BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 357

  • @musakiboya587
    @musakiboya587 5 ปีที่แล้ว +11

    Hussein Bashe excellent!! Excellent!! Kura zote kwa Hussein Bashe kwa maoni mazurii

  • @khaleedndoni5707
    @khaleedndoni5707 6 ปีที่แล้ว +7

    Wasomali wengi akili zao ziko vizuri sishangai.Mungu akubariki

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 ปีที่แล้ว +146

    Kama unamkubali hussen bashe acha ubishi gonga like yako hapa hili ni jembe👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @edisonmwambokela3364
    @edisonmwambokela3364 5 ปีที่แล้ว +2

    Wambunge wa ndioo jifunzeni kwa Bashe Mungu akulinde mweshimiwa big up

  • @saimonlazaro925
    @saimonlazaro925 6 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sana Bashe..Nitafurahi SIKU moja ukiwa Rais wa nchi hii

  • @fadhiliitambu6210
    @fadhiliitambu6210 5 ปีที่แล้ว +23

    Wabunge wa CCM wangekua kama Bashe nchi hii ingekua mbali kimaendeleo.....🇹🇿

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 5 ปีที่แล้ว +1

    Bashe unaakili sana ww kijana na pia nimkweli sana barikiwa sana mungu akutunze""

  • @richardmugacostantine2791
    @richardmugacostantine2791 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kututetea. sisi wakulima wa Kahawa ndoa tumeisha kabisha Tunaibiwa wazi wazi na Kdcu ltd na serikali ina fumba macho!.tutakutana 2020.

  • @johariabdallah7238
    @johariabdallah7238 6 ปีที่แล้ว +3

    I real appreciate u brother Hussein Bashe may Allah bless u and long live brother

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka1712 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana na mungu atakulinda kwa kuwa mkweli na kweli itasimama daima

  • @josephmwasota5840
    @josephmwasota5840 5 ปีที่แล้ว

    Be blessed Mheshimwa Bashe, michango yako Bungeni yote mimi naikubali sana unafanya analysis nzuri sana mkuu wangu.

  • @kamboarheritage461
    @kamboarheritage461 6 ปีที่แล้ว +1

    Evaluative speech!
    Salute kubwa sana Mh. Mbunge.
    We need people like you.

  • @allenregnald506
    @allenregnald506 6 ปีที่แล้ว +2

    hongera bashe upo vizuri

  • @thomasmwombeck7132
    @thomasmwombeck7132 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutangulie Bashe

  • @hangimasunga5959
    @hangimasunga5959 6 ปีที่แล้ว +1

    having people like you in the country, is a great asset

  • @wawahatv8783
    @wawahatv8783 5 ปีที่แล้ว

    Mie nasemaga siku zote kama wabunge wote wa ccm wangekuwa kama bashii,mie ningejiunga ccm Mara moja na bashii mungu akupe maisha marefu na ccm wenzio waige nyendo zako

  • @geraldsenkondo4334
    @geraldsenkondo4334 5 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Hussein Bashe Mungu Akulinde wanasiasa igeni mfano wa Bashe huu ndio uanaume Afadhali kufa ukiwa unausimamia ukweli kuliko kuishi ukiwa mtumwa

  • @hangimasunga5959
    @hangimasunga5959 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupe hekima if possible I wish you to become president of this Nation in future

  • @leonidaobed2952
    @leonidaobed2952 6 ปีที่แล้ว +14

    Safi sana mr.bashe mungu akutangulie

    • @danielnjile883
      @danielnjile883 6 ปีที่แล้ว

      huyu mbunge amenitachi kweli kwenye mifugo. maana kukamatwa kumezidi.

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 6 ปีที่แล้ว +5

    Asantee sanaa bashe ila jipange 2020

    • @ebenmsuya2492
      @ebenmsuya2492 6 ปีที่แล้ว

      kweli yani 2020 apewe tu.

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Nzima Wabunge Nao Wakubali ni Mh Hussein Mohammed Bashe na Zitto Zuberi Kabwe
    Wengine Nawafikilia Bado Hawanishawishi

  • @chescomnyangali8601
    @chescomnyangali8601 6 ปีที่แล้ว +166

    KAMA UNAMKUBALI BASHE GONGA LIKE TWENDEEE TUMSAPOTI BASHE

    • @nasibmaganga1131
      @nasibmaganga1131 6 ปีที่แล้ว +2

      CHESCO MUHEMA Bashe nampongeza kwaubungewake naanaonekana bungen

    • @omaryititi9005
      @omaryititi9005 6 ปีที่แล้ว

      Hapo sawa

    • @faustinemangula450
      @faustinemangula450 6 ปีที่แล้ว

      CHESCO TV ONLINE bashe ndiye mbunge sahihi

    • @paulmnama9405
      @paulmnama9405 6 ปีที่แล้ว

      jembe hilo

    • @kitabwana9741
      @kitabwana9741 5 ปีที่แล้ว

      Nakuombea bashe uwe raisi wa nchi yetu tz nakupenda

  • @johnnasunga55
    @johnnasunga55 5 ปีที่แล้ว

    Thanks alot big man your light and your point is understandable big up Sir

  • @elisonguomsaki6208
    @elisonguomsaki6208 6 ปีที่แล้ว

    Bashe umetisha ndg yng'!!! We ni zaidi ya mzalendo

  • @lilianmbedule4664
    @lilianmbedule4664 6 ปีที่แล้ว +8

    dah bashe nkukubli xan kama n muelewa gpnga like hapo

  • @jamesmpepo4386
    @jamesmpepo4386 5 ปีที่แล้ว

    dah Jamaa yuko vzr Sana,big up kiongozi .

  • @shabanikibana4279
    @shabanikibana4279 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana bashe mungu akubariki na akupe maisha marefu

  • @emanuelwilbrod8720
    @emanuelwilbrod8720 5 ปีที่แล้ว

    mungu akubariki sana huseni bashe

  • @muyumbasimba7035
    @muyumbasimba7035 5 ปีที่แล้ว +1

    SIJUI KWANINI HUKUWA MBUNGE TOKEA MWAKA 1990 BASHE? YAANI UNASTAHILI SANA KAKA. KEEP IT UP, USIRUDI NYUMA.

  • @mpelienock
    @mpelienock 6 ปีที่แล้ว +1

    good Mr.Bashe, good Mr.Job Ndungai.

  • @neshenijohn7822
    @neshenijohn7822 6 ปีที่แล้ว +1

    bashe endelea hivyohivyo wananchi tanzania kote wanakuelewa sana bashe big up

    • @mussashabani3345
      @mussashabani3345 6 ปีที่แล้ว

      asiye muelewa bashe hataelewa milele mwenyezimungu amuongezee uhai

  • @hermanmwailanga642
    @hermanmwailanga642 5 ปีที่แล้ว

    Bashe unapoint zamana Sana mkuu niwachache wasema ukweli ambao wapo ndani ya serikali kama ww chapa Kazi mungu akupe nguvu namaisha malefu ktk kazi yako

  • @andrewsailen7628
    @andrewsailen7628 6 ปีที่แล้ว +21

    Daaah mpaka nimesisimkwa vinyweleo this is a very nice speech huku na swaumu kali lkn umejitahidi kukaza sauti na point nzito

  • @nicksonkiyeyeu383
    @nicksonkiyeyeu383 5 ปีที่แล้ว +1

    Mhhh!ila Bashe ,Mungu akubariki sana kweli waliokupa kura hata hawakukosea.

  • @samsonjuliusjuliuslukinda5897
    @samsonjuliusjuliuslukinda5897 6 ปีที่แล้ว +3

    kweli bashe uko vizur ndugu unaweza hongera

  • @floralbulwaye79
    @floralbulwaye79 6 ปีที่แล้ว +7

    u deserve....u real...u perfect...Nzega hawakukosea...b blessed..

  • @jonasmwita1837
    @jonasmwita1837 6 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda bure Mh Mbunge

  • @jafethzakaria6113
    @jafethzakaria6113 3 ปีที่แล้ว

    Hongera bashe

  • @oloshokiabdikorle5209
    @oloshokiabdikorle5209 6 ปีที่แล้ว

    huseni bashe saluti big up

  • @hassanjoseph2398
    @hassanjoseph2398 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akujalie afya njema uzidikulitumikia taifa

  • @joelmbise2189
    @joelmbise2189 6 ปีที่แล้ว +57

    Bashe nakupendaga bure tu, lkn tatizo ni chama chako

    • @fitinaelias421
      @fitinaelias421 6 ปีที่แล้ว +3

      Kimefanyaje we kilaza?. ni mambo mangapi mliyokuwa mnayapigia kelele sasa mmeyasaliti?. mwache MH atimize wajibu wake nadhani hujui hata Wajibu wa Mbunge!

    • @kingraba6334
      @kingraba6334 6 ปีที่แล้ว +2

      Namkubali xn bashe good xn brother

    • @angelmasaki6667
      @angelmasaki6667 5 ปีที่แล้ว +1

      Penda sana bashe

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 ปีที่แล้ว

      Ulitaka awe WAP mbise

  • @dicksonwambura9840
    @dicksonwambura9840 5 ปีที่แล้ว

    We are supporting you

  • @ombenimshana9162
    @ombenimshana9162 5 ปีที่แล้ว +3

    Ningekuwa nzega kura yangu unalamba mdogo wangu,upo sawa

  • @hamisichuma3270
    @hamisichuma3270 6 ปีที่แล้ว +2

    bro wew na nape sarudi aki kwaza uchama badae

  • @ayubusanga3796
    @ayubusanga3796 6 ปีที่แล้ว +2

    We lijamaa upo vizuri sana dah

  • @simonnyasa9498
    @simonnyasa9498 4 ปีที่แล้ว

    Jaman mungu akubariki sana

  • @tajinehemia3961
    @tajinehemia3961 6 ปีที่แล้ว

    This is Good Speach,

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 5 ปีที่แล้ว +1

    YOU SO GOOD, , REMEMBER ALSO THAT JESUS LOVES YOU MORE THAN ANY BODY SAY

  • @fredrickfrank5750
    @fredrickfrank5750 6 ปีที่แล้ว +1

    brilliantly speaking!

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 6 ปีที่แล้ว

    Bashe unafaa kua president,inshaallah

  • @davidmbilinyi4198
    @davidmbilinyi4198 6 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe bashe kwa kuipenda nchi yako ingekua amri yangu ungetawala baada ya magufuri ,japokua pale ikuru maraisi wakifika wanabadirika sijui pana shetani gani .hata angeshuka maraika pale anakua shetani

  • @maxwelljulius2541
    @maxwelljulius2541 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana tunawaitaji wabunge kama hawa

  • @acray2437
    @acray2437 5 ปีที่แล้ว +4

    bashe yupo vizuri aisee!

  • @shininisoipano4973
    @shininisoipano4973 6 ปีที่แล้ว

    hongera sana nikweli kabisa wafugaji awatambuliwi kabisa waambiye kama wa tatambuliwa

  • @shukurukinzasa53
    @shukurukinzasa53 3 ปีที่แล้ว

    Daaa itapendeza mh rais ambadilishe kuwa wazir kamili co unaibu naimani atatupeleka mbali huyu jamaa namkubali sna bashe mungu akujalie upate vyeo zaidi ya hivi

  • @lucasfrednand895
    @lucasfrednand895 6 ปีที่แล้ว +15

    Hakika kura yangu haijawahi kukosea kwenda ccm ila ningekua jumbo LA nzega bashe kula yangu ungeipata unanikusha marehem firikunjombe

    • @pilmungure5409
      @pilmungure5409 5 ปีที่แล้ว

      Bashe huko ccm unapotea...njoo chadema ulilie haki ya wananchi

    • @ibrahimdavid6219
      @ibrahimdavid6219 5 ปีที่แล้ว

      Lucas Frednand acha tu filikumjombe yan#

  • @othmansaleh177
    @othmansaleh177 5 ปีที่แล้ว +2

    Kama hajakupa nafasi 2020 njo ukawa

  • @bonabonala8253
    @bonabonala8253 5 ปีที่แล้ว +2

    Yombaga mamy bashe nzagamba wiswe wanyanyembe wa ntobora

  • @mwinjumathomas5132
    @mwinjumathomas5132 6 ปีที่แล้ว +12

    Hongera raisi mtarajiwa husen bashe na iwe hivyo Nina matarajio makubwa na wewe katika taifa hili mungu mbariki mja wako mzalendo wa kweli.

  • @khalidbakari8505
    @khalidbakari8505 6 ปีที่แล้ว +28

    Yaani nakukubali sana ww ni mbunge unaejitambua na cyo mbunge ndioooo

    • @jamilamwanzalila1982
      @jamilamwanzalila1982 5 ปีที่แล้ว

      wewe ndo mbunge sio msukuma amekua zuzu

    • @barakamfugale1049
      @barakamfugale1049 4 ปีที่แล้ว

      Khalid Bakari bora hata angekuwa mbunge wa njombe maana libunge langu cjui linafanya nin

  • @lucasludonye7344
    @lucasludonye7344 5 ปีที่แล้ว

    You are good Mr bashe

  • @pascusmathew4809
    @pascusmathew4809 6 ปีที่แล้ว

    Kiswahi kinge , uko sawa Bashe

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 6 ปีที่แล้ว +22

    Hahah! Maashallaah, "Namuheshimu na nimefunga"

  • @evarinyelias1316
    @evarinyelias1316 6 ปีที่แล้ว +8

    katika wabunge wa ccm huyu ni watofauti Niko chadema ila wewe tofaut kabisa wewe ni mbunge wao ni wajaza viti

  • @petermillanga4762
    @petermillanga4762 6 ปีที่แล้ว +4

    I real wish we could have MP's like Bashe, he is a good leader, I cherish his ideas and thinking!

    • @lutufyojason2598
      @lutufyojason2598 6 ปีที่แล้ว

      Peter Millanga but full of hypocrisy!!

  • @fredikagi1708
    @fredikagi1708 5 ปีที่แล้ว

    Bashe unagusa wanachi ila nikweli ayo yanatoka moyoni Kama nikweli mungu akutie nguv

  • @huseinkudrat2052
    @huseinkudrat2052 3 ปีที่แล้ว

    Nais kama nakuelewa bashe kiukweli wizaran ya kilimo umwagiliji na ufugaji bajeti yake indigo Sana nakuunga mkono

  • @femmyyakobo2116
    @femmyyakobo2116 6 ปีที่แล้ว +1

    uko vizuri sana bashe

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 5 ปีที่แล้ว +1

    Bajeti ilipita and business as usual.

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 6 ปีที่แล้ว +7

    Wakimnyima ubunge kupitia CCM, tutamteua kuwa mgombea binafs

  • @matheihaule8586
    @matheihaule8586 6 ปีที่แล้ว

    bashe ukovizur mm nakuelewa sana Asante sana

  • @DavidNoloame
    @DavidNoloame 3 ปีที่แล้ว

    Bashe bashe hakika were in mbunge unae penda kuweka kira kitu wazi barikiwa

  • @reddyjulius3997
    @reddyjulius3997 6 ปีที่แล้ว

    Big up sana bashe wakulima wanaonewa sana wananyanyaswa sana angalia Mbolea 50,000/=mahindi gunia 30,000/= tutafika ????

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 5 ปีที่แล้ว

    Safi kabisa mbunge wa Nzega mjini.

  • @sechokivega9747
    @sechokivega9747 6 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde mh bashe.

  • @danielsagara1158
    @danielsagara1158 6 ปีที่แล้ว +3

    hawa ndo wabunge tunaowahitaji bana siyo mtu ni mbunge anaingia bungeni kusinzia na kupiga soga then posho bila kazi ya maendeleo

  • @josephatjonya6905
    @josephatjonya6905 5 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana Mh bashe

  • @davidlissu9099
    @davidlissu9099 6 ปีที่แล้ว +2

    Safi Bashe.

  • @edwardbenedicto5524
    @edwardbenedicto5524 5 ปีที่แล้ว

    safi sana bashe kwa kuwa mkweli

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 6 ปีที่แล้ว +1

    the best member of parliament in ccm

  • @ibrainktz307
    @ibrainktz307 6 ปีที่แล้ว +1

    nakubali sana uyu jamaaaa

  • @rosemarykaroli9572
    @rosemarykaroli9572 6 ปีที่แล้ว

    Muh huyu kweli ni ccm na wasiwas naogopa yarakukuta uwiiiii hongera saana

  • @leonardmsusa9795
    @leonardmsusa9795 6 ปีที่แล้ว +9

    Ww ni kichwa na nape nawakubali sana kti ya wanachama wa ccm ninyi wawili ni vichwa

    • @mcmackone1958
      @mcmackone1958 6 ปีที่แล้ว

      Bashe, we we ni miongoni mwa watu wachache makini tulio nao tz. wengine ni kitambi mbeleee.

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 6 ปีที่แล้ว

      Uko vinzuri ile mbaya nakukubaligi maana una point

    • @ndaysengaalon4732
      @ndaysengaalon4732 5 ปีที่แล้ว

      Daaaaaaaaaaah! watanzania tupige magoti tuiombee nchi yetu, hii sio hali yakawaida kabisa hawa wakijani hawafai kabisa na iposku watajutaa

  • @sadikingonyani315
    @sadikingonyani315 5 ปีที่แล้ว

    Hongera kwa kuukata UNAFKI

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 6 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde mh ww sio wa ndiooooooooooo

  • @patricksimango2935
    @patricksimango2935 6 ปีที่แล้ว +5

    Hivi Bashe ulipewa Kadi ya CCM ukiwa umeomba au ulipewa bila kuomba?

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 6 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Bashe mimi niko Kigoma ila ninakukubali sana Mungu amekujalia akili sana,
    Mungu akujalie ,akufadhili na kukulinda,

  • @oleminiss6335
    @oleminiss6335 6 ปีที่แล้ว +1

    Keep saying sir!!!!!

  • @paschallucas267
    @paschallucas267 6 ปีที่แล้ว

    Safi nakuelewa sana bashe , wewe akili unazo wala hutetei chama , ila jichunge maana ukipewa wizara watakuandama kama nini. Lakin siku zote bungeni point zako nazikubali nahisi mawaziri wangekuwa wanasikiliza na kufanyia kazi mawazo yako tungekuwa mbali sana .

  • @dicksonwambura9840
    @dicksonwambura9840 5 ปีที่แล้ว

    Most intelligent man

  • @dittorichard8143
    @dittorichard8143 6 ปีที่แล้ว

    namkubali saana bashe

  • @anthonyamani5120
    @anthonyamani5120 6 ปีที่แล้ว +3

    Bashe upo sawa mbunge wng

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 6 ปีที่แล้ว +1

    uyu binadam yupo vizuri

  • @peterkilwale5954
    @peterkilwale5954 5 ปีที่แล้ว +1

    Tunaitaji vijana kama nyie co wale wa kugonga gonga tu kwa kwa kwa uko vizuri bashe

  • @magdalenakidumbuyo1505
    @magdalenakidumbuyo1505 5 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @edisonmwambokela3364
    @edisonmwambokela3364 5 ปีที่แล้ว +1

    Wambunge mliowengi atuwaelewi mliitaji dakika zenu muwe mnamuachia Bashe

  • @saidmathias8850
    @saidmathias8850 6 ปีที่แล้ว +9

    Kwa nin wanaccm wote wasiwe kama bashe ?

  • @yusuphsaid8206
    @yusuphsaid8206 6 ปีที่แล้ว +4

    Kwel hiyo taarifa ni ya uongo, serikali inayo hela

  • @faidhamustafa3095
    @faidhamustafa3095 4 ปีที่แล้ว

    Basha nakuelewa sana kaka pambana

  • @hanssheby9432
    @hanssheby9432 6 ปีที่แล้ว +1

    uko vizuri