Ushuhuda wako kama wakwangu I was once like you and everyone was telling me that i have to serve God lakini nilikua mkaidi sana ilifika wakati Mungu aliblock kila kitu kwenye maisha yangu hapo ndipo niliamua kumrejelea Mungu nikafunga na kuomba seven days baada ya hapo Mungu aliniambia kuwa sitakiwi kumtegemea yoyote yule isipokuwa yeye tu tangu hapo Mungu alianza ku repair maisha yangu kidogo kidogo and am growing na ninamtumikia Mungu na kumtumikia Mungu haimanishi kuwa lazima uwe mchungaji nabii au muinjilisti lakini unaweza kumtumikia Mungu kwenye eneo lolote lililo halali na kila mtu aliyempa Yesu maisha ni mtumishi mtangaze Yesu dada Irene kumjua Yesu ndo ujanja sasa yani hapo ndo umekua mjanja
KWAKWELI NMEKUPENDA BURE IRENE WANGU.ALLAH AKUONGOZE.MIMI NI MWISLAM NINA IMAN YANGU LKN NMEKUSIKILIZA KWA MAKINI WW NI MKRISTO ULIOSHIBA YA DUNIA.UENDELEE KUKINAI YA DUNIANI.MANA DUNIA NI MAPITO.UBAKI KUMTUMIKIA MUNGU.NI KWELI TUMELETWA ILI TUMUABUDU MUNGU ❤. MUNGU AKUTUNZE❤❤❤❤❤POLE KWA MAPITO.HUJACHELEWA
Limeinuliwa jina lake Yesu 🙌 Halellujah Hakika wew ni ushuhuda tosha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Na hii ndio maana ya kusema Mungu anawatu wengi sana hajawahi ishiwa🙌. Mungu aendelee kukutunza na ukafanyike baraka ya kuvuta watu wengi sana kwenye tasinia ya sanaa kupitia wew dada. And u will be among the richest women of God in Tanzania in Jesus name🙌
Hakika nimebarikiwa sana na huu ushuhuda!! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Ninatamani sisi tulio elewa huu ushuhuda tumuishi Yesu kwa aşılımia 💯 kuna raha na amani ndani ya Yesu!!
Waoh huyu ndo Mungu wangu naemjua , Mungu si wa watu fulani fulani bali ni wa wote anawaita unqualified na kuwa fanya qualified to His kingdom.hallelujah.i love you ❤
Hakuna raha kama Mungu akikupenda jamn,its a honour in this universe, your blessed dia so blessed ,sijui kama unanielewa,Hongera n never give up n go back,keep moving Cz God will give u a backup
Neema iliyokushukia ni kubwa mno.Amani ya Bwana iwe rohoni mwako daima.Umechagua fungu lililo jema sanaaa.I really learn and proud of God for His chosen person Irene.Endelea kuwa mtendaji kwenye mavuno ndani ya shamba la Bwana.
Hongera sana mtumishi, karibu kwenye ufalme wa Mungu aliye hai ,ushuhuda wako unagusa sana ,na Kwa ushuhuda huu wengi wataokoka ,hicho ndicho ulichitiwa
Endelea Mbele hajalishi kutakuwa na changamoto Gani ,hata Mungu alimwambia Musa awambie Wana wa Israel waendelee mbele wasitazame nyumba,najifunza vitu vingi sana inanifanya kumuona Mungu hatuwezi kumuweekea mipaka,yeye anauwezo wa kufanya chochote kama apendavyo,sisi ni vyombo vya Mungu anaweza kutumia chombo chochote akipendacho yeye,Ireni nakupenda sana
Mm mweyewe najiona kama irene ntafuata moyo wng ktk kuwa mwema kwangu ,Wallah nimejiona mm kupitia huyu dada ,ngoja sasa nkatafute panadol nimeze mana si kwa kulia huku mwanzo hadi mwisho wa interview yk,Mungu atuongoze wote
Haleluyaa,yaani nakuonea wivu sana, MUNGU amekupendelea sana wewe ni chanzo cha wadada wengi kumrejea MUNGU ubarikiwe sana wewe na uzao wako kwa kusimama ktk nafasi aliokuitia Mungu,hakuna tena utumwa wala ukimbizi peperusha bendera. ya YESU matokeo yake ni makubwa mno,karibu sana kwenye fungu Jema, God protect you
Yule mama aliyepiga kelele na safari ya Irene aje kusiliza huu ushuhuda wake ...kasema hana kanisa na yeye bado sio mchungaji lakini an kitu cha kuwaleta wengi kwa Kristo hasa mabinti...ana kitu cha kuwaambia na wakawa na ile hamu au hari ya kuja kwa Yesu ...Mungu ana njia zake za kuwafanya watu wamtumikie sio mpaka uoge uoshwe sijui ujitakase ndio utumike...Mungu anajua namna gani anavyorehemu amtakaye ili aweze kuwa wake..hongera sana Irene songa mbele mwanangu kwa ulichoamua ni cha thamani kuliko ulivyowahi kuvimiliki maishani kwako
😭😭😭Your blessed ,Umebariki wengi kupitia huu Ushuhuda.Endelea Mbele Songa Mbele Mwenyezi Mungu hawezi kumuacha Mtumishi wake aibike,Endelea kumtumikia Mungu njia uliyochagua ndio nzuri kuliko vitu vyote Duniani.
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Irene, ni maombi yangu kwa Mungu kwamba asikuache na wala usirudi nyuma, roho mtakatifu azidi kukuongoza uzidi kumtumikia, kupitia wewe Wengi wapate kumjua Mungu, Haleluya.
Kati ya wa sanii wa bongo move ambao nimewahi kuwapenda kutoka moyoni mwangu ni ww chakwanza ni hekima Yako ya kutojibishana mitandaoni nakufurahia sana Irene Mungu akubariki sana umenipa nguvu mpya safari Yako ya wokovu inafanya na yangu hata sasa nastrago kumrudia Mungu 100%
Hongera Irene ,Mungu aendelee kukisimamia hakika umekuwa ushuhuda kwa wengi, nashauri uweke namba ya simu kwa ajili ya michango kwa watakaoguswa kuchangia huduma. Binafsi nimeguswa mno na ushuhuda wako na naamini Mungu aliyetenda kwako atatenda kwangu pia ,Amina.
Barikiwa dada erini ushuhuda wako umeniliza sana mungu anakupenda sana hakutaka akuache upotee umepata neema kubwa sana usiipoteze ata kidogo atazidi kukufungua❤️❤️
Im from burundi🇧🇮nafurahi kumuona Irene mpya 😭😭😭❤❤❤Mungu azidi kukubariki sana dadangu Irene umenikumbusha upendo wa Mungu lakini testimony yako itawasaidia wengii ....Mungu azidi kukutia nguvu ya kumtumikia🙏
Hongera sana umechagua fungu lililo jema yaani nimefurahi Mungu alikujua na alikuwa anajua Kuna majira yatafika utakuwa mtumishi wake Fanya kazi ya Mungu utalipwa na Mungu
Wewe ni ushuhuda halisi wa Mungu anamchagua yeyote kwa kazi yake, na kila kitu kina kusudi kinapotokea kwenye maisha ya mtu,ulitengeneza njia ili na wengine tuzidi kuamini na tuache kujihukumu na tumuamini Mungu kwa ajili ya kazi yake. Hongera kwa kuwa taa ya mabinti wengi wanaotakiwa kutumika katika ufalme wa mbinguni, barikiwa sana mtumishi wa Mungu, keep pressing on.
I Love You Irene👏🏼Hongera sana kwa Kumtumikia Mwenyezi Mungu ushuhuda wako umezidi kunibariki sana sana sana your Blessed God Loves you so Much🙏🏿songa Mbele Endelea kusonga mbele
Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Wengi watakubeza, watakucheka, watakudharau, watakukashifu na mengi mengineyo. Ila njia uliyochagua ni njema na sahihi. Mungu aendelee kukutunza na mwisho wa siku tukutane paradiso
😢😢😢 Bwana Yesu ni mzuri sanaaaa, Namemuona Mungu tena na tena kupitia huu ushuhuda. Bwana Yesu Asante Kwa haya matendo yako Makuu. Bwana Yesu aendelee kutukuzwa kwenye maisha yako mapya ya wokovu mwana wa Mungu
Yesu juu sana,ushuuda wako umesababisha nilie na nimpende Mungu tena,yani na mimi niliokoka kama wewe watu wakanipa mda ,walinicheka na marafiki waliniacha,Mungu akatutia ngivu sasa ni mwaka 16 na sitarudi nyuma.
What an encounter 👏 Wow Glory to Jesus. You even had a chance to meet Prophettes Bebe Angel wow. Kwa kweli Mungu akimbiwi. Me ata ukianzisha kanisha sishangai. God can do all things
Mungu ni mwema ukiamuwa kumfata anakuheshimisha kabisa Ila kuwa makini na kila atakaekuja kukusaidia omba kwanza Mungu kabra yakupokea mdaada wake Asante Mungu akuongoze Dada
Amen God bless na azidi kukuonekania katika safari yako hii ya wokovu uliyoianza na azidi kukupa ujasiri wa kuzidi kusonga mbele......I pray for you in this journey uliyoianza ya Huduma na wokovu
Jamani Mimi nashukuru Mungu juu ya maisha yako Nakupenda Sana dada Irene since way back hakika Mungu anawajua walio wake naalikujua kabla haujazaliwa Mungu akubariki mnoo
Alellujah madam Irene mungu aliekuita kumtumikia nq Mimi aniweke katika nafasi hii kwa jina LA yesu mungu akuzidishe weww uwe mfano kwetu na kwa watoto wetu Amen❤❤🎉🙏🙏
🙌hongera sana sana sis Mungu akujalie kusonga mbele usirudi nyuma Mungu ni wa wote wenye mwili na humchagua yy amtakaye ili amtumikie songa mbele kazana umenivutia jambo limenigusa sana kweli Mungu hana special🥰🙏tuombe ndugu zako ktk Kristo🙏
Nyieee mwachen Mungu aitwe Mungu,nmelia machiz ya furaha na kujifunza meng kupitia hili, Mungu akutie nguvu usirud nyumaaa thanks God kwa ajili yako❤❤❤
Ireen umechagua jambo jema sana,sitamani hata kidogo urudie yakale uliyo yaishi kabla ya kuitwa na Mungu.Mungu akutunze sana asikuache hata hatua yako moja awe na wewe daima.Sijajuta kukusikiliza mtumishi wa Bwana.Barikiwa sana.
Kuna vitu ambavyo ukiskia na kutokan na mtu mweny anatamka kile kitu inakupa kuamini na kukujengea amani kua kweli Mungu yupo na nimfinyanzi mzuri sana na hakun anacho kishindwa haswa pale anapo kua ameamuwa duh kweli Mungu yupo nikimuon Mama Krish a amini zaidi kua Mungu yupo love you Irene ❤❤❤❤❤❤❤
Dada irene mungu akubariki sanaa hata mm nilisha kuona sana kwenye ndoto nikawa nawaza nakupataje je utanielewa hatanikikuona lakini nashukuru mungu amekuokoa.andelee kukutetea.
Mungu akubariki sana Iene kwa kuitikia wito wa Mungu ili uwe daraja kwa wengi. With God, surely you are going far girl 🙌 . Asante kwa ushuhuda mzuri na very inspirational
Hongera sana mtumwa wa Mungu,lipo kundi kubwa la vijana wataokoka kupitia wewe,,Mungu aendelee kukubadilisha uishi utakatifu wa ndani na nje,uwe natural natural kwa kila kitu.Mungu Akutie nguvu.
Powerful testimony Irene,He that started a good work in you shall accomplish it for his own glory,keep soaring higher,Jesus is proud of you,Sisterhood is proud of you❤
Ushuhuda wako kama wakwangu I was once like you and everyone was telling me that i have to serve God lakini nilikua mkaidi sana ilifika wakati Mungu aliblock kila kitu kwenye maisha yangu hapo ndipo niliamua kumrejelea Mungu nikafunga na kuomba seven days baada ya hapo Mungu aliniambia kuwa sitakiwi kumtegemea yoyote yule isipokuwa yeye tu tangu hapo Mungu alianza ku repair maisha yangu kidogo kidogo and am growing na ninamtumikia Mungu na kumtumikia Mungu haimanishi kuwa lazima uwe mchungaji nabii au muinjilisti lakini unaweza kumtumikia Mungu kwenye eneo lolote lililo halali na kila mtu aliyempa Yesu maisha ni mtumishi mtangaze Yesu dada Irene kumjua Yesu ndo ujanja sasa yani hapo ndo umekua mjanja
Amen
Baada ya kusikiliza nimetambua Irene is truly a Living Testimony. Mungu wa Mbinguni azidi kukuinua viwango vya juu zaidi dada
Daaah mpk nimetoa machozi, hongera sana Irene, kwa kweli umeupiga mwingi, nakutamani sanaa❤
Mungu aliyekuonekania kwenye maisha yako akaonekane na kwangu Amen 🙏♥️
Amen 🙏
Amen sana
🙏
Amen 🙏🏾 😔
🙏🏾 amen
Hongera sana Irene Uwoya, MUNGU ameamua kukuchagua usiache njia hiyo ni sahihi! Keep it up💌
Pastor Tony is a blessing to Many of us. Mungu amtunze sana
Na Irene kweli umebadilika,yani umekuwa mzuri zaidi❤❤❤🙏
Umeongea maneno yamenigusa sana we dada 😭eeh Mungu tusamehe waja wako 🤲😭
KWAKWELI NMEKUPENDA BURE IRENE WANGU.ALLAH AKUONGOZE.MIMI NI MWISLAM NINA IMAN YANGU LKN NMEKUSIKILIZA KWA MAKINI WW NI MKRISTO ULIOSHIBA YA DUNIA.UENDELEE KUKINAI YA DUNIANI.MANA DUNIA NI MAPITO.UBAKI KUMTUMIKIA MUNGU.NI KWELI TUMELETWA ILI TUMUABUDU MUNGU ❤. MUNGU AKUTUNZE❤❤❤❤❤POLE KWA MAPITO.HUJACHELEWA
Limeinuliwa jina lake Yesu 🙌 Halellujah
Hakika wew ni ushuhuda tosha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Na hii ndio maana ya kusema Mungu anawatu wengi sana hajawahi ishiwa🙌. Mungu aendelee kukutunza na ukafanyike baraka ya kuvuta watu wengi sana kwenye tasinia ya sanaa kupitia wew dada. And u will be among the richest women of God in Tanzania in Jesus name🙌
Amen
Hakuna neema kubwa kama hii aliopata irene neema na kusali kuomba kufunga na kua karibu na Mungu ni neema kubwa mnooo kuliko neema yoyote ile
Hakika nimebarikiwa sana na huu ushuhuda!! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Ninatamani sisi tulio elewa huu ushuhuda tumuishi Yesu kwa aşılımia 💯 kuna raha na amani ndani ya Yesu!!
I tap into this anointing testimony in Jesus' Name. Amen
Mungu Akuwezeshe sanaa Irene maana kama ni bata umelila lakutosha umepitia vikwazo vingi dunia tunapita dada kua na mwisho mwema ndo kizuri zaidi.🥰🥰
Waoh huyu ndo Mungu wangu naemjua , Mungu si wa watu fulani fulani bali ni wa wote anawaita unqualified na kuwa fanya qualified to His kingdom.hallelujah.i love you ❤
Kabisa huyu ndio Mungu wetu❤
Hakuna raha kama Mungu akikupenda jamn,its a honour in this universe, your blessed dia so blessed ,sijui kama unanielewa,Hongera n never give up n go back,keep moving Cz God will give u a backup
Glory to God, Glory be to the most highest God forever and ever AMEN 🙏 🙏 🙏
YESU azidi kukutunza na kukupa nguvu ya kumtumikia.❤
Niko Burundi.Habari ya kuokoka kwa Irene Uwoya yanifurahisha mno.Kama ni Mungu aliyemwita aendelee kumtumia ili wengine mfano wake waokoke
Asante sana Irene wewe ni role model wa mabint wengi sana Mungu na azidi kukutumia kuokoa wengi. Ubarikiwe mno
Neema iliyokushukia ni kubwa mno.Amani ya Bwana iwe rohoni mwako daima.Umechagua fungu lililo jema sanaaa.I really learn and proud of God for His chosen person Irene.Endelea kuwa mtendaji kwenye mavuno ndani ya shamba la Bwana.
Iyo nikweri
Mungu aliyekuita ana sababu kubwa na maisha yako Irene Uwoya
Sifa na Utukufu kwa Mungu
Mungu akubariki Irene ,umenitia moyo sana
Hongera sana mtumishi, karibu kwenye ufalme wa Mungu aliye hai ,ushuhuda wako unagusa sana ,na Kwa ushuhuda huu wengi wataokoka ,hicho ndicho ulichitiwa
Endelea Mbele hajalishi kutakuwa na changamoto Gani ,hata Mungu alimwambia Musa awambie Wana wa Israel waendelee mbele wasitazame nyumba,najifunza vitu vingi sana inanifanya kumuona Mungu hatuwezi kumuweekea mipaka,yeye anauwezo wa kufanya chochote kama apendavyo,sisi ni vyombo vya Mungu anaweza kutumia chombo chochote akipendacho yeye,Ireni nakupenda sana
Jina la Yesu Christo liinuliwe milele na milele Amen 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 IRENE nakupenda kuanzia leo na Mungu atuimize katika safari ya kwenda mbinguni😭😭🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
God bless you Irene❤️
Uzidi kusonga mbele tupo tunaokutazama kuanzia leo 🙏🏾🙏🏾 He will never Leave you nor Forsake you🥰
Heshima na utukufu wotee tumpe Bwana Yesu,Dada Irene ushuhuda wako umeniongezea nguvu sana ktk imani na kuendelea kunyenyekea sana mbele za Mungu
Ushuhuda huu unaenda kuokoa watu wengi mno ktk dhambi
Mm mweyewe najiona kama irene ntafuata moyo wng ktk kuwa mwema kwangu ,Wallah nimejiona mm kupitia huyu dada ,ngoja sasa nkatafute panadol nimeze mana si kwa kulia huku mwanzo hadi mwisho wa interview yk,Mungu atuongoze wote
Sana sanaa pamoja na mimi
Haleluyaa,yaani nakuonea wivu sana, MUNGU amekupendelea sana wewe ni chanzo cha wadada wengi kumrejea MUNGU ubarikiwe sana wewe na uzao wako kwa kusimama ktk nafasi aliokuitia Mungu,hakuna tena utumwa wala ukimbizi peperusha bendera. ya YESU matokeo yake ni makubwa mno,karibu sana kwenye fungu Jema, God protect you
Wengi wataingia FOG ministry
Yule mama aliyepiga kelele na safari ya Irene aje kusiliza huu ushuhuda wake ...kasema hana kanisa na yeye bado sio mchungaji lakini an kitu cha kuwaleta wengi kwa Kristo hasa mabinti...ana kitu cha kuwaambia na wakawa na ile hamu au hari ya kuja kwa Yesu ...Mungu ana njia zake za kuwafanya watu wamtumikie sio mpaka uoge uoshwe sijui ujitakase ndio utumike...Mungu anajua namna gani anavyorehemu amtakaye ili aweze kuwa wake..hongera sana Irene songa mbele mwanangu kwa ulichoamua ni cha thamani kuliko ulivyowahi kuvimiliki maishani kwako
😭😭😭Your blessed ,Umebariki wengi kupitia huu Ushuhuda.Endelea Mbele Songa Mbele Mwenyezi Mungu hawezi kumuacha Mtumishi wake aibike,Endelea kumtumikia Mungu njia uliyochagua ndio nzuri kuliko vitu vyote Duniani.
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Irene, ni maombi yangu kwa Mungu kwamba asikuache na wala usirudi nyuma, roho mtakatifu azidi kukuongoza uzidi kumtumikia, kupitia wewe Wengi wapate kumjua Mungu, Haleluya.
Kati ya wa sanii wa bongo move ambao nimewahi kuwapenda kutoka moyoni mwangu ni ww chakwanza ni hekima Yako ya kutojibishana mitandaoni nakufurahia sana Irene Mungu akubariki sana umenipa nguvu mpya safari Yako ya wokovu inafanya na yangu hata sasa nastrago kumrudia Mungu 100%
Ongera sana huyo ndiyo Bwana Yesu anavyo badilisha watoto wake wependwao sana Dada keep moving on in life Christ in the way
Hongera Irene ,Mungu aendelee kukisimamia hakika umekuwa ushuhuda kwa wengi, nashauri uweke namba ya simu kwa ajili ya michango kwa watakaoguswa kuchangia huduma. Binafsi nimeguswa mno na ushuhuda wako na naamini Mungu aliyetenda kwako atatenda kwangu pia ,Amina.
Barikiwa dada erini ushuhuda wako umeniliza sana mungu anakupenda sana hakutaka akuache upotee umepata neema kubwa sana usiipoteze ata kidogo atazidi kukufungua❤️❤️
Irene mzuri iv halafu ameokoka,...mimi ni nani hata nisimtumikie Mungu,...Jehovah nisaidie nami hasa kimsimamo maana nalegalega mno. IJN Amen
God bless you Mtumishi Irene,with this na amini umegusa maisha ya wengi,Gods time is the best,God bless you
I'm from Burundi nafurahi sana kuskia testimony yako Irene umeichagua njia nzuri endelea kumtumikia Mungu 🎉🎉🎉🎉
Im from burundi🇧🇮nafurahi kumuona Irene mpya 😭😭😭❤❤❤Mungu azidi kukubariki sana dadangu Irene umenikumbusha upendo wa Mungu lakini testimony yako itawasaidia wengii ....Mungu azidi kukutia nguvu ya kumtumikia🙏
Irene Mungu akubariki sana, kupitia wewe uta okoa wengi mnoo, endelea na usirudi nyuma kabisa.
Hongera sana umechagua fungu lililo jema yaani nimefurahi Mungu alikujua na alikuwa anajua Kuna majira yatafika utakuwa mtumishi wake Fanya kazi ya Mungu utalipwa na Mungu
Hiiii ni nguvu ya kukutana na Mungu uso kwa uso🙌Yesu wetu mzuri akutunze🙏
Hongera kwa neema hongera kwa kuchaguliwa na Mungu hongera kwa ushindi hongera Irene Mungu ameshindaaa Ameeen
After so much crying, Point taken "Ni Mungu Tuu"
Wewe ni ushuhuda halisi wa Mungu anamchagua yeyote kwa kazi yake, na kila kitu kina kusudi kinapotokea kwenye maisha ya mtu,ulitengeneza njia ili na wengine tuzidi kuamini na tuache kujihukumu na tumuamini Mungu kwa ajili ya kazi yake. Hongera kwa kuwa taa ya mabinti wengi wanaotakiwa kutumika katika ufalme wa mbinguni, barikiwa sana mtumishi wa Mungu, keep pressing on.
Hongera Sana Irene Neema hiyo uliyoipata, naipokea Kwa Jina la yesu.
I Love You Irene👏🏼Hongera sana kwa Kumtumikia Mwenyezi Mungu ushuhuda wako umezidi kunibariki sana sana sana your Blessed God Loves you so Much🙏🏿songa Mbele Endelea kusonga mbele
❤ Njia za Mungu hazichunguziki, honger San Dad Irene keep it up
Karibu sana Irene Uwoya kwenye injili ya Yesu Kristo na nina wimbo mahususi inayogusa maisha ya watu natamani nikushirikishe wimbo unaitwa MY SERVIOR
Nimesikia kulia 😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤mungu akuongoze pia aniongoze nimjue kupitia ww najiona kabsa hata ninavyoishi
Irene mapenzi ya Mungu yatimizwe kwenye maisha yako.Amina
Hongera sana mtumishi Irene umechagua fungu lililo jema.
Umechagua fungu njema sana my dear Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Mungu hata kuacha kamwe hakuna mtu aliemtumikia Mungu Mungu akamuacha
Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪
The chosen one
Huyo ndo Mungu tunaemjua
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Wengi watakubeza, watakucheka, watakudharau, watakukashifu na mengi mengineyo. Ila njia uliyochagua ni njema na sahihi. Mungu aendelee kukutunza na mwisho wa siku tukutane paradiso
Umenitia moyo sana dada Irene mungu azidi kukuinua sana katika huduma yako
Its called restoration may the Lord of restoration continue restoring you in your entire journey Irene Uwoya blessing from 🇰🇪
Glory to God, nimebarikiwa mno, nimeguswa
😢😢😢 Bwana Yesu ni mzuri sanaaaa, Namemuona Mungu tena na tena kupitia huu ushuhuda. Bwana Yesu Asante Kwa haya matendo yako Makuu. Bwana Yesu aendelee kutukuzwa kwenye maisha yako mapya ya wokovu mwana wa Mungu
Asante sana IRENE, ushuhuda wako umenisidia sana. Mungu akubariki na akupe haja ya moyo wako. ❤❤❤❤❤
Yesu juu sana,ushuuda wako umesababisha nilie na nimpende Mungu tena,yani na mimi niliokoka kama wewe watu wakanipa mda ,walinicheka na marafiki waliniacha,Mungu akatutia ngivu sasa ni mwaka 16 na sitarudi nyuma.
What an encounter 👏 Wow Glory to Jesus. You even had a chance to meet Prophettes Bebe Angel wow. Kwa kweli Mungu akimbiwi. Me ata ukianzisha kanisha sishangai. God can do all things
Bebe angel sijaelewa
@@olivemwamengonakilimombeya6951 Kuna mtumishi wa Mungu alikutana nae kipindi huyo mtumishi amekuja Dar
Dada irene! Daah!!! Songa mbele kipenzi, ww ni funzo sana yaani mfano unaonekana
Spiritual Enlightenment at its height! 👏👏👏.
“Ni bora nikose vingine vyote lakini nisi kukose wewe” Amen to that 🙌🏽🙌🏽🙌🏽😭❤️
Asantee sana dada irene umebadilisha maisha yangu sanaa mungu akubariki
I love you Irene❤. Moyo wangu unakufurahia sanaaaaa
Naamini vijana tumejifunza mengi kupitia ww asante Mungu kupitia Irene 🙏🙏
Mungu akutie nguvu iren uwoya na neema ya Mungu iwe juu yako daima❤ nimependa sana na ninafuraha kubwa sana kwa ajili yako
Wow unakumbusha jinsi yesu alivyo badilisha maisha yangu toka 2006 Bwana hajawai kushindwa keep moving forward in Christ
Thank you for saying YES to our LORD JESUS CHRIST ❤️❤️ we love you ireen and we are praying for you and the ministry
Mungu ni mwema ukiamuwa kumfata anakuheshimisha kabisa
Ila kuwa makini na kila atakaekuja kukusaidia omba kwanza Mungu kabra yakupokea mdaada wake Asante Mungu akuongoze Dada
Mungu akutunze dada Irene...am happy for you. Jesus is always a real big deal and a permanent solution.
Amen God bless na azidi kukuonekania katika safari yako hii ya wokovu uliyoianza na azidi kukupa ujasiri wa kuzidi kusonga mbele......I pray for you in this journey uliyoianza ya Huduma na wokovu
Ubarikiwe sana Irene nimejifunza kitu kwa ushuhuda huu Mungu akutunze❤
Jamani Mimi nashukuru Mungu juu ya maisha yako Nakupenda Sana dada Irene since way back hakika Mungu anawajua walio wake naalikujua kabla haujazaliwa Mungu akubariki mnoo
God is Good All the time nirikuwa nakupenda ivi sasa nakupenda zayidi na zayidi maman Krish wangu❤❤❤❤kuwa kwa Yesu ni raha sana
Im happy for you Irene na umenipa nguvu ya kusonga mbele❤❤❤
Alellujah madam Irene mungu aliekuita kumtumikia nq Mimi aniweke katika nafasi hii kwa jina LA yesu mungu akuzidishe weww uwe mfano kwetu na kwa watoto wetu Amen❤❤🎉🙏🙏
🙌hongera sana sana sis Mungu akujalie kusonga mbele usirudi nyuma Mungu ni wa wote wenye mwili na humchagua yy amtakaye ili amtumikie songa mbele kazana umenivutia jambo limenigusa sana kweli Mungu hana special🥰🙏tuombe ndugu zako ktk Kristo🙏
Mungu amemchagua iren kuja kutuokoa kwenye dhambi zetu na kupitia iren tutabadilika wengi sanaaaa
Such a beautiful testimony Irene. Sending you love from Kenya❤❤❤ God's faithfulness is evident in your story. More grace to you Sis.
Nyieee mwachen Mungu aitwe Mungu,nmelia machiz ya furaha na kujifunza meng kupitia hili, Mungu akutie nguvu usirud nyumaaa thanks God kwa ajili yako❤❤❤
Merci maman Mutumishi Wa Mungu Amen❤❤❤❤❤❤
Ireen umechagua jambo jema sana,sitamani hata kidogo urudie yakale uliyo yaishi kabla ya kuitwa na Mungu.Mungu akutunze sana asikuache hata hatua yako moja awe na wewe daima.Sijajuta kukusikiliza mtumishi wa Bwana.Barikiwa sana.
Be blessed Irene Mungu akusimamie kwa msaada wa Roho Mtakatifu utashinda. Roho Mtakatifu akuongize daima🙏
Kuna vitu ambavyo ukiskia na kutokan na mtu mweny anatamka kile kitu inakupa kuamini na kukujengea amani kua kweli Mungu yupo na nimfinyanzi mzuri sana na hakun anacho kishindwa haswa pale anapo kua ameamuwa duh kweli Mungu yupo nikimuon Mama Krish a amini zaidi kua Mungu yupo love you Irene ❤❤❤❤❤❤❤
Dada Irene,ushuhuda huu mrefu,lakini nimeusikiliza..Mungu akusaidie Una kitu Cha kusaidia wengine,Fanya kama ulivyomaanisha,Bwana Yesu anatukuzwa.
Dada irene mungu akubariki sanaa hata mm nilisha kuona sana kwenye ndoto nikawa nawaza nakupataje je utanielewa hatanikikuona lakini nashukuru mungu amekuokoa.andelee kukutetea.
Huyo ndo MUNGU ninae mtumikia, asante yesu kwa ajili yako, kuna wengine bado, wewe ni barua watakuja
Mungu akubariki sana Iene kwa kuitikia wito wa Mungu ili uwe daraja kwa wengi. With God, surely you are going far girl 🙌 . Asante kwa ushuhuda mzuri na very inspirational
Hongera sana mtumwa wa Mungu,lipo kundi kubwa la vijana wataokoka kupitia wewe,,Mungu aendelee kukubadilisha uishi utakatifu wa ndani na nje,uwe natural natural kwa kila kitu.Mungu
Akutie nguvu.
Barikiwa sana mtumishi Bwana Yesu akufikishe kilele cha mapenzi yake aliyoyakusudia kwako
Powerful testimony Irene,He that started a good work in you shall accomplish it for his own glory,keep soaring higher,Jesus is proud of you,Sisterhood is proud of you❤
Hongera sana irene.mungu wetu ni mwema sana wallah nimejikuta machozi yananidondoka 😭
I'm glad kwa aina ya watu pia Mungu aliowabakiza
Mungu akubariki sana yaan mm hata kwenda kanisani moyo wangu huwa mzito saaaana siwez sjui kwann yan roho yangu inaniuma sana sanaaa
Mungu akubariki sana irene,fanyika baraka kwa wengine.
Hakika Irene umejua kunifurahisha. Mungu akuimarishe zaidi.
Mungu akubariki dd angu sijawai saidiwa na weye lakini kila siku nakuombea irene nakupenda kutokea congo
Waooow sasa nimeelewa baada ya kueleza hayo, Mungu akupe kusimama na kukua zaidi katika maarifa yaje🎉🎉🎉🎉
No word i can add there lkn sifa na utukufu ukawe kwake yeye aliye mkuu aokoae watu🙏🙏🙏