Je Vanilla inauzwa Milioni 1 kwa kilo? WAZIRI BASHE afichua ukweli wote, ataja kilimo cha Whatsapp

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ย. 2023
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 38

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naomba mbegu ili nizalishe na mm nipo kiteto manyara Tanzania 🇹🇿

  • @kunyaobelela4062
    @kunyaobelela4062 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hawa waandishi wa habari wapotoshaji mbona hawachukuliwi hatua za kinidhamu? Wanatupotosha sana.

    • @kakuruchiganga507
      @kakuruchiganga507 10 หลายเดือนก่อน

      Mbaya sana na ni mambo yanasikitisha, yaani unakuta Mtangazaji anahubiri mambo yasiyokuwepo na kuawatia umaskini Wananchi wengi kwa kuwaingiza kwenye utapeli alafu anaachwa tu na hicho chombo cha habari kinaachwa tu bila kuchukuliwa hatua.
      Jaribu kufikilia watu wametiwa umaskini kiasi gani kwa kutapeliwa na uwekezeji wa kitapeli kwenye vannila? Na sasa ivi wameibuka na Utapeli mwingine wa kitu inaitwa sijuwi BRAZUKA, eti watu wanatafuta vipaji lakini wanataka kiingilio cha elfu 10 kwamba watafika Wilaya zote, lini Taasisi itafute vipaji alafu kuwe na kiingilio? Wahusika wanakaa kimya juunya utapeli huu alafu baadaye wanajitokeza baada ya watu kuumizwa kuwa ulikuwa ni utapeli.

  • @user-qr5ev9nt2n
    @user-qr5ev9nt2n 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa 9:13

    • @filbertnashon7160
      @filbertnashon7160 6 หลายเดือนก่อน

      Nmewahi kuwahoji wanasema laki na nusu😊

    • @J_Pabloescobar0806
      @J_Pabloescobar0806 2 หลายเดือนก่อน

      Serikali ipo kutupotosha vanilla bei ya hali ya juu kwenye mataifa ya njee ulaya
      Serikal inahongwa pesa na mataifa ya njee ili wawabane wakulima kwenye bei ya chini au hao hao viongozi ndio wanawabana wakulima ili wao wa take over chance za kwenda kuuza uko njee yanii ni
      Kwa vile ni serikali tuiaminie tuu sio kweli vanilla duniani ndio inatengenezea pafyumu na vitu vingi vya marashi lazima iwe gali sana
      The higher the demand the hi the price
      Hii imekaa kijanja sana ila ni iweje duniani iwe finyu then duniani wanataka pafyumu alafu Vanila iwe bei rahisi
      Yani ni kama madini ya gold bei
      Vanilla ni commodity maana linahitajika duniani sana
      Fanya reseach embu usibishe tuu bisha kwa hoja

  • @user-uj9zn6mj5b
    @user-uj9zn6mj5b 6 หลายเดือนก่อน

    MAJIBU YA MH.WAZIRI KUHUSU BEI YAKE HAJALIWEKA WAZI NA HAIELEWEKI INASTAAJABISHA WAKULIMA WAZIRI WA KILIMO KUTOKUWA NA BEI ELEKEZI INASHANGAZA NA KUSTAAJABISHA SANA. WATANZANIA WAKULIMA WA VANILLA JAMANI JAMANI..... MWENYE UFAHAMU NA AELEWE

  • @charlestogolai1407
    @charlestogolai1407 6 หลายเดือนก่อน

    Waziri wetu bashe tunakukubali sana nauko makini sana ombi kwako mazao ya Kilimo bei elekezi zitolewe mapema

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kuwapa ardhi wawekezaji kunaongeza umasikini kwa mtz WA Sasa na bdy,nisawa viwanda vilivyouzwa tukidhani tutapata maendeleo badala yake matatizo ya ajira,ni hatari kwa maendeleo na uhuru WA nchi kutegemea wawekezaji kwamba mtaongeza mapato hao wapo kibiashara sio kuendeleza nchi,state capitalism ndio njia ya uchumi pekee ya kututoa sio wawekezaji(private capitalism).

  • @user-uj7kj3fh7n
    @user-uj7kj3fh7n หลายเดือนก่อน

    Mimi lwangu huyu waziri haeleweki anazungukazunguka tu, hatoi mwongozo nini kifanyike kwa wakulima wa Tanzania walio wakubwa na wadogo

  • @jonasjohn3176
    @jonasjohn3176 10 หลายเดือนก่อน +1

    jamani sirikari tafta soko ravanira

  • @lucassalvatory7251
    @lucassalvatory7251 10 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 10 หลายเดือนก่อน

    Akhsante waziri wa kilimo

  • @aljabery.binruz
    @aljabery.binruz 10 หลายเดือนก่อน

    Mfugaji wapewe eneo ya kufuga wanyama. Wanainchi wapate kulima. Zambia wafugaji kila moja Ana ranch ya kufuga wanyama na ikingia barabara I au shamba la mwananchi inataifishwa au fine. Je sisi wabongo tumekwama wapi au fikra hizo hatuna?

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 7 หลายเดือนก่อน

    Wakamateni hao watu wa media, wenye kampuni feki za vanilla pia radio,tv,zinarusha matangazo wakati mwingine hata zbc na tbc

  • @user-ny2bi8yj1o
    @user-ny2bi8yj1o 10 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa bei kamiri ya vanilla ni sh ngapi mbona husemi bei

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 10 หลายเดือนก่อน

    Bora umewafungua masikio watu wanapaparika namauongo kwenye vyombo vya habari.

  • @jonasjohn3176
    @jonasjohn3176 10 หลายเดือนก่อน

    sema behi kamiri ya vanita

  • @user-ez6ko4mm5d
    @user-ez6ko4mm5d 10 หลายเดือนก่อน

    Hunger bashe

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 10 หลายเดือนก่อน

    Bashi ni kiongoz

  • @user-qr5ev9nt2n
    @user-qr5ev9nt2n 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa

    • @user-oe8ee5tw7l
      @user-oe8ee5tw7l 10 หลายเดือนก่อน

      Haaaa aise
      Kwanza huyo Saymon Mkondya anaye amasisha kiwa vanila ni tsh Ml1 na zaidi we unaona huyo mtu akiri yake iko timamu??!! Sio naona ata review zake ana upongufu wa akri
      Aya ndio tuseme ni Ml1
      Sia gekuwa bilionea mkubwa
      Angaliaga ata mwonekano wa mtu anaye kuhamasishwa k2
      Zaid ni katika jitiada za kuvutia akutapeli

  • @deogratiuslauwo8460
    @deogratiuslauwo8460 7 หลายเดือนก่อน

    Huwo ndio ukweli

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mara utasikia huyu amehamishiwa Wizara ya Afya! Mipango yake yote inakufa na mpya à naanza na yake mapya. Huyu pengine ndiye Waziri pekee aliyesomea anachokifanya. Tatizo la rais kuamua atakacho hata usingizini, ndio linalokwamisha maendeleo. Angalia mkuu wa Mkoa wa Dar wa zamani. Aliwachukua wafanyakazi hadi Rwanda kwa lengo la kuwafanya waje walete mbinu zile zile za usafi wa Kigali. Waliporudi tu kabla ya ku implement mipango yake, rais amhamisha kwenda Mwanza sijui wapi huko. Mipango yake ikafa!
    Briefly speaking: Tanzania ina tatizo kubwa la uongozi. Hadi uongozi wenye weledi, nidhamu na kujitambua, maendeleo ya kweli Tanzania itakuwa ndoto.

    • @juliustarimo1257
      @juliustarimo1257 3 หลายเดือนก่อน

      Na sasa ni mwenezi 😅😅

  • @user-xn6jz6qj6h
    @user-xn6jz6qj6h 10 หลายเดือนก่อน

    Hapo umehama bila kusema vanira ni bei gani?

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 10 หลายเดือนก่อน

    Hivi kiongozi kama waziri anashindwaje kujiamini kuwa ana elimu ya kutosha! Unasimama unasema jonalist,hujui kuwa kiswahili chake mwanndishi wa habari. Tupunguze ulimbukeni jmn!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 10 หลายเดือนก่อน

      Huna hoja kaa kimya "Jounerist" ni pana na kubwa kuliko Mwandishi wa habari.

  • @mwombekipaul9531
    @mwombekipaul9531 10 หลายเดือนก่อน +1

    You deserve to be where you are brother

  • @Oswamsmjaka
    @Oswamsmjaka 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa inakuaje tunapigwa na wewe unaona huu Zaid ya mwaka wa pili

  • @altamyanfane9850
    @altamyanfane9850 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini msiwakamate

  • @fredrickmapunda3110
    @fredrickmapunda3110 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa bashe huyo mtu anafahamika anaitwa saimoni mkondya na anatumia radio wapo mission kwani wasichukuliwe hatua? Nahuyo saimoni nitapeli

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 10 หลายเดือนก่อน

      Yes hyu jmaa akamatwe

    • @user-qr5ev9nt2n
      @user-qr5ev9nt2n 10 หลายเดือนก่อน

      Kaka uyo jamaa ametupiga mm mmoja wapo

  • @user-qr5ev9nt2n
    @user-qr5ev9nt2n 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa 9:13

  • @user-qr5ev9nt2n
    @user-qr5ev9nt2n 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna kampuni inaitwa vanilla international ltd bila shaka watanzania 2natapeliwa wazidi tunaomb utusaidie uyo saimon mkondiya mbona anatuamisha kuwa bei ni milion1 na kwanini asichukuliwe atuwa

    • @user-oe8ee5tw7l
      @user-oe8ee5tw7l 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 haaaaah wee jmn hata mimi nilikuwa Nisha amasika