FRIJI BOVU: BIG DEAL!! KOCHA MPYA SIMBA BALAA! REKODI ZAKE ZASHTUA AKITUA KWELI KILIO KWA WAPINZANI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 4 หลายเดือนก่อน

    Samahani, David pascal wana undugu na Muro

  • @ElibarikiSamuel
    @ElibarikiSamuel 4 หลายเดือนก่อน

    Jmn mpeni mgund hat msimu mmoja mwalim mgund anafaa zaidi ebu angalien bax

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hilo fridge nalipa mpaka mwezi wa 7 Baada ya hapo nitaleta Spare litengenezwe. Litatulia tena kidogo kabla halijaharibika tena. Na likiharibika tena sitalitengeneza tena.

  • @rahimumushi8736
    @rahimumushi8736 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shida so kocha tutakuwa tunafukuza makocha Kila siku shida ni no viongozi

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 4 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli hapa Angola Santos Alexander ameachana na Atletico lakini anahusishwa na Kaiser Chiefs. Kila mtu ana mtazamo wake

  • @edwardaugustino7177
    @edwardaugustino7177 4 หลายเดือนก่อน

    Lakini Matola atoke asikae msaidizi atoke kabisa.

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 4 หลายเดือนก่อน

    Tatizo kubwa Simba ilikwa viongozi na wachezaji. Hawo wote walikwa wana hujumu simba. Naomba kwa wana chama wa Simba fanyeni kill kitu huyu Magungu aondoke hapo Simba sababu huyu magungu ni mwanachama wa pani na pani African ni yanga. Na try Again na huyu CO NAWO wa ondoke hapo Simba. Hapo Simba itakwa safe. Hawo wana hujumu Simba.

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 4 หลายเดือนก่อน

    Sioni tatizo la Fridge bovu, ana point na anatoa mtazamo wake. Sasa mnamshambulia kwa kosa gani???

  • @elijahchegere4974
    @elijahchegere4974 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi kama mshabiki wa Simba tukileta kocha mpya tujiandae kuporomoka zaidi na zaidi hakuna kocha mgeni wa kumzidi mgunda Kwa sasa

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 4 หลายเดือนก่อน

    Christiano Ronaldo hakuzaliwa Lisbon, plze usitulishe matango pori, fanya home work yako kabla ya kutoa taarifa kwa public

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618
    @mtegemeemungusiomwanadamu6618 4 หลายเดือนก่อน

    Hata hivyo ili friji ni bovuuu haswa hakuna taarifa hapo

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 4 หลายเดือนก่อน

    Kocha aje kwanza kabla usajili yeye ndio asajili wachezaji anaowahitaji hawa wakina Mgunda ni makocha wa hamasa hwana mbinu za kiufundi

  • @GODFREYKIPALILE
    @GODFREYKIPALILE 4 หลายเดือนก่อน

    hamna jipya hapo kwani benchika yupo wapi

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 4 หลายเดือนก่อน

      Usajili unafanywa wewe tulia subiri utajulishwa

  • @ErnestPeter-se5zv
    @ErnestPeter-se5zv 4 หลายเดือนก่อน

    Vitu vingine mtu mwenyewe unabwaga manyanga

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo Mgunda kama kawaida?.

  • @SuleimanNgware
    @SuleimanNgware 4 หลายเดือนก่อน

    SAmbusa subirini.. boli ni uwanjani na c kuropoka tu..

  • @mcharodavis2182
    @mcharodavis2182 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi anaanza kusajiliwa kocha kwanza au wachezaji?
    Mm naona vema aje kocha then wanasajiliwa wachezaji kutokana na uhitaji wa timu kwa muongozo wa kocha

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 4 หลายเดือนก่อน

      We acha kusikilza kelele mashabiki usajili unaenda kimyakimya kuanzia tarehe 15 June 2024 utaanza kujua nani kasajiliwa

  • @JohnMsaga
    @JohnMsaga 4 หลายเดือนก่อน

    Kocha bila usajili nzuri ni ushamba na upuuzi mtupu