NOT EVERY EDUCATED CAN BE ABLE TO A LEADER OR TO LEAD . TO BE A LEADER IS SOMETHING THAT SOMEBODY BORN WITH , IN OTHER WORD YOU CAN CALL IT A TALENT. SOMETHING YOU DON'T NEED TO HAVE A UNIVERSITY DIPLOMA FOR.
@@richardmaliwanga4565 angalia thumb up and thumb down. Hebu jumlisha zote ukisha gawanya utapata jibu lako. Hio ni hesabu ya chumba chapili haitaji uwe na degree ya hesabu ndugu yangu
Gabriel Malecela acha ushoga wewe kwani leo ndio anaanza kuongea katika hali hiyo tatizo ni malezi ya kulelewa kijinga ndani ya nyumba mwenye sauti anakuwa mke kuliko mume nyie watoto ndio zao hilo,eti 2020 kauli nzuri,bila shaka utakuwa unaishi Dar maana vijana wa Dar 85% akili zenu kama mashoga wanaojielewa ni wachache sana
@@hassanmirambo564 nashangaa saana kuona mwanaume kama wew unasumbuliwa na hisia negative na kumtafsili baba akho kua shoga ....pengine kibuli na jeuli kulelewa na baba wa kambo ndy inakuchanganya we hata baba akho amekukataa mama akho c alibakwa kisimani ukazaliwaa # kama shujaa na mwenye akili yakufikilia unge comment wew kwa akili yakoooo brother # nishagundua wew una matatzo ya akili maana sio kila chiz lazma aokote makopo!...
uyu jamaaa kuma kweli anaekwambia ata asipoomba kura apati uongozi ni nani wwe mwenyewe umezaliwa kwenye utawala wa ccm sasa inakuwaje unaandka umama jpm ni bonge la President wwe tena usirudie tena
Wewe unataka kingereza au Kiswahili au maendeleo halisi yenye mabadiliko. Ulishasikia kingereza Cha rais wa Uganda. Huyu ni mwlmu by profession. Anajua kuchagua Nini Cha kusema ili kutimiza kusudi la watu kuelewa pia kuwafanya kutamani kujifunza KISWAHILI. Huyu watamwelewa wachache wenye akili. Wenye zilizooza wataendelea kuoza. Sisi tuamwelewa na tunachojua anatupeleka tuliootaka kwa muda mrefu. Mzee JPM piga kazi tuelekea kuvuka. Mungu asikuache hata nukta moja mihasidi ikarudi kutuumiza na ubinafsi wao.
English inatusaidia nini Watz? Sisi tunataka kuona Rais anafanya kazi tu. English awaachie walimu wa lugha na wanaolipwa kwa kusoma habari za hicho kizungu
Excellent mh nothing is permanent....
SIFA KWA MUNGU ALIYERUHUSU UZALIWE TANZANIA JPM MUNGU AKUPE NGUVU YAKULITAKASA TAIFA KILA KUKICHA AMINA
jeny yusuph Mungu aendelee kumuongoza na kumbariki
Congz Pombe i like ur policy Allah bless u a lot
mm kura yangu ya 2020 natoa leo leo kwa magu
NATAMANI UONGOZE NCHI MILELE MUNGU AKUPE ULINZI WANAOKUCHUKIA WOTE NI MAFISADI WALIZOEA KUKOMBA PESA ZA SERIKALI.
milele??
Hii nchi walifanya shamba labibi kweli🤣🤣
Mungu akutangulie my president nakuelelewa sana
Mzee noma sana huyu namkubari kinoma
NOT EVERY EDUCATED CAN BE ABLE TO A LEADER OR TO LEAD . TO BE A LEADER IS SOMETHING THAT SOMEBODY BORN WITH , IN OTHER WORD YOU CAN CALL IT A TALENT. SOMETHING YOU DON'T NEED TO HAVE A UNIVERSITY DIPLOMA FOR.
Walizoea hao kukaa ofcn tuu utumbuaji uendelee tuu
Muungano women groug kinatoa mafunzo yote ya ujasiriamali,karbuni sana wanawake tunaweza
wow,, this is my country
Big up mzee baba
Ukweli mawaziri wengi wanawadharau wananchi, ila wanawaheshimu wananchi wakiw kwenye majimbo yao
Wakati wa kumbe kura tuuu
Halafu kuna "Mburundi" mmoja wa Kigoma anathubutu kumshambulia Rais wetu JPM kwa hoja zisizo na maana!
Nani huyo
@@policeayoub8355 aahahha wewe ni Police lazima utakuwa umeshajua ni nani anaongelewa
KanyAgakanyagaTzTwende mbele
Uko vizuri magu
vunja mpaka ikulu wakikuletea upuuzi
Wewe unamchana mtu live. Sema wanaokuangusha mzee ni watu wako ndio wenywe. Rushwa tu
MH. HAUNAGA LIKIZO?
naelewa kazi
Be blessed my president
Millard ayo satute i appreciate u bro, never lose
2020 tujiandae
Najivunia kuwa mtanzania🇹🇿👈👉🇹🇿👊
❤ hakuna raisi karika inchi za africa tuna weza fananisha na magufuli alikwa mtu anaye penda inchi yake alafu ni ANTI corruption
R.I.P😢
Nothing is permanent
Katiba ibadilishwe jpm aongoze miaka20
#Tarakea
Hatakaa akanyage hyo sehem kwa walichomfanyia🤣
kura yangu haijapotea bure
Katika kila watanzania 260 wanaomuangalia Mh Magufuli kupitia TH-cam, kuna watanzania 28 tu ndio hawakubaliani na uwadilifu wake.
Takwimu za lini?
Umetoa wapi takwimu hizi?
@@richardmaliwanga4565 angalia thumb up and thumb down. Hebu jumlisha zote ukisha gawanya utapata jibu lako. Hio ni hesabu ya chumba chapili haitaji uwe na degree ya hesabu ndugu yangu
@@richardmaliwanga4565 mgeni wa youtube inaonekana
anko magu oyeeeeeee
Hiii ni 2020 ishafikaaa lazma kauli nzuri ziwepoooo.....let's wait to see .......time will tell
Gabriel Malecela acha ushoga wewe kwani leo ndio anaanza kuongea katika hali hiyo tatizo ni malezi ya kulelewa kijinga ndani ya nyumba mwenye sauti anakuwa mke kuliko mume nyie watoto ndio zao hilo,eti 2020 kauli nzuri,bila shaka utakuwa unaishi Dar maana vijana wa Dar 85% akili zenu kama mashoga wanaojielewa ni wachache sana
@@hassanmirambo564 nashangaa saana kuona mwanaume kama wew unasumbuliwa na hisia negative na kumtafsili baba akho kua shoga ....pengine kibuli na jeuli kulelewa na baba wa kambo ndy inakuchanganya we hata baba akho amekukataa mama akho c alibakwa kisimani ukazaliwaa # kama shujaa na mwenye akili yakufikilia unge comment wew kwa akili yakoooo brother # nishagundua wew una matatzo ya akili maana sio kila chiz lazma aokote makopo!...
@@hassanmirambo564 Umemjibu vizuri huyu jamaa ila ungemjibu yeye kama yeye maana namimi nipo Dar lakini namuelewa rais tangu aingie madarakani
Abraham Kibona nilitumia neno baadhi nikijua wenye AKILI TIMAMU mpo
uyu jamaaa kuma kweli anaekwambia ata asipoomba kura apati uongozi ni nani wwe mwenyewe umezaliwa kwenye utawala wa ccm sasa inakuwaje unaandka umama jpm ni bonge la President wwe tena usirudie tena
Piga msumali baba
Ukiwa nyumbn ukaongea mchanganyiko na kiingereeza ukitoka nje uongei kiingerrza shda nn ? Au akipand
Unaweza kungatwa na mbu na kiingereza chako...
Wewe unataka kingereza au Kiswahili au maendeleo halisi yenye mabadiliko. Ulishasikia kingereza Cha rais wa Uganda. Huyu ni mwlmu by profession. Anajua kuchagua Nini Cha kusema ili kutimiza kusudi la watu kuelewa pia kuwafanya kutamani kujifunza KISWAHILI. Huyu watamwelewa wachache wenye akili. Wenye zilizooza wataendelea kuoza. Sisi tuamwelewa na tunachojua anatupeleka tuliootaka kwa muda mrefu. Mzee JPM piga kazi tuelekea kuvuka. Mungu asikuache hata nukta moja mihasidi ikarudi kutuumiza na ubinafsi wao.
English inatusaidia nini Watz? Sisi tunataka kuona Rais anafanya kazi tu. English awaachie walimu wa lugha na wanaolipwa kwa kusoma habari za hicho kizungu