hiyo bei inawezekana kabisa balaa la hiyo nyumba ni kuanzia kupaua,na finishing hapo ndo utajua haujui kama ukitoka mbio mbio ukaiparamia unaweza kushindwa kuimaliza ukaishia kukaa kwenye boma tu
Inaweza kua hivyo alivyosema. Kua yategemea na mji mfano Dsm ni tofauti na Arusha. Vitu vitoke Dsm hadi Arusha bei kidogo ya vitu Arusha itakua ni ghali. Pia mjenzi huwa daima anazungumzia gharama za ujenzi tu sio wa Ardhi. Nyumba hiyo ukitaka kuinunua itafika hata millioni 150 hadi 170 sababu ya gharama ya ARDHI
Unapatikana wapi(mji gani)? Nataka nyumba hii ikajengwe Njombe. Jee unaweza kwenda huko ukanijengea? Kwa sababu wewe ni mtaalam na mzoefu ktk ujenzi, kwa kukadiria,nyumba ya size hii itagharimu pesa ngapi ikijengwa: >DSM - Kijitonyama na >NJB - Lugarawa(Ludewa)? Naomba majibu ya haraka mpendwa.
Nataka nyumba iyo uje unijenge boma nn kwanza bati badae kiwanja kipo mbande mwenyewe nipo omn
Sm ni gapi?
Bro haifiki million 40 hii kwelina material hizo za kisasa?
Inachukua bati ngapi
Uko vzr sana kaka, nazichanga soon nitakutafuta hongera sana kazi nzuri sanaa
Finishing ndiyo gharama. Weka na kupaua na plasta madirisha milango n.k. kusimamisha tu si gharama. Tupatie mpaka kukabidhi nyumba ikiwa hivyo
Tuoneshe ndani
Napenda madilisha makubwa kama hayo
Oya mr house tufanye mpango hii uje unijengee mkoani kwetu nilipo babkubwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ingependeza sana unapotaja gharama za ujenzi ungekuwa unataja na ukubwa wa eneo la nyumba yenyewe na ukubwa wa kiwanja kinacho tosha nyumba husika.
20 kwa 20 inatosha kujenga mmi nimejenga
Kweli kbx
Mola Aijaliye Kazi Ya mikono Kuipa Baraka
Sauti sio ngeni kama mlijenga vijumba vya apatimenr vizur mkatowa namba
mtu akiwa bukoba mtamjengea
vipi unaweza design ramani ya hivi ya rooms 3
Utajenga kidogo kidogo Kama golofa Yap total sh elfu moja
Mkuu jarib pia kuzungumzia na maeneo ambayo Co tambalale
Yapu ndio nyie mliojemga apatiment nzur
Kwenye hizo milioni, na ufundi?
Tuoneshe ndani
Habari kaka unaweza kunijenga Kenya
Iyo rangi naipendaga imetulia
Zote ni namba zako hizo.
❤
❤naipenda sana
Nzur
Pokea simu
Sument mifuko Mia imekula sument
Hii nyumba inachukua mira ngapi
Hii nyumba inachukua mita ngapi
120 ,000,000 thubutu 150 nitakuelwa
quotation ya dsm hiyo it depends na material umenunulia wapi na bei gani
hiyo bei inawezekana kabisa balaa la hiyo nyumba ni kuanzia kupaua,na finishing hapo ndo utajua haujui kama ukitoka mbio mbio ukaiparamia unaweza kushindwa kuimaliza ukaishia kukaa kwenye boma tu
Inaweza kua hivyo alivyosema. Kua yategemea na mji mfano Dsm ni tofauti na Arusha. Vitu vitoke Dsm hadi Arusha bei kidogo ya vitu Arusha itakua ni ghali. Pia mjenzi huwa daima anazungumzia gharama za ujenzi tu sio wa Ardhi. Nyumba hiyo ukitaka kuinunua itafika hata millioni 150 hadi 170 sababu ya gharama ya ARDHI
@@jovinanthoni7851😅😅😅
Hii nyumba nitumie gharama yote plz
Unapatikana wapi(mji gani)?
Nataka nyumba hii ikajengwe Njombe. Jee unaweza kwenda huko ukanijengea?
Kwa sababu wewe ni mtaalam na mzoefu ktk ujenzi, kwa kukadiria,nyumba ya size hii itagharimu pesa ngapi ikijengwa:
>DSM - Kijitonyama na
>NJB - Lugarawa(Ludewa)?
Naomba majibu ya haraka mpendwa.