Duh! Mungu azidi kukubariki na kukupa afya njema akuongezee ujuzi zaidi na zaidi rafiki. Kwa kweli naangaliaga mafunzo mengi ya watu wengi ila yako ni mazuri mno wewe sio mchoyo wa jambo ubarikiwe sana tena zaidi ya sana.
@safins Ali asante sana sana dear,ni Mungu tu ananiongoza kupitia maombi yenu,Alhamdullillah na sapoti yenu ni kubwa sana,asante sana. Tuendelee kutakiana heri kila siku ili kila mmoja wetu apate wepesi katika shughuli zake ili tuendelee kukutana hapa ,inshaAllah😍😍😍😍😍
Daah, ww niwakipekee my dear,, ninachokupendea zaidi unatumia vitu vyakawaida sana lkni kinachotokea hapo nizaidi ya nomaaa. Tena unaelezea vema kabisaa. Hakika umekua zaidi ya mwalimu kwangu, Nakupenda sana.
Ooooh jamani.@Maruu Nyange wangu asante kwa sapoti yako ya kila siku na maneno yako ya faraja,unazidi kunitia moyo wa kuendelea ..InshaAllah dear Mungu aendelee kutuongoza na kutusimamia sote Nakupenda sana pia,nafarijika sana kupitia wewe.
Wooooow...asante sana dear,Mungu akubariki sana na aendelee kukujaza moyo wa kuthamini kila kitu na kila mtu. Asante sana kwa sapoti yako,inamaanisha kitu kikubwa sana kwangu
Uko fitty dah🎉 lakini naomba ukichanganya vtu tafadhali sema jina la hicho kitu ak xababu wengine tunaandika ili tukanunue baadae na kujaribu kufanya kaa wewe kwa hivo naomba tna naomba utaje jina la ktu unachochanganya af hongera kwa kazi yako nzuri xaaana
Wababa wa kaenda uko munyumba mdogo wakakuta wamepika ceke wakazama tupike darasa nilabure tusilale usingizi baba asitowe matumizi ya cake kilasiku tupike wakina mama wenzangu darasa nzuri kabisa
Nashukuru sana nilikuwa sijajua kupamba vizuri kivile sasa umenifumbua macho asante sana mwalimu.
Duh! Mungu azidi kukubariki na kukupa afya njema akuongezee ujuzi zaidi na zaidi rafiki. Kwa kweli naangaliaga mafunzo mengi ya watu wengi ila yako ni mazuri mno wewe sio mchoyo wa jambo ubarikiwe sana tena zaidi ya sana.
@safins Ali asante sana sana dear,ni Mungu tu ananiongoza kupitia maombi yenu,Alhamdullillah na sapoti yenu ni kubwa sana,asante sana.
Tuendelee kutakiana heri kila siku ili kila mmoja wetu apate wepesi katika shughuli zake ili tuendelee kukutana hapa ,inshaAllah😍😍😍😍😍
Nzuriii
Nmependa mafumzo yako dear, naomba kujua mahitaji ya kupambia basi ranking angu nijifungishe plz
Jamani jamani we dada Mungu abariki kazi ya mikono yako.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏yaani dah sina maneno
Shkamoo dada
Tubarikiwe sote dear
barikiw my dear kiukwwl nmekupenda bure
Nzuri dadaangu.... Naomba kuuliza ... Mm nikipamba inachelewa kukauka.... Asa cjui nifanyeje ili iksuke mapema
Mungu akubariki na akuxidishie baraka nyingi
Daah, ww niwakipekee my dear,, ninachokupendea zaidi unatumia vitu vyakawaida sana lkni kinachotokea hapo nizaidi ya nomaaa. Tena unaelezea vema kabisaa. Hakika umekua zaidi ya mwalimu kwangu, Nakupenda sana.
Ooooh jamani.@Maruu Nyange wangu asante kwa sapoti yako ya kila siku na maneno yako ya faraja,unazidi kunitia moyo wa kuendelea ..InshaAllah dear Mungu aendelee kutuongoza na kutusimamia sote
Nakupenda sana pia,nafarijika sana kupitia wewe.
mamay vidio ya bater cream sijaiyona
Una darasa mamy nijiunge@@kekiplus1andonly
Mungu akubariki yan unafundisha taratibu na hatua kwa hatua kiufupi we ni mwalim mzuri
Ahsanteeee mwaya umenifafanulia vizur
Maa Shaa Allah nmeipenda❤
Asante dada somo ziri la keki👏
Yaan wew dada unanikoshaa hujuii tuu
@Hasina Rashid 🙏🙏🙏🙏Alhamdullillah, nafurahi sana kuskia ivo,ni faraja kubwa sana.
Asante sana kwa sapoti yako dear
Hongera Sana unafundisha vzr sana Hadi mtu unaelewa kbs
Thanks for your creativity
Hongera sana ubunifu wa hali ya juu
We dada ni noma🙌🙌🙌🙌Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏
Upo vizuri dada
Hongera sana dada kwa ubunifu huo nimejifunza kitu amazing
Nàshukuru saana dada. Kwanini autuoneshi gisi yakupata rangi asenti
Hongera Sana dada ang mungu abariki kazi ya mikono yako na uzidi kufanikiwa
Wow unafundisha vizuri sana asant my dear
Yaani kabla sijamaliza kuangali nime like. Nakupenda
Wooooow...asante sana dear,Mungu akubariki sana na aendelee kukujaza moyo wa kuthamini kila kitu na kila mtu.
Asante sana kwa sapoti yako,inamaanisha kitu kikubwa sana kwangu
Hunizid mm
Uko vzr kipenz
Napenda sauti yako,ni fantastic 👏👏
Mungu Skype maisha malef dada
Upo vizuri sana dada
Wow ubunifu mzuri
Kweli Mapishi ni usanii tu
Nimependa sanaa jaman kabla hat sijamaliza kuangalia😍😍
Congratulations upo vizuri dada. Nimependa hakika umeeleweka. God bless you forever.
Nmefurahia Sana njia zako za kupika keki dadangu,,naomba nambari yako ya simu ndio nitajua mengi zaidi
Nmesomea hio kozi lakini ningependa kujua njia zote za kupika keki,,,
@@wesleysitienei8862 future iygrffwe
Aweosemo i like it👍👍
nzuri sana unaelezea vizuri jameni
Nice
Uko vizuri,
Ahsane ubarikiwe sana mwaya
C'est super et simple recette.merci beaucoup 🙏
Mwenyezi mungu atakulipa dada hakika unatutoa wengi gizani 🙏🙏🥰😘
Dada love ,,,,unatumia sana vitu amaizing sana jmn naomba no Yako ya Whatsapp niweze kujifunza zaid
🙏🙏🙏🙏💕💕💕
Safi sana asanteee kwa elimu. Mungu abariki kazi ya mikonoyako. Nimependasana
Alhamdullillah , InshaAllah ,Mungu abariki kazi ya mikono yako pia..
Nimekupenda sana unafundisha vizr sana naomba niwe mwanafunzi wako
Oooh jamani asante sana,karibu sana dear...karibu tujifunze.
Nidm.instagram@kekiplus.youtubechannel
Asante dada Kwa mafundisho mazur na mm nitajufunza
Asant dada nitajifuza❤❤❤Mungu atakulipa kwa majitoleo yako🙏🙏
Mashallah dadangu natamani kujuwa kufanya cream tu ndiyo sijajuwa niko na hamu ya kujuwa cake mashallah najuwa kufanya
Kuna link apo ya cream,ama nenda kwa channel uone video
Kwakwel nakupenda sana....barikiwa
Kazi nzuri mno nimejifunza kitu
Thanks for the lecture dear
Aisee u are so good 👍👍👍
Unaelekeza vzurii sanana, asantee
Asante sana ubarikiwe
❤❤❤🎉🎉 unajua sana yaaan🎉🎉❤❤
Upo vizuri dada angu. Nimependa kazi yako saaaaaaana. Naomba nambako ya simu tafadhari.
Wow maelezo yako ni straight forward, ntatuma picha ya keki yangu. Mashaallah
Better cream, amechanganya Nini na Nini kupata hiyo?
Nimejifunza mengi ubarikiwe mama❤
Nimeipenda keki zako I love you
Thank you love,Allah barik
Hongera mdada upo vizuri nimekupenda bureeee
Asante sana..na mimi nimekupenda bure kwa comment yako
Waooooh amaizing...thanks much..welldone MashaAllah
Mara yangu ya kwanza kuangalia vdeo zako nimezipenda mno
Smart congration
Hongera sana Mungu akubariki sana
Amen dear,Mungu akubariki pia
Naandaa Leo keki kipitia wew
Hongera sana
Hongera tumejifunza
Mashall nishalik kabl hujamaliza som
Jmn nzuriiii
Wow xo amaizing
Yaan Dada ubarikiwe sana
Mungu akubariki Sana
Amin..atubariki sote dear
Mi mala yangu ya kwaza ila nimependa Dada angu utengenezaji wako wa keki Mungu akulinde
Nimeipenda ipo ninzur
Aisee upo vzur I wish ningekuaaa mwanafunzi wako
Alhamdullillah, asante sana kwa sapoti yako,karibu tujifunze.
Uko fitty dah🎉 lakini naomba ukichanganya vtu tafadhali sema jina la hicho kitu ak xababu wengine tunaandika ili tukanunue baadae na kujaribu kufanya kaa wewe kwa hivo naomba tna naomba utaje jina la ktu unachochanganya af hongera kwa kazi yako nzuri xaaana
Daah! nimeamini kupamba KEKI sio ngumu
Rahisi sana
masha allah nimependa kaz yako dada
Bravo uko vizuri dada
Majina ya rangi yanaitwaje
Nimeipenda nitajarib kutengeneza👍
Nakuelewa Sana,Mungu akubariki.
Nimependa ulivyo pamba dada🎉
❤❤❤❤ ubalikiwe dadayangu
Nimependa ulivyo pamba🎉
Samahani sijajua nozzle unatengenezaje. Ila kiukweli kazi yako ni njema saaaaaaana.
Nzuri sana
NapendA sana kujua zaidi tatizo sijui jins ya kutumia ivyo vifaa
Nmependa vile unaelekeza asante sana
Safi sana Mimi naomba unitumie vitu vyote ambavyo unatengeneza keki ili nikanunue
Nzuri sana unajua kupika 😮😮😮😮😮😅😊😢🎉😂❤
Ahsant sn na mungu akubaliki,naomba kujua jinsi ya kuandaa butter cleam my dear
Wow very beautiful cake
Thank you dear
Wababa wa kaenda uko munyumba mdogo wakakuta wamepika ceke wakazama tupike darasa nilabure tusilale usingizi baba asitowe matumizi ya cake kilasiku tupike wakina mama wenzangu darasa nzuri kabisa
Mashalah xant dad
Ahsante
Napenda Sana pation unayo
Naomba unitumie vifaa vinavyo itajika kupika Keki
Dada uko vzr xn
Dada uko vzur Sana'a
Nzur san barikiw dada
Amen,barikiwa pia dear
Hongera dada
Ahsante sana naubarikiwe sana
Amen ,ubarikiwe pia dear
Maashaauwah
Ninzuri Sana hiyo keki hatari sana we dada
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri Dada uko wapi? Mimi nahitaji sana hiyo Elimu zaidi ya hapo. Mie nipo Mwanza
Vizuri sana👏👏
Jamani hadi raha❤❤
Asante dadaimependeza Sana.
Uko good
Mungu akutunze jamani ili somo nimelitafuta sana