Weee dada candy ukoo vzr sanaa ww ndo umeifanya house girl kua kali kias hicho 🎉🎉🎉chukua maua yako unafanya kaz kubwa sanaa hakuna anae kufikia house girl nakupenda umeifanaya ikanoga
Leo ningependa kukumbusha candy punguza kukaa uchi SASA uyo mtangazaji unamuonwsha maziwa unatuzalikusha na kama unamoezi basi mpeziwako bwegee bwegee hayo maziwa si umuoneshe yeye au ndio upo kwenye biashraaa wzcha kutuzxlikushaaa wew yaani umenikeraaa
Huyu Candy uhalisia ni mtata saaana hata ukimwangalia machoni na maongezi yake yaani kiufupi atakae muoa huyu basi atakua amajitweka mzinga wa nyuki 😂😂😂😂maana asema hajaolewa till now na ziwa limelala kma la mkoloni....
Busaty ili isonge mbele watuliye kwenye kuachiya movie wamalize YENGINE kabla YENGINE siyo kuachiya nyingi nyingi tumalize moja kwa moja maana wanatuchanganya sana
Weee dada candy ukoo vzr sanaa ww ndo umeifanya house girl kua kali kias hicho 🎉🎉🎉chukua maua yako unafanya kaz kubwa sanaa hakuna anae kufikia house girl nakupenda umeifanaya ikanoga
Hongera sana candy
Nampendaa Kai nyiee😅😅 ni balaaa😁😁😍
Candy ni mcheshi saana. Unapenda saana kucheka. Sio kisirani. Nakupenda saana. ❤
Nmependa pale ulipomkunja pap had Leo haonekani candy nmekupenda bureeee❤❤❤❤❤
Mara ya kwanza nilikuwa nakuchukia sana lakn kwa sai nakuhurumia nakupenda sana 🎉 keep it up
Kazi safi. Ujumbe umefika🎉🎉🎉
wooow Aisha EkA shinda chkua maua ykoo🎉🎉🎉🎉🎉
Dada kendi hongera sn unajua kuigiza vizuri sn ❤❤❤❤❤
Candy wwww Ni moto dear umecheza vizuri sn 🌹🌹🌹🌹🌹.
Candy wewe ni mzuri saana. Nimekupenda bure. Ila jistiri utapendeza zaidi kipenzi.
Leo ningependa kukumbusha candy punguza kukaa uchi SASA uyo mtangazaji unamuonwsha maziwa unatuzalikusha na kama unamoezi basi mpeziwako bwegee bwegee hayo maziwa si umuoneshe yeye au ndio upo kwenye biashraaa wzcha kutuzxlikushaaa wew yaani umenikeraaa
True
Ila ukichaa umepona,mm Napenda unavoingiza ukichaaa huwa Napenda
Kiukweli candy ndo kichwa Cha house girl na Sania ndo moyo❤❤❤❤❤
Kbs
😂😂😂S
Ukisha kuwa star lazima utembee manyonyo nje ebu jifunike au tukununulie sidiria
Wanashangaza
😢😢😢😮😮😮yaani
😂😂😂😂😂
Bala
❤❤
Candy unavituko yakutisha katika m.v zako.naku ❤❤❤❤ kama uko tofauti na Candy
Weee kendi ulifanya nikapenda hii kipidi Sana pls tuna ngojea story engine ❤ Brenda from Kenya
Aki candy umenibamba sana nakupenda sana❤❤❤❤
Candy jamani unacheka kama ukokwenye movie vile, nilikuchukia wedada ningekuwa Niko Tanzanie singe kusanakusalimu kbs, lakini nimesha kupenda sana❤❤
Sijawahi kukupenda hata siku moja kendi
Huyu ni kivurugi wa house girl waai😂😂😂
Candy nakupenda jmni❤❤
Candy nampenda bure ❤ Excellent job girl.🎉🎉🎉
Huyu Candy uhalisia ni mtata saaana hata ukimwangalia machoni na maongezi yake yaani kiufupi atakae muoa huyu basi atakua amajitweka mzinga wa nyuki 😂😂😂😂maana asema hajaolewa till now na ziwa limelala kma la mkoloni....
🤣🤣😂😂🤣😂 kusema ukweli candy alivoigiza huo ndo uhalisia wa maisha yake maana ata kuongea kucheka vilevile adi vituko khaaaa! Usishangae ndugu mwandishi
Candy nakupendaaa
Itavieww badala afanye inteview na interviwer anauliza wasiokuwepo nimeenda ila ufai kuuza maswal yasomuus kai,zuu sjapenda
Candy love you
Favorite actor especially when she decides to do evil she'll be wicked to the end 🌹🌹🌹
Ata kujistir pia kwaleta mvuto zaid kifua wazi 😮😮😮sitak comments yqngu ishikwe
😂😂😂Dada unatisha dada,hila ongera yako🎉🎉🎉🎉
Candy chizi kumbe uko fresh 😂😂😂
Unachekesha trop
😅😅😅😅😅
ira kendi una furaisha nata niwekama wewe love😅😅🎉🎉
Msimchukie cendi ni movie 2 jamani
Aki nilifuatilia from my 1 ta session 3 nimekupends sana candy
Candy mm siamini kama wewe mke bora nakuona vile vile😂unanifurahisha vile unacheka
Candy unapenda kucheka❤❤❤
Candy nakupenda bure
Yanii nakukumbuka sana candy wa mwazanii
Mi nipo Rwanda , nampenda candy na pia macho yake anapendeza mno
Unachekesha candy wewe ni comedia kweli kweli
Ameshaa pona ukichaaa mweeee candy polee
Kwa namna moja ama nyinginye😂😂😂
Mnaoamin hii mv inaelekea mwisho naombeni like zngu bas jamn duu sijawah
Dada Kendy nakupenda bure❤🥰😘🇧🇮🇸🇦👌👌
Uko vizuri da kendy
Me siy mpenz wa kuvaa mawigi ila apana 😂😂 msinigombanishe na candy
Eeee kendi ww hukubali kushindwa unaendana na mr jiko
Si amevuna alichopanda😀😀😀
Kweli ata mm nishaa mjua sana candy ktk kenya
😂😂😂eti utajiri nyooooh! Tafuteni kiki nyingine
😂😂😂😂candy wetu 😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Nilikumiss udugu
Kendy nauza mawig rafki angu njoo ununue ata ka wig og kamoja shoga angu
Eti unanionea huruma eee😂😂😂😂
Mwandishi macho na kifua😂😂😂
Cendy mbona mm siwaoni hawo wanaume bwege jamani 😂😂😂😂😂😂.
Afu zuuu ndo miguuu ausio
Busaty ili isonge mbele watuliye kwenye kuachiya movie wamalize YENGINE kabla YENGINE siyo kuachiya nyingi nyingi tumalize moja kwa moja maana wanatuchanganya sana
Ukweli hadi unapoeka
Candy hajapoa 😂😂😂😂
Wewe kendi unaroho mbaya sana.
Mnamfananisha huyu na irene uwoya acheni hizo huyu hamfikii irene hata kidogo
Hapa bado hawajasema😅😅😅😅
Turegeshe meno ndani sasa yanaingia baridi 😂😂😂
CANDY hum uyu ni bala jamani. Lakini Candy mwanzo alikuwa ananikera sana lakini wakati iyi namuoneya uruma sana.
afu candy licha ya maigizo duuuh
Mimi napenda akisema WE mwazani 😅
Ni chizi sana😂😂😂,hua nacheka
Yaan baby candy nakupenda bure tu bila ela jaman
🎉🎉🎉🎉 mm rove my kend
Uyo...kibokoo
Next tym apewe character ya upole na tabia nzuri tumuone
Chizi wetu kapona pol ongera sana kendi
Tsajiri candy much love❤❤🎉🎉
Kendi nampenda sana ukiamuwa umeamuwa kabisa bgp
Jina lako zuri sana aisha mwaaaaaa ❤❤ 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Candy 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉
Ila aya mawingi mnayatoaga wapi maana kama umevaa kofia la wa vetinamu wakiwa shambani wanavuna mpunga, ivi apo hujioni kama unachekesha😅
Nimejua cendy ata km n maigizo lkn ata ki kawaid hajapoa 😂
Umeona kumbe pia ww 😂😂😂😂😂huyu kiboko
Mcharuko balaa
😅😅😅😅😅😅
@bahatiki😂😂😂wayi8808
😂😂😂
Yani mimi pamoja na umaskini wangu siwezi kuvaa hilo wigi woii 😢
Dada candy unaweza unakipaji sana
Hongera sana candy
Candy Yuko poa
😂😂😂c alikuwa amekosewa radhi akawa kijaa😅❤❤
.candy kam candy l love you😂😂❤
Aya bwana cant
Candy ajistiri
Daa kumbe candy ni Aisha😂
Yani kend sizan kama ni mpole ni asili yake😅
Candy kumbe WE mpole ivyo nakupenda dadq
Na penda Sana uyu kend mashaallh anajuwa kuigiza
Tunakupenda pia cendy
Ila candy
Huwa anakera sana cendy ase
Candy wa mototo sanaa
Penda sana dada candy
Ilove cand
Nyinyi hamuwezi kuambia mtu ukweli,, hila huo kandy sie Ata kidogo
Candy tuna kupenda sana
Uko sawa candy tia bidiii
Kendi pambe ❤❤❤
Cendy haujapowa