Amfundishe nini ibara zenyewe kuzitafsiri ni bala hata masalafi wenzake wanamkosoa kweli kweli ana udhaifu wa ilimu sana amekuwa ni mropokaji tuu akitoka kwa sheikh huyu humvamia sheikh mwengine kwa hakika huu ni msiba wa Hali ya juu
Wallahi Alla kaichukuwa bakora ya mpera katuletea bakora ya mpingo nakushauri bachoo ishi na adhkari sana hawa jamaa hawako sawa unawachapa vibaya wallahi
Nilitaka niseme hivo kwa kweli Muhammad bachu Allah amuhifadhi maana km utamsikiliza kwa umakini moyo unafurahika sana maana anachokizungumza kinaingia akilini kidalili
Nakumbuka kitambo khutbah za kishki na Athman maalim Wallahzimejenga Imani yangu.lakini hizi raddi ni kutafuta umaarufu Bali hayatujengi kiimani wallah
Kama umeshaelezwa chanzo cha uanzishwaji wa maulidi bado wataka nini zaidi? Kama uanzishwaji ni mushkeri je kinachoendelea mbele juu ya jambo hili litakua sawa.
Masheikh wacheni kupoteza muda, hizi Raddi hazituletei faida zaidi kugawanyika. Dini sio vilabu vya mpira, hao wanaokutieni ushabiki sio watu wema ni mafatani katika dini. Tumtafuteni adui wetu wa kweli. Dini haifundishwi kwa ugomvi. Ria zimekuwa nyingi kwa Masheikh. Mnatupotezea muda. Maadui wa Uislam wanafurahi sana wakitusikia tunaishi hivi.
Kakaaaa amka, kwa mfano qur'an imebadilishwa sehem inapaswa ifundishwe ivo ivo au irekebishwe kwanza ndio iendelee kufundishwa Mbona mnawaza vitu vya hovyo jamani Sheikh Muhammad Nassor Bachu Daawa inawaingia twende kazi
Ebu tujaalie ajitokeze muislamu mmoja adai kuwa kufunga ramadhani siwajibu na akatoa hoja zake anazoona kuwa ni hoja, jee muislamu huyo yafaa kumraddi kwa madai yake hayo na kuwaambia watu wasimfuate? ikiwa inafaa he ni kwa msingi upi
Ww kazi huna bachu ushajitahidi sana kupiga kelele lkn watu wanaendelea na maulidi tu mpaka kiama sasa sii unyamaze kwan hii dini ni ya baba ako mpaka unapasuka mishipa sijuwi sufi mara ghurafi hii dunia nzima masufi na maghurafi ni bora kua hiivyo kuliko kua muwahabi au kujiita salafi wote makafiri tu watupu mawahabii munajua dini nyie
@@MOHDJUMA-t8n Hakuanza yeye kulingania Hata mtume amelingania sana na mpaka aya za qur'an zime shuka kuwa tusiikaribie zinaa na mpaka Leo hii watu ni wazinzi na watakufa kwenye uzinzi. Allah awaongoze/atuongoze katika njia ya sawa sawa.
Shk muhammad twajua wapigwa vita sana nawapenda maulidi lkn usikhofu waelimishetu wao wameyafanya maulidi ndio dini hii nihatari sana nachuki yaokubwa namatusi makubwa wanakuelekezea wwe maana ndio daktari wao kuyapinga ayo wapendayo usiwaachie wape ukweli Allah atakuhifadhi nambinuzao
Wallah kila nikisoma comments za wenzetu hawa kwel unaona kuwa hawa ikhlas ya kutumia mdomo sheikh ameleta vitabu iweje utukane ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO YA SAWA KWA SOTE ni huzuni😢
Ati sadaka ilianzia hapo duh bachu mtupu kweli mtume s a w alihimiza watu watoe sadaka alafu ww ulikua unukuu yale maneno ya sheikh kusoma umerukia kitabu chengine
@@saba-gv3mj ukisikiliza tena kwa umakini utaelewa. Sheikh bachu amemaanisha kuwa vp maulid yalivyoaanza na jinsi watu walikuwa wakichinja mbuzi wengi kutokana na hadithi za uongo za wanawa zuoni. Hakuongelea sadaka ilianza vp ila maulid yalianza vp. Jazzallahu kheir
Kila sheikh na acheze part yake wengine waeke watu wa kawaida sawa wengine wawaeke watu wanaojinasibisha na uislamu sawa mana wakiachiwa pia watapotoa watu. FAHAMTU
Assalaamu alaykum warahmatullah Sheikh Muhammad Maa shaa allah, nina shida na ww hata kama ni wasap, kuna maswali kadhaa nataka kukuuliza ili itulizane roho yangu. Maa shaa allah, Naomba namba yako ya wasap shekh
Nini bidaa hayo mnayoyafanya ni bidaa hamuoni kama mnafanya uzushi mungu mtakwenda kumwambianini kilasiku mnashajihisha watu waache bidaa mcheni mungu mnaifanyia isthzai dini muogopeni mungu
Kwa mtu ambae hajakaa darasani atapotezwa na usemaji wa huyu mtoto lakini huyu mtoto Bado hajabalee kwenye elimu😂😂hata kitabu anacho nukuu hajui sisi masufi tunakichukuliaje.uhabi ni gonjwaa kwenye akili😂😂😂
Roho za watu wa bidaa zipo motoni kabla ya moto mkubwa, allah amegonga mihuri katika nafsi zao hawataki hakki na kwakuwa wwmetaka upotevu wenyewe allah akawwgeuzia kule watakako wao na ibilis raaana tullah akawaweka mbali na hakki na kuwatia nguvu, kwasabu alikula kiapo cha kuwapoteza watu katika njia ya sawa, hivi mtu anakuambia usiku wa maulidi ni bora kuliko usiku wa lailatu lkadiri akati anaona kabisa allah kausifia usiku huo na kuutukuza kwa kuteremsha sura lakini kwakuwa wameipa mgongo hakki mtu anaona ni sawa ttuuh, hajui anampinga mwenyezi mungu wazi wazi ili kuhrarisha maulidi unadhani wwtu kama hawa allah kawita madhalimu utamuongoza mtu kama huyooo😂😂 shekh muhammadi unajithidi sana kuwafundisha kesho kiama utakuwa shahidi juuu yao madamu umefikisha atae pinga ainge lakini nafsi yake inamtfuna hiii ni hakki naikataa live wanawwfata watu so hakki
@@AsiaBakari-b8dso mimi kuna mwanazuoni kasema vzr tuuh, kulubu ahlibidai ljahim kabla ljahim lkubra kuwa rohooo za watu wa bidaah zipoo motoni kabla ya moto mkubwa,, yani saivi kwaule upotevu wao roho zao zipo motoni kabla hazijaukumiwa moto mkubwa, Arafu unaposema kuingiza muislamu motoni kwani hawapo waislamu wataingizwa motoni mtume mbona kawatia motoni wazushi aliposema wakulu bidat dhwalala kila bidaa ni upotevu wakulu dhwalala finnari na upotevu ni motoni kwani alowakusudia kina nani si waislamu watakaozusha mambo katika dinni sasa kama mtume mwenyewe kawatia motoni wazushi je huyo mwanazuoni nani yeye si ananukuu vitabu
Ama hakika wewe unaesema eti haka kabachu ni kijana bora,, kwa kweli wewe hujui kilicho bora na hujui ubora,, kuwatukan watu ndio ubora wa kijana huyu!!! Duh" ama hakika ujinga ni mtondoo
If like religion itself, you insult each other on the internet, no one will enter the paradise of ALLAH, hakuna atakae ingia peponi Kama nikudharauliana na kutukanana huku! Jameni mtume wetu aliwahi kumtukana mtu? Mbona masheikh wa mitandaoni hawa ni mabwabwa hakuna sunna hapo, From mocambique 🇲🇿😭😭😭 huruma waislam WA zamahizi
Tuache yote: ila huyu Kijana Muhamedi Bachu ni Mtu Mwenye adabu sana, ukimuona tu utajua kuwa ni Mtu wa heshima na adabu, hata anavyotikisika unaona pamoja na anavyocheza cheza
Bachu wallahi ww bado sana daaaaah Mm sina akili ila ww bado sana wallahi Kila ninapokusikiliza ukiwa wa raddi bado nakuona upo finyu sannnna Je hili unalofanya ww bachu ndio dini?
Kisha umenda kufanya tafiti mpya kisha unakuja kujifanya umejuwa . Kisha unajiona umejaa naujuzi . Coz una furaha kwa uso . Sijui umejaza nini kwa kichwa
Mnaomfuata Bachu dah mmepotea sana nendeni mkasome acheni ushabiki km n matajiri pia women mtume mtukufu Muhammad s a w anawazungumziaj matajiri huyo Bachu hana jpy kusoma hakusoma km alimkosoa dingi yake itakuwa mtu wa mbali
Yajulika kuwa maulidi yameazishwa na shia ila kama mtayafichua nimingi hata sufi wahabi ibadh wote yapo walozusha ila nyote kuweni wadilifu kuweni katika njia ya sawa nyote mnaupotevu ila njia nikurudi kwa Allah na mtume S. A. W
@@rogertuga007 mola amenusuru nabi ismail kuto chinjwa na babake ibrahim tukimchinjia mtume saw hata mbuzi elfu moja inakuuma nini wewe kwanza wewe ni muislamu
@@habibali00 Nabii Ibrahim alipewa maelekezo na Mwenyezi Mungu kuhusu kumchinja mwanae na baadae akaletewa mnyama. Na nyie mmepewa lini maelekezo na Mwenyezi Mungu ya kuchinja kwa ajili ya Mtume na maelekezo yalikua ni kuchinja kwa ajili ya mwenyezi Mungu?
Sheikhe wetu Muhammad Bachu Mungu akuzidishie maisha na akulinde na watu wa maulidi.
Masha allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 allah akupe umri mrufu wenye Baraka na manufa
asantev lkn Allah andika kwa herufi kubwa
wafundishe masufi hao Allah akuhifadhi shekh Muhammad bachu nadhani wataelewa Allah ndie muongowaji
Amfundishe nini ibara zenyewe kuzitafsiri ni bala hata masalafi wenzake wanamkosoa kweli kweli ana udhaifu wa ilimu sana amekuwa ni mropokaji tuu akitoka kwa sheikh huyu humvamia sheikh mwengine kwa hakika huu ni msiba wa Hali ya juu
Tuko pamoja kwa dalili zenye ziko wazi Asante sheikh wetu Muhammad Bachu.
Mungu akuzidishie ilmu sheikhe wetu Muhammad Bachu kutoka Moçambique(Msumbiji)
Wallahi Alla kaichukuwa bakora ya mpera katuletea bakora ya mpingo nakushauri bachoo ishi na adhkari sana hawa jamaa hawako sawa unawachapa vibaya wallahi
Tumuombee dua sheikh wetu ALLAH Amuhifadhi
@@sakinasakku8340 Aamin
Huyu ndie sheikh bora kijana bora. Est africa mashariki na Kati sheikh muhammad bachu allah amhifadhi
Sheikh au mtukanaji?
Mi naomba kuuliza hivi kumbe Al imamu nawawawi alikuwa ni sufi au anasifu maulidi
@@VuaiAli-zt9ibHaki huitaki ndio ukasema hivo
Nilitaka niseme hivo kwa kweli Muhammad bachu Allah amuhifadhi maana km utamsikiliza kwa umakini moyo unafurahika sana maana anachokizungumza kinaingia akilini kidalili
@@HashimSalim-qj7znhakuna haki mtume s a w aliwatabiri kina ruweibidhwa bachu hana ilimu kuropokwa tu
Wallah unazini kunishibisha,nnachokupendea we unafungua vitabu tu,maneno ya machache ya wanazuoni mengi
Masha'allah tabarakallah,Sheikh Bachu Allah azza wa jal akuhifadhi na aendelee kukupa kauli thabit kupambanua baina haqq na baatwil
Ummu Aaishaaaah,njoo Bachu huyu huku aendelea nayale ulo mrikibisha kule kwa Sh.Samiir.
Yule dada hashuo
@@madrasatunnajmizzaahiral-i2478wanaume mmeshindwa mnaomb msaada Kwa wakina mama😂😂😂masufi bna
Mashallah allah akujaze kheir na baraka ww na ss na Allah akupe umri mrefu wenye kheir uzid kutufaamisha cc waislam wa chin
Mm nimependa energy yake allah tabaraka wataala akulinde mm sehemu au mji nliopo hakuna dini na nasoma kupitia from *🇫🇷
Shukran jazakallah Ustadh Muhammad kwa kututoa ktk upotofu wa kisufi.
yaan mm ckupata kwaelewa masuuf na Majadiida ila kwa kufuatilia darasa za shekh ibn Bach
Allah akuhıfadh
Jazakum Allahu khayean
Masha Allah shekh bachu we usijali tushibishe kwa elmu Akili kichwani Allah akuhifadhi ❤
Mufti menk was in zanzibar preaching peace masha Allah
Dah mashalaah wallaahi maulidi tena baaaaasiiiiiiii tulipotezwa sanaa😭😭😭😭😭
Maskini pole sema ALHAMDHULLILLAH kwakumpata sheikh bachu
Tutasoma maulid huyu sheikh wenu bachu mpotoshaji ilimu hana
Allah atufishe ktk uislamu nasunnah
Hivi mi naulizia al imamu nawawi ni msufi alikuwepo wakati wa maulidi au muhammadi nawawi yupi alomtaja bachu kuwa katafsiili maulidi???
Bila Shaka ni waongo wa Hali ya juu tena, wallahu mustaan
MAASHAA ALLAH tabarakallah sheikh
Tunapata elimu Alhamdulillah 🤗🤗🤗🤗
Masha Allah sheikh wetu❤
Allah akuhifadhi
Maashallah yaa shaikhunaaa habib,,,,
Allah atuhifadhi na atuepushe na ujahili
Sema nsufi gan alietunga kitabu ucho
Allah akuzidishie Elimu nakufatilia kutoka Dubai
Wewe eneza ukristo wako ivo ivo lkn ipo siku Allah atakirudi insha Allah
Allah akuongoze
@@abdulkrimalawi7165 ... Allah amuongoze zaidi uyo aloleta ukristo
Sheikh muhammad ayo maneno anayosema jee ibn kathir kasema kweli au niongo??
Nakumbuka kitambo khutbah za kishki na Athman maalim Wallahzimejenga Imani yangu.lakini hizi raddi ni kutafuta umaarufu Bali hayatujengi kiimani wallah
Hayo at Muhammad bin Abdul wahaab alianza nasiasa
Ushauri wangu ikwa mwafanya mambo hayo kwa ikhilasw na kuitengeneza dini bas ni vyema ila kama ni kuoneshana elimu tahadharini na riya na kibri
muhammad hajamjibu sheikh maana sheikh maneno aliyo yasema kamnukuu lbnu kathiir nahajayatunga yeye
Swadakta
Kama umeshaelezwa chanzo cha uanzishwaji wa maulidi bado wataka nini zaidi? Kama uanzishwaji ni mushkeri je kinachoendelea mbele juu ya jambo hili litakua sawa.
Nimeangalia kwenye kitabu cha albidaaya wa nnihaaya mj13 uk 121...hakuna maneno hayo...(how i wish naeza screenshot hyo page muone)
Baraka za mtume s a w ziko mpaka kesho na sisi tusomao twajua faida yake ww mpotoshaji hutwambi kitu
Allah akishaupiga mhuri moyo wa mtu basi hamna wakuuongoza ila yeye mmwenyewe Allah akuongoe
Masheikh wacheni kupoteza muda, hizi Raddi hazituletei faida zaidi kugawanyika.
Dini sio vilabu vya mpira, hao wanaokutieni ushabiki sio watu wema ni mafatani katika dini.
Tumtafuteni adui wetu wa kweli.
Dini haifundishwi kwa ugomvi.
Ria zimekuwa nyingi kwa Masheikh.
Mnatupotezea muda.
Maadui wa Uislam wanafurahi sana wakitusikia tunaishi hivi.
Lazima haki ijulikana na batwil ijulikane
Kakaaaa amka, kwa mfano qur'an imebadilishwa sehem inapaswa ifundishwe ivo ivo au irekebishwe kwanza ndio iendelee kufundishwa
Mbona mnawaza vitu vya hovyo jamani
Sheikh Muhammad Nassor Bachu
Daawa inawaingia twende kazi
Ebu tujaalie ajitokeze muislamu mmoja adai kuwa kufunga ramadhani siwajibu na akatoa hoja zake anazoona kuwa ni hoja, jee muislamu huyo yafaa kumraddi kwa madai yake hayo na kuwaambia watu wasimfuate? ikiwa inafaa he ni kwa msingi upi
Ww kazi huna bachu ushajitahidi sana kupiga kelele lkn watu wanaendelea na maulidi tu mpaka kiama sasa sii unyamaze kwan hii dini ni ya baba ako mpaka unapasuka mishipa sijuwi sufi mara ghurafi hii dunia nzima masufi na maghurafi ni bora kua hiivyo kuliko kua muwahabi au kujiita salafi wote makafiri tu watupu mawahabii munajua dini nyie
@@MOHDJUMA-t8n Hakuanza yeye kulingania Hata mtume amelingania sana na mpaka aya za qur'an zime shuka kuwa tusiikaribie zinaa na mpaka Leo hii watu ni wazinzi na watakufa kwenye uzinzi. Allah awaongoze/atuongoze katika njia ya sawa sawa.
Wewe hufahamu kuazisha sihoja hoja waliazisha vipi kitendo ndo kibaya mifumo mtume amesema mwenyekuazisja jambozuri atalipwa uzuri na mwenyekuazisha baya atalipea baya kamawao wliazisha ubaya weziwao niazao nzuri jambololote lahitajinia umesomesha nananiwewe
Tandika masufy wapotevu😂
Mie ningekushauri achana nae uyo DJ kwa sbb si mtu wa dini.
Mawaha walinyimwa ufaamu
Ii njia alokuja nayo huyu kijana nikutufaamisha kua mawahabi niwatupu
Shk muhammad twajua wapigwa vita sana nawapenda maulidi lkn usikhofu waelimishetu wao wameyafanya maulidi ndio dini hii nihatari sana nachuki yaokubwa namatusi makubwa wanakuelekezea wwe maana ndio daktari wao kuyapinga ayo wapendayo usiwaachie wape ukweli Allah atakuhifadhi nambinuzao
Sawa sheikh langu
Wallah kila nikisoma comments za wenzetu hawa kwel unaona kuwa hawa ikhlas ya kutumia mdomo sheikh ameleta vitabu iweje utukane ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO YA SAWA KWA SOTE ni huzuni😢
Sasa yy alikua anukuu yale maneno ya sheikh kusoma mbona bachu wafanya watu wajinga
Ati sadaka ilianzia hapo duh bachu mtupu kweli mtume s a w alihimiza watu watoe sadaka alafu ww ulikua unukuu yale maneno ya sheikh kusoma umerukia kitabu chengine
@@saba-gv3mj ukisikiliza tena kwa umakini utaelewa. Sheikh bachu amemaanisha kuwa vp maulid yalivyoaanza na jinsi watu walikuwa wakichinja mbuzi wengi kutokana na hadithi za uongo za wanawa zuoni. Hakuongelea sadaka ilianza vp ila maulid yalianza vp. Jazzallahu kheir
Wewe bachu ulishashindwa mpaka ukajikojolea, Sasa naona unataka kujinyea.
Swali maulidi ilianzia wapi ?.
Muogope mungu usishabikie ujinga
Shekhe yule dj kwenye vitabu amnakitu au ajenagitaa
Angalia msijitoe muhanga!.
@@IsmailSangaallah akuongoze
@@abdulkrimalawi7165 Akuongoze Na wewe pia.
Assalaamu alaykum muhammad bachu, swali langu aliyo yasema yamesemwa kweli na ibnu kathiir kwenye bidaayatu wannihaaya ama si sahihi???
Maneno ya ibn kathiri mbona hujayapinga ???
We mwenyewe una njaa kupitiliza ndio maana ukawa tarumbeta la mawahabi 😂😂😂 Rudi ukasoma tena jinga kabisaa😂😂😂😂
Nimekubali kifungio cha hii RADDI😅😅😅
Makhurafi Ni lugha ya utambulisho, saguro au tusi!!!!?
A/alaykum wa rahmatullah. Ooh Kwahiy hayo aliyosema yapo kwenye kitabu cha Ibn Kathir kumbe sio kwel eti ust Muhammad. @ Muhammad Nassor Bachu
Hajajibu abidaya wal nihaya .muongo bachu
Bachu hayo mambo yaache tu kwa sababu kwenye Niqaash ulishashindwa, endelea kufundisha watu ibada zao achana na mambo ambayo ni مختلف فيها
Shehe hizinguvu nyingi mnazo tumia kulumbana kunawatu waivunja dini ya mungu tumalizane nao hawakwanza kama mazinge anavyo pambana
Kila sheikh na acheze part yake wengine waeke watu wa kawaida sawa wengine wawaeke watu wanaojinasibisha na uislamu sawa mana wakiachiwa pia watapotoa watu. FAHAMTU
Assalaamu alaykum warahmatullah
Sheikh Muhammad Maa shaa allah, nina shida na ww hata kama ni wasap, kuna maswali kadhaa nataka kukuuliza ili itulizane roho yangu.
Maa shaa allah,
Naomba namba yako ya wasap shekh
Muulize tu hum hum wote tupate faida
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Nini bidaa hayo mnayoyafanya ni bidaa hamuoni kama mnafanya uzushi mungu mtakwenda kumwambianini kilasiku mnashajihisha watu waache bidaa mcheni mungu mnaifanyia isthzai dini muogopeni mungu
BAchu huna ujuacho kabisa
Lait ungejuA nn maaan ya maulid usinge pata hii tabu hapo
Bachu tujua ninyi kiongozi wenu nimyahudi waishio suudia
Allah akuongoze ndugu
Tuwachie Uchafu Wako Kazi Kuteuka Kama Chura😅😂
Hhh Bachu Eti Utoe Maalumati😅😂
ni vitabu tu vinaongea
Mpaka wengine wanakimbia mijadala kama dj said wa Mombasa hataki kumsikia sheikh Muhammad bachu
Kwa mtu ambae hajakaa darasani atapotezwa na usemaji wa huyu mtoto lakini huyu mtoto Bado hajabalee kwenye elimu😂😂hata kitabu anacho nukuu hajui sisi masufi tunakichukuliaje.uhabi ni gonjwaa kwenye akili😂😂😂
Tatizo unakichukua peke yako na km una wenxako tuletee raddi ya hiko kitabu
Mashallah
Huku kwa masufi wakaange2 lakini usiwaseme vibya Salfy akhy Muhammad.
Kwaiy upo kiushabik ww kumbee eeh huokutaka kujua hakki uko wp
Dini ni kusema kweli haijalishi Sufi au salafi shida uislam kwenda mbele kwani anakosea Sufi na salf pia so penye kosa pasemwe Allah akubaark akhiy
@@alijabu6226 vitu vingi anavyowasema Salafy huwa havina mashiko akhy.
Atamkaanga nani kamshindwa MUHABI MWENZAKE Kasim Mafuta,sasa anababaika kutafuta umaaruf.
@@IsmailSanga Ushawah msikia Qassim Mafuta anamjibu Bachu?
Tufundishe kupekua izo link za vitabu tafadhali
Roho za watu wa bidaa zipo motoni kabla ya moto mkubwa, allah amegonga mihuri katika nafsi zao hawataki hakki na kwakuwa wwmetaka upotevu wenyewe allah akawwgeuzia kule watakako wao na ibilis raaana tullah akawaweka mbali na hakki na kuwatia nguvu, kwasabu alikula kiapo cha kuwapoteza watu katika njia ya sawa, hivi mtu anakuambia usiku wa maulidi ni bora kuliko usiku wa lailatu lkadiri akati anaona kabisa allah kausifia usiku huo na kuutukuza kwa kuteremsha sura lakini kwakuwa wameipa mgongo hakki mtu anaona ni sawa ttuuh, hajui anampinga mwenyezi mungu wazi wazi ili kuhrarisha maulidi unadhani wwtu kama hawa allah kawita madhalimu utamuongoza mtu kama huyooo😂😂 shekh muhammadi unajithidi sana kuwafundisha kesho kiama utakuwa shahidi juuu yao madamu umefikisha atae pinga ainge lakini nafsi yake inamtfuna hiii ni hakki naikataa live wanawwfata watu so hakki
Astaghfirullah ww unapata wapi nguvu ya kumuingiza mtu motoni ambaye ni muislam mwenzako? Hata kama anakosea
@@AsiaBakari-b8dso mimi kuna mwanazuoni kasema vzr tuuh, kulubu ahlibidai ljahim kabla ljahim lkubra kuwa rohooo za watu wa bidaah zipoo motoni kabla ya moto mkubwa,, yani saivi kwaule upotevu wao roho zao zipo motoni kabla hazijaukumiwa moto mkubwa, Arafu unaposema kuingiza muislamu motoni kwani hawapo waislamu wataingizwa motoni mtume mbona kawatia motoni wazushi aliposema wakulu bidat dhwalala kila bidaa ni upotevu wakulu dhwalala finnari na upotevu ni motoni kwani alowakusudia kina nani si waislamu watakaozusha mambo katika dinni sasa kama mtume mwenyewe kawatia motoni wazushi je huyo mwanazuoni nani yeye si ananukuu vitabu
Jamani msitekwe akili na shk muhammad bachu kila mtu atalipwa na nia yake wengine hawaindi kwa ajili ya kula
Bachu uko tayari kwa mjadala na ustadh kusoma?tukuandalie mjadala?
أن الطفل كريم
Anna twiflu kariimi
Tia irabu kama kweli mwanaume
Na nyinyi wapambe msaidieni tuone
Unataka ufundishe kiarabu au
Uzushi wa Mawlidi: Sh Muhammad Sharif
th-cam.com/video/gsJ3Wc-K_q0/w-d-xo.html
ACHA KIBURI WEEE JAMAAA KALINGANIE WAKIRISTO ACHA UTOTO WA MIJADALA IYO IMEPITA NA WAKATI BADILIKENI NYIE SALAFI
Sakna zimekwa nyingi sana يا سدوق
We ni mjinga sana sasa hiv hizo habar zimeshapitwa na wakati watu wanaoongelea kuhusu ghaza na Israel achana na ujinga
Hata useme nini hatuwezi acha maulidi,sisi na mtume,mtume na sisi mpaka kiama,naona mawaidha yenu kila siku maulidi tu 😂
Ama hakika wewe unaesema eti haka kabachu ni kijana bora,, kwa kweli wewe hujui kilicho bora na hujui ubora,, kuwatukan watu ndio ubora wa kijana huyu!!! Duh" ama hakika ujinga ni mtondoo
If like religion itself, you insult each other on the internet, no one will enter the paradise of ALLAH, hakuna atakae ingia peponi Kama nikudharauliana na kutukanana huku! Jameni mtume wetu aliwahi kumtukana mtu? Mbona masheikh wa mitandaoni hawa ni mabwabwa hakuna sunna hapo, From mocambique 🇲🇿😭😭😭 huruma waislam WA zamahizi
Nani katukanwa kwan
Tuache yote: ila huyu Kijana Muhamedi Bachu ni Mtu Mwenye adabu sana, ukimuona tu utajua kuwa ni Mtu wa heshima na adabu, hata anavyotikisika unaona pamoja na anavyocheza cheza
Upumbavu tu we ni mpambuvu sana hizi zilipendwa ongelea yanayoendelea Dunia sasa hiv
Vita vya Palestine haya nenda ukapigane sasa
Bachu wallahi ww bado sana daaaaah
Mm sina akili ila ww bado sana wallahi
Kila ninapokusikiliza ukiwa wa raddi bado nakuona upo finyu sannnna
Je hili unalofanya ww bachu ndio dini?
Kisha umenda kufanya tafiti mpya kisha unakuja kujifanya umejuwa .
Kisha unajiona umejaa naujuzi .
Coz una furaha kwa uso .
Sijui umejaza nini kwa kichwa
Kwahyo mashia wakizusha ndio iwe mbaya😂 acha hoja za kipumbavu
Lakin wakianzisha bilisi jambo zur yafaa kufuata
Kazi Yao uroho Tu mbuzi kuku ndicho wanachojua wao
@@ameirameir4349 Hata kama unashabikia toa hoja za kielimu.
Nanyi hamuishi kulumbana na huyu mtoto wa bachu
Mnaomfuata Bachu dah mmepotea sana nendeni mkasome acheni ushabiki km n matajiri pia women mtume mtukufu Muhammad s a w anawazungumziaj matajiri huyo Bachu hana jpy kusoma hakusoma km alimkosoa dingi yake itakuwa mtu wa mbali
Wapenda kula
Katika vijana wa hovyo wew ni mojawapo sasa hapo unapinga hoja ya ibn kathir au unaelezea historia ya maulidi ?mbona kama hujitambui
Ata ukatoa tarehe waloanzisha maulid ni wakristo sisi tutafata kwa nn ametajwa mtumi
Nikwelii huku kwetu yamefanyika km haya mwanasiasa katoa hela nyingi kwa wasomaji wa qur an
maulid nihakki nahayawezi kuanguka bali yanazidi kukuwa nakuenea
Naihii ndoipo hadi sasa ndomaana serikali imeingia kwenye tabligh imeingia kwenye maulid kwenye mwaka mpya nk
Hakuna dalili apo ,kasomea kwanza
Yajulika kuwa maulidi yameazishwa na shia ila kama mtayafichua nimingi hata sufi wahabi ibadh wote yapo walozusha ila nyote kuweni wadilifu kuweni katika njia ya sawa nyote mnaupotevu ila njia nikurudi kwa Allah na mtume S. A. W
khatar Sana hawez hata kutafsif tamko فنهضت analifasir kwa matakwa yake
Kweli huyu nighawaariji video uliotuonyesha jamaa kaelemea kauli ya ibun kathiir hunailmu zaidi yakubishana tu
Vile ulileta kelele nilijuwa tu umenda kujuwa mwanzo wa mawildi alafu ndio nakuja kujifanya umejuwa mawulidi
Ufaham ni risk 😂 nao utadhalilika cn kjn bachu
biidhnllah hadhaliliki kwa weny akili ya sawa
Kwa hivyo mola kumswifu mtume saw kwenye quran amewafwata mashia
Kwanini misifate hiyo ya kwenye Quran maana Mola amemsifu Mtume bila ya kujichinja mbuzi 5000 wala 10 Wala kupiga madufu.
@@rogertuga007 mola amenusuru nabi ismail kuto chinjwa na babake ibrahim tukimchinjia mtume saw hata mbuzi elfu moja inakuuma nini wewe kwanza wewe ni muislamu
@@habibali00 Nabii Ibrahim alipewa maelekezo na Mwenyezi Mungu kuhusu kumchinja mwanae na baadae akaletewa mnyama. Na nyie mmepewa lini maelekezo na Mwenyezi Mungu ya kuchinja kwa ajili ya Mtume na maelekezo yalikua ni kuchinja kwa ajili ya mwenyezi Mungu?
@@habibali00 swala kubwa maelekezo mmeyatoa wapi ya kufanya mnayoyafanya?
shekh kuweka hivo vitab hapo vinamaanisha nin
Ww bachu umeishiwa weee huna elimu ww makelele tuu kwanza mm nikisema kua huna hata uisilamu bc km sikosei
Hawa walisha potea mda Sana
She huyo Kasema ni ibinikthir mbona wababaisha