Rafiki wa aliyekuwa katibu kanisa la Masanja afunguka mazito, ndoa yake ilikuwa na miezi 3 tu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 193

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 2 ปีที่แล้ว +11

    Joas katolewa Kafara, sio Bure...hizi kanisa za mchong🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @idinado4524
    @idinado4524 2 ปีที่แล้ว +21

    Suluisho siyo kujiuwa,mungu atunusulu na sheteni anee wapa watu mawazo ya kujiuwa Amen 🙏🙏🙏

    • @championboy7
      @championboy7 2 ปีที่แล้ว +1

      Aamen

    • @daimavlog
      @daimavlog 2 ปีที่แล้ว +1

      Msongo wa mawazo

    • @gwamakangwala6468
      @gwamakangwala6468 2 ปีที่แล้ว +1

      @@daimavlog Yes Mental health is real.

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 ปีที่แล้ว +23

    Najiuliza Mengi Kama Siyo Mkono Wa Mtu Basi Kijana Alikua Na Tatzo La Akili

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 2 ปีที่แล้ว +15

    Bado hii dunia iko kwenye giza hatujui wanao mtumikiya mungu kweli kweli wote nikama maigizo tu

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 ปีที่แล้ว +25

    Ubaya marehemu haongei ila atapata wa kumsemea huyo mama kaliwa waache kujifanya like nothing happened

  • @nyulaseptember5573
    @nyulaseptember5573 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa yanayoendelea mpk sasa kwa ufahamu wangu. Hii issue mpk sasa inaonekana uyu joans km alilazimishwa kuandika msg kwa maneno ayo. Na kumuua. Hii itakua kuna siri zao binafsi nyuma pazia... Napata jibu ili... Kutokana yanayosemeka mpk sasa... MUNGU yupo anatosha....

  • @elizabethmhina1506
    @elizabethmhina1506 2 ปีที่แล้ว

    Kweli hakuwa mtu wa kukata tamaa kiasi hiko yan mi had sasa siamin yan kama wew kka

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 ปีที่แล้ว +17

    Dr. Mwaka 😂😂😂 sio mtu mzuri

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 2 ปีที่แล้ว +6

    walaka aliyouandika na ufafanuzi wa police akili yangu inasema hajajinyonga kuna behind ya kifo chake

    • @neemakilingo8282
      @neemakilingo8282 2 ปีที่แล้ว

      Na me nawaza hivo sio hii ishu kn kitu nyma ya pazia

  • @salomeivorant3266
    @salomeivorant3266 2 ปีที่แล้ว

    Mungu anajua zaidi kuliko sisi wanadamu maana kipo kitu kimejificha.
    Mungu asaidie ndoa zetu Ameen

  • @adamyasin4089
    @adamyasin4089 2 ปีที่แล้ว +9

    Kama angekuwa anatembea nae kabisa kweli asingejiua sababu kama wanakutana na wanalalana asingejinyonga ila naona amefanya hivyo kukwepa aibu na ikiwa ameoa tayar naona ni hivyo kama kuna kingine tofaut na hiki basi ni shiriki

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 2 ปีที่แล้ว

      Jamaa amejinyonga baada ya kupost iyo video akimtomba mke wa mchungaji zecomedy ndio sababu ya kujiua

    • @adamyasin4089
      @adamyasin4089 2 ปีที่แล้ว

      @@swalehemusa4546 hiyo video iko wap

    • @hatari9591
      @hatari9591 2 ปีที่แล้ว

      Ninahisi alimtafuna kwa muda mrefu, yaani alilala naye baadaye wakakorofishana katika ile hali ya kukorofishana mke wa Masanja akamkataa, sasa taarifa zikamfikia Masanja na masanja naye akashindwa kujizuia akamtumia ujumbe wa mafumbo kulingana na situations zilivyo kijana akaamua kujiua.

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 2 ปีที่แล้ว

      @@swalehemusa4546 ukimshikia miguu? Umbea tu

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 2 ปีที่แล้ว +1

      Adam Yasin, ukitongoza mtu kina aibu gani? Au shida gani? Hadi ujiue

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 2 ปีที่แล้ว +15

    Ni ngumu kumeza kwa kweli, ss uliowa mke wa nn, Leo unamuacha mkeo kwenye wakati mgumu bure.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว

      Yani dada kaadhirika sana

  • @happyhousekeeper
    @happyhousekeeper 2 ปีที่แล้ว +15

    Joas why mbona ulioa jaman duh😢 mkeo mbona mzuri Tu🤔, Siri nzito Hii😭 Mungu atusaidie kupenda Hadi kukatisha maisha NI ngumu kuamini

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว

      Eti Jamani,ni mpumbavu

    • @dignakanje4508
      @dignakanje4508 2 ปีที่แล้ว

      Eeeeee Mungu utuonyeshe yaliyoko mbeleni mwetu.Kweli kma mke wamasanja anajua kinachoendelea lakini anazugia ukovu wao Mungu alipe kwawazi.,

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 2 ปีที่แล้ว

    Jaman tumuachie MUNGU yeye ndiye ajuaye

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 2 ปีที่แล้ว +3

    Joas was almost my brother, na kinachoniumiza ni kuifanya hii story kushika trending every day what i can say joas hajawahi kuwa na nidhamu mbovu kiasi hicho ila siwezi kusema sana maana he stills human being

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 ปีที่แล้ว +4

    Mbona mkewe ni mzuri tuu daaah tamaa hizi

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 2 ปีที่แล้ว +1

    Haiwezekani.Huyo aliyethibitisha mwandiko anaprove gani

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 ปีที่แล้ว +17

    Katolewa kafara makanisa ya mchongo ndio shida zao

    • @topranking013
      @topranking013 2 ปีที่แล้ว +2

      Wewe pia umeng'amua kitu kikubwa ila watu hawajui tu

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 2 ปีที่แล้ว +11

    jmn mke wake sijui anajisikiaje kumbe alikuwa anaishi na mtu ambaye hakuwa anampenda

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว +1

      Inauma hadi basi yani AOLEWE FASTA Maana unasikia hata mtoto hakutaka ili wajipange huyu Kijana hakuwa na malengo alioa kivuli tu😢😢

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 2 ปีที่แล้ว +14

    Au ni afya ya akil Jaman

    • @TALLUBOY
      @TALLUBOY 2 ปีที่แล้ว +2

      hapo tatizo la kiafya
      ya akili ndiyo imemfanya
      afanye ayo yote

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 2 ปีที่แล้ว +1

    huyu mke wa masanja na rafiki yake walipomfuata marehemu ndio chanzo cha kifo pengine walienda kumùua ndo wakajifanya kajinyonga haka ka mwanamke ka masanja mungu atamuonesha kama kweli amemuua asee damu ya mtu haiendi bure ,na uzinzi wake utajidhihilisha

  • @elizabethchrissanth100
    @elizabethchrissanth100 2 ปีที่แล้ว +9

    Jamani tuwatafute majirani pia watoe ushahidi!!!

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mm bado naona km sielewi vile,sasa je uyo mkewe marehem yupo na hali gani

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 2 ปีที่แล้ว +18

    Mmmhhhh,I think this guy was killed 🤔kuna kitu haieleweki hapa.ukifanya analysi vizuri

  • @adammpambije9989
    @adammpambije9989 2 ปีที่แล้ว +5

    Wamemtoa kafara huyo. 😃

    • @fredma21x
      @fredma21x 2 ปีที่แล้ว

      Simple and Clear...Na jamaa alikuwa nje ya nchi.

  • @neemakilingo8282
    @neemakilingo8282 2 ปีที่แล้ว +1

    Hili jambo nyuma ya pazia Kuna kitu bn

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 ปีที่แล้ว +1

    Pokisi wachunguze.

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 2 ปีที่แล้ว +9

    Tamaa ndio shida

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 2 ปีที่แล้ว

      Hilo ndilo kubwa hapo angetembea naye asinge jinyonga

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 2 ปีที่แล้ว

    Makanisa ya michongo hayo

  • @tiffanyakramJr814
    @tiffanyakramJr814 2 ปีที่แล้ว +6

    Apo kwenye suala la hakuwa na mtoto, apo kwanza nivute pumzi ndefu, sa mbona kababy gal ketu kina kichwa cha panki ka katibu vileee🧐😷

  • @saidimafu9524
    @saidimafu9524 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza kuwa mwanamke ataukimpa nini mwisho wake usimsahau kuumtembezea dudu kisawa sawa , ulidhishe umkojoreshe alidhike , manake masanja nauchapakazi wote ule ka kun,gutiwa asee

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 2 ปีที่แล้ว +1

    Mm naamini kabisa huyu marehemu alikuwa naajenda yake binafsi wala sio Monica ila alikuwa ametumwa kumuaribia tu mwenzake nakuchafua kazi ya MUNGU

    • @minjesha
      @minjesha 2 ปีที่แล้ว

      Usituaminishe ujinga hata ukitetea haisaidii, monica kagawa uroda yakamkuta mambo ya aibu na kijana kajiua..full stop..hayo mengine hatuhitaji kutoka kwako...ukweli usemwe hata kama hutaki kuamini..😏

    • @priscaphedrick5970
      @priscaphedrick5970 2 ปีที่แล้ว

      @@minjesha mm nimezungumza na wewe au nimekuita ilinikuaminishe kitu kilamtu anamtazamo wake mm wakwangu nihuo wala dibadilishi nawala sina shida na malumbano mm si marehemu wala si monika wala si masanja upo

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 ปีที่แล้ว +10

    😂😂😂😂nacheka utafikiriii ni mazuri watu wana roho ngumuuu duuh watu ni noma eti marehemu alianza kujinyonga na tai ikakatika tai akaona usinitanie israel nishaiona nakaribia kufika akachukuaaa Na shukaaa kabisa ajimalizeee duuuh moyo kama huuu ata nifanyaje siweziiiii hayo maumivu yake nijitese

    • @nebasonsanga8937
      @nebasonsanga8937 2 ปีที่แล้ว

      Mambo mabaya yanamkuza mtu ktk Dunia. Hapo hakuna ukweli yaliyokweli yatajulikana hapo baadae. Hawa wote nimmoja was kupoteza ukwelii

    • @samwa9496
      @samwa9496 2 ปีที่แล้ว

      alikuwepo eneo la tukio hao ndio wakaulizwe vizuri unaeleza ulikuwepo

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 2 ปีที่แล้ว

      Hakika ni kitu kigumu sana uonje maiti alafu bado dakika hizo hizo utafte kitu kingne cha kukufanya ufikie malengo ,sio jambo lahisi ,watu wengi walijatibu kujiua wakanusulika ,walibaki kuwa ushuda

    • @samwa9496
      @samwa9496 2 ปีที่แล้ว

      @@ywydhhd7941 kuna mambo makubwa sana roho ya binaadamu ni usiku wa giza, tunaishi nao ila wengine ni mafia,unaraha gani mtu wako wa karibu amekufa hata kama amejinyongo mwenyewe wewe baba huna hata simanzi upo happy kweli unagats gani kurudi upo happy kana kwamba hakuna kifo ktk kondoo wako, unafika na kuongea kwa Amani kabisa hata nafsi haikusuti hakuna kitakacho baki hapa Dunia, wote tunapita haijalishi utaondoka kwa njia gani,simanzi inakuwepo, hapo tafakari kwa sisi wengine tunajiuliza maswali mengi ambayo yanatuacha njia panda.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว +3

    KWA WANANDOA WOTE NA WENYE MAHUSIANO. ROHO YA MTU KICHAKA AMINI MUNGU NA NAFSI YAKO TU😢😢

  • @jonamoratv2101
    @jonamoratv2101 2 ปีที่แล้ว +1

    Je! Kama akujiua je!!!!!!!

  • @nuruantony5248
    @nuruantony5248 2 ปีที่แล้ว +14

    Dunia inaenda kasi sana 😞😞

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa nn masanja ajaenda msibani au hata kutoa pole tu

  • @sarajanuary3516
    @sarajanuary3516 2 ปีที่แล้ว +2

    Kunakitu hakiko sawa

  • @hapi6113
    @hapi6113 2 ปีที่แล้ว +4

    Shetani anakuwa na wewe tangu mwanzo wa dhambi ila dhambi ikishakuwa aibu shetani anakukataa jamaa alikuwa na shetani mwanzo mwisho ila wakati kajinyonga mwamba akamkataa

  • @sameraamiry3849
    @sameraamiry3849 2 ปีที่แล้ว +2

    Iwe isiwe uyu kamtoa kafala amini kwamba

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 ปีที่แล้ว +1

    Kijana mjinga unamke halafu unajiua kisa mke wamtu

    • @fredma21x
      @fredma21x 2 ปีที่แล้ว

      Mtu anaweza kuuawa na kutundikwa kama amejinyonga.

  • @iib3215
    @iib3215 2 ปีที่แล้ว +3

    Shetani ako kazini kila wakati na anajuwa mda wake ni mchache sana,kwa hiyo tufunguke macho ya Rohoni na tuvae silaha sana za kumpinga..ila anae jua kifo chake zaidi ni Mungu..na inaweza kuwa shetati alimkoroga huyo kaka kujinyonga ili iwe visababu kuwa alikuwa na uhusiano na mke wa Masanja

  • @mustafamsatimuhenga253
    @mustafamsatimuhenga253 2 ปีที่แล้ว

    Kusoma biblia ni jambo moja kuelewa maandiko ni jambo jengine nyumba ya ibada haiwez kuzalisha kes kamahizi wanawake na wanaume wakichanganyika lazma zinaa itawale someni vitabu vya dini mjitambue nduguzangu wapendwa

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 2 ปีที่แล้ว +1

    Unaishi na Mume kumbe yeye anapenda mwengine sizani kama uyu Dada atakuja kupenda ungine mwanahume mbio

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja881 2 ปีที่แล้ว

    MALAYA WA DINI ACHENI KUWAHADAA WATANZANIA WASIOJITAMBUA KIIMANI.

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 2 ปีที่แล้ว +4

    Kilichomkuna kwa mke wa Masanja mpaka ajiuwe ni kitu gani? Halafu ana mke mzuri tu tatizo nini au katolewa kafara? Mana story yenyewe ni ya maajabu mmh 🤷‍♂️

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 2 ปีที่แล้ว +1

      Halafu masanja wenyewe anajifanya yuko happy kabisa ndo kwanza anaonyesha kutumia nguvu kuaminisha watu km yy na mkewe hawana tatizo ila tatizo lipo kuna kitu kinaendelea apo wanakijua yy na mkewe.

  • @isayamwapepu54
    @isayamwapepu54 2 ปีที่แล้ว

    Daaah

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 ปีที่แล้ว

    When freedom is mistakenly translated without limits... #NoFeelFreeChurch Tumategemea mengi hadi mwaka uishe...

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 2 ปีที่แล้ว +1

    Ajinyonge na Tai ikatike then atafte shuka??!!!!???

  • @catherinekiwipa9271
    @catherinekiwipa9271 2 ปีที่แล้ว +4

    2013 Kuna Kaka alikunywa sumu kwaajili yangu. Na ajawah kunigusa so nakuelewa Sana Monica massanja pole this too shall pass

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 2 ปีที่แล้ว +1

      Malaya mkubwa unajisifia mtu kufa kwà ajili yako umelaaniwa

    • @williamnamende1023
      @williamnamende1023 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣

    • @munirashughuli618
      @munirashughuli618 2 ปีที่แล้ว +1

      Chizi😀😀

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +3

      @@kefajoseph158 umalaya wake nini wakati kasema huyo mtu hajamgusa? Wenye matatizo ya akili mko wengi! Mungu awanusuru

    • @AngelAfrica-w5x
      @AngelAfrica-w5x 2 ปีที่แล้ว

      @@kefajoseph158 😆😃

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 2 ปีที่แล้ว

    Ya dunia mengi

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 2 ปีที่แล้ว

    Jamani mapenzi haya hayana shekhe wala bishop ni mambo hutokea tu uzuri mke alikua hataki mapenzi nae period.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +1

    Sio kwamba ame tongoza mke wa Masanja, ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama

    • @missmontana856
      @missmontana856 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka eti nyama

  • @nekianicholaus1065
    @nekianicholaus1065 2 ปีที่แล้ว +4

    Sasa mtu ulikuwa umeshaoa,yanini kumtaka mke WA mwenzio wakati tayari Una mke wako?

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 ปีที่แล้ว +6

    Tamaa zake zilimponza tumuombee kwa Mungu bac

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 2 ปีที่แล้ว +4

    Mental health is real 💔

  • @khayraa7374
    @khayraa7374 2 ปีที่แล้ว

    This is absolutely heartbreaking i dont even know what to say 🙆🏽‍♀️ taking ur life was not the option but 🙏🏽

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 2 ปีที่แล้ว

    Huko aliko anakesi mbili kumpenda mke wa mtuna kujinyonga

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 2 ปีที่แล้ว

    Mpaka Sasa Mke wa Katibu hajaongea je ataongea lini?

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 2 ปีที่แล้ว +3

    Tunaomba Interview ya Mke wake na Huyo Jamaa aliejinyonga. pengine Kuna Jambo tunaweza tukafahamu Zaidi.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว

    Joas ni mpumbavu maana alikuwa na MKE sasa MKE wa masanja alikuwa Ana muhusu nini mpaka ajiue?kafa KIFO CHA AIBU NA KAACHIA MKEWE MOYO ULIO PONDEKA NA HATAKAA AAMINI MTU

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 ปีที่แล้ว

    Inamaana masanja jogoo hawiki au

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 2 ปีที่แล้ว +9

    Huyu rafiki yke anaweza kuisadia police

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 2 ปีที่แล้ว +4

    Hahaha 😂 jmn hii Dunia bwn yn mke wa mtu tena ufe kwajili yake yn unaona km masanja kuwa nae unadhulumiiwa yn hahaha Dunia hii inamambo saana

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 ปีที่แล้ว

      Yani ni mjinga wa kupitiliza

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 2 ปีที่แล้ว +8

    Mchungaji yuko busy kula sadaka za waumini😥😥😥waumini wako busy kula mke wa mchunjagi🤣🤣🤣🤣hiI ndio maana halisi ya TRAB na TRAT🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @mourinebey_kenya7027
    @mourinebey_kenya7027 2 ปีที่แล้ว +6

    Wamemtoa sadaka 😢 Mbona msibani hawajaenda 🤔 alafu mchungaji alikuwa inje ya inch ameingia wakati mtu kazikwa 😢 haya makanisa haya achaneni nayo yana siri kubwa sana. Soon mtasikia masanja kawa nabii 😂😂😂 anaponya magonjwa na kuondoa matatizo yasiyo tatulika 😂 jinga kabisaaaa acha nijiombee 😢

    • @hamadikassim3091
      @hamadikassim3091 2 ปีที่แล้ว +1

      Fact💪🏿

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 2 ปีที่แล้ว

      Mbona kama Kuna ukwel HV ngoja tusubilie mwaka mmoja tuone

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 2 ปีที่แล้ว

      Asante jirani

    • @asifiwekitunga4655
      @asifiwekitunga4655 2 ปีที่แล้ว

      Familia Ina taratibu zake za mazishi wakae kumsubiri mtu anayelisaka tonge la familia yake

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +2

      Jina la kanisa halileti maana ya kiungu. Feel free? Seriously 😒! Jiachieni au?

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 ปีที่แล้ว +2

    Namuhurumia mke wake na wazazi..,mke kutiwa gubu tu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 2 ปีที่แล้ว +3

    Mke wake asa itakuwaje

    • @samwa9496
      @samwa9496 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣ndio Ivo kawa mjane Mungu atampatia mwingine kwa kuwa bado mdogo tumuombee sana maana atakuwa anawaza mengi

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 2 ปีที่แล้ว +1

    Sns umehanza kuboronga unahoji mtu anaye ishi mikohani atuhambiye Nini Sasa ? Kama siyo story zamatako???

    • @devothachengula636
      @devothachengula636 2 ปีที่แล้ว +2

      We mwenyewe matako ndo maana hauijui hata kuandika

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 2 ปีที่แล้ว

    Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 2 ปีที่แล้ว +1

    Mi nasema ukweli mwenye sikio na asikie masanja asimtanie MUNGU kabisa wagalatia 6:7 inasema MUNGU hadhihakiwi masanja hufai kuwa mchungaji na wanaokufata wanapotea neno la MUNGU linasema mtawatambua kwà matendo

    • @fibesolomon926
      @fibesolomon926 2 ปีที่แล้ว

      Wewe sio Mungu, mpaka utoe hukumu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      Mi naona abadilishe hata jina la kanisa, feel free ni nini? Yaani jiachie? Hapo shetani hachezi mbali, asali sana na kumuuliza Mungu kuna nini hadi hili limetokea

    • @veeJesus
      @veeJesus 2 ปีที่แล้ว

      Khaaa binadam ni hatari
      Iv unawezaje kusema kwamba masanja hawezi kuwa mchungaji
      We ni nan kwanza kwenye ufalme wa Mungu
      Are you God
      How can you judge men of God???

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 ปีที่แล้ว

    Wanaume wapumbavu wanaojiua kisa mapenzi yafaa wapungue duniani

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukigusa mke wa Mtumishi wewe ni Yuda lazima ujinyonge

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 ปีที่แล้ว +1

    Kakosea sana kujiua. Unajinyonga sababu ya mwanamke, cha kushangaza una mkeo.

    • @krizofrancisco5310
      @krizofrancisco5310 2 ปีที่แล้ว

      Hayo ni madhara ya kuoa kabla hujala ujana vizuri dogo anaonekana ni mgeni wa wanawake, mwanaume aliyezoea au aliyewahi kuwa na wanawake wengi ni ngumu kujinyonga kisa demu

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule 2 ปีที่แล้ว +5

    Tatizo lilianza kwa kupiga goti hapo,ni sain ya weakness kwa Mwanaume

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 2 ปีที่แล้ว +1

      mmmh si kweli ni alama ya heshima na kumthamini mke wake mtarajiwa anapo muomba kuwa katika maisha yake

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 2 ปีที่แล้ว

      Unamatatizo wewe mfumo dume umekuathiri

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mke si mrembo jamani 😰 unakuwa marufu baada ya kufa dah😰

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 2 ปีที่แล้ว +3

    Kijana wa hovyo amefariki, mtu una mke then unajiua sababu ya penzi la mke wa mtu.

  • @marialemi2177
    @marialemi2177 2 ปีที่แล้ว

    Kumbe alimvalisha mtu pete jmn

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 ปีที่แล้ว

      Na ndoa kbs walifunga 😭😭

    • @marialemi2177
      @marialemi2177 2 ปีที่แล้ว

      @@ruqaiamohammed345 duuuh jaman eeh mungu tusaidie

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 ปีที่แล้ว

      @@marialemi2177 ameen 🙏😢

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 2 ปีที่แล้ว +3

    Kijana ana makosa .yeye alikuwa ame owa iweje yy aende kutongoza mke wawatu .tena wabishope wake .huzuni sana. Ss kajinyonga ili eweje .uko kwenye anaenda mbona ataenda kwa shetani

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 ปีที่แล้ว +1

      Niwazacho kajinyonga kukwepa aibu kwasb kakataliwa

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 2 ปีที่แล้ว

      @@m.mmarckus6298 niukosefu wa hakili

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 2 ปีที่แล้ว

      Kuna kitu kipo nyuma ya panzia hapa utashangaa masanja baada ya mwaka mmoja nabii

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +1

      Sio kwamba ame tongoza ame kula mzigo haswa hawezi mtu aka jiua bila kula nyama

    • @gladsonkitua145
      @gladsonkitua145 2 ปีที่แล้ว +2

      @@ilynpayne7491 hajala angekula asingejiua maana hakuna chaajabu ukishakula na huwezi kula alafu ukaogopa aibu huyu kajiua baada ya kukarltaliwa kaona nitaficha wapi uso wangu.

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 2 ปีที่แล้ว

    Hii dini inawaigizaji wengi na Insha Allah tutaona mengi kweny hii dini

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 2 ปีที่แล้ว

    Loooh

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 2 ปีที่แล้ว +1

    Joas🤦

  • @phyillicenyambura5543
    @phyillicenyambura5543 2 ปีที่แล้ว

    Na afe kabsa na Huko aendako akafe pia

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 2 ปีที่แล้ว

    Feel free church sasa nini tena tunataka.

  • @daprince7545
    @daprince7545 2 ปีที่แล้ว

    Bibi ya mtu sumu, kuna kupona na uwe na majeraha ama ukufe kabisa.

    • @happynjukiz6495
      @happynjukiz6495 2 ปีที่แล้ว

      Ila ni mtamu

    • @daprince7545
      @daprince7545 2 ปีที่แล้ว +1

      @@happynjukiz6495 😄😄😄hutafika mbinguni

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 ปีที่แล้ว

    Naomba nimrithiiii mke wake nasubiri Mirathi

  • @henrykigugwe5112
    @henrykigugwe5112 2 ปีที่แล้ว

    Skyweezy!!!!

  • @Boaz22
    @Boaz22 2 ปีที่แล้ว

    Halafu mbona mke wake mzuri tuu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      Mzuri kuliko mke WA Masanja. Pepo la mauti lilimkalia kooni, Mungu alipomnusuru Kwa Tai likaona limshauri achukue shuka lazima litimize.......kumtumikia Mungu si mchezo, jamaa hakuwa kiroho

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 2 ปีที่แล้ว +1

    Angeomba tu msamaha Masanja na mke wake wañgemsamehe kulingana na biblia samehe saba mara sabini