HII RAMANI NI BALAA INAVYUMBA ROOMS 4 BAJETI YAKE MPAKA TOP KOZI Tsh.12,050,000

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • #ujenzinafuu #ujenzi #ramanizanyumba

ความคิดเห็น • 38

  • @AshaselemanAshaseleman
    @AshaselemanAshaseleman 4 วันที่ผ่านมา

    Nataka nyumba iyo uje unijenge boma nn kwanza bati badae kiwanja kipo mbande mwenyewe nipo omn

  • @martinmunene9040
    @martinmunene9040 6 หลายเดือนก่อน

    Sm ni gapi?

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bro haifiki million 40 hii kwelina material hizo za kisasa?

  • @saumumbukuzi7830
    @saumumbukuzi7830 13 วันที่ผ่านมา

    Inachukua bati ngapi

  • @mwanaharusmohd3732
    @mwanaharusmohd3732 ปีที่แล้ว +2

    Uko vzr sana kaka, nazichanga soon nitakutafuta hongera sana kazi nzuri sanaa

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 6 หลายเดือนก่อน

    Finishing ndiyo gharama. Weka na kupaua na plasta madirisha milango n.k. kusimamisha tu si gharama. Tupatie mpaka kukabidhi nyumba ikiwa hivyo

  • @beatricenyirasafari8085
    @beatricenyirasafari8085 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tuoneshe ndani

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +1

    Napenda madilisha makubwa kama hayo

  • @josephndoghwe2722
    @josephndoghwe2722 11 หลายเดือนก่อน

    Oya mr house tufanye mpango hii uje unijengee mkoani kwetu nilipo babkubwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @allybayaga
    @allybayaga ปีที่แล้ว +6

    Ingependeza sana unapotaja gharama za ujenzi ungekuwa unataja na ukubwa wa eneo la nyumba yenyewe na ukubwa wa kiwanja kinacho tosha nyumba husika.

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna1604 5 หลายเดือนก่อน

    Mola Aijaliye Kazi Ya mikono Kuipa Baraka

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Sauti sio ngeni kama mlijenga vijumba vya apatimenr vizur mkatowa namba

  • @pendoEmmanueli
    @pendoEmmanueli 5 หลายเดือนก่อน

    mtu akiwa bukoba mtamjengea

  • @fadhilifredrick4115
    @fadhilifredrick4115 8 หลายเดือนก่อน

    vipi unaweza design ramani ya hivi ya rooms 3

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Utajenga kidogo kidogo Kama golofa Yap total sh elfu moja

  • @willydigital8196
    @willydigital8196 11 หลายเดือนก่อน

    Mkuu jarib pia kuzungumzia na maeneo ambayo Co tambalale

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Yapu ndio nyie mliojemga apatiment nzur

  • @fridakipingu
    @fridakipingu 11 หลายเดือนก่อน

    Kwenye hizo milioni, na ufundi?

  • @beatricenyirasafari8085
    @beatricenyirasafari8085 7 หลายเดือนก่อน

    Tuoneshe ndani

  • @zainazaina8711
    @zainazaina8711 10 หลายเดือนก่อน

    Habari kaka unaweza kunijenga Kenya

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Iyo rangi naipendaga imetulia

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Zote ni namba zako hizo.

  • @imanimussalacky3078
    @imanimussalacky3078 5 หลายเดือนก่อน

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 11 หลายเดือนก่อน

    ❤naipenda sana

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Nzur

  • @jamesfidelis9455
    @jamesfidelis9455 ปีที่แล้ว

    Pokea simu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Sument mifuko Mia imekula sument

    • @official-shqudush
      @official-shqudush 10 หลายเดือนก่อน

      Hii nyumba inachukua mira ngapi

    • @official-shqudush
      @official-shqudush 10 หลายเดือนก่อน

      Hii nyumba inachukua mita ngapi

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 ปีที่แล้ว

    120 ,000,000 thubutu 150 nitakuelwa

    • @fadhilifredrick4115
      @fadhilifredrick4115 ปีที่แล้ว

      quotation ya dsm hiyo it depends na material umenunulia wapi na bei gani

    • @jovinanthoni7851
      @jovinanthoni7851 ปีที่แล้ว +2

      hiyo bei inawezekana kabisa balaa la hiyo nyumba ni kuanzia kupaua,na finishing hapo ndo utajua haujui kama ukitoka mbio mbio ukaiparamia unaweza kushindwa kuimaliza ukaishia kukaa kwenye boma tu

    • @hamedhabsi2752
      @hamedhabsi2752 ปีที่แล้ว +1

      Inaweza kua hivyo alivyosema. Kua yategemea na mji mfano Dsm ni tofauti na Arusha. Vitu vitoke Dsm hadi Arusha bei kidogo ya vitu Arusha itakua ni ghali. Pia mjenzi huwa daima anazungumzia gharama za ujenzi tu sio wa Ardhi. Nyumba hiyo ukitaka kuinunua itafika hata millioni 150 hadi 170 sababu ya gharama ya ARDHI

    • @Kalssambabo-gv6uh
      @Kalssambabo-gv6uh 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@jovinanthoni7851😅😅😅

  • @bilaltamsi3399
    @bilaltamsi3399 10 หลายเดือนก่อน

    Hii nyumba nitumie gharama yote plz

  • @BonifaceMgimba
    @BonifaceMgimba ปีที่แล้ว +3

    Unapatikana wapi(mji gani)?
    Nataka nyumba hii ikajengwe Njombe. Jee unaweza kwenda huko ukanijengea?
    Kwa sababu wewe ni mtaalam na mzoefu ktk ujenzi, kwa kukadiria,nyumba ya size hii itagharimu pesa ngapi ikijengwa:
    >DSM - Kijitonyama na
    >NJB - Lugarawa(Ludewa)?
    Naomba majibu ya haraka mpendwa.