EXCLUSIVE: MARIOO AFUNGUKA HASIRA ZAKE BAADA YA KAULI YA BABUTALE BUNGENI KUHUSU "MAMA AMINA" -PT II

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 117

  • @jacksonjamesndyabawe495
    @jacksonjamesndyabawe495 ปีที่แล้ว +13

    I never pay attention on him but he's very humbled guy. I pray God to take you far... You are such a inspiration

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว +11

    Mungu akubariki Sana marioo,,na mziki wako,,marioo alikuwa anakujaga Sana kwetu wakati hajatoka kabisa Leo hii Mario ni bonge la super star,ila yupo very humble Sana kuwa hivyohivyo kaka usibadilike kaka,,,unajua Sana kuintanvyu kaka unastory Sana Mario kama Raha Yan haujabadilika kabisa Kwajili ya ustaa,,Yani huringi kaka safi

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 ปีที่แล้ว +9

    I love this Boy! He is Humble and Anajitambua. Aendelee kuwa Yeye kama Yeye, asibadzlike atafika Mbali Zaidi ya hapo alipo.

  • @bellahariminshi5149
    @bellahariminshi5149 ปีที่แล้ว +2

    Utafika mbali bro! Una kitu cenye wa sanii wengi hawana > uyo niufunguo wa kila kitu

  • @EsterMarco-xf5qk
    @EsterMarco-xf5qk ปีที่แล้ว +13

    Millady umeweza mwaya umemtega swali akamwagikaa daaah nakubari broh🤗🤗 ety bweni

  • @haruningiliule7606
    @haruningiliule7606 ปีที่แล้ว +15

    Jamaa ana akili sana kwenye kujibu maswali big up toto bad

  • @russysalimu2498
    @russysalimu2498 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah

  • @nurumwangoka5909
    @nurumwangoka5909 ปีที่แล้ว +7

    kweli Millard Kuna kitu special Mungu ameweka ndani yako,hakika wewe ni nouma

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akutimizie mahitaj yako Marioo🙏🏽

  • @marynjani1370
    @marynjani1370 ปีที่แล้ว +1

    Hata sijaiona kabisa ila am super happy hii ilikuwa interviews niliyoisubilia sana sanaaaaaa…..and here it’s bado mmoja and I can’t wait

  • @luccieibrahim
    @luccieibrahim 8 หลายเดือนก่อน +1

    Toto bad❤❤

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว +2

    Marioo anastor Sana yani Hadi raha haringi Yani,,yupo vilevile Yani habadiliki kwakuwa star,,safi kaka ubarikiwe,, kipenzi,,na uje kututembelea Omi kama mwanzo kaka

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 ปีที่แล้ว +4

    Wallah marioo upo funny show aijapoa kabis 😂😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Storyzatown
    @Storyzatown ปีที่แล้ว +1

    Mama aminaa..kwani wanaitikiaje? Au mimi ndiyo sielewi 🤷🏾‍♀️ Big up Millard Ayo ✊🏾

  • @marthamushi9390
    @marthamushi9390 ปีที่แล้ว +1

    Milard hayo ni mjanja sanaa jinsi alivyotumia akili kumuuliza marioo swali la kuwa ana jenga wapi😂😂😂😂

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 ปีที่แล้ว

    Hahahahq nilijua tu watampatia hapo kwenye nyumba iko wapi. Love you Mario . Kind and humble guy.

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 ปีที่แล้ว +6

    Humble kid.

  • @matimfuko641
    @matimfuko641 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha nimewapenda mmepata ukweli WA alipojenga bila Kutumia nguvu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 ปีที่แล้ว +2

    Mmeru mwenzangu nakupa big up my brother Ayo..tuko pamja jpo mm nko Nairobi but chuga n yetu wotee maswal n mazur ya kimtego ya panya bila samak ameingia mwnyewe 😅😅😅.kujbu mwnyew

  • @mkumbozakaria7266
    @mkumbozakaria7266 ปีที่แล้ว +4

    Millard 🙌🙌🙌🙌🙌 bweniii

  • @frankmpanda5850
    @frankmpanda5850 ปีที่แล้ว +9

    mirady mm nakufatilia kila intevew uko poa sana mungu akupe maisha malef

  • @isayajoseph14
    @isayajoseph14 ปีที่แล้ว +4

    Napenda sana maswali YAKO kaka Millard

  • @barakamatali7141
    @barakamatali7141 ปีที่แล้ว +2

    Kaka kwa mwaka huu toka uwanze interview hii Kali kuliko zote

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k ปีที่แล้ว +3

    Jamani nyie wandishi nawapenda ❤

  • @daudpius130
    @daudpius130 ปีที่แล้ว +1

    Unajua kujieleza vizuri sana

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 11 หลายเดือนก่อน

    #makiniii san

  • @stellah3844
    @stellah3844 ปีที่แล้ว +2

    Marioo mtoto bad❤❤❤❤

  • @lilianrwegasira4496
    @lilianrwegasira4496 ปีที่แล้ว

    Marioo ur Show was owsome kwakwel 🙌🙌

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu kijana ana akili sana na ana hekima Mungu amfikishe mbali

  • @nicholausmwinuka7640
    @nicholausmwinuka7640 ปีที่แล้ว +5

    Boom

  • @DAVID-wp4vc
    @DAVID-wp4vc ปีที่แล้ว +2

    Muogope sana millad kwenye interview hua anakua na maswali ya mtego haya ss tumejua bweni😂😂

  • @boniphacemsagaa5180
    @boniphacemsagaa5180 ปีที่แล้ว +9

    eti iko mbweni.. eeh 😂😂

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi ปีที่แล้ว +2

    Hapo mwisho kwenye kurogwa kanichekesha sanaaa😅😅😅 "ndo vzr kwanza, ili nikae vzr" 😅😅😅

  • @robbynyamriba251
    @robbynyamriba251 ปีที่แล้ว +3

    Millard😂😂😂🙌🙌siitaki mitego yako

  • @Ellen_Titus
    @Ellen_Titus ปีที่แล้ว

    I’m a new fan.. Aliposema bora mniue tu.. Nimecheka lol

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +2

    Bweni🔥🔥😄😄

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 ปีที่แล้ว +1

    Kk Millard mm napenda interview zako uko technical kwny kuuliza maswali

  • @EdinaClement-fw5kh
    @EdinaClement-fw5kh ปีที่แล้ว

    Millad unaweza Sana,wakishua👏👏👏

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao ปีที่แล้ว

    Hahaha Ndo maana...nilimpenda Since day One keep going Young Boy

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv ปีที่แล้ว

    Nice interview

  • @arianaferdnandez2445
    @arianaferdnandez2445 ปีที่แล้ว +2

    Him again 😎

  • @AmelbergaKempanju-uf1zh
    @AmelbergaKempanju-uf1zh ปีที่แล้ว +1

    That's good bro

  • @Bivany96
    @Bivany96 ปีที่แล้ว +2

    Nakubal bad unanifundisha vitu

  • @neemalema5312
    @neemalema5312 ปีที่แล้ว +4

    Mmh hizo hereni na kidani puani ndio unamaana gani kaka yangu 🤔

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 ปีที่แล้ว +2

      Hawa wasanii wanyimbo za kubana pua,wengi wao ndio walewale,wanatambulika kwa sauti zao,na mavazi na matendo ,ni wale wale tu,MUNGU awahurumie tu,

  • @dianachagha8839
    @dianachagha8839 ปีที่แล้ว +2

    Baaaaaad 🎉😊

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 ปีที่แล้ว +3

    Yomiiiii 🙆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu Omar bhana khaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety meno yake nikampenda 🤦🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bakarinassoro5513
    @bakarinassoro5513 ปีที่แล้ว +7

    Mirad 😄😄😀 mbweni

  • @EsterMarco-xf5qk
    @EsterMarco-xf5qk ปีที่แล้ว +11

    Daaah nimependa marioo aliulizwa nyumba ipo wapi hakusema 😂😂 lkn millady akamtega unapenda maeneo gani ya kuishi kwa hapa dar akasema bweni kwaoiyo moja kwa moja marioo akawa amejibu swali bira kujua 😂😂😂😂

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  ปีที่แล้ว +4

      😂😂🙌

    • @Kibasumba02
      @Kibasumba02 ปีที่แล้ว

      ​@@millardayoTZA siku ukija Canada uniambie nitakupangia,nikupe ghari kila kitu kwa bure.napenda gisi uko mpole. Niko mujeshi la Canada

    • @nurumwangoka5909
      @nurumwangoka5909 ปีที่แล้ว

      huyu Kaka ni nouma

    • @boydnjoka9814
      @boydnjoka9814 ปีที่แล้ว +1

      😂 Agent millard hatar sana bro

    • @nurumwangoka5909
      @nurumwangoka5909 ปีที่แล้ว

      huyu Kaka ni nouma

  • @chuppaboy_
    @chuppaboy_ ปีที่แล้ว +2

    Nampenda toto bad

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  ปีที่แล้ว +2

      Thanks for watching Chuppa Boy

  • @josephmatinanthony9730
    @josephmatinanthony9730 ปีที่แล้ว +1

    Sema mim nakupongeza kwa kutega maswali mtu anafunguka mwenyewe bila kupenda😃😃 kwahio upo mbweni kumbe😂

  • @106skippersavage2
    @106skippersavage2 ปีที่แล้ว +1

    💥💥

  • @RichardKinvunvu-qn1or
    @RichardKinvunvu-qn1or ปีที่แล้ว +2

    Natamani suku moja nije kushare historia ya maisha yangu kupitia kwenu nahisi itakuwa bonge la stori

  • @kinthermedia
    @kinthermedia ปีที่แล้ว +1

    Ok

  • @elegantdox8074
    @elegantdox8074 ปีที่แล้ว +3

    omary Ally Mwanga 🔥🔥🔥

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  ปีที่แล้ว

      Thanks for watching

    • @modazen7178
      @modazen7178 ปีที่แล้ว

      @@millardayoTZA kaka nina jambo lang

  • @Storyzatown
    @Storyzatown ปีที่แล้ว

    Millard wewe uko vizuri sana 😂mtego uliompa Marioo hata yeye hakushtukia baada ya kukwepa swali la nyumba yake hiko wapi 😂🔥

    • @suleymanmakiwa1651
      @suleymanmakiwa1651 ปีที่แล้ว

      Si umesema iko Mbweni eeeh?

    • @Storyzatown
      @Storyzatown ปีที่แล้ว

      @@suleymanmakiwa1651 Eeeh hiko Mbweni 😂😂😂😂 Millard ni noma

  • @Cosmas_General
    @Cosmas_General ปีที่แล้ว

    Millard Ayo🔥🔥🔥

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 ปีที่แล้ว +1

    Yule hafai kuwa Mbunge. Moja ya lawama Nampa mwendazake ni kitulazimishia majuha

  • @simonmahenge871
    @simonmahenge871 ปีที่แล้ว

    BLUE BOYS WAKISHUA🔥🔥🔥🚀

  • @linovahme6060
    @linovahme6060 ปีที่แล้ว +1

    Ulisema iko mbweni eeh 😁😁 kula chuma hicho

  • @kelvinmwambona5395
    @kelvinmwambona5395 ปีที่แล้ว +2

    Kaka Muyenjwa Leta Madini Hayo

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 ปีที่แล้ว

    Umesema kweli Mario watu wengi wanamuonea sana Hamisa. Wivu mwingi

  • @saidiwakufuta
    @saidiwakufuta ปีที่แล้ว +1

    Jamni club tu milioni mbili mda mwengne mtuache wa bongo au mpka kukodi na gari

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว +1

    Ya kwako lkn au umepanga

  • @charliestyles5535
    @charliestyles5535 ปีที่แล้ว +1

    mama aminaa.....malizieni wananguuuu 😅😅😅....

    • @charliestyles5535
      @charliestyles5535 ปีที่แล้ว

      mmmmmmk

    • @shamsaamor001
      @shamsaamor001 ปีที่แล้ว

      Mama aminaaaaa kumamakeeeee ,moyo wangu unauminya ma Amina we unauminya

  • @AzahOmary-kd2db
    @AzahOmary-kd2db ปีที่แล้ว

    Wasanii wa bongo kwa iga mpaka mtakua mashoga mwanaume kutoboa pua wapi na wapi

  • @AzahOmary-kd2db
    @AzahOmary-kd2db ปีที่แล้ว

    Karibia mtaanza kutoboa vitovu

  • @wishjrtz
    @wishjrtz ปีที่แล้ว +1

    marioo anajiepush san

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 ปีที่แล้ว

    Hko ulikoingia hko kwenye mahusiano,usipoangali nyumba haitaisha.

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 ปีที่แล้ว

    Interview bomba😅

  • @rolency
    @rolency ปีที่แล้ว

    Ntakwambia ukweli

  • @geraldnjau7186
    @geraldnjau7186 ปีที่แล้ว

    Kwani mama Amina Ina maana nyingine?

  • @ishakaabdii-dr4sm
    @ishakaabdii-dr4sm ปีที่แล้ว +3

    leo nime kuwa wa tatu naomba like zenu

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣millard unajifanya mjanja sana

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 ปีที่แล้ว

    Mbona amuuliz kwa nn heren masikio n n puan ,shida nn? N ili janga la mashoga 😂😂😂😂😂 tz

  • @mickthomas-lh1fs
    @mickthomas-lh1fs ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa mbona mjamuhuliza kuwa ni fundi magari.

  • @JamesSteven-vd7vw
    @JamesSteven-vd7vw ปีที่แล้ว

    wasanii wa kizazi kipya ebu tujiheshimu na tujipende bhn. unavaa mahereni na unatoboa pua kama she? ivi kweli unatufundisha nini sisi wanaume wenzio kwamba tukuige kutoboa maskio na pua? toa hayo maereni na kipini puani bhn ukae kama mwanaume, au ndo ushoga wenyewe umeshakufata inawezekana lakini,,, milard mwiiye ndu to aatefo findo fo aree ifo makurii na mbuo

  • @charlesezekiel5252
    @charlesezekiel5252 ปีที่แล้ว +3

    😅😅

  • @AhmadyVenjatz-nj4lh
    @AhmadyVenjatz-nj4lh ปีที่แล้ว +1

    Jjjj

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza ปีที่แล้ว +4

    Hahahaha

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 ปีที่แล้ว

    Kiukweli msiimbe matusi,hatutaki matusi kwa Nini uimbe matusi na uone hakuna shida.Achani kuimba matusi,mbona Ali Kiba aimbi matusi na mziki wake ni mzuri

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe umepanga ndo uchizi wa wasanii wa bongo

    • @herikaniugu
      @herikaniugu ปีที่แล้ว

      Ulishawahi ata kununua album ya msanii yoyote?

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  ปีที่แล้ว

      MSIKILIZE TENA MPAKA MWISHO NDUGU

  • @nathan6751
    @nathan6751 ปีที่แล้ว

    We mkundu tu mama Amina nzuri kwako mjinga .Kumbe tunzo za mchongo 😂😂😂🤣🤣 nenda Kwa babu tale fala ww

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 ปีที่แล้ว

    Sister wetu maroo uko beautiful umependeza hongera dada

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 ปีที่แล้ว

      Acha masihara na brand za watu wew🤣🤣

    • @mwezzireen17
      @mwezzireen17 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

  • @modazen7178
    @modazen7178 ปีที่แล้ว

    umesema uko mbwen

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy ปีที่แล้ว +1

    Niaj mirlad

  • @joycemrema6694
    @joycemrema6694 ปีที่แล้ว

    Nkupndg ty jmn

  • @shabaniddy9967
    @shabaniddy9967 ปีที่แล้ว

    Plz like zangu

  • @arianaferdnandez2445
    @arianaferdnandez2445 ปีที่แล้ว +1

    Him again 😎