WILSON ORUMA AMMWAGIA MAUA KOCHA SIMBA, WATAKABA SANA, AMTAJA MOHAMED HUSSEIN.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- WILSON ORUMA AMPA MAUA FADLU, SIMBA WATAKABA SANA, AMTAJA MOHAMED HUSSEIN.
Mchambuzi kutokea EFM Tanzania, Wilson Oruma amemmwagia sifa nyingi Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids
#yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko
Oruma nakuelewa sana unajua sana kuchambua mpira
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
COACH marehemu MOHAMMED Msomali alifanya demo MWENYEWE
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations 🎉🎉🎉🎉
Hii habar inanifanya nianze week kifua mbele😂😂😂,mzee wa jambia upo sahihi mtaalam wang/wetu.SIMBA tumesajili damu changa sasa kuna timu imesajili wastaafu😅😅😅#SIMBA nguvu moja
Mtangazaji umependeza. Mauwayako nakupa
Kwahiyo na mwaka huu mkifungwa nje ndani na yangu mtakuwa mmehujumiwa na nani? Maana wote mnaowatuhumu walikuw wanahujumu simba wameondoka na kina chama wapo yanga,,,simba acheni maneno sana mpira ni uwekezaji kiukweli yanga wamewekeza kuzidi nyinyi,,,kingine simba msiweke matarajio makubwa sana kwenye timu yenu msimu huu zaidi mjikite kujenga timu vinginevyo mtamfukuza kocha, kujenga timu kunahitaji uvumilivu
wale woote walioletaa hujumaa wametolewaa....
chama
mkudee
inonga
balekee
pamojaa na viongozii waliopandkzwaa
mangunguu ......kajuraa....
tumesafishaa hakunaa Teena ujumaa sublienii maumivuu
Usiwe na haraka utajua mkishatufunga
Simba wanacheza saa ngapi na vp inaoneshwa live
Myamgazaji pendeza saana