HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUFUATA HATUA HIZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2021
- YOU CANNOT SUCCEED WITHOUT CONSIDERING THESE AREAS OF CHANGE.
In this lesson Apostle Mtalemwa teaches three areas in which change must take place if one is to succeed. 1) Thoughts
2) Speech
3) Behavior and conduct
Follow the full lesson and be blessed.
(swahili)
HUWEZI KUFANIKIWA BILA KUZINGATIA MAENEO HAYA YA MABADILIKO.
Katika somo hili Apostle Mtalemwa anafundisha maeneo matatu ambayo lazima mabadiliko yatokee endapo mtu anataka kufanikiwa.
1)Mawazo
2)Usemi
3)Tabia na mwenendo
Fuatilia somo kamili na ubarikiwe.
na mimi na sema mimi ni muzima nina imani kufuatana na neno lenyi nimepata leo nimefunguliwa na nimebarikiwa bwana mungu atabadilisha maisha yangu,wala sitalia tena ni mwisho ya mateso yangu,asante baba mtumishi na mimi naomba sala kwajili ya jamaa langu bwana akuongezee maisha marefu asante.
Mungu akubariki sana sana
Mm nimekusikiliza vzur itoshe kusema naona uwepo wa mungu kwako asante kwa maubiri mazur ww ni mwalim mzur
Ameen Mtumishi wa Mungu nabarikiwa na mafundisho yako hakika Mungu anakutumia iwish nifike Madhabahuni kwako ila cpajui ni wap
Haki ujumbe mzuri xana umenibariki xana mtumishi
Napokea nia ya kusimama na mindset yangu hadi nitimize katika Jina la Yesu Kristo of Nazareth Amen 🙏
Mimi ni hodari Mimi jasiri kwa jina LA yesu sitoogopa tena kusimama Na kuongea mbele za watu nauvaa ujasiri Wa yesu Amen
Mafundisho ya kweli ya wokovu.Ahsante Mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana na mungu ju unanijenga.
Amen Mimi nitakua juu katika jina la yesu
Nimepokea mind set.Asanrte pastor Mtalemwa
Ndio katika mdomo kuna uhai na mauti,baraka na laana ,ni tujue ulimi na neno la mungu vinaumba vitu
Natazama kutoka Kenya Nairobi, Mimi ni hodari, mshindi katika jina la yesu, thanks apostle God bless you
God bless you pastor most powerful gospel
Ameni Mungu anisaidie
Asante mtumishi wa mungu
Imekuwa kwa JINA LA YESU.
Mimi ni hodari kwa jina la Yesu
Amen napokea mabadiliko katika mwenendo wangu na muonekano.Pamoja na yote mimi ni mkuu,mimi ni muweza
This is amazing waaahooo mungu azidi kuitwa mungu aminaaa
Apostle Mungu azidi kukuinua katika huduma yako Nabarikiwa na Mafundisho yako Nimejifunza Mengi Kupitia kwako Mtumishi Nakusikiliza Sana katika Mafundisho yako Naamin Mungu atanisaidia Kupitia ujumbe huu🙏🙏
Pastor akika mafundisho yako yamenibadirisha pakubwa sana MUNGU WA mbingun akubariki sana akupe umri mrefu🛐🛐🙏🙏🙏
Mimi ni tajar mimi ni boss mimi ni mubarikiwa Ameen
Amen in Jesus name
Amen chief.Nimechange my mind set Apostle
Halelujaaaa ubarikiwe man of God
Amen, Amen. Mimi ni najitabiria kuwa boss, nakuwajiri wafanyikazi wengi.......Namshukuru Mungu kwa sababu yako maana umekuwa mwalimu kweli kweli kwagu napia kwa jamii yetu ya Kenya 🇰🇪. Asante mtumishi wa Mungu aliye
Bigup apostle
Ni kweli tu. Amen
Asante mtumishi
Asanteee Sana chief kwa mafundisho yako mazuri am so proud, kuanzia Leo nitabadilisha usemi WANGU, Mimi Ni mkuu,Mimi Ni mshindi katk jina la Yesu
Amen🙏🙏mm nitamtumikia Mungu hadi kifo changu... Pia mm ni mahindi na sitaogopa chochote
Apostle ninaomba ututengenezee flash za haya mafundisho yako tuwapelekee wazazi wetu vijijinii ,,,Tuokoe nafsi za ndugu zetu ambao hawana mitandao na simu ,,,,,
I will never be the same, I have touched this grace, my life must change.
Amen
Ubalikiwe Mwajina Wa Baba Yangu Mutalemwa
Kenya is well represented 🇰🇪
Tuko pamoja
Mimi ni mkuu, mimi nimueza MIMI NI HODARI, MIMI NIMSHINDII AMEN 🙏🙏🙏
nabarikiwa sana apostle
Be so blessed Apostle
Am a new Person
After this pray
God bless you My Apostle.
Mimi ni mshidi, mimi ni ondari, mimi ni muwesa,,, Amen, hakika nimembariwa na maumbiri yako mutumishi wa mungu,,, mimi hua naota nikikemea wajawi kua hawana uweso kwangu mungu aliye niumba ndio ako na uweso wa maisha yangu, naomba mungu anisaidie nisiwe mtu wa kutamka mambo mapaya kutoka kinywa changu, mungu nisaidie nisitamke mambaya,,,, nitamke mbaraka mema, mfanikio, Amen Amen 🙏🙏🙏
Leo Niki kaaa ntaona mashamba yangu
Ewe NABII wa MUNGU itoshe sana mm kusema ubarikiwe na Bwana kwa maana na nabarikiwa sana na kufarijika na kila aina ya mafundisho yako
Blessed apostle neno hili limenifungua...mimi ni wa juu sana na uzao wangu utakuwa ni wa Juu atapatikana kiongozi kutoka katika tumbo langu...in the might name of Jesus
Mungu anisaidie usemi wangu na
mindset yangu iwe positive kwa Jina la Yesu
Words have spirit and if it has spirit,it has the body too,,,, when I proclaim it stays in me. Very powerful apostle be blessed.🙏🙏 watching from Nairobi kenya
Barikiwa
Yoel 3:10 mimi ni Hodari
Zab 118:17 sitakufa bali nitaishi
🙌🙌 Pamoja na yote mimi ni mkuu!!
May Lord bless you apostle
Oy yes " nmekuelewa chief lazima tubadili nia zetu..ooo jesus
Great teaching,
Ubarikiwe 👏
Confession makes reality.You are teaching us Man of God Chief Apostle Mutalemwa
Amina mungu anisaidie nice mkubwa apostol ishi miaka mingi
I watched this clip and a dreamt of you apostle, we were having a crusade, and people were crowding, then you push them behind and told them ," Kila mtu asogee huko" ukanisogelea na kuniuliza hivi yule apostle alikwambia Nini wakati anaondoka, ukaniuliza hivi hakhakuzungumzia kazi? Ukaniambia unataka unipe kazi...I receive it in Jesus mighty name...nikaamka
Ameeen🙏🙏🙏🙏
mimi ni mumiliki wa viwanda mimi ni hodari
🙏🙏🙏🙏🙏
AMEN AMEN 👏👏🙌🙌🙌
Ameeee
Like Major 1 🔥
Be blessed you pastor
Amen
This is great! In Jesus name, I receive!!!!! Watching from Moshi Kilimanjaro,Tz.
Thanks apostle ,Yani unayotufundisha imezidi Hadi thamani ya madini yote, blessed and God give you long life for us 🙏🙏🙏
Yaan Mungu azidi kumbariki huyu mtumishi wake👏👏👏
@@mankalema2015 sure ,amen🙏🙏
Amina baba
Amen man of God
Asante sana ubarikiwe sana Mchungaji
Amen...from Kenya
Ameen
Mungu akubariki mutumishi wake
Amen Chief
Amen mahubiri mazuri sana
Asante sana Chief hakika mm ni hodari
Ninaweza ktk yeye anitiaye nguvu.Nasema madeni mwisho sasa.Ila nitawakopesha sitakopa.Hakuna nyumba kuuzwa tena .Mimi nimbarikiwa.
Amen Amen...mimi ni mkuu..Asante Apostle..God bless you .church and family!
MUNGU ANISAIDIE NIBADILISHE USEMI/UKIRI WANGU KILA IITWAPO LEO UWE CHANYA🤲🤲
I RECEIVE CREATIVE MIND! MIND OF CHRIST JESUS🙌🙌
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen 🙏 🙏 🙏
Sasa nmebadili mtazamo🙏
Natamani Sana kua karbu na Mungu lakini Moyo wangu upo mbali na Mungu utanisaidiaje prophet
Mungu anakupenda sana na ndomaana bado yupo nawe japo unamtenda dhambi mara kwa mara. Piga namba hizo hapo kwenye video hiyo na mtumishi wa Mungu atakusaidia kwa maombi na ushauri.
Kaz in kutamuka na kuwa na Imani
Wow am blessed am so so blessed in Jesus name nikiwa saudi Arabia
Hallelujah
I receive
powerful man of God
Amin nime Barikiw sn
Amen.I am strong and a good courage I will not be afraid of anything I am a conquer by the Name of Almighty.
P
Mimi ni dhaifu ulimi ,Mungu nihurumie
Kinachosababisha niweke MB kwenye simu yangu,ni mafundisho yako mtumishi wa Mungu,hata nikiwa sina pesa niko radhi kukopa pesa ili tu nisikilize mafundisho yako,maana unanitoa ujinga mzito nilionao,Mungu azidi kukubariki
Mimi nimenunua flash nikaweka zote hapo..
Mm nimkuu mm nihodar in Jesus name
Amen man of God be blessed
Mtumishi mafundisho yako yananigusa san
Mungu azidi kukupa mafunuo kwa ajili yetu naenda viwango vingine kila ninapo sikiliza mafundisho yako
Love you son of mojor one. Like father like son.
Amen thank you so much kwa kunifundisha kutumia kinywa changu kwa sahihi " Mimi ni billionaire"
Ameeeeeeeeeeeeeen
Mimi sio mnyonge!!!
Napokea mabadiliko mapya nikiwa kenya
Hallelujah inaniinua tu sana na mahubiri yako from kenya
Amen
Shetani ni mwongo ....heteka nyara fikra
Amina mtumishi barikiwa sana tuna barikiwa na tunafanikiwa love you 😍 😘 💖
🙏🙏🙏🙏💕
MIMI NI MKUU
Pastor NAHITAJI MAOMBI TUMBO LINAWAKA MOTO KARIBU NA KITOVU
Maombi ni hili somo angalia mpaka mwisho na ujitamkie uzima, kupona, kwa Jina la Yesu Kristo na itakuwa hivyo kwako kama ambayo Nabii yoel alitamka na kusema mimi ni hodari!
BAADA YA MIAKA TATU SITAKUWA VILE.
VISSION CHIEF UNANIAMBIA NIKUPIGIE JUU NIMEKATAZWA CM .NANI IKWELI
Amen
Amen
Amen
Amen