Rev.Moses Magembe “Nguvu za Mungu hazipitii Miguuni wala Mdomoni”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 28

  • @abednegomawalla4820
    @abednegomawalla4820 3 ปีที่แล้ว

    Kuna Revelation. Kuna knowledge na prudence. Kuna kutumia Akili na kutumia MAARIFA

    • @pearsonTv24
      @pearsonTv24  3 ปีที่แล้ว

      Ndio,hivo vitu ni muhimu kuvielewa kwa karibu zaidi

  • @rebecamafita2078
    @rebecamafita2078 3 ปีที่แล้ว

    Amina Baba sema tupone kwel watu wanaangamia kwa kukosa maarifa JINA LA YESU linatosha hakuna cha mafuta wala chumvi eti keki hata shetan atakuwa anacheka watu wanangangania kutafuta mafanikio Badala ya kumtafuta Mungu ndio maana tunaishia Mara maji ya upako YESU anatosha injili ya kwanza Hatujawah sikia walitumia hivo vitu.

  • @onamasaki1211
    @onamasaki1211 3 ปีที่แล้ว +2

    UNACHOJUA NI SEHEMU NDOGO SANA MAGEMBE; NA HUTAKAA UJUE VYOTE. FANYA YAKO NAAMINI HAKUNA FUNGU JEMA KATIKA KUCHAMBUA YA WENGINE.

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 3 ปีที่แล้ว +1

      Ha ha ha neno limekupopoa. Yesu haitaji visaidizi vya vitambaa, mafuta, Chumvi wala udongo. Mitume wengi ni occult wajumbe wa shetani

    • @expert5898
      @expert5898 3 ปีที่แล้ว

      @@laurentraphael5470 Ni kweli kabisa.

    • @hopefor2088
      @hopefor2088 3 ปีที่แล้ว

      Yesu alitumia mate udongo pia maji kamaunasom bbilia utakuwaunanielewa mitume walitumia mafuta Elisha alitumia chumvi pia mpaka kijiti misa alitumia fimbo n.k huo niwivutu naukosefu wamaarifa kibbilia

    • @expert5898
      @expert5898 3 ปีที่แล้ว

      @@hopefor2088 Ni sawa unachosema Furaha, but hutakiwi kubase saaana kwenye kuhubiri mafuta na chumvi ukaacha kuhubiri neno la Mungu.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 2 ปีที่แล้ว

    Anayepinga mahubiri haya nadhan huenda nayey akili yake imeisha ufahamu.but ukweli utabaki kuwa ukweli tu,sema Mtumish wanaoponda washazoeleka hawatubabaishi.

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo wakristo wengi saizi wavivu kusoma biblia Bali tunapenda miujiza ...tunasahau kuwa miujiza haimpeleki mtu mbinguni!!!!tunaacha kutubu dhambi zetu tunatafta ty mafanikio

  • @expert5898
    @expert5898 3 ปีที่แล้ว +1

    Anachosema ni ukweli mtupu, Ukitaka kuamini fatilia hili... Wengi wanaokwenda kwenye mafuta na maji ni watu ambao hawajui lolote kuhusu wokovu... Yaani ni watu ambao wanaenda kama wanaend kwa mganga wa kiyenyeji... Woye ni wachanga kabisa kiroho, huwez kuta mtu anamjua Mungu vzr halafu anaenda kukanyaga mafuta... Hahahahahaha

  • @jimsonjimmy9232
    @jimsonjimmy9232 3 ปีที่แล้ว

    Kwann unawasema sema watumishi wamungu vby mungu hapend hubir yakwako

    • @musamwambughi5562
      @musamwambughi5562 3 ปีที่แล้ว

      Hajawasema, yeye anawahubiria wa kwake wasiende huko, mana wanaoenda huko sio kwamba hawasali, wanamadhehebu yao wanaenda kwa siri.

  • @godfreykhatau4013
    @godfreykhatau4013 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha

  • @hopefor2088
    @hopefor2088 3 ปีที่แล้ว

    Mh apo ase kasemwa mwamposa fulu Yani sopoa watumishi kusana semana Kama humuamini mtu muache atahukumiwa na mungu wwe ninani wakumhukumu mwengine bibilia inasema fanya kazi yako usiseme wengine kilamtu anatumiwa kivyake hakuna Alie kamilifu sijasema vibaya nimetoa maonitu

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 3 ปีที่แล้ว

      Kwn na ww ni mkristo? Inamana haujui km matumiz ya vitambaa, chumvi, maji, n.k kuwa si sahihi ki-Biblia?

    • @hopefor2088
      @hopefor2088 3 ปีที่แล้ว

      @@moureenkirundwa8691 ndo utuambie bibilia ilikataza wapi kutumia ivovifaa bibilia inasema mtuwakwenu akiwamgojwa naaite wazee wampake mafuta wamuwekee mikono Leo mnasema mafuta hayatumiki namitume walitumia jpokuwa siinglii Sana lkini sovzri kumsem meamposa ingawa hujui nani ananitumia

  • @jjbornagain813
    @jjbornagain813 3 ปีที่แล้ว

    Mchungaji acha kupinga kila kitu ukijiona wewe unajua sana mbona sasa watu wanapona kwa kukanyaga mafuta wewe si Mungu mgawa karama na si upakoo na mafunuo yako kwako tu wewe ni mwanadamu tu tena mdhaifu tu kwa namna yako Mungu hamilikiwi na mtu Mungu ni wawote wenye mwili na hzi sheria za kidini ndizo yesu amezikataa

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 3 ปีที่แล้ว

      Nyie watu wa mitime na manabii mna shda sana, mana hampend kujfunza Neno la MUNGU linasem nn

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 3 ปีที่แล้ว

      Mnatafuta miujiza

    • @eliakimmwangu7310
      @eliakimmwangu7310 3 ปีที่แล้ว

      Yes.watu waliguza vitambaa vikivyotoka kwa mwili kwa Paulo na wakapona

    • @eliakimmwangu7310
      @eliakimmwangu7310 3 ปีที่แล้ว

      @@moureenkirundwa8691 these signs shall follow you.. Mungu na miujiza hawaachani

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 3 ปีที่แล้ว

    Hahahaha

  • @user-ik6oz2uz8r
    @user-ik6oz2uz8r 4 หลายเดือนก่อน

    Kabisa baba piga kwenye mshono,eti mafuta ya upako stupid kabisa.

  • @agnesmhando3893
    @agnesmhando3893 3 ปีที่แล้ว

    Mbona wanapona wengi ?? Mzee wafundishe watu neno waingie mbinguni sio kuppnda watumishi wa mungu hiyo biblea yako umeitoa wapi???