PAMBA KEKI NYUMBANI BILA KIFAA CHOCHOTE //DECORATING A CAKE WITHOUT TOOLS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 538

  • @dativajoel5804
    @dativajoel5804 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru sana nilikuwa sijajua kupamba vizuri kivile sasa umenifumbua macho asante sana mwalimu.

  • @safinaali6066
    @safinaali6066 4 ปีที่แล้ว +5

    Duh! Mungu azidi kukubariki na kukupa afya njema akuongezee ujuzi zaidi na zaidi rafiki. Kwa kweli naangaliaga mafunzo mengi ya watu wengi ila yako ni mazuri mno wewe sio mchoyo wa jambo ubarikiwe sana tena zaidi ya sana.

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +1

      @safins Ali asante sana sana dear,ni Mungu tu ananiongoza kupitia maombi yenu,Alhamdullillah na sapoti yenu ni kubwa sana,asante sana.
      Tuendelee kutakiana heri kila siku ili kila mmoja wetu apate wepesi katika shughuli zake ili tuendelee kukutana hapa ,inshaAllah😍😍😍😍😍

    • @irenemwiyava181
      @irenemwiyava181 4 ปีที่แล้ว

      Nzuriii

    • @johnkibaja2562
      @johnkibaja2562 ปีที่แล้ว

      Nmependa mafumzo yako dear, naomba kujua mahitaji ya kupambia basi ranking angu nijifungishe plz

  • @fantasyworld9489
    @fantasyworld9489 4 ปีที่แล้ว +11

    Jamani jamani we dada Mungu abariki kazi ya mikono yako.
    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏yaani dah sina maneno
    Shkamoo dada

  • @beatricemlaki3543
    @beatricemlaki3543 3 ปีที่แล้ว +9

    Nzuri dadaangu.... Naomba kuuliza ... Mm nikipamba inachelewa kukauka.... Asa cjui nifanyeje ili iksuke mapema

  • @elizabethmwalubungu
    @elizabethmwalubungu 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki na akuxidishie baraka nyingi

  • @maruunyange1091
    @maruunyange1091 4 ปีที่แล้ว +24

    Daah, ww niwakipekee my dear,, ninachokupendea zaidi unatumia vitu vyakawaida sana lkni kinachotokea hapo nizaidi ya nomaaa. Tena unaelezea vema kabisaa. Hakika umekua zaidi ya mwalimu kwangu, Nakupenda sana.

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +2

      Ooooh jamani.@Maruu Nyange wangu asante kwa sapoti yako ya kila siku na maneno yako ya faraja,unazidi kunitia moyo wa kuendelea ..InshaAllah dear Mungu aendelee kutuongoza na kutusimamia sote
      Nakupenda sana pia,nafarijika sana kupitia wewe.

    • @Jackline-z6m
      @Jackline-z6m หลายเดือนก่อน

      mamay vidio ya bater cream sijaiyona

    • @aminasalum3829
      @aminasalum3829 4 วันที่ผ่านมา

      Una darasa mamy nijiunge​@@kekiplus1andonly

  • @elizabethziga1053
    @elizabethziga1053 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki yan unafundisha taratibu na hatua kwa hatua kiufupi we ni mwalim mzuri

  • @EdinaEzekiel-f3w
    @EdinaEzekiel-f3w ปีที่แล้ว

    Ahsanteeee mwaya umenifafanulia vizur

  • @citykibonge2999
    @citykibonge2999 9 หลายเดือนก่อน +1

    Maa Shaa Allah nmeipenda❤

  • @JovinaWekisha
    @JovinaWekisha 11 วันที่ผ่านมา

    Asante dada somo ziri la keki👏

  • @hasinarashid2768
    @hasinarashid2768 4 ปีที่แล้ว +5

    Yaan wew dada unanikoshaa hujuii tuu

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +2

      @Hasina Rashid 🙏🙏🙏🙏Alhamdullillah, nafurahi sana kuskia ivo,ni faraja kubwa sana.
      Asante sana kwa sapoti yako dear

  • @LovenessMwasyeba
    @LovenessMwasyeba หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana unafundisha vzr sana Hadi mtu unaelewa kbs

  • @epistermichael8161
    @epistermichael8161 11 หลายเดือนก่อน

    Thanks for your creativity

  • @AgnessKomba-qg1es
    @AgnessKomba-qg1es 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana ubunifu wa hali ya juu

  • @queenmadolari1534
    @queenmadolari1534 4 ปีที่แล้ว

    We dada ni noma🙌🙌🙌🙌Mungu akubariki🙏🙏🙏🙏

  • @LatifaSalumu-zb3im
    @LatifaSalumu-zb3im 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri dada

  • @sottinglimbu5006
    @sottinglimbu5006 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana dada kwa ubunifu huo nimejifunza kitu amazing

  • @nenetheannyck1640
    @nenetheannyck1640 2 ปีที่แล้ว

    Nàshukuru saana dada. Kwanini autuoneshi gisi yakupata rangi asenti

  • @SporahEmmanuel-gc7lw
    @SporahEmmanuel-gc7lw ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sana dada ang mungu abariki kazi ya mikono yako na uzidi kufanikiwa

  • @ashadaudynjokii3636
    @ashadaudynjokii3636 2 ปีที่แล้ว

    Wow unafundisha vizuri sana asant my dear

  • @shamsaamos3130
    @shamsaamos3130 4 ปีที่แล้ว +7

    Yaani kabla sijamaliza kuangali nime like. Nakupenda

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +1

      Wooooow...asante sana dear,Mungu akubariki sana na aendelee kukujaza moyo wa kuthamini kila kitu na kila mtu.
      Asante sana kwa sapoti yako,inamaanisha kitu kikubwa sana kwangu

    • @hasinarashid2768
      @hasinarashid2768 4 ปีที่แล้ว

      Hunizid mm

  • @tasimborakaaya7389
    @tasimborakaaya7389 5 หลายเดือนก่อน +3

    Uko vzr kipenz

  • @StellaLaurent-go8dw
    @StellaLaurent-go8dw ปีที่แล้ว +1

    Napenda sauti yako,ni fantastic 👏👏

    • @HedayaThomson
      @HedayaThomson ปีที่แล้ว

      Mungu Skype maisha malef dada

  • @MarthaEmmanuel-hw9sb
    @MarthaEmmanuel-hw9sb 6 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri sana dada

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 4 ปีที่แล้ว

    Wow ubunifu mzuri
    Kweli Mapishi ni usanii tu

  • @FaidhaKassim-k1d
    @FaidhaKassim-k1d ปีที่แล้ว

    Nimependa sanaa jaman kabla hat sijamaliza kuangalia😍😍

  • @monicachipungahelo9295
    @monicachipungahelo9295 3 ปีที่แล้ว +2

    Congratulations upo vizuri dada. Nimependa hakika umeeleweka. God bless you forever.

    • @wesleysitienei8862
      @wesleysitienei8862 3 ปีที่แล้ว

      Nmefurahia Sana njia zako za kupika keki dadangu,,naomba nambari yako ya simu ndio nitajua mengi zaidi

    • @wesleysitienei8862
      @wesleysitienei8862 3 ปีที่แล้ว

      Nmesomea hio kozi lakini ningependa kujua njia zote za kupika keki,,,

    • @mmkamazabron1657
      @mmkamazabron1657 3 ปีที่แล้ว

      @@wesleysitienei8862 future iygrffwe

  • @IsaacMsuya
    @IsaacMsuya 2 หลายเดือนก่อน

    Aweosemo i like it👍👍

  • @sandramwende4442
    @sandramwende4442 3 ปีที่แล้ว

    nzuri sana unaelezea vizuri jameni

  • @JuweyriaJuma-c7r
    @JuweyriaJuma-c7r 24 วันที่ผ่านมา +1

    Nice

  • @msafiri2946
    @msafiri2946 2 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri,

  • @MaryamBakari-y1r
    @MaryamBakari-y1r หลายเดือนก่อน

    Ahsane ubarikiwe sana mwaya

  • @gracezamudakalonda2678
    @gracezamudakalonda2678 2 ปีที่แล้ว +3

    C'est super et simple recette.merci beaucoup 🙏

  • @rashidsamwel1987
    @rashidsamwel1987 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu atakulipa dada hakika unatutoa wengi gizani 🙏🙏🥰😘

    • @FransiscaKimario
      @FransiscaKimario 3 หลายเดือนก่อน

      Dada love ,,,,unatumia sana vitu amaizing sana jmn naomba no Yako ya Whatsapp niweze kujifunza zaid

    • @FransiscaKimario
      @FransiscaKimario 3 หลายเดือนก่อน

      🙏🙏🙏🙏💕💕💕

  • @omaniam8922
    @omaniam8922 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana asanteee kwa elimu. Mungu abariki kazi ya mikonoyako. Nimependasana

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว

      Alhamdullillah , InshaAllah ,Mungu abariki kazi ya mikono yako pia..

  • @evalinenelson4301
    @evalinenelson4301 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimekupenda sana unafundisha vizr sana naomba niwe mwanafunzi wako

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +1

      Oooh jamani asante sana,karibu sana dear...karibu tujifunze.
      Nidm.instagram@kekiplus.youtubechannel

  • @NasharJumanne
    @NasharJumanne 7 หลายเดือนก่อน

    Asante dada Kwa mafundisho mazur na mm nitajufunza

    • @RoseMbwawa
      @RoseMbwawa 5 หลายเดือนก่อน

      Asant dada nitajifuza❤❤❤Mungu atakulipa kwa majitoleo yako🙏🙏

  • @ridhu-if4rp
    @ridhu-if4rp 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah dadangu natamani kujuwa kufanya cream tu ndiyo sijajuwa niko na hamu ya kujuwa cake mashallah najuwa kufanya

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  3 ปีที่แล้ว

      Kuna link apo ya cream,ama nenda kwa channel uone video

    • @jamilatende6266
      @jamilatende6266 3 ปีที่แล้ว

      Kwakwel nakupenda sana....barikiwa

  • @blandinakasagama4167
    @blandinakasagama4167 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri mno nimejifunza kitu

  • @RobinahMaryNamusisi
    @RobinahMaryNamusisi ปีที่แล้ว

    Thanks for the lecture dear

  • @HabibaAlly-om4mh
    @HabibaAlly-om4mh ปีที่แล้ว

    Aisee u are so good 👍👍👍

  • @dole450
    @dole450 3 ปีที่แล้ว +1

    Unaelekeza vzurii sanana, asantee

  • @kimaraazichou7498
    @kimaraazichou7498 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana ubarikiwe

  • @michugoba737
    @michugoba737 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🎉🎉 unajua sana yaaan🎉🎉❤❤

  • @monicachipungahelo9295
    @monicachipungahelo9295 3 ปีที่แล้ว +5

    Upo vizuri dada angu. Nimependa kazi yako saaaaaaana. Naomba nambako ya simu tafadhari.

  • @salmankatha3806
    @salmankatha3806 3 ปีที่แล้ว

    Wow maelezo yako ni straight forward, ntatuma picha ya keki yangu. Mashaallah

    • @chikumbwana8751
      @chikumbwana8751 2 ปีที่แล้ว

      Better cream, amechanganya Nini na Nini kupata hiyo?

  • @PurityChepngeno-n3l
    @PurityChepngeno-n3l 3 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza mengi ubarikiwe mama❤

  • @mamataliki-ij8hm
    @mamataliki-ij8hm ปีที่แล้ว

    Nimeipenda keki zako I love you

  • @saadaabdallah3224
    @saadaabdallah3224 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mdada upo vizuri nimekupenda bureeee

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว

      Asante sana..na mimi nimekupenda bure kwa comment yako

  • @firdausyalhaji5569
    @firdausyalhaji5569 3 ปีที่แล้ว

    Waooooh amaizing...thanks much..welldone MashaAllah

  • @thumswaleh9876
    @thumswaleh9876 3 ปีที่แล้ว

    Mara yangu ya kwanza kuangalia vdeo zako nimezipenda mno

  • @annongweya5687
    @annongweya5687 2 ปีที่แล้ว

    Smart congration

  • @halimaathumani3435
    @halimaathumani3435 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Mungu akubariki sana

  • @graceutulo852
    @graceutulo852 ปีที่แล้ว

    Naandaa Leo keki kipitia wew

  • @makoyemaganga9094
    @makoyemaganga9094 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @AsmaFakhi-yp1my
    @AsmaFakhi-yp1my 7 หลายเดือนก่อน

    Hongera tumejifunza

  • @RayRay-dr6rf
    @RayRay-dr6rf 9 หลายเดือนก่อน

    Mashall nishalik kabl hujamaliza som

  • @prayersukums3223
    @prayersukums3223 2 ปีที่แล้ว

    Jmn nzuriiii

  • @tabukadzo95
    @tabukadzo95 3 ปีที่แล้ว

    Wow xo amaizing

  • @mashakashax430
    @mashakashax430 ปีที่แล้ว

    Yaan Dada ubarikiwe sana

  • @marthalucas1094
    @marthalucas1094 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Sana

  • @OresterMapunda-u2n
    @OresterMapunda-u2n 2 หลายเดือนก่อน

    Mi mala yangu ya kwaza ila nimependa Dada angu utengenezaji wako wa keki Mungu akulinde

  • @SHERYMeddy
    @SHERYMeddy 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda ipo ninzur

  • @mariammgaya5182
    @mariammgaya5182 4 ปีที่แล้ว +1

    Aisee upo vzur I wish ningekuaaa mwanafunzi wako

    • @kekiplus1andonly
      @kekiplus1andonly  4 ปีที่แล้ว +1

      Alhamdullillah, asante sana kwa sapoti yako,karibu tujifunze.

  • @AgnesPeter-yz1nc
    @AgnesPeter-yz1nc 3 หลายเดือนก่อน

    Uko fitty dah🎉 lakini naomba ukichanganya vtu tafadhali sema jina la hicho kitu ak xababu wengine tunaandika ili tukanunue baadae na kujaribu kufanya kaa wewe kwa hivo naomba tna naomba utaje jina la ktu unachochanganya af hongera kwa kazi yako nzuri xaaana

  • @cecilia-ug5ig
    @cecilia-ug5ig ปีที่แล้ว +1

    Daah! nimeamini kupamba KEKI sio ngumu

  • @SaraMyeka
    @SaraMyeka 11 หลายเดือนก่อน

    masha allah nimependa kaz yako dada

  • @taibadam8091
    @taibadam8091 3 ปีที่แล้ว

    Bravo uko vizuri dada

  • @pendofrances617
    @pendofrances617 3 ปีที่แล้ว

    Majina ya rangi yanaitwaje

  • @lydiasamweli6929
    @lydiasamweli6929 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda nitajarib kutengeneza👍

  • @upendomwaifuge8261
    @upendomwaifuge8261 3 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa Sana,Mungu akubariki.

  • @eddammchalamila9380
    @eddammchalamila9380 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa ulivyo pamba dada🎉

  • @NzeyimanaNadine-x5y
    @NzeyimanaNadine-x5y 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤ ubalikiwe dadayangu

  • @gracejames4051
    @gracejames4051 6 หลายเดือนก่อน

    Nimependa ulivyo pamba🎉

  • @monicachipungahelo9295
    @monicachipungahelo9295 3 ปีที่แล้ว +2

    Samahani sijajua nozzle unatengenezaje. Ila kiukweli kazi yako ni njema saaaaaaana.

  • @SafiaAli-u7b
    @SafiaAli-u7b ปีที่แล้ว

    Nzuri sana

  • @MossyJuma-c2f
    @MossyJuma-c2f ปีที่แล้ว

    NapendA sana kujua zaidi tatizo sijui jins ya kutumia ivyo vifaa

  • @saudas.mshaban6946
    @saudas.mshaban6946 3 ปีที่แล้ว

    Nmependa vile unaelekeza asante sana

  • @lawrenciamkolwe4875
    @lawrenciamkolwe4875 4 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana Mimi naomba unitumie vitu vyote ambavyo unatengeneza keki ili nikanunue

  • @bernadethalaizer2647
    @bernadethalaizer2647 4 หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana unajua kupika 😮😮😮😮😮😅😊😢🎉😂❤

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsant sn na mungu akubaliki,naomba kujua jinsi ya kuandaa butter cleam my dear

  • @ChitranjalisvlogsRecipes
    @ChitranjalisvlogsRecipes 4 ปีที่แล้ว +4

    Wow very beautiful cake

  • @maggykimbifya6486
    @maggykimbifya6486 3 ปีที่แล้ว

    Wababa wa kaenda uko munyumba mdogo wakakuta wamepika ceke wakazama tupike darasa nilabure tusilale usingizi baba asitowe matumizi ya cake kilasiku tupike wakina mama wenzangu darasa nzuri kabisa

  • @HappyEmanuel-h4g
    @HappyEmanuel-h4g 10 หลายเดือนก่อน

    Mashalah xant dad

  • @zuwenaabrahman9913
    @zuwenaabrahman9913 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante

  • @brilliantnight1645
    @brilliantnight1645 2 ปีที่แล้ว

    Napenda Sana pation unayo

  • @jafarijuma6144
    @jafarijuma6144 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba unitumie vifaa vinavyo itajika kupika Keki

  • @calvinkadhir3000
    @calvinkadhir3000 3 ปีที่แล้ว

    Dada uko vzr xn

  • @adventinamkiwa7509
    @adventinamkiwa7509 ปีที่แล้ว

    Dada uko vzur Sana'a

  • @kharidmushangan3320
    @kharidmushangan3320 3 ปีที่แล้ว

    Nzur san barikiw dada

  • @Khadija-r2t
    @Khadija-r2t 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada

  • @marthajohn5095
    @marthajohn5095 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana naubarikiwe sana

  • @jumaabedy5175
    @jumaabedy5175 3 ปีที่แล้ว

    Maashaauwah

  • @elvisianthadeo1567
    @elvisianthadeo1567 4 ปีที่แล้ว +1

    Ninzuri Sana hiyo keki hatari sana we dada

  • @zainabusaid9281
    @zainabusaid9281 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri Dada uko wapi? Mimi nahitaji sana hiyo Elimu zaidi ya hapo. Mie nipo Mwanza

  • @azizdagesh5423
    @azizdagesh5423 3 ปีที่แล้ว +1

    Vizuri sana👏👏

  • @BeatriceCharles-wo8hr
    @BeatriceCharles-wo8hr 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani hadi raha❤❤

  • @analisamichael2771
    @analisamichael2771 2 ปีที่แล้ว

    Asante dadaimependeza Sana.

  • @aggyabdulhamid1756
    @aggyabdulhamid1756 3 ปีที่แล้ว

    Uko good

  • @lydiakangongole6783
    @lydiakangongole6783 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze jamani ili somo nimelitafuta sana