MAAJABU YA SHEKH MWAIPOPO ASIMULIA YALIO MKUTA SOMALIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ม.ค. 2021
  • Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya TH-cam ya SHEIKH MWAIPOPO TV
    ..
    Like pamoja na kushare
    kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.

ความคิดเห็น • 166

  • @flavianmarandu5710
    @flavianmarandu5710 3 ปีที่แล้ว +20

    Hawaa waadhirii wetu hatuonii umuhimu wao adi waondoke dunian,Shekh mwaipopo Allah akulipe pepo yake.

    • @rehemameja8815
      @rehemameja8815 3 ปีที่แล้ว

      Amiina

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      🙏Nakuomba bonyeza hapa kwanza ..👇
      th-cam.com/video/yOQyBINWjRs/w-d-xo.html

    • @MuhidiniLebba
      @MuhidiniLebba 4 หลายเดือนก่อน

      Allahuma amini

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 3 ปีที่แล้ว +4

    Mash Allah sheigh nimekuelewa sana...Allah akujaalie umri mrefu Insha allah

  • @guhgghhg8592
    @guhgghhg8592 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah awalipe kheri na awakinge na kila Shari inshaallah

  • @rashidijuma3530
    @rashidijuma3530 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Allah akuhifadhi

  • @twalaataib9297
    @twalaataib9297 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Jazakallahu khery Allah Akuzidishi Sheikh

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah Allah akulipe duniani na akheira sheikh mwaipopo

  • @alijunior0486
    @alijunior0486 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah sheikh jazakumallah kheri

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaa allah jazakum kheri akhy

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah Allah barik sheikh mwaipopo hadithi mzuri sana

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazaka Allah khaira shekh mwaipopo

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazaka Allahu Akbar

  • @balyyusuf7394
    @balyyusuf7394 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @JeromeAbu
    @JeromeAbu ปีที่แล้ว

    Kaji zuri cheikh wangu

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah aendelee kukuongoza katka mambo ya kheri

    • @festokiraryo.6107
      @festokiraryo.6107 3 ปีที่แล้ว

      Huyu ni mnafiki nina meseji zake za matusi anawtukana watu kwenye whatsup

  • @abduherimusasa3056
    @abduherimusasa3056 3 ปีที่แล้ว +1

    Ama kwa hakika shekh mwenyezi akupe maisha marefu ya juhudi katika dini

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 3 ปีที่แล้ว +3

    لا إلٰه إلا الله محمد رسول الله

  • @swalehsaidabdalla3037
    @swalehsaidabdalla3037 3 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah 🌹

  • @mwanaishamohamed9632
    @mwanaishamohamed9632 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah Atufanyie kher

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 ปีที่แล้ว +2

    SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA ♥️♥️♥️Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH. ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @zuwenaalr1081
    @zuwenaalr1081 3 ปีที่แล้ว

    masha Allah barak Allah

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 ปีที่แล้ว

    Mashalla sheh tunakupata viziri sana

  • @aminayunis7545
    @aminayunis7545 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah sheikh mwaipopo nikweli yako

  • @masoudabasi8732
    @masoudabasi8732 3 ปีที่แล้ว +1

    Sheikhe mungu atakulipa inshaallah

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 3 ปีที่แล้ว

    Manshallah

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi xafi umenenena vyema be blessed

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 ปีที่แล้ว

    Tabarakallah

  • @selemanikisewa5861
    @selemanikisewa5861 3 ปีที่แล้ว

    Allah akulipe kher

  • @allyjuma6132
    @allyjuma6132 2 ปีที่แล้ว

    Allaah akulipe ujira mwema shehk mwaipopo

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 ปีที่แล้ว +2

    Nasaha mashehe zetu na waislamu kwa jumla, tafadhalini musiweke smartphones kwa kifua, zina madhara sana.

  • @sakiambaruku3440
    @sakiambaruku3440 3 ปีที่แล้ว

    Lailahailalaha Muhammad rasulilaha

  • @rahimwaziri1087
    @rahimwaziri1087 3 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallah, Nawazoom tu comments zenu wakristo mnavomchukia Sheikhe wetu amesoma Biblia pia Qur'an tukufu na amejua ukweli ulipo sijui ninyi mnaembeza hyo mwamba ambaye amesoma hadi marekani biblia zenu mnamzidi kipi?

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atakilipa shekh mwaisa

  • @user-kr1rh2ij7i
    @user-kr1rh2ij7i 10 หลายเดือนก่อน

    Mola akuhifadhi

  • @dicksnlema2685
    @dicksnlema2685 3 ปีที่แล้ว

    Pole snaaaa

  • @adibbachtiar2980
    @adibbachtiar2980 2 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @neemahamza1116
    @neemahamza1116 ปีที่แล้ว

  • @jamardinmkwaya1262
    @jamardinmkwaya1262 3 ปีที่แล้ว

    Shekh mwaipopo yupo sawa

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo9798 3 ปีที่แล้ว

    Pole Sana shehe umepotea

    • @aliabdiabdi4067
      @aliabdiabdi4067 3 ปีที่แล้ว

      Wengi walisema hvo hta usema nni baado tuneandelea kukuelezea Uislamu ndugu yangu karibu Uislamu

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbona umekatisha stori nzuri

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 ปีที่แล้ว

      Amekatiza story kwa kuwa amegundua Kuna watu wanaoju uongo na ukweli na yeye ni muongo

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 ปีที่แล้ว

    Wasema kweli Shekh. Isipokua hapo kutaja kabila la warabu umekosea. Hamna andiko dini ni ya warabu Wala kusema ni jukumu la warabu. Naona hapo utaleta FITNA

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 ปีที่แล้ว

    Su hanallah

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 3 ปีที่แล้ว

    We mnafiki tuna meseji zako za matusi kuwatukana watu kule whatup

  • @angelomalimi8341
    @angelomalimi8341 ปีที่แล้ว

    Manafiki ya njaa hayo

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 ปีที่แล้ว

    mawaidha mazuri

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 3 ปีที่แล้ว

    Yesu yeye ndiyo Kristo.

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 ปีที่แล้ว

      Mana ya kristo nini hujuwi hatamana ya kristo unafata kumbo tu

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 2 ปีที่แล้ว

    Kitabu cha watu ulichoiba uwaambie hao wenye kutekwa na ujinga wako wa uwongo
    Mwiziiiiiiiiiii jmn

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 ปีที่แล้ว +2

    Hauna jipya tupe andiko la kuwa Mtume muhamandi amechanguliwa na Mungu kuwa Mtume ili na mm niwe mwisilamu lakini ujue maana ya kuchanguliwa sio kuwapumbaza hao wasio soma maandiko zaid ya kupenda habari za Mungu na huku hawajuwi kitu zaid ya ubishi wa Yesu et sio Mungu

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 ปีที่แล้ว

      Maskini tafuta bibilia ya ukweli yesu utamsikia Alistair bada yake yy yesu anae kuja ni mtume mohammad ngojea siku ya kiyama ndio utajua

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 ปีที่แล้ว

      Uko Serious au wabwabwaja

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 ปีที่แล้ว

      Yesu sio mungu ww yesu ni nabi tu ulisikia lini yesu awe mungu wakati yesu yuwaingia choni kama ww kama huna ilimu jaribu kua na akili ya kuzaliwa yesu ni nabii tu kama Ibrahim ni kama musa A S

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 ปีที่แล้ว

      ilikujua kuwa Yesu ni Mungu Soma Ufunuo wa Yohana 22.13-16.ili ujue kuwa ni nani mwenye uwezo wa kuwatuma malaika tofauti na Mungu pia ni nani mwenye uwezo wa kuwa alfa na omega km sio Mungu yaani Yesu kristo pekee yake.

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 ปีที่แล้ว

      Asilimia 90 ya makundi ya kigaidi duniani ni wisilamu ndio maana dini yenu haina kichawa wala miguu et Muhammad ni Mtume amakweli Hosea 4.6.linawahusu ndg zng wapendwa ktk Yesu kristo .

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman hivi huyu sheikh yupo sijamuona kipindi

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatamkachukia ukweri ndouwo badilikeni makafiri nyinyi

  • @alfredmbati8508
    @alfredmbati8508 3 ปีที่แล้ว

    anazingua ye ahubir watu wamjue mungu xio kukosoa alivyoweka mungu

    • @AliAli-kh7km
      @AliAli-kh7km 3 ปีที่แล้ว +2

      Unazingua wewe .usife mkiristo wewe ukiristo si dini sahihi

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 3 ปีที่แล้ว

      @@AliAli-kh7km isiyokua imani yako usiihukumu mana huna mamlaka hayo ispokua Mungu pekee. Kumbuka tu kabla ya kuja uislam 570 AD KRISTO alishakua na waumini duniani kote. Nakwataarifa yako neno mkristo linabeba maana ya mtu anayemwamini Kristo yaani huyo aliyepakwa mafuta yaani YESU. kwalugha nyepesi mfuasi wa YESU. BWANA YESU alipokuja duniani kama mwadamu kwanjia ya muujiza wala hakuja kuanzisha dini, aliwakuta wanadamu na dini zao na miungu Yao chungu nzima, yeye aliwafundisha wanadamu wa wakati huo nasisi tuliopo sasa habari za wokovu na uzima wa milele. Anatufundisha hata sasa Yale yampasayo mwanadamu kuishi maisha gani ili aweze kuyashinda makwazo ya shetani ili mwishoni afike kwenye uzima wa milele. Akatuambia na silaha sahihi pekee tunazopaswa kuzitumia katika kupambana na mwovu shetani na kumshinda. Kwahiyo YESU nimasihi aliyekuja kwaajili ya wanadamu wote wa dini zoote nawe wajua ya kuwa alipaa kwenda mbinguni na atarudi Tena Kwa utukufu kuja kuwahukumu wanadamu wooote. Je Si Jambo jema kumheshimu yeye atakayeuhukumu ulimwengu wote? Je ikiwa Mungu ndiye atatoa hukumu na wakati huo huo wote tunakiri ya kwamba YESU au Isa bin Mariam atarudi Tena kuja kuhukumu bado tu hatuwezi kutambua maana ya fumbo hilo? Alikua yeye mwenyewe Mungu katika Sura ya mwanadamu kama ilivyokuwa imempendeza nahao wamwaminio na kumfuata ndiyo amewapa neema ya kufanyika Wana. Wewe usemaye Kristo siyo dini angalia kama tafsiri yako inalingana na ufafanuzi huu. Pale zamani hadithi zinasema mtume Muhamadi aliwaambia maswahaba wake kwamba Hao Manaswala au watu wa kitabu Si makafiri kwakuwa wanamwabudu MUNGU wa kweli, nahao manaswara ndiyo waliomfuata YESU KRISTO. Je wewe ndugu wawezaje leo kugeuza yaliyonenwa na mtume wenu? Jaribu kutafakari upyaa.

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah aliwapeleka darul Islam mkakimbia , Allah ndo ajua hekma yake

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 ปีที่แล้ว

      Umesema kweli kabisaa

    • @saidpoto821
      @saidpoto821 3 ปีที่แล้ว +1

      Natamani nami Allah anipeleke niwe miongoni mwao

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว +1

      @@saidpoto821 wallah bro umeomba jambo zuri sna Allah akujalie kila LA kher njia kma hizo cc twaztaman nchi pekeake dunian ambayo haina msalaba, kisha mwaipopo anaongea ujinga??

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 ปีที่แล้ว +1

      @@hassanwanje7373 lkn hajaponda kasema Hali Halisi ndio maana kasema Kiongozi/Amiyr yule alikuwaa muadilifu

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 ปีที่แล้ว

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @anwarabdi4955
    @anwarabdi4955 3 ปีที่แล้ว +2

    Video ya pili tunaonmba tafadhali

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 ปีที่แล้ว

      Usijali video ya pili utapata tu kwani jamaa bado anatunga maneno atakayotumia kuwaeleza ili msielewe urongo na ukweli alionao

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 ปีที่แล้ว +1

      @@bonifaceirungu5594 leta ushahidi ya kwamba anaongea uwongo.kafiri mkubwa weye!

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 ปีที่แล้ว

      @@jamilaomari2444 kafiri ni wewe usiyetafakari maneno ya uongo, kwanini haujiulizi mbona hakumaliza story

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 ปีที่แล้ว

      @@bonifaceirungu5594 kati yangu na wewe anayemuita yesu mwana wa mungu au yesu Mungu nani? Kafiri weye,,nenda ukasome toka hapa!

  • @aliibren9524
    @aliibren9524 3 ปีที่แล้ว

    Kweli huyu amebahatika

  • @wm9669
    @wm9669 3 ปีที่แล้ว

    Sio wasomali wote wanabeba bunduki. Sijui ni wapi ulipita.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 ปีที่แล้ว

    mungu akusamehe hujuh ulisemalo

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 ปีที่แล้ว +1

      Husiojitambua ni ww hujielewi wala huna elim ya hiyo dini yako kumzidi huyu mzungumzaji

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว

    Lakn twaelewa tz dini IPO lkn hamna harakat kabisa

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 2 ปีที่แล้ว

    Mwiziiiiiiiiii hahaaaaaaaaaaa

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 ปีที่แล้ว

    Dini ni jukumu la kila aliechukua shahada. Usitaje kua ni jukumu la warabu. Himiza watu wamtambue Mungu kwanza Shekh. Tawheed. Ndio hapo watatoa sadaka kwa urahisi. Imani kwanza. Na iman ipatikane lazma watoke Tableegh. Je Shekh mwaipopo umewahi kutoka siku ARUBAINI ajili ya kusahihisha nafsi yako?? Tafadhali toka 40 days Tabligh

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 3 ปีที่แล้ว

    Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 ปีที่แล้ว

    Kesho kwamungu motoni

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 3 ปีที่แล้ว

    Muogo

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 ปีที่แล้ว

    Yohana. 14:. 6. Nanukuu maneno ya yayesu. Mimi ndimi njia ya uzima na kweli mtu hawezi kwenda kwa bb Ila kwa njia ya Mimi maneno haya ameyasema yesu usikubali kudanganywa mwamini yeu use salama

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 ปีที่แล้ว

    Stori mnazikatisha

  • @alliyoigaly3646
    @alliyoigaly3646 3 ปีที่แล้ว +2

    Part 2 yake twaomba

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU akusamehe bure.Maana hujui maandiko wala uweza Wa Mungu, ila Unayo nafasi ya kumpokea Yesu.

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 ปีที่แล้ว +1

      M/Mungu akuongoze akili za kuambiwa changanya na zakwako navyokuona ww humzidi muongeaji elim ya dini yako ya kumshirikisha M/Mungu. yusu ni nabii na c mtoto wa Mungu

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 ปีที่แล้ว

    WAISLAM AMKENI ACHENI KUPUMBAZWA NA MASHEKH WA SIMBA HAO NA YANGA.! WAAMBIENI WAISLAMU WATAKE QUR AN YAO.! HAO NDIO WAISLAM WAKWELI NA HAO NDIO WAUMINI AL SHABAB.!

  • @bonifaceirungu5594
    @bonifaceirungu5594 3 ปีที่แล้ว

    Mbona husemi ulikuwa wazunguka Somalia ukifanya nini kwa sababu Somalia hakufanwi mihathara ,ulikuwa ukitumia lugha gani huko, Kwani lugha inayotumiwa Somalia ni kisomali,

    • @aishajuma7739
      @aishajuma7739 3 ปีที่แล้ว +1

      Kiarabu hata mzungu kama ni muisilamu anajuwa kwa sababu kuruani imeandikwa kwa kiarabu

    • @khalidkhamis8626
      @khalidkhamis8626 3 ปีที่แล้ว

      kiswahili lugha pana wew...wa wapi wewe

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 ปีที่แล้ว

      Ulishafika somalia ukaambiwa hawasikii kiswahili?

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 ปีที่แล้ว

      Kiswahili pia wanazungumza

    • @abdirashidabass2928
      @abdirashidabass2928 3 ปีที่แล้ว

      Somalia ni kisomali tu hamna kiswahili,
      Na huyu sheeikh aache kupaka matope nchi nzima Somalia,
      Maana sio somalia yote iko vita na mabundiki

  • @daudigabriel73
    @daudigabriel73 3 ปีที่แล้ว

    Wewe ni mjanja kweli anaekusikiliza kama Hana maarifa hawez kukuelewa.

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 3 ปีที่แล้ว

    Kulikoni? Naona uekatisha

    • @abbasshaaban2746
      @abbasshaaban2746 3 ปีที่แล้ว

      Nasheed za Ibrahim Khan mwezi mwema Ramadhani

  • @sarinkestephen5455
    @sarinkestephen5455 5 หลายเดือนก่อน

    Mpumbavu HUYU

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 ปีที่แล้ว

    MWAIPOPO KWANZA SIKWITI SHEKH WEWE NI MSHIRIKINA NA MTUMWA WA MAKAFIRI.! HUNA LOLOTE BWANA. WAKUFURISHE KWANZA HAO VIONGOZI WAKO. NYINYI NDIO MUNOIHARIBU DAWA. NANYINYI NDIO MUNASABABISHA MAKAFIRI WAWE NAMAZINGIRA MAZURI YA KUWATAWALA WAISLAM..!

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว

    Wee Shekh ungeangaliwa kuac utasemaje wamechanganyikiwa? Unakaakili kwel ww,ulikua unataka wabebe vijiko?

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 ปีที่แล้ว

      Hajui kua hata mtume na maswahaba walikua wakibeba silaha sema zme tofautiana zama hizi. zama zetu ni bunduk zao ilikua panga

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 ปีที่แล้ว

    Uongo hii sio Dini ya kweli Dini ya kweli ni Kristo tu

  • @oscarngowi4750
    @oscarngowi4750 3 ปีที่แล้ว

    Umepotea wewe hujitambui

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Shekh n kma analipwa na serikal sai ww uende sehem takayifu namna ile ambayo n nchi pekee dunia ambayo haina msalaba kisha yy anaongea ujinga ujinga tu

    • @aliibren9524
      @aliibren9524 3 ปีที่แล้ว

      Waislamu hawalipi watu kwa kuingia uislamu,dini si biashara kama makanisa,uko na options ya kuingia ama kuikataa sababu hii dini si mtu yeyote,ni ya Mwenyzi mungu,

  • @makariospeter9447
    @makariospeter9447 3 ปีที่แล้ว

    Yaani uache dhahabu uchague jiwe. Rudi kwa Yesu.

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 ปีที่แล้ว

      Afadhal akarudi kwa yesu kwa kitendo alivmchokifnya nmejua nimpuuz huyu Shekh , Allah akupeleke nchi takatifu kisha ww ukimbie unakimbia pepo ambapo sie wenzie tunaitaman nafac kma hizo

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 ปีที่แล้ว

      Macho yako yana ung'eng'ezi ataukiekewa denda na mate huwezi kutofautisha

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 ปีที่แล้ว

      Sasa yesu kaingiya muskitini wewe unaongiya wapi

    • @asaduzamanalmaxmud7671
      @asaduzamanalmaxmud7671 3 ปีที่แล้ว

      Sasa urudi darasani

  • @khalfanifarisy7398
    @khalfanifarisy7398 3 ปีที่แล้ว +1

    Tumia aya za Qur,an kwa kiarabu. Au husomi Dini.

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani hapa ni urabuni

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuna makafir wengine wanawatumia ninyi kupotosha umma hivo hatukushangai alafu kuwa makin

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 ปีที่แล้ว +2

      Km aya kasoma kwa kiswahili we chukua quran usome kiarabu hamna tatizo

    • @mramsayo1025
      @mramsayo1025 3 ปีที่แล้ว +2

      Mpuuzi ww khalfan, unaongea ushuzi tu

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 ปีที่แล้ว +2

      Em kuwa muelewa nikukumbushe tena kuwa makin ,hii din sio ya ukoo wenu ongea vit vyenye kuleta tija kwenye uwisilam ,.kuwa makin

  • @davidjanta2799
    @davidjanta2799 3 ปีที่แล้ว

    Shetani ni baba wa uongo bila shaka wewe ni uzao wa nyoka kichwa chako kimejaa mashetani ya kila sampuli huwezi kumjuwa MUNGU wala mwana wa MUNGU, hujitambuwi kama wewe nimateka wa shetani

  • @PrinceCharlz-pu9ps
    @PrinceCharlz-pu9ps 8 หลายเดือนก่อน

    Hajawah kuw mkristo kabisa huwez kuw mkristo alafu utoke kwa Yesu uende kwa Muhammad dini inayokubali majini ni ndugu zao

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @ashamkoleke6035
    @ashamkoleke6035 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @zulekhasaid8495
    @zulekhasaid8495 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 ปีที่แล้ว

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @adellsefu2485
    @adellsefu2485 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @ibrahwamiraj836
    @ibrahwamiraj836 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @alijuma7391
    @alijuma7391 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah