JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2021
  • HOW TO PRAY IN THE AFTERNOON
    There are many things that God has closed in a certain time or season. In this lesson we learn how the day (noon/afternoon) has many good things if we understand how to use it. Also in this lesson Apostle Mtalemwa explains TWO KEY POINTS TO PRAY DURING THE DAY. Follow this lesson to learn more.
    (Swahili)
    JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA
    Kuna mambo mengi Mungu ameyafunga katika muda ama majira fulani.
    Katika somo hili tunajifunza jinsi mchana ulivyo na mambo mengi mema endapo tutaelewa jinsi ya kuutumia.
    Pia katika somo hili Apostle Mtalemwa anaeleza MAMBO MUHIMU MAWILI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
    Fuatilia somo hili upate elimu zaidi.

ความคิดเห็น • 348

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 3 ปีที่แล้ว +9

    Napenda unavyo fundisha kwa umakini mkubwa thank you so much Man of God.hata mm 2018 nilisha jibiwa mchana one day nilikua mgonjwa ajabu but Mwenyezi Mungu akaniletea doctor after spending the all day in church praying. I have a testimony.

  • @farajimohamednganilohi7001
    @farajimohamednganilohi7001 2 ปีที่แล้ว +2

    Namshukuru sana Roho Mtakatifu ananisaidia kukuelewa hata ukizungumza mambo mazito yeye unisaidia kuyaelewa. Na hakika nayaona matunda yake. Nakupenda sana Baba yangu wa Kiroho.

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 3 ปีที่แล้ว +3

    Katika mtumishi anayejua kufundisha neno aisee you are the best.Mungu aendelee kukuinua son of major prophet.apostle mtalemwa number one in Tanzania.

  • @shemkaiglory6982
    @shemkaiglory6982 6 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana Apostle, mafundisho yako ni mazuri yamenyooka...nipo shinyanga nakufwatilia sana na ninabarikiwa

  • @iranyibutsearnaud4278
    @iranyibutsearnaud4278 2 ปีที่แล้ว +6

    U are a real man of God 🙏 .u build me up with this word I am sure I will come back to comments on the same post with testimonies .

  • @wigomwenyeflevazake7913
    @wigomwenyeflevazake7913 2 ปีที่แล้ว +1

    daaaaah nimekupenda breee apostle ubarikiwe sanaa una mafuzo mazuriii mnooo really touch my heart

  • @joycegesare1571
    @joycegesare1571 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina nimebarikiwa na hili somo nimeshukuku juu umeniponya ata yule mwanamke msinifu alikutana na yesu mchana kisimani

  • @veronicawangari6108
    @veronicawangari6108 3 ปีที่แล้ว +15

    Mimi si mtanzania lakini mtumishi napenda jinsi unavyofafanua maandiko katika biblia nakutazama kupitia mtandao kutoka Kenya mungu awe nawe nyakati zote amina

  • @esthercharles2210
    @esthercharles2210 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Chief Apostle Ufunuo mkubwa sana huu,hakika nimepata somo kubwa sana.

  • @ruthkiptoo9886
    @ruthkiptoo9886 2 ปีที่แล้ว +3

    Thanks mtalemwa for your teachings may God bless you abundantly.

  • @johnmsiage7580
    @johnmsiage7580 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina ww ndie baba wa kiroho ambae unawaongoza watoto vizuli

  • @gracelymgimwa-jt6nw
    @gracelymgimwa-jt6nw ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu an kumtukuza kwa uwepo wako Chief unafafanua neno kwa kiwangu cha juu sana,Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @mrsnzilomgisha2687
    @mrsnzilomgisha2687 3 ปีที่แล้ว +1

    Chief wa watu. Hakuna somo unalofundisha nisikuelewe.... barikiwa sana Apostle wangu. Zaidi ya yote nakushukuru kwa utabiri wa mtoto wa kiume na nikampata kweli.

  • @hopelema3893
    @hopelema3893 ปีที่แล้ว +1

    I wish uje kanisani kwetu naguswa sana na mafundisho yako.Mungu akutumie zaidi na zaidi

  • @joycejumaa7181
    @joycejumaa7181 3 ปีที่แล้ว +3

    Asante mtumishi wa Mungu kwakunibariki na neno nashukuru kwakunifungua akili amfrom Kenya but now I am 🇸🇦nahitaji maombi Mungu tumbo yangu

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi ปีที่แล้ว +1

    Some nzuri barikiwa Apostle

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen Man of God MUNGU AKUTUNZE NAKUKUBARIKI

  • @lydiamkungu347
    @lydiamkungu347 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu uwe pamoja nami

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi Apostle Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Maana umenitoa mbali Sana Nakufatilia Kwa kuushika ujumbe wako Mungu akupe kipawa zaidi Katika huduma yako Man of God

  • @msokelesijali7909
    @msokelesijali7909 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu aendelee kukutunza mtumishi

  • @happysumia8756
    @happysumia8756 3 ปีที่แล้ว +7

    Amen Mtumishi ili Mtu akwelewe Lazima akusikilize hadi mwisho,,SOMO la Siri ya Asubuhi imebadili kabisa maisha yangu

  • @jenifadaniel7752
    @jenifadaniel7752 ปีที่แล้ว

    Amina! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri na maombi

  • @marymwatsuma8137
    @marymwatsuma8137 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen nmebarikiwa Sana asante mtumishi kwa muongozo

  • @bejishful
    @bejishful 3 ปีที่แล้ว +4

    Amen amen amen. Matatizo yote sugu maishani mwangu yameondolewa leo mchana na jua la haki linaniangazia, maadui zangu wote wamepigwa upofu kwa Jina la Yesu! Amen!!

  • @ruthnyanza1887
    @ruthnyanza1887 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa Sana na mahubiri haya Mungu akuinue.mtumishi watu wajue kuishi maisha ya kumtegemea .Mungu Ame

  • @AgnessNyansambo
    @AgnessNyansambo 4 หลายเดือนก่อน

    Uliishanipandisha viwango Hadi nashindwa kueleza barikiwa zaidi ya sana❤❤❤😊😊😊

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga2175 3 ปีที่แล้ว

    Asante Mtumishi neno nimelielewa yan nilikuwa sijui masaa ya kuomba nilikuwa najiombea tu lakin sasa Mungu ananifundisha kupitia Mtumishi.

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 3 ปีที่แล้ว +1

    Pia mimi niko na ushuhuda mtumishi 🙏🙏.Baada ya kusikiliza mafundisho ya misukule part 1&2 huo wakati nilikuwa naumwa na miguu na mikono takribani week mbili.Hali ile ilinisumbua sana juu sikuwa na fanya kazi nzito sasa shida sijui ilikuwa wapi.Wakati wa mchana baada ya maombi nililala na nikiwa usingizi nilihisi upepo unanivivia sehemu ya miguu na mikono kuamka maumivu niliyokuwa nahisi hayakuwepo 🙏🙏🙏 .Hapo nilipokea uponyaji wakati wa mchana 🙏 kwa hakika Mungu ni mwema.Mafundisho yako yananiinua sana na Mungu azidi kukuinua katika viwango vya juu zaidi tuweze kufahamu zaidi be blessed The Man of God🔥🔥🔥

  • @annajoseph425
    @annajoseph425 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Apostle kwani baada y kusikiliza mafundisho haya mchana wa leo kuna jambo Mungu amenitendea maishani mwangu

  • @jacklineikoki6653
    @jacklineikoki6653 ปีที่แล้ว

    Oooh yes barikiwa Sana chief unazidi nibariki mtumishi

  • @alicekalemela7435
    @alicekalemela7435 3 ปีที่แล้ว +1

    Apostle kwa kweli mda hautoshi, nimekuelewa vizuri, Asante Sana kwa mafunuo

  • @IsakaShauri-qu4xo
    @IsakaShauri-qu4xo 5 หลายเดือนก่อน

    Ameen nimebarikiwa sana na mafundisho Mungu akubariki sana mtumishi

  • @annekangaikathuni9523
    @annekangaikathuni9523 3 ปีที่แล้ว +1

    ...hakika mtumishi...waaa hufahamu wa juu zaidi...Mungu apewe sifa milele...nime barikiwa hekima ilioje waaaa.!!!!📢📢📢📢💯

  • @ezrantare8978
    @ezrantare8978 2 ปีที่แล้ว +5

    Asante Apostle kwa kunipa maharifa ya kuomba maombi katika wakati sahihi na Aina ya maombi. Thanks Lord for your word given by your Servant Mutalemwa I feel blessed.

    • @user-mj8sl5rc7g
      @user-mj8sl5rc7g 5 หลายเดือนก่อน

      Asante Apostle Kwa mafundisho yako nabarikiwa nikiwa Kenya. Naitwa ev.Renson

  • @stellafety4332
    @stellafety4332 3 ปีที่แล้ว +1

    Amennn mungu mubariki mchungaji Wako asante nashukuru kwa neno soit béni

  • @neemamlanda5862
    @neemamlanda5862 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mtumishi wa Mungu nimeomba na wewe mchana wa leo naomba kupitia hapa naninamini mungu atatimiza malengo yangu amina

  • @dominickrwehumbiza7950
    @dominickrwehumbiza7950 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana Apostle kwa mafundisho haya. hakika ili somo limenifundisha mengi na kunibariki. Mungu azidi kukuinua Apostle

  • @sesiliasamwel5024
    @sesiliasamwel5024 5 หลายเดือนก่อน +1

    Apostle ubarikiwe nimeinuka tena

  • @mytomorrowmambo626
    @mytomorrowmambo626 6 หลายเดือนก่อน

    Unanibariki sana kwa mafundisho,Ubarikiwe sana mtumishi

  • @dieterfenn6773
    @dieterfenn6773 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen napokea majibu kutoka kwa Mungu Asante mungu kwa uzima wangu na Baraka

  • @zainabukimaro5240
    @zainabukimaro5240 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante yesu kunikutanisha na mtumishi huyu

  • @halimarashid3728
    @halimarashid3728 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi napona na mafundisho yako

  • @salomemahenge209
    @salomemahenge209 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu niko nasikiliza somo hili mchana huu napokea majibu yangu

  • @faridaelias7137
    @faridaelias7137 3 ปีที่แล้ว +1

    Ameeeeen mafundisho makali sana..Mungu akutunze mtumishi wake

  • @meryezekieli8640
    @meryezekieli8640 5 หลายเดือนก่อน

    Amen mafundosho yamenisaidia kujua kuomba Kwa wakati mungu akubariki sana mtumishi

  • @faridaeliud6360
    @faridaeliud6360 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi nami naami mda huu napokea kizazi kipya

  • @rithalukas4263
    @rithalukas4263 3 ปีที่แล้ว +1

    hakika huu ni Ujumbe wangu kutoka Kwa Roho Mt.
    Yesu Asante

  • @RoseUrio-bl3dm
    @RoseUrio-bl3dm 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen, ubarikiwe sana...nabarikiwa na mafundisho,Mungu akubariki

  • @millcentsamali6793
    @millcentsamali6793 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika huu ni ufunguo wa magumu yetu!!!mchana ni Nuruu
    Barikiwa mtumishi wa Mungu Mwenyenzi

  • @marywafula2858
    @marywafula2858 2 ปีที่แล้ว

    Ooh yess nimekuelewa Mtumishi heee Barikiwa saana

  • @lylyekalendi2524
    @lylyekalendi2524 ปีที่แล้ว

    Mimi ni congolaise , nakufataka sana , na nafurahisha na somo ginsi ya kuomba mchana , kumbe tunaomba mubaya njo maana hatujibiwe, nimefunjwa sasa Mungu akujaje tafsiri mtumishi wa Mungu amen

  • @dottomkuchu5890
    @dottomkuchu5890 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaani Apostle umenitoa ktk Giza Nene kumbe mchan ni mzuri Kwa maombi Mungu akutunze milele

  • @rachaelmkunda2742
    @rachaelmkunda2742 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu kwa kunikutanisha na huyu apostle amenifingua Amina

  • @bishopalinanusweabisai899
    @bishopalinanusweabisai899 3 ปีที่แล้ว +1

    God bless chief
    ni SoMo mhimu Sana ninaona mafanikio ya maombi ya muda nimekuelewa Sana

  • @yudarenatus5316
    @yudarenatus5316 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana chief apostle mtalemwa

  • @neemashilangi3686
    @neemashilangi3686 2 ปีที่แล้ว

    Huwa najifunza sana hapa...Mungu awatunze watumishi wake.

  • @eveanangisye1999
    @eveanangisye1999 3 ปีที่แล้ว

    Eeeh Yesu Kristo naomba neema hii niliyoipata isipite bure kwenye maisha yangu niliishi neno lako na kusikiliza mahusiya yako kutoka kwa wateule wako......Amen barikiwa Apostle Mtalemwa.

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 ปีที่แล้ว

    Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @eustacelubazibwa3101
    @eustacelubazibwa3101 ปีที่แล้ว

    Hongera mtumishi..mungu awe nawe daima

  • @harriethkinjoli5459
    @harriethkinjoli5459 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Apostle kwa mafundisho mazuri

  • @pastorabellukumay6592
    @pastorabellukumay6592 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Yesu maana unaraise standard yangu ya Maombi

  • @anguraecalistus1509
    @anguraecalistus1509 ปีที่แล้ว +1

    Am blessed...pray for me. I need Jesus in my life. Mimi ni kafiri. Pray for me hili mungu aniokoe

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 ปีที่แล้ว +1

    haki huyu apostle anajua kusaka bibilia

  • @sarahwaswa5819
    @sarahwaswa5819 3 ปีที่แล้ว

    Napokea kwa jina la yesu amen

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 ปีที่แล้ว

    Amen Mtumishi wa Mungu, nami napokea majibu yangu leo, ubarikiwe sana kwa kunipa kitu kipya ndani yangu Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi ufanyike kuwa msaada kwa watoto wa Mungu Amen.

  • @andrewgithaiga9956
    @andrewgithaiga9956 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI I `VE LEARNT ALOT

  • @kavuthalinah514
    @kavuthalinah514 3 ปีที่แล้ว +2

    This has helped me to raise my standard of prayer. nagoja ni jue vile nafaa kuomba njioni na usiku.

  • @judithabuko6006
    @judithabuko6006 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa hekima na ufafanuzi mazuri kwa masomo yako naomba namba ya simu ju niko Saudi Arabia na naomba usaidizi wako kwa maisha yangu kumbe niko nyumba kabisa naitaji kufundishwa

  • @deogratiusdongwe6719
    @deogratiusdongwe6719 10 หลายเดือนก่อน

    Wonderful nimeongeza kitu 🙏🙏🙏

  • @joelsagide9607
    @joelsagide9607 ปีที่แล้ว

    Asante opostole mutalemwa, mimi nilikua nimechoka na maisha kabisa lakini vile umenifundisha neno nimeamini kweli naitaji nafasi nyingine.

  • @felestinekwamboka2873
    @felestinekwamboka2873 2 ปีที่แล้ว +2

    I have learnt alot from you may God bless you abundantly

  • @annsialo1447
    @annsialo1447 3 ปีที่แล้ว

    Amen hakika wewe ni mwalimu alie miminiwa Mafuta toka kwake Bwana hekima ulionayo sio ya elimu Bwana Mungu azidi kukutumia hata kwa mataifa mengi God bless you

  • @boymarb3283
    @boymarb3283 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @DianaMwakibibi
    @DianaMwakibibi หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa sana

  • @witnekidoti6160
    @witnekidoti6160 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mungu kwa mtumishi wako,,,,,,,kila nikisikiliza mafundisho yako yanafanyika uponyaji kwenye maisha yangu Mungu azidi kukuinua man of God

  • @basmartmapinda9321
    @basmartmapinda9321 2 ปีที่แล้ว

    Umebibariki Sana kwa neno la Mungu

  • @josephmutalemwa1461
    @josephmutalemwa1461 3 ปีที่แล้ว +2

    Hallelujah hallelujah praise be to God

  • @lucylunani505
    @lucylunani505 3 ปีที่แล้ว

    Asantee akii mutumishii umeniguzaa, inaendana tu naa ndotoo chafu Sana bt hii maubiri ishawachoma

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai623 2 ปีที่แล้ว

    Aimen mtumishi Mungu akubariki

  • @lulungunda354
    @lulungunda354 ปีที่แล้ว

    Asante sana mtumishi ,nimeelewa maombi haya vizuri,

  • @Msovelo9017
    @Msovelo9017 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana apostle

  • @nizselyluka2096
    @nizselyluka2096 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi

  • @lazarodoma6666
    @lazarodoma6666 2 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa Sana appostle kwa mafundisho yako Mungu azidi kunitumia zaidi 👏👏

  • @kapologweeve442
    @kapologweeve442 3 ปีที่แล้ว

    Amen. Nimebarikiwa sana. Mchana

  • @bettymwanuke1424
    @bettymwanuke1424 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana appostle

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 ปีที่แล้ว

    Asante sana man of God,am akenyan listening from Arabs countries..mimi nimuombezi nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @kajujumary6729
    @kajujumary6729 3 ปีที่แล้ว +3

    Thanks for the word,.. in fact you make me understand how to pray. may God bless you chief apostle you really make good elaboration of the scriptures.since I started following you am getting more understanding. thanks!!!.

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe mwl wetu

  • @sussynasimiyu8467
    @sussynasimiyu8467 3 ปีที่แล้ว

    Amen Amen Amen mungu wa mbinguni akawabariki mtumishi Asante kwa neno la mungu

  • @loismadundu837
    @loismadundu837 3 ปีที่แล้ว +3

    It's my time to recieve my blessings. ..thanks man of God for this teaching

  • @monicajackisoni5865
    @monicajackisoni5865 ปีที่แล้ว

    Amen man of God

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana mchg mutalemwa,nipo nakusikiiliza asubuh ya tareh24)5)23 mme wangu ametekwa na mwanamke aliepewa taraka na mmewe,niombee nipo bukoba ,

  • @officialjemimahowiti
    @officialjemimahowiti 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless and increase more knowledge in you to save the children of God

  • @lydiaamazimbi8450
    @lydiaamazimbi8450 3 ปีที่แล้ว +2

    Wow👏 wow 👏 wow 👏 you're blessed man of God with knowledge of high rank,,,,,hey apostle u hve given me a master class of biblical teachings about time and it's purpose,,,Be blessed apostle and God keep u for the next class of evening and night 🙏🙏🙏🙏

  • @robertmwaipaya3738
    @robertmwaipaya3738 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana ndgu

  • @eunicemarugu3595
    @eunicemarugu3595 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana apostle

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita2206 2 ปีที่แล้ว

    somo zuri sana la maarifa

  • @Here.there24
    @Here.there24 3 ปีที่แล้ว +1

    first one here..God bless you apostle

  • @raychlucky2050
    @raychlucky2050 3 ปีที่แล้ว +13

    I trust this man of God kwa maana wakati alipo fundisha kuusu watu ambao wamebeba mapepo wengi ndio watu ambao wamebeba baraka za familia akasema wandikeni majina yao nilipoandika jini ndugu yangu aliyeishi mjini miaka 4 bila kuenda nyumbani nilipo andika jina lake 4sure alienda nyumbani kabisa watu wamungu jameni fuatilia aya mafundisho yanasaidia sana

    • @ziporahmwende69
      @ziporahmwende69 3 ปีที่แล้ว +1

      Thanks man of God you are a blessing to me.

    • @tullypeter1057
      @tullypeter1057 3 ปีที่แล้ว

      Kristo akutunzee

    • @miriamngaila9568
      @miriamngaila9568 3 ปีที่แล้ว +1

      Hilo somo kichwa cha habari kilisemaje dear??nataka nilisikilize…

    • @ziporahmwende69
      @ziporahmwende69 3 ปีที่แล้ว

      Jinsi ya kuomba wakati wa mchana

    • @ziporahmwende69
      @ziporahmwende69 3 ปีที่แล้ว

      @@miriamngaila9568 jinsi ya kuomba wakati wa mchana

  • @anipherchaula4877
    @anipherchaula4877 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mtumishiwa wa BWANA kwa mafundiaho mazuri mafundiaho yako noapya kila siji ubarikiwe Sana.