Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD. Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea. Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.
Haina haja ya nyinyi kueka clip zenu za video anatakiwa yeye mwenyewe asimulie mnapoteza mvuto wa simulizi iyo nenda tembelea channel ya KUTOKA UGHAIBUNI mjifunze kidogo kuiga kizuri sio vibaya
Subhana Allah Subhana Allah,,,pole sana ,,, Jaman tunapo kosana sisi wanandowa. Tusameheyana kabla waume zetu kuenda ktk kutafuta Risk ni mitihan kwa kweli,,,mda mwengine sisi wanawake tunasababisha sis matatizo kwa waume zetu ,,, Allah atusamehe kwa sote Yarrab
Sina zaidi ya kusema pole sana kaka amini wazi kuwa yote ni mitihani ya maisha na majaribio kutoka kwa Allah... Allah ndie ndo kila kitu kwetu sisi wanaadam na hata ivo hata Nabiii Yunus pia alijaaliwa mitihani kama iyoo... Pole sana kijana pole sana tena pole...
this is the kind of friend y'all need in your lives......yule mwenye ukipotea anaweza kutumia an extra mile kukutafta until akupate and not the fake ones
Dah hii str kwa ukiisklz itakutoa choz pole sn ndugu yetu mwislm kwa mikasa iliyokukumba ila asiache kumcha mungu. Ila pia Ktv tz online nawakubali sn yaani mko juu kwa kuifunza na kuijuza jamii kwa matukio yanotokea hongereni sn kwa hilo
Pole sana kaka angu Hata ivyo Mungu alikuwa upande wako. Ila jamani wanawake wezangu tujitahidi kuwatii waume zetu Mmeo ata akiamka saa 8 au saa 9 kujiandaa kwenda kazini ni wajibu wako nawe kuamka kuandaria Mme wako vitu vya kazini kama unavyomwuandaa mtoto kwenda shule
Very sad....inahuzunisha kiukweli... Nna ombi moja kw kijana juma.. Allah kakuvuwa salama ktk mtihani sema alhamdulillah... Katika kipindi chote ulichokuwa ktk maji sikuona hata mara moja ukiswali....maybe kutokana na uzaifu wako wakiafya... maybe hukuweza kujuwa nyakati za sala.....Juma Allah kakuvuwa salama...unastahiki kizilipa swala zote ambazo zimekupita...isabu siku ulizokaa ktk maji kisha hisabu vipindi ulivovikosa vilipe...lipa swala ndugu yangu umetoka pazito...Pole sn kw mitihani..
dah! pole brooo kwenye kazi yako ndo kwenye mauti yako lkn kuna mambo cvizur mtu kufanya akiwa peke yaku kwenda kuvua kulala peke yako vyote ivo sio vzr Allah utulinde inshallah
Hii inaitwa documentary... Mtu hueleza hadithi ya maisha yake au tukio fulani lililowahi kumpata. Kisha linaandikiwa scripts... Na kuchukua shot zote ndani ya tukio lake ili ilete uhalisia.... This is documentary.... Search hapa TH-cam neno documentary utaletewa hata za nje ya Tanzania ndio utaletewa vye ma
Ndugu zangu hata kama niwewe unataka kutoa hstry ya k2 fulan lazma utoe vdeo hata kama za m2. Mwngne ili stry yako iende vzr mm na wawlewa sana kwenye hiii chanenl nawakubali sana
Is me masoudkhan nime penda hii pia nawakubali sana na hizi story zenu cz nikisharudi home kutoka kazini Zina nifariji na kunifunza na kunijenga kama mwenaadam ambae naishi hongereni
Amakweli kuna baadhi ya wanandoa hawana upendo na ndoa zao daah, et wamuamsha mkeo eeeh eeehe mke hajamuamsha kuswali na wala mke hana mapenzi na mumewe. Jamani tujitahidi kupendana wanandoa kwa hali yoyote ya kimaisha , shukrani
Ile kofia kumbe ilikua haina maana ya yoyotr kwenye hii stori ni kama mchezo tu wa kibongo ukamilie muda basi Nadhani ingeweza kua ya dakika 15 ingependeza. By the way story nzuri sana Ila mbali na kurudi kwa mungu waafrika tubadilike ni kosa kubwa kufanya kazi peke yako na ni kosa kubwa kujaribu kumuokoa mtu ukiwa peke yako mnaweza kufa nyote
Stori imejaa uwalakini. Stori inasimuliwa kwa kuchekacheka na kusitasita! Nafikiri kuna mengine mengi yasiyo ya kweli yameongezwa ili kutaka kufurahisha watu. Hii ni sawa na hadithi zile za "Hapo zamani, Paka na Panya walikuwa marafiki. Paka akumuambia Panya, rafiki yangu tu .........." Uhauri wangu: Tumieni vizuri nafasi na vyombo kama hivi katika kutoa elimu na mafundisho ya kweli kwa wanannchi na si kupiga soga za kitoto zisizo na msingi.
Hii ni Tukio la kweli lililomkuka kijana JUMA MAHMOUD.
Aliekua anasumbuliwa na matatizo ya kifamilia, akiwa mgeni katika kazi yake ya uvuvi alikutana na hali ambayo hakuitegemea. Ili kukupa uhalisia, Picha zimetengenezwa kwa njia ya Maigizo ili kukupa wewe mtazamaji uelewa zaidi wa visa hivi.
KTV TZ ONLINE tumshukuru
mungu kila jambo nimuweza
Haina haja ya nyinyi kueka clip zenu za video anatakiwa yeye mwenyewe asimulie mnapoteza mvuto wa simulizi iyo nenda tembelea channel ya KUTOKA UGHAIBUNI mjifunze kidogo kuiga kizuri sio vibaya
Stop recreating the scenes, you're making the story loose its sense of originality.
@@armadajnr.7988 haipotezi mvuto, ila sema wanaikatisha story, bora wangeweka story na clips ziende sambamba
sasa mbona anavosimulia kama vile ni hadithi ya kutunga
Subhana Allah Subhana Allah,,,pole sana ,,, Jaman tunapo kosana sisi wanandowa. Tusameheyana kabla waume zetu kuenda ktk kutafuta Risk ni mitihan kwa kweli,,,mda mwengine sisi wanawake tunasababisha sis matatizo kwa waume zetu ,,, Allah atusamehe kwa sote Yarrab
Pole sana kaka ,,, Allah atuhifadhi kwa sote fii Duniya wal-akhera ,،,, amiiiiiin
Pole sana ndochangamoto hizo katika halakati zakutafuta maisha nakuombea kwamungu akufanyie wepesi
Pole kaka kwa mitihani uliopitia Mungu hamtupi mja wake
Sina zaidi ya kusema pole sana kaka amini wazi kuwa yote ni mitihani ya maisha na majaribio kutoka kwa Allah... Allah ndie ndo kila kitu kwetu sisi wanaadam na hata ivo hata Nabiii Yunus pia alijaaliwa mitihani kama iyoo... Pole sana kijana pole sana tena pole...
mafunzo Mazur thanks from Kenya like it
this is the kind of friend y'all need in your lives......yule mwenye ukipotea anaweza kutumia an extra mile kukutafta until akupate and not the fake ones
Yap.
Sawa mzung bwege we!!!
Ndug pole sana kw hayo mungu akutawale daima ktk maisha yako
Dah hii str kwa ukiisklz itakutoa choz pole sn ndugu yetu mwislm kwa mikasa iliyokukumba ila asiache kumcha mungu. Ila pia Ktv tz online nawakubali sn yaani mko juu kwa kuifunza na kuijuza jamii kwa matukio yanotokea hongereni sn kwa hilo
Wanaadamu wasiokuwa nauelewa BC wanazungumza upuuzi mtupu kwakutoelewa story hali yakuwa bongo movie zinawaliza na c zakweli
Pole san kaka mwnyezi mungu ni mwema kwa waja wake siku zote za maisha yetu
Mungu Ni mwema pole Sana broo
usimuliaji huu wa hadithi ni wa nchi za nje nimefurahi na sisi tz tumeweza kufikia huko...hongereni
KTV online
,
Pole sana
Pole sana Juma umeniliza aki mungu akupe umri naafya njema akuepushe na kila shari love u big Bro nkwa inchi jirani kanya
pole sana Juma.Mungu yupo.
Pole Kaka angu kweli na mungu hawezi akakuacha pabaya
Hii hbr nzur Ila ufikishaj wake kwetu tunalipokea kma mchezo wa kuigiza .
Pole Dana kaka yangu
Pole saana kaka mungu akupe subra daima
Pole sana kaka angu Hata ivyo Mungu alikuwa upande wako.
Ila jamani wanawake wezangu tujitahidi kuwatii waume zetu Mmeo ata akiamka saa 8 au saa 9 kujiandaa kwenda kazini ni wajibu wako nawe kuamka kuandaria Mme wako vitu vya kazini kama unavyomwuandaa mtoto kwenda shule
Very sad....inahuzunisha kiukweli...
Nna ombi moja kw kijana juma..
Allah kakuvuwa salama ktk mtihani sema alhamdulillah...
Katika kipindi chote ulichokuwa ktk maji sikuona hata mara moja ukiswali....maybe kutokana na uzaifu wako wakiafya... maybe hukuweza kujuwa nyakati za sala.....Juma Allah kakuvuwa salama...unastahiki kizilipa swala zote ambazo zimekupita...isabu siku ulizokaa ktk maji kisha hisabu vipindi ulivovikosa vilipe...lipa swala ndugu yangu umetoka pazito...Pole sn kw mitihani..
Daaa pole sana mungu mkubwa
Alhamdulillah
Pole Sana kaka inahuzunisha Sana mpaka chozi limenitoka😭
MashaAllah. Story ya yakusikitisha pia tumejifunza vitu kadhaa. Shukran KTV TZ ONLINE
Hakika mwenyezi mungu ni muweza
Pole san kaka ila mwenyez mungu ndo kila kitu mungu kwanza
Duhhhh Allah akuvue hilo na jengine... Ama kwel mungu mkubwa na akufaae kwa dhiki ndio wako rafiki...!!!!
hafsa thabit mambo vp
Alhamdulilah mungu akunusu kwe ngine InshAllah heri
Pole sana Mpendwa majarb nsehem ya maisha
Kabisa 🤝
pole sana kabisa
Pole sana kwa mtihani
Mungu wangu kama move vile pole sana kijana
pole sana kaka
Ila muandish mungu anakuona
pole sana nyota tena
hongereni mnajua kuigiza
Sasa kama ni kweli pole sana Mungu ashkuriwe
Muamini mungu kilajambo ni vizuri sana
@Penina Haruna mbona sura ya mvuvi n tofauti na yko iyo,Ana mwanya nawe huna mwanya,eeeeeeh
Duuu heee mtihani kweli pole
That a true friend.
Jamani pole Sana kaka Allah zaidi
P
Ktv muko vizuri kiufundi wa kutoa hadithi, kama filamu vile😃
Mifano haiy
Story nzuri sana mashallah, na nyie wengine acheni ujinga lazima waeke uhalisia kwenye story
Warda Yussuf
Pole sana kijana mwenzetu
Pole sana na Mola atakuvusha na penginepo penye dhiki 😥😢
@@halinishmachache2515 mungu akunusuru kwa yte.asate Sana ee mwenye enzi
Haya mambo yapo na bora yanawekwa humu tujifunze na tuamini Mungu yupo
Allah akuzidishie akulinde namitihani
Hatar sana dunia na mitihan
Pole sna mungu ni mwma
That is good idea
Pole kaka yangu
Jaman story zenu nzuri ila hii imezidi matangazo mpaka ina boa sasa
Ajaribu kwenda kanisani huyo mtoto alitupiwa pepo anahitaji maombi mungu amsaidie
Hii kweli au hadithi
Movie ni nzuli mnajua kuigiza kweli
Pole sana kijana
Wallah Machozi yamenitoka km yote, Pole sn Juma Mungu hamtupi mja wake
Pole sana Juma Allah Karem
Pole sana kijana juma mungu akujaalie uwe na subra kwa changa moto zinazo kupata
Mungu yumwema
Pole sana kakangu
Inasikitisha sana
mmmmh papa bahari ya India so kwwll
dah! pole brooo kwenye kazi yako ndo kwenye mauti yako lkn kuna mambo cvizur mtu kufanya akiwa peke yaku kwenda kuvua kulala peke yako vyote ivo sio vzr Allah utulinde inshallah
Ameen yaa Rabbil allamiin
Pole sana kwa kijana huyo ila najiuliza mbona video imechukuliwa kama vile ni movie?? Naomba nieleweshwe vizuri
Hii inaitwa documentary...
Mtu hueleza hadithi ya maisha yake au tukio fulani lililowahi kumpata. Kisha linaandikiwa scripts... Na kuchukua shot zote ndani ya tukio lake ili ilete uhalisia....
This is documentary....
Search hapa TH-cam neno documentary utaletewa hata za nje ya Tanzania ndio utaletewa vye ma
mimi sijaelewa hapo jamani hii ni movie au maana naona anaelezea na picha tunaonyeshwa kama movie
Polemy
Pole kaka kwakweli kisa chako kimenitoa machozi na nimejifunza kitu flani
Hakika hiii ni fahari yetuuu
Ktv Taireni!!!
Mungu apewe sifa
Poleee sana
Mtihan 2 Mola tuepushe na mitihan
Dj4sTv decoration ni
Nawafatilia sana hkuna vdeo zenu zinazo npita
Pole sana kaka
Ktv tz online 😘
Pole saana
Ndugu zangu hata kama niwewe unataka kutoa hstry ya k2 fulan lazma utoe vdeo hata kama za m2. Mwngne ili stry yako iende vzr mm na wawlewa sana kwenye hiii chanenl nawakubali sana
Ee e ndio unamuasha mkeo Subhanallah
Is me masoudkhan nime penda hii pia nawakubali sana na hizi story zenu cz nikisharudi home kutoka kazini Zina nifariji na kunifunza na kunijenga kama mwenaadam ambae naishi hongereni
Maskiniii pole kakangu
Ona Mungu anavyo mpeleka kwa miujiza
😌😌
God is able, usipite bila comment
Speechless 😭😭😭😭, pole kaka.
Amakweli kuna baadhi ya wanandoa hawana upendo na ndoa zao daah, et wamuamsha mkeo eeeh eeehe mke hajamuamsha kuswali na wala mke hana mapenzi na mumewe. Jamani tujitahidi kupendana wanandoa kwa hali yoyote ya kimaisha , shukrani
Pengine yupo kwenye siku zake
@@villa5025 Nilijua tu kama mtapata cha kusingizia, ila hata kama ndio usimuhudumie mumeo pindi ajiandaapo kwenda kazini?
AISHA Aaa wengine wakiwa kwenye siku zao huwa na kibri sana habbty yani ukiongea nae hakuachi salama
inanyoonesha mume ndio mwenye makosa
Maoni yangu na yako naona tuko sawa
Ila mmekwama kwenye kuhadithia
Pole
Mko vizuli ktv
Pole sn Allah azidi kukufanyia wepes
Kama mtu ajasoma fasihii simulizi kamwe kamwe awezi kuinjoi hii simulizi .kama uelewi left mapema.
KTV NAWAKUBALI SANA
Pole sana bro
Pole kwa mtian juma
Yaani story zenu hazina mpango mnatumalizi bando
Wakti mwengine pls ndugu mtangazaji elezea kisa wewe kwani janaa hanamvuto wa kuelezea anaboa sana igawa kisa ni kizuri hilo ni wazo wangu
Km ulikua unaumia wenge elezea ww
Angeeleza mtangazaji tungesema uongo lkn hapa tumeamini
Tatizo anaelezea kama ni hadisi ya kupangwa ivii
Kila mtu na alivo jaliwa na upewe wa sura yake at ivo amejitahidi
Hashwa🤝
Ik maashallah
Juma kwanza mshukuru Mungu pia rafik ulionae ni rafik wa kweli ata mkeo ye pia anakupena pole sana juma ila Mungu anakupenda
C ungemsabbih mwenyezimungu
Ile kofia kumbe ilikua haina maana ya yoyotr kwenye hii stori ni kama mchezo tu wa kibongo ukamilie muda basi
Nadhani ingeweza kua ya dakika 15 ingependeza. By the way story nzuri sana
Ila mbali na kurudi kwa mungu waafrika tubadilike ni kosa kubwa kufanya kazi peke yako na ni kosa kubwa kujaribu kumuokoa mtu ukiwa peke yako mnaweza kufa nyote
Mungu ni mkubwa
pole sana kaka sik nyengine beba maj ya kunywa hat na kipol kilichobak usiku au mikate
It's movie or?
Wanaume mkiwa mnatok majumban muwe mnaagan vizur na wake zenu huwend akakuombea hata dua
ktv kwanin visa vimesitisha n tunavipenda
Stori imejaa uwalakini. Stori inasimuliwa kwa kuchekacheka na kusitasita! Nafikiri kuna mengine mengi yasiyo ya kweli yameongezwa ili kutaka kufurahisha watu. Hii ni sawa na hadithi zile za "Hapo zamani, Paka na Panya walikuwa marafiki. Paka akumuambia Panya, rafiki yangu tu .........." Uhauri wangu: Tumieni vizuri nafasi na vyombo kama hivi katika kutoa elimu na mafundisho ya kweli kwa wanannchi na si kupiga soga za kitoto zisizo na msingi.
Ama kweli Allah hamtupi mja wake
Ya Allah yarabiii
Ni move au