MURO: USAJILI WA SIMBA 2024/25 BALAA!! KOCHA MPYA/ JEAN MAKUSU/ GILBERTO/ BARBAR/ KENNETH SEMAKULA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
Naomba tushirikiane Wana Simba tusifungie wanachama wenzetu tutapata mikosi tuanze upya kwa baraka
T
Namsihi MO awasikilize hawa Vijana wana madini ya maana ya kuweza kuisaidia Simba.
Chambua kutokana na heading, masuala ya gadiel Michael yuko wap,alienda wap ya nn??
Hivi ni mm tu ndio nasikia makele ya wanaoimba tu mala hoi au simu yangu
IVI NA WEWE SISCO NA MURO MNAANZA KUANDIKA VITU AMBAVYO HATA HAMVIZUNGUMZI KWA SABABU GANI? DON'T BE SUCH CHEAP.
IBENGE IBENGE IBENGE IBENGE IBENGE IBENGE IBENGE asaidiwe na MGUNDA MGUNDA ndiyo suluhu la benchi la ufundi
Mganda Coast union
Ibenge huyo timu ya Taifa Mali rasmi
Yani mnaenda kufanya kipindi kanisani
Simba Nguvu moja
Simba mpya mpka tuwe na msimamo akuna chakurudi wala kwenda hata kama
Naomba tushirikiane Wana Simba tusifungie wanachama wenzetu tutapata mikosi tuanze upya kwa baraka
wala mgunda haitaji kuwa msaidizi kwa mgeni enyi watanzania tuache ushamba ,kwani ni lini tutaamini mtu wa kwetu katika utendaji na tena ameshathibitisha kuliko hata hao wageni? MGUNDA ANATOSHA .
Barbacar Senegalese
wanachama wasimba niwapgaji namanisha wanachagua watu wanao wahonga pesa ili tuteseke wote tulieni ss mashabik tunasubili ujinga kwenu tena
Yaan Muro hiyo wiwan n yakusema uongo kabisa😂
Simba nguvu moja
Simba na mo wao mtihani sana wamekuwa kama ile hadithi ya alfu lela ulela! Inabidi mo na simba wafanyiwe maombi sana ili wapunguze mdomo
Bossi kurejea Tunajua mnaumia sana uto
@@kassidpandu866 kwani aliondoka lini?
@@kassidpandu866 kweli simba mmerogwa nyie? Mo kwani aliondoka lini? Mo si anadai simba ni yake ameinunua na inamleta hasara sana ? Sasa mtu anaondokaje kwenye mali yake?? Nyie simba mmerogwa tu ! Mo anawachezea apendavyo