa maneno machache asante ivyo tu ,au you to je apo mume atakua na nguvu tena 😂😂😂😂tunapitia mengi
Nakubali naona ngoma ya mmakonde apo kwa tv inaplay safi sana
yaani mke wangu ni mwaka 14 nianze kumuita eti honey sijui nini nimerogwa na kulishwa limbwata au hata mengo zitafunguka siku hiyo, ni mama P TU IMEISHA HIYO.
yaani TZ ndo nchi pekee vidada vidogo visimbe vinatufundisha jinsi ya kuishi na wake zetu wakati tunawazaa mlikuwepo, mtukome nyie watoto.