Nani bado anaangangalia hii video twenty twenty...(2020)...mtumishi wa Mungu Vaileth mwaisumo nakukubari saana .NA MUNGU AMEWABARIKI MNOO MNA KITU CHA PEKEE NA MME WAKO MCHUNGAJI AMANI KIWALE.MUNGU AWATANULIE MIPAKA YA HUDUMA YENU ZAIDI.ambao bado mnaanga hii video mwaka huu naomba niwaone like zenu.
Mungu akubariki sana Dada yangu, ni mambo mengi nayapitia kwa sasa, ila naona ushindi mbele yangu kwa kuwa ninayemwamini ni mshindi. Ubarikiwe sana Dada kwa ujumbe na Mungu wa mbinguni azid kukuinua kwa viwango vingine.
Hakika dada MUNGU Anaishi ndani yetu bila kutuchoka Atabaki Kuwa Mlezi Wetu Milele Daima Nikwambie Tu Kitu dada hii ni nyimbo Ya Kuhudimia Watu Na Kuwakumbusha Watu Kutokumtegemea Mwanadamu maana,wanadam wanatuchoka lakini MUNGU hatuchoki Ujumbe mzuri dada Angu Nimeipenda Sana
Da vaileth nimefurahi sana kuona ukitimiza NDOTO yako ya kuwa mwimbaji bora kabisa, hongera sana dada, nakumbuka yukiya chuo kikuu ulikuwa ukisoma sana na kutuma nyimbo za kumsifu mungu, Hongera sana
Kunywa soda mtumishi na usikubali kutembelewa jirani ni mbaya sana alitaka kumdanganya yesu ,eti akimwambia atampa Kila kilichopo ulimwenguni,yesu akamwambia,na akamshinda Kwa neno ubarikiwe dada sana
Who is here 10/2/2024 umebaki mwenyewe Tu baba❤
I'm here
From TikTok to this platform....enyewe amebaki mwenyewe
Who is here 2024.....umebaki mwenyewe
Am here
Amen inatia nguvu sana wimbo huu❤❤
Umebaki mwenyewe baba,,there is none like you Abba father..who is with me 3rd oct 2024
What a soul Nourishing song.........whose here 2024
Hii nyimbo ukiimba kwa kumaanisha huku unacheza utaona vifungo vinapofunguliwa
Sifa na utukufu kwa aliye juu😍😍
Ohooooo hallelujah
Umebaki mweyewe Baba kwa daima naakungoja Baba nakuhitaji
Nani bado anaangangalia hii video twenty twenty...(2020)...mtumishi wa Mungu Vaileth mwaisumo nakukubari saana .NA MUNGU AMEWABARIKI MNOO MNA KITU CHA PEKEE NA MME WAKO MCHUNGAJI AMANI KIWALE.MUNGU AWATANULIE MIPAKA YA HUDUMA YENU ZAIDI.ambao bado mnaanga hii video mwaka huu naomba niwaone like zenu.
Barikiwaaaaaaa
Nipoa
flora Tanzania misayo video nzuri pia ကashairi mazuri
Umebaki mwenyew ,,,,vizuli sana dada yangu nakupenda sana
Sawa nakutakia kazi njema
Amina🙏🙏umebaki mwenyewe Baba🙏🙏upon you we all surrender 🙏🙏
2024 September watching this song mara kathaa kwa siku
Amen, hakika YESU pekee ndio kimbilio letu ,barikiwa sana
Umebaki Mwenye baba
Amen
Mungu akubariki sana Dada yangu, ni mambo mengi nayapitia kwa sasa, ila naona ushindi mbele yangu kwa kuwa ninayemwamini ni mshindi. Ubarikiwe sana Dada kwa ujumbe na Mungu wa mbinguni azid kukuinua kwa viwango vingine.
God bless you my mother
Hongera na dada wimbo mzuri
Glory Mushi shukrani sana mpendwa wangu
Hakika dada MUNGU Anaishi ndani yetu bila kutuchoka Atabaki Kuwa Mlezi Wetu Milele Daima Nikwambie Tu Kitu dada hii ni nyimbo Ya Kuhudimia Watu Na Kuwakumbusha Watu Kutokumtegemea Mwanadamu maana,wanadam wanatuchoka lakini MUNGU hatuchoki
Ujumbe mzuri dada Angu Nimeipenda Sana
FABIAN MODERN amina kaka barikiwa
Viwango Mungu anavyo kupeleka nivya juu sana endelea kunyenyekea kwake
Gadi Edio amen kaka shukrani sana nami nitafanya hivyo
True umebaki mwenyewe baba🇰🇪🇰🇪
wimbo mzuri nimeupenda sana wimbo huuu.ubarikiwe
Da vaileth nimefurahi sana kuona ukitimiza NDOTO yako ya kuwa mwimbaji bora kabisa, hongera sana dada, nakumbuka yukiya chuo kikuu ulikuwa ukisoma sana na kutuma nyimbo za kumsifu mungu, Hongera sana
Hakika amebak mwenyewe tu ma penda sanaa ww da vaileth kipenz Mungu azd kukuvisha vaz la sifa my love
@@vailethmwaisumo Jamni kumbe ndo wew Dada angu nakupenda sana
@@vailethmwaisumo sawa Upo poa sana
Ahsante sana, naupenda wimbo huu sana
Hakika umebakia pekeyakoo baba unitoshae! Mungu akubariki dada
Hakika ni yeye mwenyewe tu ndie kimbilio la kweli,MUNGU azidi kuibariki huduma yako dada
amen..umebaki mwenyewe baba yangu
Amina
Hakika Mungu nishike mkono Baba maana sina mwingine pasipo wewe.....nahitaji mwongozo wako katika kila hatua ninayopiga🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hongeraaa dada
Ameen,,n wewe 2 baba umebaki kwa maisha yangu.asante mum
Amina
Mungu Akuinue Zaidi Mtumishi 👍
Barikiwa best mungu akupiganie utimize malengo
Halima Hamisi shukrani sana
Mungu akutuze na akupe afya njema ili uzid kutufundisha mema ya mungu
Amina mpendwa
Wimbo unagusaa usibadike miendoko nenda hivi hivi
Hongera nyimbo nzuri sana barikiwa sana Mungu akupe hitaji la moyo wako
Natamani tuonane
0785968511
May God bless you servant of God vaillet
Amen
Dada Vaileth Mungu akuinue zaidi, kazi nzuri imenitia moyo sana
Amos Msambila shukrani sana kaka Amos
Umebaki mwenyewe baba🙏😭😭😭
❤
Ubarikiwe katka bwana
Amina
Barikiwa
Neema Carl shukrani sana
Hallelujah barikiwaaaaaaa saaaanaaaaa Mtumishi
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
jordan mweluka amina kaka
Wimbo mzuri sana dadaangu Mungu aikuze maradufu huduma yako hii
Alex Benjamin shukrani kaka
Asante da mkubwa umenibariki my dada barikiwa
Daah wimbo mzuri na umenibariki mnoo Mungu azidi kukuinua katika viwango wa juu zaidi
Mungu akubariki dada yangu ujumbe mzuri sana na hakika amebaki yesu pekee hasa katika dunia yetu hii
Barikiwa saanaaa
Kweli amebaki mwenyewe barikiwa sana
ubarikiwe sana sana kwa huduma
claudio nyenje shukrani sana mpendwa
Baba Baki mwenyewe kwenye maisha yangu
Woow.
Umenibariki. Na. Kunisogeza kwa wimbo huu mpendwa.
HAKIKA AMEBAKI MWENYEWE. HAKUNA ZAIDI YAKE🙏🙏💜
Tumaini Godchance shukrani sana mpendwa wangu
vaileth mwaisumo tuko Pamoja Sister Wang
HAKIKA UMEBAKI MWENYEWE BABA WA KUNISAIDIA, BARIKIWA SANA DADA VAILETH MWAISUMO. LOVE U SANA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Anna Mlawa shukrani sana mpendwa wangu love you more
Ongera my dear mungu akubariki sana
Wimbo huu nausikilza kila saaa, unanibariki mnoo
Mungu akubariki kwa huu wimbo
@@mariamjuma1371O'Toole's I my friend good
balikiwa Sana madam nyimbo imebeba ujumbe mzuli
Isack Mwakasyuka shukrani sana
Hongeraaaa wimbo mzuri
Balikiwa San dada kwel amebaki mwenyewe to hakuna kama yeye
Dada wimbo wako mzuri Sana ,ubarikiwe MUNGU akuongezee kipaji
Hongera sana mtumishi wa Mungu
Naaamini kwa yote napitia sahii,,,,kupitia kwa huu wimbo kila jambo litafunguliwa😢😢
Ubarikiwe Sana dada
Samuel Migaro amina kaka
Hakika Mungu wetu umebaki mwenyewe ....barikiwa mpnz kwa wimbo mzur
Amina Dada mungu wambinguni akubaliki
Aminaaa ni nyimbo nzur sana
Ubarikiwe kwa nyimbo zako mungu umebaki mwenyewe kwenye maisha yangu
Nyimbo nzuur my
Barikiwa kwa ujumbe mzurii
Umebaki mwenyewe baba
Bonge la wimbo nmeusikiriza sanaa unanpa faraja bless best
Mtumishi mwema umebaki mwenyewe hakisha mungu akupambane maisha kwako
Hata Kama life n ngumu mungu hawezi kukuwacha Kwa sababu yeye n mweza yote,,, mungu akubariki sana mum❤❤🙏
Hakika ni wimbo mzuri sana unatia nguvu Mungu akubariki na aendleee kukutumia
Nice
My song Mungu akubariki
Ata na mimi naumia sana nimeotea nyimbo yako kali sana. et umebaki mwenyew umebaki mwenyewe
Ubarikiwe sana my dada kwa uimbaji bora kabisa
Escor Tweve shukrani sana mpendwa
Kunywa soda mtumishi na usikubali kutembelewa jirani ni mbaya sana alitaka kumdanganya yesu ,eti akimwambia atampa Kila kilichopo ulimwenguni,yesu akamwambia,na akamshinda Kwa neno ubarikiwe dada sana
hongera Mamy nyimbo nzur San imenigusa
Barikiwa dada
Daaa nimebarikiwa Sana kwa wimbo huu,Ukawe kichwa nas mkiaa ktk uimbaj wako,
Wimbo mzuri sana. Ubarikiwe sana
Unanifariji saana huu wimbo sina mawazo mabovu amiiiiina umebaki mwenyewe Baba aluluuuuuuuuh oooh haleluya
Nyimbo nzuri sana Mungu aendelee kukuinua
Daniel Benard shukrani sana
Ujumbe mzuri Barikiwa sana Mtumishi
Katika hii majaribu na vita ninazopitia Yesu Kristo umebaki mwenyewe unishindanie
Amina
Hakika amebaki yeye tu Kwa Maisha yangu ,ubarikiwe mumy
Amina hakika amebaki Mungu mwenyewe mpendwa barikiwa mtumishi
Kazi nzuri endelea kupambana mdada
Aloyce Mlivatwa shukrani sana mpendwa
I am inspired and for sure, God The Almighty is the Only one who knows us
nice video!😃😃😃hongera sana nmeipenda na ujumbe mzuri
Wimbo mzr sana barikiwa mtumishi wa Mungu
Wimbo mzuri Sana dada Mungu azidi kukutumia apendavyo
Wimbo mzuri video nzuri hongera Umebaki mwenyewe Yesu
Nabarikiwa dada Mungu akupandishe viwango
Hakika Kristo Yesu ndiye suluhisho la mwisho na ni la kipekee katika maisha ya kila mmoja wetu.
Amina
Wow! wimbo mzuri sana umenibariki
Amen, Mungu Mfan Njia na afanye Njia. Umebaki mwenyewe Baba
Amen...barikiwa mumie
Umebaki mwenyeweee
Ni kweli umebaki mwenyewe Yesu, kwani peke yako ndiwe rafiki mwaminifu. Amina
Nimeupenda sanaa nimebarikiwa asanteee
@@mariummwate6496 dhjhbn
Inatubariki sana
Fish Bwoy asante sana
In my situation now,umebaki mwwnyewe Yesu,pokea sifa Bwana
nyimbo Zuri sanaaa