Mie nasemaga siku zote kama wabunge wote wa ccm wangekuwa kama bashii,mie ningejiunga ccm Mara moja na bashii mungu akupe maisha marefu na ccm wenzio waige nyendo zako
Mheshimiwa Hussein Bashe Mungu Akulinde wanasiasa igeni mfano wa Bashe huu ndio uanaume Afadhali kufa ukiwa unausimamia ukweli kuliko kuishi ukiwa mtumwa
Bashe unapoint zamana Sana mkuu niwachache wasema ukweli ambao wapo ndani ya serikali kama ww chapa Kazi mungu akupe nguvu namaisha malefu ktk kazi yako
Kimefanyaje we kilaza?. ni mambo mangapi mliyokuwa mnayapigia kelele sasa mmeyasaliti?. mwache MH atimize wajibu wake nadhani hujui hata Wajibu wa Mbunge!
Ubarikiwe bashe kwa kuipenda nchi yako ingekua amri yangu ungetawala baada ya magufuri ,japokua pale ikuru maraisi wakifika wanabadirika sijui pana shetani gani .hata angeshuka maraika pale anakua shetani
Daaa itapendeza mh rais ambadilishe kuwa wazir kamili co unaibu naimani atatupeleka mbali huyu jamaa namkubali sna bashe mungu akujalie upate vyeo zaidi ya hivi
Safi nakuelewa sana bashe , wewe akili unazo wala hutetei chama , ila jichunge maana ukipewa wizara watakuandama kama nini. Lakin siku zote bungeni point zako nazikubali nahisi mawaziri wangekuwa wanasikiliza na kufanyia kazi mawazo yako tungekuwa mbali sana .
Hussein Bashe excellent!! Excellent!! Kura zote kwa Hussein Bashe kwa maoni mazurii
Wasomali wengi akili zao ziko vizuri sishangai.Mungu akubariki
Kama unamkubali hussen bashe acha ubishi gonga like yako hapa hili ni jembe👏👏👏👏👏👏👏👏
kura yangu haikwenda bure namkubal sna. mbunge wangu
Halima Chezue 👏👏👏
hongera kwa kuwa kweny jimbo la bashe
wilonja hatua najivunia sna
👏
Wambunge wa ndioo jifunzeni kwa Bashe Mungu akulinde mweshimiwa big up
Nakupenda sana Bashe..Nitafurahi SIKU moja ukiwa Rais wa nchi hii
Wabunge wa CCM wangekua kama Bashe nchi hii ingekua mbali kimaendeleo.....🇹🇿
Bashe unaakili sana ww kijana na pia nimkweli sana barikiwa sana mungu akutunze""
Asante sana kututetea. sisi wakulima wa Kahawa ndoa tumeisha kabisha Tunaibiwa wazi wazi na Kdcu ltd na serikali ina fumba macho!.tutakutana 2020.
I real appreciate u brother Hussein Bashe may Allah bless u and long live brother
Safi Sana na mungu atakulinda kwa kuwa mkweli na kweli itasimama daima
Be blessed Mheshimwa Bashe, michango yako Bungeni yote mimi naikubali sana unafanya analysis nzuri sana mkuu wangu.
Evaluative speech!
Salute kubwa sana Mh. Mbunge.
We need people like you.
hongera bashe upo vizuri
Mungu akutangulie Bashe
having people like you in the country, is a great asset
Mie nasemaga siku zote kama wabunge wote wa ccm wangekuwa kama bashii,mie ningejiunga ccm Mara moja na bashii mungu akupe maisha marefu na ccm wenzio waige nyendo zako
Mheshimiwa Hussein Bashe Mungu Akulinde wanasiasa igeni mfano wa Bashe huu ndio uanaume Afadhali kufa ukiwa unausimamia ukweli kuliko kuishi ukiwa mtumwa
Mungu akupe hekima if possible I wish you to become president of this Nation in future
Safi sana mr.bashe mungu akutangulie
huyu mbunge amenitachi kweli kwenye mifugo. maana kukamatwa kumezidi.
Asantee sanaa bashe ila jipange 2020
kweli yani 2020 apewe tu.
Tanzania Nzima Wabunge Nao Wakubali ni Mh Hussein Mohammed Bashe na Zitto Zuberi Kabwe
Wengine Nawafikilia Bado Hawanishawishi
KAMA UNAMKUBALI BASHE GONGA LIKE TWENDEEE TUMSAPOTI BASHE
CHESCO MUHEMA Bashe nampongeza kwaubungewake naanaonekana bungen
Hapo sawa
CHESCO TV ONLINE bashe ndiye mbunge sahihi
jembe hilo
Nakuombea bashe uwe raisi wa nchi yetu tz nakupenda
Thanks alot big man your light and your point is understandable big up Sir
Bashe umetisha ndg yng'!!! We ni zaidi ya mzalendo
dah bashe nkukubli xan kama n muelewa gpnga like hapo
dah Jamaa yuko vzr Sana,big up kiongozi .
Safi sana bashe mungu akubariki na akupe maisha marefu
mungu akubariki sana huseni bashe
SIJUI KWANINI HUKUWA MBUNGE TOKEA MWAKA 1990 BASHE? YAANI UNASTAHILI SANA KAKA. KEEP IT UP, USIRUDI NYUMA.
good Mr.Bashe, good Mr.Job Ndungai.
bashe endelea hivyohivyo wananchi tanzania kote wanakuelewa sana bashe big up
asiye muelewa bashe hataelewa milele mwenyezimungu amuongezee uhai
Bashe unapoint zamana Sana mkuu niwachache wasema ukweli ambao wapo ndani ya serikali kama ww chapa Kazi mungu akupe nguvu namaisha malefu ktk kazi yako
Daaah mpaka nimesisimkwa vinyweleo this is a very nice speech huku na swaumu kali lkn umejitahidi kukaza sauti na point nzito
Andrew Sailen fine
Mhhh!ila Bashe ,Mungu akubariki sana kweli waliokupa kura hata hawakukosea.
kweli bashe uko vizur ndugu unaweza hongera
u deserve....u real...u perfect...Nzega hawakukosea...b blessed..
Floral Bulwaye bashe
Nakupenda bure Mh Mbunge
Hongera bashe
huseni bashe saluti big up
Mungu akujalie afya njema uzidikulitumikia taifa
Bashe nakupendaga bure tu, lkn tatizo ni chama chako
Kimefanyaje we kilaza?. ni mambo mangapi mliyokuwa mnayapigia kelele sasa mmeyasaliti?. mwache MH atimize wajibu wake nadhani hujui hata Wajibu wa Mbunge!
Namkubali xn bashe good xn brother
Penda sana bashe
Ulitaka awe WAP mbise
We are supporting you
Ningekuwa nzega kura yangu unalamba mdogo wangu,upo sawa
bro wew na nape sarudi aki kwaza uchama badae
We lijamaa upo vizuri sana dah
Jaman mungu akubariki sana
This is Good Speach,
YOU SO GOOD, , REMEMBER ALSO THAT JESUS LOVES YOU MORE THAN ANY BODY SAY
brilliantly speaking!
Bashe unafaa kua president,inshaallah
Ubarikiwe bashe kwa kuipenda nchi yako ingekua amri yangu ungetawala baada ya magufuri ,japokua pale ikuru maraisi wakifika wanabadirika sijui pana shetani gani .hata angeshuka maraika pale anakua shetani
Duh unaongea point sana na ufike had urais
Safi sana tunawaitaji wabunge kama hawa
bashe yupo vizuri aisee!
hongera sana nikweli kabisa wafugaji awatambuliwi kabisa waambiye kama wa tatambuliwa
Daaa itapendeza mh rais ambadilishe kuwa wazir kamili co unaibu naimani atatupeleka mbali huyu jamaa namkubali sna bashe mungu akujalie upate vyeo zaidi ya hivi
Hakika kura yangu haijawahi kukosea kwenda ccm ila ningekua jumbo LA nzega bashe kula yangu ungeipata unanikusha marehem firikunjombe
Bashe huko ccm unapotea...njoo chadema ulilie haki ya wananchi
Lucas Frednand acha tu filikumjombe yan#
Kama hajakupa nafasi 2020 njo ukawa
Yombaga mamy bashe nzagamba wiswe wanyanyembe wa ntobora
Hongera raisi mtarajiwa husen bashe na iwe hivyo Nina matarajio makubwa na wewe katika taifa hili mungu mbariki mja wako mzalendo wa kweli.
Uko vizuri kaka kuwa muwazi
Yaani nakukubali sana ww ni mbunge unaejitambua na cyo mbunge ndioooo
wewe ndo mbunge sio msukuma amekua zuzu
Khalid Bakari bora hata angekuwa mbunge wa njombe maana libunge langu cjui linafanya nin
You are good Mr bashe
Kiswahi kinge , uko sawa Bashe
Hahah! Maashallaah, "Namuheshimu na nimefunga"
katika wabunge wa ccm huyu ni watofauti Niko chadema ila wewe tofaut kabisa wewe ni mbunge wao ni wajaza viti
I real wish we could have MP's like Bashe, he is a good leader, I cherish his ideas and thinking!
Peter Millanga but full of hypocrisy!!
Bashe unagusa wanachi ila nikweli ayo yanatoka moyoni Kama nikweli mungu akutie nguv
Nais kama nakuelewa bashe kiukweli wizaran ya kilimo umwagiliji na ufugaji bajeti yake indigo Sana nakuunga mkono
uko vizuri sana bashe
Bajeti ilipita and business as usual.
Wakimnyima ubunge kupitia CCM, tutamteua kuwa mgombea binafs
bashe ukovizur mm nakuelewa sana Asante sana
Bashe bashe hakika were in mbunge unae penda kuweka kira kitu wazi barikiwa
Big up sana bashe wakulima wanaonewa sana wananyanyaswa sana angalia Mbolea 50,000/=mahindi gunia 30,000/= tutafika ????
Tatizo chama mh,bashe
Tatizo chama mh,bashe
Safi kabisa mbunge wa Nzega mjini.
Mungu akulinde mh bashe.
Secho Kivega mungu akuhifadhi
Mungu akuhifadhi
Secho Kivega Nakukubali sana
Bashe semaa tupone Baba
hawa ndo wabunge tunaowahitaji bana siyo mtu ni mbunge anaingia bungeni kusinzia na kupiga soga then posho bila kazi ya maendeleo
Nakukubali sana Mh bashe
Safi Bashe.
safi sana bashe kwa kuwa mkweli
the best member of parliament in ccm
nakubali sana uyu jamaaaa
Muh huyu kweli ni ccm na wasiwas naogopa yarakukuta uwiiiii hongera saana
Ww ni kichwa na nape nawakubali sana kti ya wanachama wa ccm ninyi wawili ni vichwa
Bashe, we we ni miongoni mwa watu wachache makini tulio nao tz. wengine ni kitambi mbeleee.
Uko vinzuri ile mbaya nakukubaligi maana una point
Daaaaaaaaaaah! watanzania tupige magoti tuiombee nchi yetu, hii sio hali yakawaida kabisa hawa wakijani hawafai kabisa na iposku watajutaa
Hongera kwa kuukata UNAFKI
Mungu akulinde mh ww sio wa ndiooooooooooo
Hivi Bashe ulipewa Kadi ya CCM ukiwa umeomba au ulipewa bila kuomba?
Mheshimiwa Bashe mimi niko Kigoma ila ninakukubali sana Mungu amekujalia akili sana,
Mungu akujalie ,akufadhili na kukulinda,
Keep saying sir!!!!!
Safi nakuelewa sana bashe , wewe akili unazo wala hutetei chama , ila jichunge maana ukipewa wizara watakuandama kama nini. Lakin siku zote bungeni point zako nazikubali nahisi mawaziri wangekuwa wanasikiliza na kufanyia kazi mawazo yako tungekuwa mbali sana .
Most intelligent man
namkubali saana bashe
Bashe upo sawa mbunge wng
uyu binadam yupo vizuri
Tunaitaji vijana kama nyie co wale wa kugonga gonga tu kwa kwa kwa uko vizuri bashe
Hongera
Wambunge mliowengi atuwaelewi mliitaji dakika zenu muwe mnamuachia Bashe
Kwa nin wanaccm wote wasiwe kama bashe ?
Kwel hiyo taarifa ni ya uongo, serikali inayo hela
Basha nakuelewa sana kaka pambana
uko vizuri