dada ikiwa unatakakiwa ufanye mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jion wiki mara 3 sasa mimi nafanya jioni tu jee nikifanya kila cku iyo jioni itakuwa nakosea au ata iyo jioni pia nifanye wiki mara 3
Hongera sana kwa kuanza mazoezi Magreth, hakikisha maumivu unahisi Sawa kwa kila kalio yaani kila upande uwe unafanya kwa nguvu ile ile kuepuka kukuza upande mmoja zaidi ya mwingine
Mazoezi ni muhimu katika kutengeneza mwonekano wa mwili wako, na Mazoezi pekee bila virutubisho sahihi ni sawa na kuuchosha mwili😞, kutengenezewa mpangilio maalumu pamoja na kutumiwa Mazoezi kulingana na vipimo vyako, aina ya mwili wako pamoja na lengo lako ni kwa watu waliojiunga na program tu, Kwa kuanza tunashauri vifuatavyo a).Kula vyakula vyenye protein nyingi kwa siku, mfano nyama, samaki, mayai, maziwa n.k b).kula vyakula vyenye nishati lishe kubwa kwa siku kutoka katika makundi yote ya vyakula mfn karanga mbichi, parachichi, korosho, viazi mbatata, ndizi mbivu , peanut butter n.k c). Pumzika si chini ya masaa 7 usiku na kunywa maji si chini ya lita 2 na nusu usiku d).Fanya Mazoezi ya sehemu unazotaka ziongezeke mara 3 hadi 4 kwa wiki, siku zisifuatane walau iwe kila baada ya siku moja na ni mara moja kwa siku ili zipate muda wa kujijenga na kukua maana ukifanya kila siku utazikomaza tu sio kukua, siku zingine fanya Mazoezi sehemu zingine za mwili. ANGALİZO: ukila kidogo utapungua - kula sana, smoothie ya ndizi, maziwa na parachichi itakusaidia. Nakutakia mwanzo mzuri By Joan 😘 Instagram:@joanfitness_ 0683836293 whatsApp program
Mazoezi ni muhimu katika kutengeneza mwonekano wa mwili wako, na Mazoezi pekee bila virutubisho sahihi ni sawa na kuuchosha mwili😞, kutengenezewa mpangilio maalumu pamoja na kutumiwa Mazoezi kulingana na vipimo vyako, aina ya mwili wako pamoja na lengo lako ni kwa watu waliojiunga na program tu, Kwa kuanza tunashauri vifuatavyo a).Kula vyakula vyenye protein nyingi kwa siku, mfano nyama, samaki, mayai, maziwa n.k b).kula vyakula vyenye nishati lishe kubwa kwa siku kutoka katika makundi yote ya vyakula mfn karanga mbichi, parachichi, korosho, viazi mbatata, ndizi mbivu , peanut butter n.k c). Pumzika si chini ya masaa 7 usiku na kunywa maji si chini ya lita 2 na nusu usiku d).Fanya Mazoezi ya sehemu unazotaka ziongezeke mara 3 hadi 4 kwa wiki, siku zisifuatane walau iwe kila baada ya siku moja na ni mara moja kwa siku ili zipate muda wa kujijenga na kukua maana ukifanya kila siku utazikomaza tu sio kukua, siku zingine fanya Mazoezi sehemu zingine za mwili. ANGALİZO: ukila kidogo utapungua - kula sana, smoothie ya ndizi, maziwa na parachichi itakusaidia. Nakutakia mwanzo mzuri By Joan 😘 Instagram:@joanfitness_ 0683836293 whatsApp program
Joan unaweza kutft mazoezi ya kuzuia uke kujamba nasikia inatokana na misuli kulegea ya uke .au kubadili wanaume .or kufany na matunda kama matango kufany na matango au ukisex na mwanaume mweny umbile kubw alf ukaja ukafany na mwngn tena mweny umbile dogo na n.k lakn ww kwakuw nimwanamazoez bc tft mazoez ya hivo wanawake weng wanalalamika kuw na ttz hilo kwhy jalib kutft mazoez hayo ya kuban misul ya uken ili usilegee nakuw na ttz hilo hakika utazidisha umaaruf na ujuzi mwng san my dear
0683836293 WhatsApp kwa mahitaji ya mpangilio wa chakula na program kamili.
Niunge WhatsApp
Habari naomba mazoezi yakubana uke na kuzuia kujamba ukeni
Niunge wasp dada
Niunge wsap
Mazoez mazur Dada ntajarbu
Asante sana dadangu naanza hayo mazoezi Sasa hivi nakupenda kutoka Kenya
😍😍
Ahsante sana mpnz nitaanza mazoezi kesho❤ me nahitaji hipsi kidogo na tako kidogo cyo sana
Mazoez n muhmu kwa afya boraaa
Mazoezi ni Mazur nimeyapenda
I like it
Jamani asante mwalimu.nimetafuta suhuhu la kuimaliza tumbo sikunyingi.nisaidie
Sawa
Matako nmeyapata mama
Ila bado hips
Naona tako tyuu ndo linaongezaa
Nisaidie best
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🍎
Leo siku ya 20
Honger namm nimeanza juzi😍
Nashukuru sana matokeo nayahona asant
Mimi nimefanya nimepata matokeo asante nakupenda bure unatufundisha vizuri kikubwa kuamua kuchukua atua misikate Tama saivi mi naringa tu na shundu langu😂
Hahahaha
umetumia mda gan
😂😂😂
Napenda mazoezi yako
Mazoez yako vzr naomba vyakula vya kula wakat unafanya hayo mazoez
More love to you mum nakupenda sans nimetoka 48kg adi 57 nimeshukuru Sana umenipadirisha Sana🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mbona hizo namba hakuna
Naomba no, unielekeze vyakula navyotumia, na mazoezi ni asubuhi na jion au
Kwa mtu alifanyiwa operation anatakiwa akae muda gani ndo afanye haya mazoezi pamoja na Yale ya kukata tumbo?
Nahlshukuru dada nimebadilika sana
Asant sana mdada nainjy sana na mafundish yako
Nakupenda bureee😘😘😘
Lipia bana 🥰😂
Naanz💛💚🌹🏃♀️
sasa hv my dear
Woooh your so cute
Naomba unitumie wasshp mazoez
Samahani sitaweza tunaweka TH-cam kisha tunafuta katika vifaa vyetu
🥰🥰🥰😀inauma
😍💪🏿
Asante sana 😘😘
Ni kwa mdaa gani dada anguu shape unawezaa ikawaa tayarii imeshatokaa
Hello dada,nahitaji kuanza hii hivyo nahitaji kujua mpangilio kamili na vyakula pia
My dear very nice maxoezi yp simple napat majib
Kwa kweli mazoez n mazury
Hii nzuri Sana mi mwenyew saivi Alhamdulillah
😍😍
Kumbe ni kwel my dear
@@joelchizumi4946 kweli wiki tu tumbo limenyea na nnacho Cha kuvalia nguo
Napenda sanaa zoez hili
Mashallah jamani
Ndo naanza uck wa leo 🙏💞
CHAKULA
Shukrani sana my dear
So nice
Naweza kupata mazoezi yakupunguza tumbo na kuongeza hips
Aisee haya mazoezi kiboko siku 4 mambo poa lkn mwanzoni utaumia makalio yanauma miguu inauma sana
Dada naomba mpangilio wa chakula nimeanza mazoez na wk 2 matokeo nimeyapata
mambo ,mauliza, kama makaliyo kunashimo ,zama tundo lashindano utafaje ili zileshimo zifungane?
Naomba no yako Dada nimependq haya mazoez
Vyakula gan xaxa
th-cam.com/video/xBVrv8u1Ufw/w-d-xo.html
Dada mambo mimi naonba mazoezi ya hps na makalio
Asante dada
Waaooo
Nahitaji kujua mpangilio wa chakula unanisaidiaje??
kipenz mambo Mimi nakufatilia Sana mazoez Yako Sema nakachaga Huwa nafanya Kila jioni Kuna tatizo au nifanye mda Gani ndo sahihi
Ni sawa, fanya tu unapopata nafasi na ukumbuke kuongeza kiasi cha chakula kama lengo nikuongezeka
Nilikuwa naomba nayako ili tuchat wasp na uniambie jinsi yakupangilia chakula na maezo zaidi
Mbona mm tako 1 n kubwa moja dogo
❤a Santa San dad
Karibu
Je vipi kwa habar ya umri
Mambo natk niwe na matk makubwa ya saiz nå niwe namb nane je vyakula gn natkiwa nile nå hayo mazoez nifanye muda gn na gn
Naomba unisaidie huo mpangilio wa chakula dada
"Naomba mazoezi ya kunenepesha miguu
Vizuri sana
Asante
dada ikiwa unatakakiwa ufanye mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jion wiki mara 3 sasa mimi nafanya jioni tu jee nikifanya kila cku iyo jioni itakuwa nakosea au ata iyo jioni pia nifanye wiki mara 3
😅😅
Habari nahitaji mpangilio wa vyakula kwaajili yakupunguza uzito
Naitaji kuanza mazoezi na pia kufaham program yote na mpangilio wa chakula
My samahani naomba kuuliza mbona kwenye haya Mazoezi uliotuelekeza ninapo fanya kwenye nyonga (joint)zinalia hilo ni tatizo au la
Zitakuwa hazina Ute pendelea kula bamia kwa wing
Jamn hapo nayataka yaongezeke na shepu nzuli jaman mungu wangu ee
Ok
Dadaa natak kuondoa heep deep kwenye makalio
Vzr
Naomba kuuliza Mdogo wangu, mbona wakati wa kufanya zoez hili mguu unaokuwa chini ndo unauma? Nikahisi labda nakosea
Dad nataka kutengeneza shep vp vyakula vyakula n vip
🎉❤
Ast nimependa na nko kweny zoez nikukua fresh ntakuj kutoa result
Nimeanza zoez jana dear but mbona kalio la kulia linauma mno wakat wa zoez km kwenye ule msuli wa kati ulisema
Hongera sana kwa kuanza mazoezi Magreth, hakikisha maumivu unahisi Sawa kwa kila kalio yaani kila upande uwe unafanya kwa nguvu ile ile kuepuka kukuza upande mmoja zaidi ya mwingine
Ooh shukran my dear i will si nafanya kila sku mara moja? Au twice asubuh na jion
Hello ntaka kuanza so plz nsadie nkua n makalio
Mazoezi ni muhimu katika kutengeneza mwonekano wa mwili wako, na Mazoezi pekee bila virutubisho sahihi ni sawa na kuuchosha mwili😞, kutengenezewa mpangilio maalumu pamoja na kutumiwa Mazoezi kulingana na vipimo vyako, aina ya mwili wako pamoja na lengo lako ni kwa watu waliojiunga na program tu, Kwa kuanza tunashauri vifuatavyo
a).Kula vyakula vyenye protein nyingi kwa siku, mfano nyama, samaki, mayai, maziwa n.k
b).kula vyakula vyenye nishati lishe kubwa kwa siku kutoka katika makundi yote ya vyakula mfn karanga mbichi, parachichi, korosho, viazi mbatata, ndizi mbivu , peanut butter n.k
c). Pumzika si chini ya masaa 7 usiku na kunywa maji si chini ya lita 2 na nusu usiku
d).Fanya Mazoezi ya sehemu unazotaka ziongezeke mara 3 hadi 4 kwa wiki, siku zisifuatane walau iwe kila baada ya siku moja na ni mara moja kwa siku ili zipate muda wa kujijenga na kukua maana ukifanya kila siku utazikomaza tu sio kukua, siku zingine fanya Mazoezi sehemu zingine za mwili.
ANGALİZO: ukila kidogo utapungua - kula sana, smoothie ya ndizi, maziwa na parachichi itakusaidia.
Nakutakia mwanzo mzuri
By Joan 😘
Instagram:@joanfitness_
0683836293 whatsApp program
Wasap nmba tafazali
Nitumie program ya chakula
Mamb Mimi natakuwa nashepu yakuvutiya
🤞💪💪dada
Nahitaji kupungua tumbo tumbo lng ni la oprestion je nifny zoezi gani ili nipungue hili tumbo?
Samahan dad Joan me napenda mazoez lakn nipo shule na vyakul vya protin havipo nifanyaje??
Mazoezi ni muhimu katika kutengeneza mwonekano wa mwili wako, na Mazoezi pekee bila virutubisho sahihi ni sawa na kuuchosha mwili😞, kutengenezewa mpangilio maalumu pamoja na kutumiwa Mazoezi kulingana na vipimo vyako, aina ya mwili wako pamoja na lengo lako ni kwa watu waliojiunga na program tu, Kwa kuanza tunashauri vifuatavyo
a).Kula vyakula vyenye protein nyingi kwa siku, mfano nyama, samaki, mayai, maziwa n.k
b).kula vyakula vyenye nishati lishe kubwa kwa siku kutoka katika makundi yote ya vyakula mfn karanga mbichi, parachichi, korosho, viazi mbatata, ndizi mbivu , peanut butter n.k
c). Pumzika si chini ya masaa 7 usiku na kunywa maji si chini ya lita 2 na nusu usiku
d).Fanya Mazoezi ya sehemu unazotaka ziongezeke mara 3 hadi 4 kwa wiki, siku zisifuatane walau iwe kila baada ya siku moja na ni mara moja kwa siku ili zipate muda wa kujijenga na kukua maana ukifanya kila siku utazikomaza tu sio kukua, siku zingine fanya Mazoezi sehemu zingine za mwili.
ANGALİZO: ukila kidogo utapungua - kula sana, smoothie ya ndizi, maziwa na parachichi itakusaidia.
Nakutakia mwanzo mzuri
By Joan 😘
Instagram:@joanfitness_
0683836293 whatsApp program
Joan unaweza kutft mazoezi ya kuzuia uke kujamba nasikia inatokana na misuli kulegea ya uke .au kubadili wanaume .or kufany na matunda kama matango kufany na matango au ukisex na mwanaume mweny umbile kubw alf ukaja ukafany na mwngn tena mweny umbile dogo na n.k lakn ww kwakuw nimwanamazoez bc tft mazoez ya hivo wanawake weng wanalalamika kuw na ttz hilo kwhy jalib kutft mazoez hayo ya kuban misul ya uken ili usilegee nakuw na ttz hilo hakika utazidisha umaaruf na ujuzi mwng san my dear
Sawa yapo mazoezi nitatengeneza video hiyo
@@JoanfitnessTV ok my
Dada nisaidi mm naitaji kario naips kisi kidg
Mazoezi no kwa mdagan asubuh au usiku lakin Aina ya vyakula dadang nahitaj kujua
Asnte sana Mamy kwa mafunzo naanza hilo zoez haraka sana nakupenda bure but niunge WhatsApp unifunze zaidi
Dada napenda Sana mazoezi yako ila naomba uniunge watssap kwa kujifunza zaidi
Samahani dada kwani nilazima kufanya mazoezi asubuhi na jioni?
Dada
Dada kwaiyo njia zote izo nafanya kwa mara moja au nachagua tu moja apo ndo nafanya🙏?
Unafanya mazoezi yote
@@JoanfitnessTV asante kipnzi, sa naomba mpangilio wa mlo na vinywaj nikianza niwe makini🙏
@@JoanfitnessTV dada namba uliyotoa kapokea mtu sio mbona
@@JoanfitnessTV naomba namba zako
Ukimaliza unaoga
Mimi hapa ntakupata vp watsap
Axante kwamazoezi yako mimi matokeo nimeyaona ila nilikuwa nauliza niasubuhi najioni , au
Vakula ngani
Nimependa sasa
Mm ndio naanza mazoez vyakula gani ni sahihi jmn joan
Nataka kujuwa ualatibu wachakula nanichakula gani au matunda gani
Tupenamba zako zawasape
Naombanamba yako yaWasapu
Namba dada unitumie mazoez haya kwa wasph
Hello mm naomba kupunguza manyama uzembe pembeni
Dada me nanyonyesha inawezekana kufanya mazoez ya makalio
Ndio
Kama nikiacha baada ya kupata matokeo hakutakuwa nashida
Nahitaj moangilio Wa chakula
Dada nipe ratiba ndonaona leo natak niaz kufanya na mim hay mazoez
Nahitaji mazoez ya matako
Hello dada nahitaji kujua mpangilio wa vyakula
Mtu akijifungua anaanza mazoez baada ya mda gan
Hello dada nilikuwa naulz kwa ck unatkiwa kufanya mara ngp na ukae ck ngp ndo ufany Tena mazoezi ya makalio
Mama mjamzito anaruhusiwa kufanya haya mpaka mwisho wa miezi mingapi??
Kwa mru and anza mazoezi haya kama Mimi natakiwa kufanya marangai kwa siku,
Mara 3 hadi 4 kwa wiki
Nkuulize hili zoezi walifanya kila siku ama
Hlw dad naomba uniunge wsp nijifunze zaidi
Leo ninaanza
Natumaini utafanya kwa juhudi na kuzingatia vyakula
Nimpangirio gani wa vyakura dada