Hongereni sana kwakwel mumejua aswa" nashauri iwe endelevu na kikosi kizidishwe iko, laiti mungeshirikiana hiyo movie wapemba mwengetisha yengekuwa filam bora kwa mwaka huu" kachara kitatange kiswabi dongo wanafaa kwenye hio filam
Jana ilikua na hilo kidundo anavituko hta km hayupo kwenye mov kwa kweli nilikua nacheka tu kumbe ndio alikua anaenda kutoa hiyo buti mm nimecheka alipo sema niacha niacha
Hongereni sana kwakwel mumejua aswa" nashauri iwe endelevu na kikosi kizidishwe iko, laiti mungeshirikiana hiyo movie wapemba mwengetisha yengekuwa filam bora kwa mwaka huu" kachara kitatange kiswabi dongo wanafaa kwenye hio filam
Nimefrahi kuona kivumbasi na mindaamba maana huku London kwakwel hakuna chochote Ila soon inshaallah nitakuwepo Zanzibar
Nawapenda Sana wapemba 🥰💯💪💪
Hongera new star Kwa kazi mzuri ya Sanaa na usanifu
Very good
Zaidi ya Mau mpemba good idea. Nimecheka sana 🙏🙏
Just good makame mrusi
😀😃😄😁😆😅🤣😂 Eti niacha niacha umekamatwa na mti unalia kidundo nouma
Pemba ya kijani, good location, move iko vizuri
😀😀 manake kwanza ncheke hongeren xan
Good
KAZI MZURI HII TUNAUTAKA IWE SEREAS
Mumetisha Sana wapemba wezangu kazi iendelee
Kazi nimeikubali safi 🔥
Yauma yauma jamani nyie nawapenda sana kw kweli tena nawapenda nyote
tunakupenda pia na tunashukuru kwa kutuunga mkono kupitia kazi zetu
Nimeipenda hii. Episode iendelee
Congratulations for you
Daaah nyaso nyaso nyaso mh!
Noma naombeni like apo tjuane
Haaaaa😀😂 kaliii kinomanomaa
🤣🤣🤣 hongera sana
Here mbona kidundo moga ivooo
Haaaaaa eti nnayangu sema wenetu
Fanyeng mpango wa full move
😃😃😃😃 buti!!!!
Kidundo noma
mashaawah vp sidi hamutowi hizi
Akizuunzaa
Six iyas igo ,miez mitatu ilio pita😅
We nyasonyaso 😄😄😄😄
Nyaso nyaso
Hhhhhhhhh gobore kashaichukua butii😂
Itatoka lini iwe live au haijaachiwa
nimecheaaa balaaa khatwary
Hahahaha 😅 ety niacha ase nyie wapemba atari ase
Safiiisan mundelez plz
Kwani kyanzo hasa nniniii, mbona mwaundugana tuu...?
Jana ilikua na hilo kidundo anavituko hta km hayupo kwenye mov kwa kweli nilikua nacheka tu kumbe ndio alikua anaenda kutoa hiyo buti mm nimecheka alipo sema niacha niacha
Ndio
🤣🤣🤣🤣 nice job
Hhhhhh said njomba una yako
Kidundo utaniuwa kwa kucheka
Kashaichukua
Eti Six eyears ago, Miezi mitatu ilopita. ahahaha
🤣🤣
Hahahaha hatariii hhhhh
Vipi mbona imechelewa
Butiiii🤣🤣🤣
Duh
Mbn kwangu haitoi saut
Simu zote zitowe isipokuwa yako ama Ina matatizo au ni mua
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhhh
Hongeren ila mnatuwek san
🤣🤣nnayangu
Niacha niacha kumbe ni hili chanja
Hatari buti
Ahahhahahahahhahaha
Humpati kudolodi
Shika hiki kidecho
Haaaa haaa aachwe nnchanja
Umetsha kidundo na said mjomba