AIBU: MASTAA HAWA WALIOZEEKA ILA WANAKAA UCH| SANA MTANDAONI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ย. 2022

ความคิดเห็น • 114

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว +5

    Mastaa 10 waliojiunga Freemason Bongo. (Mpya 2022) 👇
    th-cam.com/video/44kFCNMMtj8/w-d-xo.html

  • @user-hd7xo4yb4u
    @user-hd7xo4yb4u 5 หลายเดือนก่อน +5

    Sijaona baya kwahao maisha ni mafupi na wakuwahukumu pekee ni Allah..ww unaewakosoa unamangapi unayofanya yakumpendeza Mungu na wanadamu wote..nakushauri angalia kwa macho Kisha funya yako unayohisi yanafaa.

  • @ngaramtoni4963
    @ngaramtoni4963 ปีที่แล้ว +9

    Tunao mkubali gig jamn mwaga makop kwak❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lucyfelix6125
    @lucyfelix6125 ปีที่แล้ว +17

    Kwakweli mnateseka sana na maisha ya watu

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว

      Mno

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 ปีที่แล้ว +3

      Kwa upande wng, naona wanaongea ukweli lkn. Heshima na stara ndio maadili yetu. Sbb cc sio wazungu. Ni watanzania jamani.

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 ปีที่แล้ว +14

    Kukaa uchi hakuzingatii umri ni tabia ya mtu tu sasa kama walianza maisha ya kukaa uchi toka wadogo mnategemea wazeeke ndiyo waache thubutu cha msingi kila mtu azingatie malezi ya wanae kama mnavalisha watoto wenu uchi uchi kwa madai ni watoto mnajidanganya hayo ndiyo yatakuwa mavazi yao mpk uzeeni

    • @nanaamandus9768
      @nanaamandus9768 ปีที่แล้ว

      Acha kufatilia Maisha ya watu

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 ปีที่แล้ว +3

      @@nanaamandus9768 ww mwenyewe mpaka umekuja kureply comment yangu tayari umeshafatilia maana mimi nimetoa maoni kwa kile kilichowekwa hapo sijaenda nyumbani kwa mtu upo nyonyo👌

    • @najmasalim4321
      @najmasalim4321 ปีที่แล้ว

      Umeongea kweli

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 3 หลายเดือนก่อน +2

    Beautiful ladies ❤ Age is just a number!! 🤷🏽

  • @carolineotieno8154
    @carolineotieno8154 ปีที่แล้ว +3

    Njooni Kenya tuna President of singles Mother's na hatuhusuu

  • @yusrasalim4356
    @yusrasalim4356 หลายเดือนก่อน

    Dear naomba utufanyie mastaa ambao ni wazuri

  • @dianakamau6194
    @dianakamau6194 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wenye tumelelewa kwa familia ya nguo mrefu tusisikilie hao vibaya kwani wamelelewa kitaoo😂😂😂

  • @allyfwady123
    @allyfwady123 12 วันที่ผ่านมา

    Giggy Ni mtu POA Sana mi namkubali vibaya na atafika mbali Sana giggy ,kwa giggy watapona tu ,watamwelelewa tu,

  • @fatuamjafary4959
    @fatuamjafary4959 ปีที่แล้ว +9

    Kweli wamezeka lakini wanajifezeesha

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 ปีที่แล้ว +10

    Wenzenu niwazungu jamani hebu waacheni wapumue

  • @user-fb5pz7ix8g
    @user-fb5pz7ix8g ปีที่แล้ว +4

    Apo kwa kweli Kajala umeniangusha

  • @djbablin1326
    @djbablin1326 ปีที่แล้ว +18

    Why don't you mind you're own business,let them be

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 23 วันที่ผ่านมา

    Maasta wanapendeza zaidi

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

    WaTz bhana kwa hiyo hao wazee😂😂😂

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว +2

    MAISHA YA DUNIA NI MAFUPI NA FITNA KUBWA SASA KAMA MTU ATAENDEKEZA SIFA MAVI NA UJINGA BASI KILA BINAAADAM ANAMWISHO WAKE NA HATA UKAE MIAKA MIA ,UENDE UCHI MIAKA MIA IKO SIKU UTAJUTIA UJINGA HUO 🙏🙏☝

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 ปีที่แล้ว +4

    WAACHE WENZIO KWANI MIAKA 40 NDO UZEE?

  • @gmlikaka
    @gmlikaka ปีที่แล้ว +2

    @TheThirdTv njoo Kenya basi umukute Akothee basi utakoma,

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว

      😀😀niko na hzo plan

  • @kingkaka6729
    @kingkaka6729 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo Tanzania Unafki Umezidi Wewe Mambo ya watu Yanakuhusu Nini Fanya mambo yako Yakukuza familia yako Sio Mambo ya watu Uwoya Yanakuhusu nini

  • @UmmyLubna-rp6rv
    @UmmyLubna-rp6rv 2 หลายเดือนก่อน

    Sàsa ukimuona Madona utasema nini.Acheni mambo ya kiswahili na umbea umbea tu wa kibongo.

  • @jenniffermumo6327
    @jenniffermumo6327 ปีที่แล้ว +1

    Let them be. You can also imitate their good lifestyle. It's about them what of. I don't understand Africans, they like criticism alot and don't critise waxungu. Kipi cha mno na tofauti. It's their freedom of life. You forget others also judge you as you think umejustiri. Whatever you taint the words

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 ปีที่แล้ว +17

    Miaka 42 huko majuu unahesabika kijana kabisa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 9 หลายเดือนก่อน

      Huko majuu hakuna maadili wala heshima na kama umezaliwa bongo majuu kunakuhusu vipi. Acheni kuiga upumbavu nyie

    • @happynelson1180
      @happynelson1180 9 หลายเดือนก่อน

      @@ashaali7154 naishi majuu sio bongo lakini huwa sipendi watu wajue lakini sasa imenibidi

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 6 หลายเดือนก่อน

      Bongo hawaelewi maana. Ya umri wanapenda sana kuzehesha wenzao😏🤔

  • @nashnash2407
    @nashnash2407 หลายเดือนก่อน

    Huwezi pangia mtu na life yake, achana nao inakuhusu nn,ww ndio mzazi wao? Ww jiheshimu mwenyewe

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 4 หลายเดือนก่อน

    Miaka ni namba tu hatujawekrwa mipaka ila ni sisi wanaadamu ndio tunayaweka ila hakuna roho kongwe so wacha mtu afurahie maisha yake

  • @sitintsoholi6287
    @sitintsoholi6287 22 วันที่ผ่านมา

    Wamezeeka wapi jamani miaka thalathini na arbayini ni wazee? 🙄

  • @zainabmsafiri752
    @zainabmsafiri752 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbukeni kuna kurud kwa allah fanyeni toba kabla ya umaut

  • @user-so9un4fz6j
    @user-so9un4fz6j 7 หลายเดือนก่อน

    Shughulika na ya kwako,maisha ya watu Achana nayo

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 2 หลายเดือนก่อน

    Kamuoneni jenifa lopeza ndo mjue uzee ni nn na bado hajazeeka

  • @funyawasaniiwote7598
    @funyawasaniiwote7598 ปีที่แล้ว +9

    Tunaitaji warembo kama hawa huku Nchini 🇰🇪 kenya

    • @happytz
      @happytz ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 ปีที่แล้ว

      Dooo hahaaha

    • @funyawasaniiwote7598
      @funyawasaniiwote7598 ปีที่แล้ว

      @@rukiaiddyyahaya9506 kwanza mm nawapenda sana sijuwi kama naweza pata mmjo

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 ปีที่แล้ว

      @@funyawasaniiwote7598 sasa unawapendea nini unaweza kuoa katibya hao upeleke kwenu kesho yuko uchi mtandaoni

    • @funyawasaniiwote7598
      @funyawasaniiwote7598 ปีที่แล้ว

      @@rukiaiddyyahaya9506 ikiwa hiyo ndio njia ya kutafuta hela mbona nisioe

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 ปีที่แล้ว +2

    Kwani Gigy ni mzee

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 4 วันที่ผ่านมา

    We mtangazaji mbona unavaa nguo zauchi mbona atusemi

  • @feli6manangu182
    @feli6manangu182 ปีที่แล้ว +4

    Mungu atawahukumu tu ☹️☹️☹️

  • @RadjabuFirdaus-fr2lm
    @RadjabuFirdaus-fr2lm 3 หลายเดือนก่อน

    Wow

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 23 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi njo mnazeheka

  • @theopistakajuna2619
    @theopistakajuna2619 ปีที่แล้ว +3

    Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo

  • @jenniffermumo6327
    @jenniffermumo6327 ปีที่แล้ว +1

    Unfortunately you miss use the word "kujiheshimu" kindly give us lecture about it

  • @benthasanali8163
    @benthasanali8163 ปีที่แล้ว +1

    Eenh ni lana tu iliwashukia hamna jipya..ushoga ushoga tu wanaiga wazungu eti

  • @Wendy-kz6cy
    @Wendy-kz6cy ปีที่แล้ว +1

    Umekosa jipya.What the hell

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq ปีที่แล้ว +1

    Ahaaa una wivu we una ndomaana

  • @mawazomwamba2667
    @mawazomwamba2667 ปีที่แล้ว +4

    Mmemsahahu lina sanga

  • @idrisahussein6654
    @idrisahussein6654 9 หลายเดือนก่อน

    Wabongo hawezeeki

  • @winnerhapila155
    @winnerhapila155 ปีที่แล้ว +2

    Uwoya ni laana ya ndiku sembe ina mbeba

  • @HusnaMuhammed-yx8nl
    @HusnaMuhammed-yx8nl 2 หลายเดือนก่อน

    Tena likajala lizee halijiheshimu

  • @ablashaffy2860
    @ablashaffy2860 ปีที่แล้ว +1

    Social medias kazi yao ndio hii

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  ปีที่แล้ว

      Habari, huu ni ukurasa wa burudani

  • @GeluadaMbepera-ys5wt
    @GeluadaMbepera-ys5wt 2 หลายเดือนก่อน

    Gigy bado mdogo sana

  • @lainamuhammad610
    @lainamuhammad610 ปีที่แล้ว

    Ujawai kua na makaka mashoga wee kwani unashangaa nini

  • @habibtyhabibty840
    @habibtyhabibty840 ปีที่แล้ว +2

    Kazi yake anajiuza

  • @gbhxghxhhv7890
    @gbhxghxhhv7890 ปีที่แล้ว +2

    Gigi sio mkubwa

  • @pilidaud7862
    @pilidaud7862 ปีที่แล้ว +2

    Naaam

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 ปีที่แล้ว +1

    Huna lolote wivu tu na hivi mnazeeka haraka mtabaki kupiga domo tu! Sijui umetumwa!!

  • @user-qg7qo3hh6r
    @user-qg7qo3hh6r 5 หลายเดือนก่อน

    We achaga kihelehele bwana kwahiyo w ndo unataka uvae uchi peke ako achaga kufatilia ya watu we hauna haki fatiria mavazi ako ndo ujaji ya wengine mmmh kama umekubuu kufatiria mavaz ya wenzia fatiria na kina kajool na kareena kapoor😮😮😮ukawashauri sasa mtumzima ni wwe

  • @baby_face_
    @baby_face_ ปีที่แล้ว +1

    vyote vita pita kila kitu kina mwisho

  • @ArafaAlly-nj8gs
    @ArafaAlly-nj8gs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Achaumbea

  • @prettygirl9733
    @prettygirl9733 ปีที่แล้ว

    Utaila wake nyooo ngoja hakusikie mbona utamkoma

  • @moomeja7753
    @moomeja7753 ปีที่แล้ว +1

    je ww unae wasema wenzio unajihexhm? kama ww umeweza kuona hawahihexhm bax naww hujihexhm

  • @yusufkamul5989
    @yusufkamul5989 ปีที่แล้ว

    Mchane makavu ajiheshim anatutamanisha hats ss wanae

  • @juliameesone1949
    @juliameesone1949 ปีที่แล้ว

    Irene Uwoya anafanya kaz ngan

  • @esthycashofficial1293
    @esthycashofficial1293 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @olivierndikumana8530
    @olivierndikumana8530 ปีที่แล้ว +1

    Ni malaya

  • @Atotibabe
    @Atotibabe ปีที่แล้ว

    Kuzeeka wapy

  • @zainabseleman306
    @zainabseleman306 ปีที่แล้ว +1

    Unatangaza au unayapika majungu??

  • @salomeelias2609
    @salomeelias2609 ปีที่แล้ว

    Na wewe je unajiheshimu au ndo kazi kusema ya watu

  • @saadajohnson3361
    @saadajohnson3361 9 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni old fashion thinking....this is the 22 century , this is why I left TZ. I can't live by this mentality

    • @benpartydancer4343
      @benpartydancer4343 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu yupo popote😂😂 na tutakufa popote tulipo na Mungu atatuhukumu bila kujali unashetania Marekani au Kongo😀

  • @salumsaid9891
    @salumsaid9891 ปีที่แล้ว

    Anadanga

  • @user-rh8os4dz1s
    @user-rh8os4dz1s 9 หลายเดือนก่อน

    na zari

  • @magrethpaul5959
    @magrethpaul5959 ปีที่แล้ว

    Tabitha haina dawa Jamani

  • @magrethpaul5959
    @magrethpaul5959 ปีที่แล้ว

    Mbona Mimi Nina umri wa 53 siko hivyo hao wote wadogo tu

  • @user-np1br9ym3w
    @user-np1br9ym3w 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe nimaisha yao siyo yakwako unaumia nini sasa

  • @Odama-dn7xy
    @Odama-dn7xy ปีที่แล้ว +2

    Sa gigy umri umeenda n ww

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 ปีที่แล้ว +1

    Sio mama yao, ni bibi yao 💪

  • @salomeelias2609
    @salomeelias2609 ปีที่แล้ว

    Mwaka ya wema haikuhusu

  • @adelinewakilongo3727
    @adelinewakilongo3727 ปีที่แล้ว

    Sasa shida ni Nini ina ku sumbuwa

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 ปีที่แล้ว +2

    Haya kuhusu wewe dada mbona hivi

  • @psj1564
    @psj1564 ปีที่แล้ว

    Linna sanga na jide komando

  • @Odama-dn7xy
    @Odama-dn7xy ปีที่แล้ว +2

    Sa inawahusu nyie qqmmk

  • @winnerhapila155
    @winnerhapila155 ปีที่แล้ว +1

    Sembe

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 ปีที่แล้ว

    Looking for viewers

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 ปีที่แล้ว

    Love them or leave them

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 ปีที่แล้ว

    wema ana 50 hâta sura ipakwe mak up sura ina komaa ru

  • @esthycashofficial1293
    @esthycashofficial1293 ปีที่แล้ว

    Kwa nafasi ya gygi mnge muongelea linah coz ni mtu mzima hata kumzidi wema sepetu

  • @morenewanjala4633
    @morenewanjala4633 ปีที่แล้ว

    Kajala ni too much

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 ปีที่แล้ว +3

    Mind your own business, haikuhusu

  • @naphisaolouoch5993
    @naphisaolouoch5993 ปีที่แล้ว

    Age begins at 40

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq ปีที่แล้ว

    You just jeleus nothing much

    • @jan6703
      @jan6703 ปีที่แล้ว

      Come again? God why are you people so fond of embarrassing yourselves by using languages you're not familiar with? 🤔😳🙄☹️

  • @theopistakajuna2619
    @theopistakajuna2619 ปีที่แล้ว +1

    Kabakia mifupa hapendezi hata kidogo

  • @solangebagal3496
    @solangebagal3496 ปีที่แล้ว +1

    Wema sepeto mume sema ni shoga n'a bado haji kubali nandoma Hana mt,,,,,,.

    • @mercypatrick1918
      @mercypatrick1918 ปีที่แล้ว +2

      Mamb ya mtt yametoka wp dada n mng anapanga kama we unao shukur uwez msem mtu kisa hazai

    • @solangebagal3496
      @solangebagal3496 ปีที่แล้ว

      @@mercypatrick1918 samhani 🙏🙏