Tatizo sio mboso wala huyo kijana tatizo ni baba yake mboso na wewe mtangazaji. Kwani baba yake mboso haoni huyo mtoto anavyoangaika kumtafuta mboso.? Na wewe mtangazaji kwa nini humtafuti baba yao na kumuoji ujue sababu
Kaza buti kivyako dogo ,nyota yako iko pale pale na nyota yake iko vile vile , maishani usimtegemee ndugu hata Kama Ni tajiri , kukusaidia Ni hadi awe na moyo wa kusaidia .
Ndio maana Mondi ataendelea kuwa bosi wao. Anatembea na familia yake yote kila hatua anayopiga. Mbosso am your fan from 254 but hapa unanilet down. Family should come first.
Inasemekana kuwa ukiingia freemason haufai kumsaidia familia yako Sasa hivi naona kwa mbosso ila c makosa yake adi familia yake ijiunge na freemason pis
Mbosso mbosso I have called you how many times I like songs I'm sorry that what you're doing is not quite cool, and you've got a little bit of God who has blessed you and help your family please. 🙏
Atakama ana roho mbaya sio kiasi hicho kwani huyo mbosso hamjui ndugu yake au ndo kiki huyo mdogo anaitafuta maana vijana wa mji hao ye ashaona ana fanana na mbosso basi ndo anataka kuwa kimelea Kama vipi apambane tu na maisha mtegemea Cha ndugu hufa masikini sasa we acha aendelee kutegemea atabaki Ivo tu
Mbosso sisi n'a mashabiki zako kwa Nini usitafute mda uongeye n'a mdogo wako usikiye kama nitapeli wala ni mdogo wako halali wanasema kama damuninzito kuliko maji minajuwa kama ule nimdogowako utamjuwathu kwa sababu mukowandugu mpenafasi kama alikufanyiziya makosa umusame
Muulzen huyo jamaa Kwan alishamfanya Nini mbosso? Mbona kama hatak kumpokea mda woote huo au walishamfanyia mbosso kitu gan maana sio kawaida tu mtu asimsaidie mtu kwa jitihada zoote hizo
Undugu waku share baba huwa unashida kiasi flani kutokana na kinamama waliowazaa watoto,,Yawezekana kuna kitu hata alifanyiwa na mamaake hy kijana hawezi mkataa hvhv..Msimlaumu
nashangaa mtoto wakiume kama wewe unamsujudia mtukama huyo wanini sasa au kwavle anaviji sendi hata akiwa nduguyako sio janja fanya yako hv angekua hajiwezi mkulima hana lolote ungehangaika hv kumtafuta hadi usiku wamanane nawala tusingekujua unaambiwa mfatilie anae kufatilia asiekufatilia achana nae fanya yako kama ipo ipotu janja usionyeshe uzaifu wako hata akiwa nduguyako
Hèehee mtu ukatae kuinua ndugu zako mboso kumbe u are good for nothing tu hivi waàaaà na kumbuka kuwa Malipo ni hapa duniani broo.style up Saudia ndugu zako na wacha umama wako
Mboso alikuwa na hali mbaya kuliko huyu ka fight katoboa so na Huyu a fight KIVYAKE atoboe. Kama anaweza kufuga dreads a nashindwa ku fight LIFE KIVYAKE? Anamtafuta Mboso kwani anaimba? Kusema amtafutie connection ya music?
alicho kupangia mungu kutoka tumboni mwa mama yako shukulu mungu ndochako janja ckulikon kuwasujudia wajinga kama hao hao wameshakua masheitwani hao usionyeshe Uzaifu wako janja jitambue
Anaitwa Omary ni mdogo wake na Mbosso una nini cha kumwambia
Akafagnee test ya DNA
Tatizo sio mboso wala huyo kijana tatizo ni baba yake mboso na wewe mtangazaji.
Kwani baba yake mboso haoni huyo mtoto anavyoangaika kumtafuta mboso.? Na wewe mtangazaji kwa nini humtafuti baba yao na kumuoji ujue sababu
@@yvonnealusa5300 duh ongea kiswahili tu unachoma msee
@@saeedboost2613 Kwan nimeongeza kispanish
Mwambie anywe sumu ya Mende.
Kaza buti kivyako dogo ,nyota yako iko pale pale na nyota yake iko vile vile , maishani usimtegemee ndugu hata Kama Ni tajiri , kukusaidia Ni hadi awe na moyo wa kusaidia .
Ndo hyo maana hta mbosso mwenyewe ameng'ang'ania maisha yake,,, sana kufikia alipo Sasa hivi
Mbosso Kenya tunakuamini sana meet na bro wako me kwanza nimemlike sana yeah🌹🌹💖💖
Ndio maana Mondi ataendelea kuwa bosi wao. Anatembea na familia yake yote kila hatua anayopiga. Mbosso am your fan from 254 but hapa unanilet down. Family should come first.
Msaidy
Kwan huyo mbosso hawajui nduguzake, au life inamchanganya
Weee mbosso wacha kumkana nduguye
Bro keep going on you will make it...ushafika usipoteze tamaa
Wangapi tuliwaona wakiimba leo wako wapi..fakari ya babu😏😏😏kuna leo na kesho..woching from mombasa kenya 🇰🇪
Si kama Kuna uwezekano,,, Mbosso afanyiwe interview mwenyewe tusikie atasema vipi,,, 😎😎
Yes.
Mbosso Mwanzo unasaidia family mwanzo ndiyo mungu Ana akubariki.
Nope family zina Mengi. Watamalizana
Nampataje huyo jamaa nataka nitoe nae ngoma
Bongo touch vizuri sana dah
Mbosso hivo si vizuri
Mboso huyo mdogo wake mbona wamefanana sana
Inasemekana kuwa ukiingia freemason haufai kumsaidia familia yako Sasa hivi naona kwa mbosso ila c makosa yake adi familia yake ijiunge na freemason pis
Kwani ww n Freemason ??
@@hasterluego2198 😂😂😂
Alikuwaga wapi mwanzo ....mboso alivokuwa yamoto mbona hajaonekana 😅😅
Swali hilo najiuliza mmi hku😂😂😂
Najiuliza ye mboso amekuwa binadam gan wakusahau had mdogowake wadam kabsa ,,mbona inachekesh hii 🤣🤣🤣🤣
@@justingeorge6959 😆😆😆😆😆😆😆😆😆hakojoe alale huyoo
mungu awachi waja wake ninaimani mungu atafungua njiaa inshaaallah yarab👃👃
Dogo achana na mambo yakutegemea watu pambana kivyako na umtegemee mungu miaka hiii tuliyonana hakuna ndg hawajali ushauli wako tafuta pesa
Kbs bora kujiweka kivyako ndugu mtihani sanaa
Izo rasta sh ngapi si Bola ungemuna karangaa uuzee shauliako
Jipe moyo utashinda kaka maisha nisafari ndefu
Sihukumu mtu bila kujua why mbosso hajamjali. Ipo sababu ukizingatia ni kaka wa kambo tena anafuga dreads. AFANYE KAZI ATATOBOA NA MUNGU ATAMUONGOZA
Asipotez muda, apambane kivyake, amesha kuwa mtu wa masharti hawezi kukusogelea eti utapata chochote.
Ndugu gani huyu mwenye hana ata contact ya ndugu yake uyuu 😂😂😂😂 wabongo banaa
Mtu akiingia freemason malanyingi, banakataza usisaidie family yakwako, roho yake amesha itowa juu ya conditions zao😂😂💀
Aki kumpe ni ukweli
Kwan haji nyumban auinakuaje pole pambana kaka illa na hayo manywele nyoa2 vizur acha ushoga wanaume wote wanao suka hawana akili
Dogo kuja kumtafuta mboso ndo ukuje umesukwa
Ndio yeye kaja sahiviyeye Haina haja yakuuliza
Ni heri afate mambo mwengine kakangu mana yaonekana mbosso mwenyewe hataki kuku ona
Mwambieni mbosso kuwa damu ni nzito kuliko mvinyo
Mboss aache kumteng ndug damu nzito kuliko maji
Mbosso..akona tharau sana kakake anagonga gari Eti akuona😒😒pesa zita isha ipo siku..
Marasta kichwani ya nn
Mungu amusaidie apate kukutana na ndugu yake
Mmmh ila wanafanana sana jamn kama mapacha mbosso mshike mkono mdogo ako jamn ana hurumisha sana
Sijui imekaaje mtu kumkataa mdogo wake
Asa nyie wanaume kwann mnasuka mnataka kuolewa au
Mbosso mbosso I have called you how many times I like songs I'm sorry that what you're doing is not quite cool, and you've got a little bit of God who has blessed you and help your family please. 🙏
Plz nataka namba yake
Omari keep fighting u gonna win jajah yuko tu n ww and ur strong keep up the same spirit
Mbosso hufanan na hayo mambo jmn
Copywrite ad sauti kwani wasanii wanafikisha ujumbe kwa hadhira na kwanini ni shida kuonana nao ebu lifikirieni hilo uongozi wa sanaa
Atakama ana roho mbaya sio kiasi hicho kwani huyo mbosso hamjui ndugu yake au ndo kiki huyo mdogo anaitafuta maana vijana wa mji hao ye ashaona ana fanana na mbosso basi ndo anataka kuwa kimelea Kama vipi apambane tu na maisha mtegemea Cha ndugu hufa masikini sasa we acha aendelee kutegemea atabaki Ivo tu
Pole,sana
🙏😳
5:56 5:58 ,dogo
Mbosso sisi n'a mashabiki zako kwa Nini usitafute mda uongeye n'a mdogo wako usikiye kama nitapeli wala ni mdogo wako halali wanasema kama damuninzito kuliko maji minajuwa kama ule nimdogowako utamjuwathu kwa sababu mukowandugu mpenafasi kama alikufanyiziya makosa umusame
Mungu atakutimizia malengo yako hata ucjal
Mbosso afanye juhudi coz SS huku Kenya tunamuaminia sana
Yani me nimeguswa San nailo jamb limenium San nakunitoa machoz but mungu nimkubwa atamfungulia njia
Mbosso mbona Hana huruma kajiona boss ndomana lakini usikate tama mungu anatenda mema nae mbosso ndani pamwoto acana nae
Don't go back home struggle in town until u get work
Mimi namuoneya huruma uyo dogo😭
unachokomalia nn kwan ndo babako alokuzaa au kwamba kakukataa au
Mh mxada wako ni mungu xo mboso mana nae kapewa na mungu pambana ndugu
Ingekua mboso hana kitu ungempapatikia kama ni ndugu atakutafuta achana nae
wewe kenye unafanya nikutengeneza hela na huyo kijana mdogo kwa social media badala kumsaidia afikie ndugu yake.
Kama nimandugu kwanini asimtafute baba yake kwanza sikweli natoka som🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Sikieni ndugu Hawa ndugu zetu wenye umarufu huwa wanajisahau pambana kijana achana na huyo ndugu yko liziki hutowa mungu
Sasa huu nao pia Ni ufala sana mbona umfatefate mtu kienyeji ivo Ni kama alikuibia hauna mawasiliano nae au Nini ?
Muulzen huyo jamaa Kwan alishamfanya Nini mbosso? Mbona kama hatak kumpokea mda woote huo au walishamfanyia mbosso kitu gan maana sio kawaida tu mtu asimsaidie mtu kwa jitihada zoote hizo
Undugu waku share baba huwa unashida kiasi flani kutokana na kinamama waliowazaa watoto,,Yawezekana kuna kitu hata alifanyiwa na mamaake hy kijana hawezi mkataa hvhv..Msimlaumu
mbosso ako sawa kila mtu hawe ni ndugu mwaje angangane namaisha yake. Huyo nindugu wanashea baba.lakini mama tofauti
Jaman Acha Pessa iitwe pessa Kama ndg yako unamkataa kisa umaarufu Duuuuuuuh!!!!!!!
mbosooo,mpaka kukutana na kakako Omari nadra kabsa,dah kaka ukaingia wasafi,ukawa msafi tu kupindukia???
Mboso amesahau adi ndugu yake..aki pesa ww
Alivyovaa hyo nguo ya blue nikajua Ray kigos kumbe mdgo wake mboso,,
Inamana wakitoka kwao awafanyi mawsliano na ndugu zao ,ni shida kwelkweli
Mtegemea cha nduguye hufa maskini
Inshaallah, awek iman kuw ipo cku atakutna n kak yake.
nashangaa mtoto wakiume kama wewe unamsujudia mtukama huyo wanini sasa au kwavle anaviji sendi hata akiwa nduguyako sio janja fanya yako hv angekua hajiwezi mkulima hana lolote ungehangaika hv kumtafuta hadi usiku wamanane nawala tusingekujua unaambiwa mfatilie anae kufatilia asiekufatilia achana nae fanya yako kama ipo ipotu janja usionyeshe uzaifu wako hata akiwa nduguyako
Mbosso afunguke kama ni mdogo ake au la
Tumemlaumu sana mbosso lakini huyu omari afungue bendi yake sauti yake nzuri
Hèehee mtu ukatae kuinua ndugu zako mboso kumbe u are good for nothing tu hivi waàaaà na kumbuka kuwa Malipo ni hapa duniani broo.style up Saudia ndugu zako na wacha umama wako
Plis Mbosso, meet your brother and talk to him
Inauma sana
Ila kwel ni ndugu mana wamefanana
Baya
Don't worry bro, God is on control
Dah hata kumsalimia nduguyo ni ngmu dah
Kaka acha kubemberez ndug shida zako pamban kivyako kaka achananae shida zako ipo kivyako
Kama mim nising mtafut
agagane.mungu.ata muyalia
MACHO,mdomo,nk Yeah COPY ✅
Mbosso mwamba
Aibu sana kwa mbosso,ndugu yake mpaka aende media ndio waonane,shame on him
No shame. There is a problem. Just wait for mboso interview. We have no proof. Alikuwa wapi wakati mboso analala gheto kabla ya Kutoka ki music?
Amukubalie tu
Aende kwa baba yake yupo temeke
Usikate Tama utamupata tu
We achana nahuyo mwenzako kaolewa huyo utamvujia NDOA piga kazi utapata unalazimisha ukoo we v0
kwani huyo mbosso anasemaje
Jamani mbos msaidy
Familia muhimu sana.
Mbosso kwann anakua ivo mbona hafananii
Pambana brother ndugu cyo wa2 ndy maana unaambiwa mtumia chandugu ufa masikini unajua wakings umeona saaaaaaaa????
Mbosso atalipa mdogoye hapahapa duniani Mungu ana ona
Mboso alikuwa na hali mbaya kuliko huyu ka fight katoboa so na Huyu a fight KIVYAKE atoboe. Kama anaweza kufuga dreads a nashindwa ku fight LIFE KIVYAKE? Anamtafuta Mboso kwani anaimba? Kusema amtafutie connection ya music?
Anaferi mboss
Fresh mdogo.
Omarinaongee na MAmake ambaye ni mama ya OMAri na mboso
kazana kijana utazanikiwa
Picha na chet vya nini wakat kafanan nae
Mboso jaribu Kuwa naimani
Lakini kwanini msimpigie simu mukaongea nae
alicho kupangia mungu kutoka tumboni mwa mama yako shukulu mungu ndochako janja ckulikon kuwasujudia wajinga kama hao hao wameshakua masheitwani hao usionyeshe Uzaifu wako janja jitambue
Nyie watu wa Media vitu vingine muwe na akili.Msidharirishe watu mbona ndugu wanaokataana mbona ni wengi halafu hamfuatilii.?Mna bif na mbosso
Gai naza nacongo asungaye kaka
Tuseme hapajui dar
God's times is the best time don't give amari
Dua
Nenda studio za wasafi utapata au kwa mkubwa fella kilunguye