Mbona hii story umeigeuza last year ilkua hio mdege ilirudi na watu wakiwa hai na abiria walirudi wakiwa vile walienda ,Leo ni walirudi wakiwa wafu ,sasa mtu amekufa ataendesha aje ndege
Jaribu kutengeneza uongo mwingine wenye ushawishi unaoendana na ukweli huu ni uongo mkubwa lbd km ni majini na mapepo ya warabu yanaweza kufanya hivo pengine ni uchawi wa zamani
😂 vip ikiwa hajarud n record ya nyuma wameamua kukuwekea tena kuhusianisha na story iliyopita😂😂😂😂 Acha mbwembwe wote wanajua na kila mtu anaupekee wake
Historia ya kubuni haina mashiko walijuaje maongez ya abiria ndan ya ndege na hapakuwa na mawasiliano yeyote ya kuwaatahadhirish abiria kufunga mikanda? history za wazungu nying hazina ukwel ata kusema mtu wa kwanza alitokana na nyani
Lakini zile mbwembwe kuigiza kwa jamali profesa huyu ndy mwalimu wake isipo kuwa huyu aliondolewa wasafi na mtiga abdala ndy muanzilishi wa stori book ya wasafi
@@valvederraymond6125 wewe unauhakika gan kama huyo ni mtiga huenda mtu kachukua clip za mtiga kaamua kufungua channel yake kwa kutumia logo ya wasafi alaf ww unakuja kumsema MTIGA direct
Maashaalla 👏🙌👏😢
story nzur xana
Nakubali sana mtiga
Aaaah mtiga pamoja sana nakqbal👊🏻👊🏻👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Mtiga is the best of the best
Acha kukufuru Mungu hafananishwi na chochote
Mtiga ana Pepo yake katika Dunia hiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Brooo mtiga Kalibu kwetu vkg kitambo sana umetukimbia mdog wako hapa nakufatilia sana brooo
Niambie
good job
Fresh sana
😢nimeipenda sana😊
Umerudi broo
Nakubalii brother🔥🔥💯💯✅✅
Mtiabdalah karudiii oyeee
Welkam back we miss u,from kenya
Okay
Atal Sanaa kak
unajua sana
😮😮😮😮
naku bali baba wewe ni wangu tupe izo izo zama history ya kale🥇🥇🎉🎊🏆
Alafu amini usiamini mtiga ywajuwa kuliko jamal kama huamini bisha bashi
Asante Sana mtiga
Allahu Akbar
Karibu tena
Fresh 🎉
Stor zulikaka sema umezinguwa biti lefu sana ilo
Eaza bro...
We miss yoou broo🎉
Sijaisiki habali ya enoko mtumishi wamungu
Nakubal
Mtoga is the yin the world
uongo tu😅
❤❤❤
Vizury
Daah kka sauti yako haichoshi
Ila wew broo samtime ni mwongo flani maana nikifikiria kwa akili zangu nan alikuwa anaiendesha na km ilikuwa mifupa haiji akilini
😂,😂😂
Mbona hii story umeigeuza last year ilkua hio mdege ilirudi na watu wakiwa hai na abiria walirudi wakiwa vile walienda ,Leo ni walirudi wakiwa wafu ,sasa mtu amekufa ataendesha aje ndege
🤝🤝🤝
jamaa alipotea sana
Inawezekena ,maana ata Sasa bado tunasubiri kurejea kwa air malasiya
Nakukubali san bro @mtiga_abdallah✌️
una weza
Oy jamaa mnatutisha ad siy pw sema nakubal
Make it a video
Kuna Repetitions za baadhi ya sehem
Achana nazo hizo REPETITIONS. Just concentrate on the Main story Dear. ITAPENDEZA🤣🤣🤣🤣
where did you. go please we miss you so much
where do you live
Nikweli inawezekan
Burnaboy are songs
Ajabu
Hakika unafunzamengi
Walikua wanakula nini miaka yote io
Historia ya mchawi wa soka
Ronaldnyo
Give of hritik roshan
Wew unapoteza wakati kama hujui TH-cam wame update kids coppa sasa hizi sauti unazobeba na kupachika kwako utakuja kujiraumu kupoteza wakati bure😂😂
kids kopa maana yake nini kaka
Mnatuchanganya....na ile iliyopotea na kutua na watu wakiwa hai ambao wako hawajazeeka ni ipi? #wasafi #mtigaabdala
Apo tu Ata mm sielew yan
We jamaa nakufananisha na mungu hukosei kabisaa
Unamfananisha na Mungu?? Acha kuropoka usiyoyajua wewe
😢😢😢duu
Lakini katika maswali yote hawajataka kujua imekujaje na nani kaileta?
Jaribu kutengeneza uongo mwingine wenye ushawishi unaoendana na ukweli huu ni uongo mkubwa lbd km ni majini na mapepo ya warabu yanaweza kufanya hivo pengine ni uchawi wa zamani
Ww umejuaj Ni uongo nikuulize n ww. 😂😂😂
Mjomba ameridi WCB
Na kama walikua wamekufa nani aliiendesha hio ndege
Unaongea nini reimond acha unoko
Fanya urudi kwenye tathnia basi. Wenzako tuliachaga kufatiliaga tena hizi mambo. Sasa tunarudi tena
😂 vip ikiwa hajarud n record ya nyuma wameamua kukuwekea tena kuhusianisha na story iliyopita😂😂😂😂 Acha mbwembwe wote wanajua na kila mtu anaupekee wake
@@ZeraGeofrey au siooooo
😂me natak ta jonh
Historia ya kubuni haina mashiko walijuaje maongez ya abiria ndan ya ndege na hapakuwa na mawasiliano yeyote ya kuwaatahadhirish abiria kufunga mikanda? history za wazungu nying hazina ukwel ata kusema mtu wa kwanza alitokana na nyani
Kuna chombo kinaitwa black box ambayo huwa inarecord chochote kinachoendelea ndan ya ndege
Na nani aliileta kwa huo uwanja
Umetisha bro
Oya history ya wahehe na wangoni kifupi makabila yetu Tanzania mbona utoyi
Wahehe awawezi kutusahau wangoni😂😂😂😂
Wahehe awawezi kutusahau wangoni😂😂😂😂
Huna haja ya kutumia jina na logo ya mwanaume mwenzio kuwa mbunifuu una kipaji na unawezaa MTIGA
Lakini zile mbwembwe kuigiza kwa jamali profesa huyu ndy mwalimu wake isipo kuwa huyu aliondolewa wasafi na mtiga abdala ndy muanzilishi wa stori book ya wasafi
Wewe umejiajir au umeajiriwa😂😂😂 au unamsema tu mtiga
Kuendelea kutumia logo ya wasafi sio ubunifu sasa sijui maswala ya kuajiriwa yanakujaje hapo
@@valvederraymond6125 wewe unauhakika gan kama huyo ni mtiga huenda mtu kachukua clip za mtiga kaamua kufungua channel yake kwa kutumia logo ya wasafi alaf ww unakuja kumsema MTIGA direct
@@msimbazijr7725 huna unachojua, Bora ufanye utafiti kwanza au ukishindwa basi uliza maana kukuliza sio ujinga
Nakubali sana mtiga