Nimekuja tena huku ili niconfirm kama aliyefariki ni huyo dada mzuri anayesmile muda wote!! Jamani poleni sana Eden nawapenda sana na Yesu aendelee kuwatetea!!
........nimeongezeka imaniii ya kukutegemeaa...... kwa shidaaa zileee ......tabuuu zilee😔😪 ameen mbarikiwe na sadaka yenu ya uimbajii ..tujifunze kushukukuru.
Wimbo huu ulipikwa madhabahu Lazima kuna mtu au watu walilipa gharama ya maombi Ukiona unasikiliza wimbo na unakupeka kufanya lililo kusudi la Mungu, jua huo wimbo upo anointed na ni mtumishi wa Mungu Kila nikisikiliza huu wimbo najiona simshukuru Mungu, nagundua vitu vingi ambavyo Mungu amenifanyia Mungu awabariki kwa kulipa gharama
Huu wimbo ni ushuhuda kwangu niliuona upendo tv tangu siku ya kwanza mpaka leo unanitia nguvu barikiwa sana hakika kazi hii ni muujiza kwa wengi Ameen.
Nc huu wimbo mkubwa sana ukiwa unausikiliza kwa umakini sana hata hao masolo wameuvaa sana huu wimbo nampongeza sana mtunzi wa huu wimbo amepata mafunuo makubwa sana MUNGU awabariki sana
Ikiwapendeza mngesogeza nyimbo zenu kwenye platform mbali mbali za music ili kuwafikia wasililizaji wengi… natamani kuwaona mkifika AudioMack na Boomplay kwanza. wimbo wenu ni mzuri sana🙏
Huu wimbo unanifanya naongezeka Imani yangu kwa Mungu ni kweli pasipo mkono wa YESU mm nisnge weza❤❤❤❤❤❤❤🙏
Nimekuja tena huku ili niconfirm kama aliyefariki ni huyo dada mzuri anayesmile muda wote!! Jamani poleni sana Eden nawapenda sana na Yesu aendelee kuwatetea!!
........nimeongezeka imaniii ya kukutegemeaa...... kwa shidaaa zileee ......tabuuu zilee😔😪 ameen mbarikiwe na sadaka yenu ya uimbajii ..tujifunze kushukukuru.
Wimbo wangu bora sichoki kuusikiliza three times a day.Mungu awabariki
Wimbo huu ulipikwa madhabahu
Lazima kuna mtu au watu walilipa gharama ya maombi
Ukiona unasikiliza wimbo na unakupeka kufanya lililo kusudi la Mungu, jua huo wimbo upo anointed na ni mtumishi wa Mungu
Kila nikisikiliza huu wimbo najiona simshukuru Mungu, nagundua vitu vingi ambavyo Mungu amenifanyia
Mungu awabariki kwa kulipa gharama
Huu wimbo kwangu kila siku hauzoeleki.Mungu awakumbuke Eden choir ...
Hii nyimbo naipenda sana mwanzo mwisho ni nzuri
Wimbo huu nauelewa Sana voco za kutisha, masolorist wakali producer mkali .......Mungu awabariki
Amen, tunashukuru
Nabarikiwa sana Eden choir mungu awabariki Kwa huduma yenu nzuri
Amen. Big up masololist mpo vizuri Mungu awabariki wadada! Hakika sifa kwa Bwana.
Amen amen, Tunamshukuru Mungu
Mbarikiwe Sana kwa wimbo wenye Baraka,na ujumbe,hu mwimbo naupenda Sana..
Huu wimbo kwangu sio wa kawaida.natamani nikutane na mtunzi ili nijue ilikuwaje kupata haya mafunuo
Kabisa aisee
Amen, karibu sana
Hawa watu wame badilisha maisha yangu kupitia wimbo wao moja mzuri balaa
@@vailetheanyambilile9749 oooh hallelujah, karibu sana sana
9
Amen amen I'm blessed
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri wa shukurani kwa Mungu kwa matendo yake makuu kwetu.
Huu wimbo ni ushuhuda kwangu niliuona upendo tv tangu siku ya kwanza mpaka leo unanitia nguvu barikiwa sana hakika kazi hii ni muujiza kwa wengi Ameen.
Unaniliza sana huu wimbo hasa kile kipande Cha nayaelewa Bwanaaaaaaa maisha ya dunianiiiiiiii pasipo mkono wako mwokoziiiiiii kamwe nisingeweza,😭😭😭😭😭
Tupo unaimba vzr sana jmn nabarikiwa sana MUNGU azidi kuiinua huduma yako kipenz
Wote
Mbarikiwe Edeni kwaya,naomba mrushe na wimbo mlioimba siku ya kumsimika Askofu wetu
Unaweza kuupata kupitia Channel ya MORAVIAN CHURCH TABATA (Song - Ameletwa na Mungu by Eden Choir)
Mbalikiwe sana
Amen
Hakika Mungu aliachilia Mafuta mabichi juu yenu ni chaguo langu la kwanza Mungu aendelee kuwapa kibali zaidi Mnajuwa kutufurahisha 100%
Amen amen, ubarikiwe sana
MUNGU wa mbinguni awabariki sana kwa wimbo mzuri ambao hauchoshi kusikiliza mbarikiwe nyote kwa umoja wenu
Amen
Nc huu wimbo mkubwa sana ukiwa unausikiliza kwa umakini sana hata hao masolo wameuvaa sana huu wimbo nampongeza sana mtunzi wa huu wimbo amepata mafunuo makubwa sana MUNGU awabariki sana
Utukufu kwa Bwana....mzidi kuinuliwa zaidi huku mkinyenyekea kwa Yesu
Amen, tunanyenyekea
Mungu awabariki wajoli wake Kwa kuimba ktk Roho na kweli!
Mungu ibariki Moravian Tanzania na Duniani kote
Amen
Natafuta sanaa album yenu ile ina wimbo nimekutegemeaaa .....nyimbo zenu n baraka ....wap nitaipataa hyo album @eden choir
Wasiliana nasi kwa namba 0713264580
Hii nyimbo Bora Kwa muda wote,Barikiwa Kwa huduma njema
Huu wimbo umekuwa faraja kubwa kwangu kila nikikutana uzio ktk jambo lolote najikuta nauimba...mbariwe sana
Mzidi kubarikiwa nawapenda
Amen asante sana
Hakika wimbo huu untafakarisha ukuu wa matendo ya Mungu! Mbarikiwe sana Eden choir
Amen, asante
Jaman jaman jaman kiwango masolooooo mko pouwaaa sanaaaaaa
Amen, utukufu kwa Mungu
Wakwanza mimi 🖖😍😍😍 hakika MUNGU ametutendea
Nice song
Hakika🙏
Amen, hongera sana
Huu wimbo c wa kawaida naamini ni Mungu aliwapa.muinuliwe zaidi
Kwa mara ya kwanza niliusikia kawe mkiuimba kwenye mkutano nilibubujika sana.hakika kuna nguvu ya mungu katika wimbo huu.
Same here ndugu
Ameeen Mungu akubariki
@@lilianmwangosi5479 aminaa.
Mungu wa mbinguni ni mkuu sana, tunashukuru sana
Mungu akutane na haja za mioyo yenu nawapenda Sana Eden
Amen, amen asante sana
Ikiwapendeza mngesogeza nyimbo zenu kwenye platform mbali mbali za music ili kuwafikia wasililizaji wengi…
natamani kuwaona mkifika AudioMack na Boomplay kwanza.
wimbo wenu ni mzuri sana🙏
Amen tunashukuru sana, ndani ya kipindi kifupi tutawajulisha uwepo wetu katika platforms zote. Tumezingatia
Barikiweni sana watumishi, nilihudhuria sherehe ya kusimika wachungaji Moraviani Kimanga mliimba huu wimbo nilijisikia kuinuliwa sana.
Amen, Mungu ni mwema asante sana
Glory ,glory...🙌🙌..nimerudi Mwokozi 🙌
AMEN 🙏. Wimbo unabariki. Mungu azidi kukupa mafunuo zaidi mtunzi.
Ametenda kwa wakati BWANA!!!!EDENI BARAKA za MUNGU ziwe juu yenu hakika mnanibariki sana!!!natamani siku Moja niwaone LIVE!!!
Nabarikiwa sana na huu Wimbo
Mungu awabariki sana watumishi kwa kazi nzuri sana
Ameeen
Amen
Nawapenda Sana mungu awafungulie milango hongereni Sana kwakujitoa kikamilifu kufanya kazi ya mungu. Hatawaacha
Wakoma kumi ni nyimbo yangu bora sanaaaa hawa watu wanajua sana. Kwaya yakwanza kufanya live record
Amen amen, tunashukuru
Mmefanya kwa viwango vingine vya mbali sana
Many congratulations
Wimbo una ujumbe mzur,mungu awabariki
Drummerrrrrrrr🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hivi Ni Nani huyu jamaaaa
Balikiwa sana watu wa mungu kwa wimbo mzuri mungu azidi kuwatia nguvu zaidi.
Anaitwa Abraham
Mr.Ibra ahsante mdogo wangu Ibu Mungu aendelee kukuinua katika huduma yake endelea kushuka lakini endelea kumuomba zaidi atunze uwezo wako.
Niko hapa tena 2023❤❤
Nimesikiliza huu wimbo umenigusaa kabisaa
Amina, Mungu akubariki
Wimbo naupenda sana huu❤
Wow always you are the best
Amen, family
Mwe MUNGU usiwaache Eden choir. Nawapendaga sana
Amen
Nilikuwa wap kuujua huu wimbo, Kwasiku nausikiliza zaidi ya mara 10, ujumbe mzito Mungu awabariki saana ❤🙏🙏🙏👏
Nakupend San dad riri
Leo tena oooh pasipo mkono wako Mwokozi kamwe nisingeweza
Baraka zipo ndani ya BWANA mfurahishe MUNGU kwa kumshukuru
Mbarikiwe Sana wana Eden,Yesu awape kibali ktk kumtumikia yeye...Amina.
Amen, tunashukuru sana baba yetu
Hongereni kwa wimbo mzuri. Mbarikiwe sana Eden Choir.
Amen, asante sana
Eee mungu wetu unastahili sifa pasipo wewe atungeweza
Amen amen amen
Nimekuwa nikiipenda Huduma yenu Siku zote. Mungu azidi kuwamiminia Mafuta ya Baraka za Mwilini na Rohoni. Kazi nzuri sana Hii
Amen asante ssna
Mbalikiwe sana wana Eden mnahuduma kubwa sana mmeibeba hakika,wimbo huu ni dawa ya kiroho ambayo itaishi vizazi na vizazi 🙏🙏🙏
Amen
KIUKWELI MNAJUA😘😘😘😘
Ameeen sifa na utukufu kwa Mungu wetu🙏🙏
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu wa mbinguni
Mungu awape mnachohitaji nawapenda saana kwaya hii
Amen asante sana
Kuna raha ndani ya YESU Jaman MUNGU Aibarik Eden kwaya
Amen amen
Mbarikiwe sana waimbaji, wapiga vyombo na Walimu
Wimbo mzuri sana,Mbarikiwe Wana wa Mungu mzidi Kumtumikia Mungu,Kabla ya kulala lazima niutazame!!
hakika Mungu mnaemtumikia msimwache,imepew kipaji kikubwa sana katika utumishi wa mungu, kazi nzuri sana, tunabarikiwa sana, ujumbe mzuri sanaaaaaaa
Amen, amen tunamshukuru Mungu
Mbarikiwe ssna watumishi wa Bwana.
Mungu aikumbuke huduma yenu
Amen, tunanyenyekea
Hakika Mungu ni wa huruma mno barikiwa Edeni kwaya 🙏🏻🙏🏻
Amen
Wimbo wangu wa kila siku maana kuamka na kuiona siku mpya inatubidi tushukuru.Barikiweni sana maana mmeganga mioyo ya watu wengi!
Mungu aliye hai ailinde huduma yenu hata siku ya Kristo YESU nawapenda sana ndugu zangu huduma ni njema
Amen amen amen, tunashukuru sana
Mungu awabariki watumishi hakika anointing inayotoka nimebarikiwa na uimbaji wenu
Amen, tunamshukuru Mungu
Mungu awatunze Eden,, Nawapenda sn sn
Amen tunashukuru kwa upendo mama
Mbarikiwee nawapenda
Amen, asante sana
The song. I remember mliuimba kanisani that day I felt crying.
Vocal
Video
Music bora sana.
Ameen mtumishi 🙏
Amen asante sana
Pasipo mkono wako Mungu nisingeweza. Wimbo unaongea na Mimi kabisa. Mbarikiwe watumishi
Amen amen
Hongreni sana, Mungu awatunze na kuitunza huduma hii.
Amen tunashukuru sana baba
Mbarikiwe sana mungu awakumbuke katika huduma take Eden choir God bless you uuuuuuuu!
Amen
Barikiwa Sana ujumbe mzuli mno
Hongereni sana watumishi,. Kazi nzuri sana
Tunamshukuru Mungu sana
Ameeen.... napenda nimjue mtunzi jaman..... May the way be wide for more blessings 🙏
Hakika ni Wimbo wa toka vilindi vya moyo!
Mungu awazidishie
Amen
Woooo w... Hakika MUNGU JEHOVAH pekee kwa jinsi ya utukufu wake azidi kuwainua na kuwang'arisha katika mibaraka telee iletayo utukufu kwake
Amen amen
Kazi nzuri sana
Ameeeen
Asante sana
Ameni
Hallelujah hallelujah hallelujah Eden Mungu awabariki munooooo ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😭😭😭😭😭😭❣️♥️♥️♥️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Uimbaji mzuri Mungu awabariki na kazi yenu ipate kibali.
Ameeeen🙏
Amen, amen, amen
@@godasmwakasege7212 amen baba
Aiseee,,,Mungu awatunze Eden Choir,,,wimbo huu unagusa sana,,nawapendaaaaa
Amen, asante sana
@@edenchoirtabatamoravian6905 amen amen,Mungu awainueee zaidiii
Wimbo mzuri unanipa nguvu ya kumshukuru Mungu hata kwenye magumu,mbarikiwe sana
Hongereni sanaa,watumishi Mungu awabarikini sana mzidi kumtumia Mungu kwa namna hiyo
Amen, asante sana
LUKE 17:17.... KATIKA MASTERS ULIZOBARIKI WATOTO WAKO MWAKA 2021, NIMERUDI KUKUSHUKURU MUNGU! HAKIKA NI NEEMA YAKO NA UPENDO WAKO. AHSANTE YESU.
Mungu awabariki mno
Amen, tunashukuru
Waoo nilitarajia ukubwa huu.
Ubarikiwe sana
Kazi nzuri wapendwa
Tunamshukuru Mungu sana, Asante dada
Mungu na azidi kuwatumia siku adi siku
2024 ❤❤bado nairudia🥰🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Gud job 👍👍👍
Tunashukuru sana
Hongereni sana kwa kazi nzuri sana
Asante sana, tunamshukuru Mungu
Wimbo wangu pendwa nyakati zote
As usually Nyie watu Mimi nawakubali sanaaa . Mungu akawatie nguvu katika kaz yake AMEN
Amen, asante sana
Tunashukuru kwa wimbo mzuri na wenye ujumbe 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 unanipa faraja sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amen