UONGO WA KALE PAT 8 MAU MPEMBA DONGO NA MAKUNDE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2023
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500 - ตลก
From Qatar HUKUU KUNA MAAJABU MBUZI KAZAA MAPACHA PANYA BUKU NA KUKU
Leo wa kwnza naomba like zng kw fans wa mau mpemb
Nimeipenda iyo
Noma sana
Nzuri sana ❤
Munatisha sana nawakubali sana
Hongera baba mau
Hatariiii
Makunde uongo wako nzuri
Nawakubal sana
Mau umuongoooo nnoooo 😂😂😂
Jamaa waongo hawa
Hhhh 😂 😂 🤣 nawakubali sana lkn dongo mm naon halijawaka muko nalo ap
Haya tenaa kwa mara nyengine teinaaa
😂😂😂😂😂Chake wapi kulikotokea hilo ajabu hahahaa nawapenda sana
Ila ipa sw nawakubali san
Mau leo umetoa mzuri ,
Uongo wa kale 😂😂 mhhhhhhhhhhhhh
Mmh mau nkupenda aise natamani nkuone dah unamtowa mtu kwenye mawazo
kazi mzuri
Nawafatilia tangu moja 😂😂😂😂🎉
Mnajua kutunga kwel 🤣🤣
Fundi wazidi kuchafukwa kila kukicha
Dongo kwa kuongea uongo tu , aaaaah yeye kiboko
Jamani ektini michezo mikubwaa dah
Dongo na vimetemete🤣🤣🤣🤣
Hoho ya mau
Hhhhhhhhh mau upo juu
Asante maupemba😂😂😂😂😂
Kkkk mau wewe Kweli nchekeshaji nkali
Dakika za clip punguzen angalau dakik 6
Ukiskia .. Dongoooo .. ujue tu uongo waja 😅😅
Mau icho sio kitumbatu .. hahahaha 🤣
Hatari kubwa sana😂
😂😂🤣
Binafsi nimependa ya Vimetemete
taireeeeee🤣🤣🤣🤣🤣
Jamila gora 💯👍
Hengeren wapemba wenzangu
Zaman ni Zaman bana 😂😂😂
Watu wakigombana mau bwana ww fundi san bro
😆😆😆😆😆😆😆😆❤️😍
Leteni series
Et tukanyweni maji hhhhah safi San
Hawa wamezid tena
Mbavu za mbwa 😊😅😅😅
😂Chake chake😅😅makunde umeuwa
Nchakechake hhhh
😂😂😂😂😂
Mnanipa raha sana nyie 🤣🤣🤣🤝🤲
Aisee nakufuatilien
Kutoka tabata Kinyerezi
dar essalaam
Uongo haukubaliki kwa mzaha wala kudanganya kwa makusudi.
Tafuteni KAZI mfanye msichume dhambi Kila ck ,Kuna maisha baada ya hayo mnayoyafanya.
Hizo ni nasaha kwenu ,km mnafuarahisha Kuna ck mtakuja kujutia kwa mnachofanya.
😅😅😅😅😅😅😅😅
Mhu!😂😂😂😂😂😂 hattaari wallah.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa washkaj waongo kishenz😂
Mhuuu mhmhmh
Ndipo ninapouza ubuyu na njugu.
hohohoho yawashaa😂😂
Ok
😂😂😂
Mauuu.makuti yasiwake tenaaa😅😅😅😅😅😅😅😂😂
Ukitaka kiswahili fasaha njoo zanzibar
🤣🤣🤣 hiyo anza anza ya mau tu imetosha kuwa kali kashinda hata bado 🤣🤣
Kweli kabisa
Mau wa makunduch tumekukera nn😂
Mie nilimuona paka aezeka chura arukaruka apeleka mmbwa hanambavu kwakucheka😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Disiko naiti
Tunaomba ya 9
Uwongo huwo😢😂
Mau umezidi😂😂😂😂😂
😂😂😂Atar
Taire vooo dongo
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hghhhh😅
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 mau kunzidi jamaa yangu weh
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂