Kwaya ya vijana kutoka kanisa la Moravian Jimbo la Mashariki Ushirika Wa Tabata. Unaweza kutufollow katika ukurasa wetu wa Instagram (edenchoirtabata).
Nimebarikiwa nimeguswa kwa mguso wa pekee nyimbo ina mafuta na nguvu ya roho matakatifu. Siyo kwasababu wamemba marafiki zangu Eden choir, ila ukweli hawa watu wanakusudi na wito katika utumishi. Mungu Ibariki Eden Choir na mafuta mapya ya majira na nyakati mbalimbali
Mungu azid kuwatunza Eden mnagusaa mnagusaa. mnaimbaaa Mmebarikiwa sanaa
I cant tell how many times I have come back to this song... LORD I am GRATEFUL🙏👊✊
Mungu wa mbinguni aendelee kuwatunza,kwaajili la kusudi la injili yake,
Mungu awafunike kwa damu ya mwanaye aliyoimwaga pale msalabani, shetani asijiinue kwenu, mpo vizuri
Nimeitafuta hii nyimbo zaidi ya mwaka....mbarikiwe wapendwa
Mungu awabariki sana watumishi waMungu
Nmefurah mpk nakosa lakusema....from Lugurun Abel....
Ubarikiwe sana familia yetu 🙌🏻
Mungu awabariki watumishi, nimepokea
Nabarikiwa sana na wimbo huu. Nawakumba mnapokuja KKKT usharika wa Luguruni .
Eeeeh munguuuu!!!!
Asante YESU kwa nyimbo nzur
Amen amen
Mbarikiwe, wimbo huu naupenda sana
Amen baba
Mungu Aendelee kutunza Huduma hii Mungu azid kuachilia mafuta ndan Yenu Yasikaukee kamweee. Najivunia nyinyi Nawapenda sanaaa.🙏🥰
Amen amen, tunashukuru sana
Amina Mungu ibariki Moravian
Yesu Ana nguvu jamani
Namhc mungu kila nikisikiliza huu wimbo.
Live version ni mkali sana,kwa kweli hii Kwaya ndio imenifanya nipende sana live performance
Mbarikiwe na wimbo huu mzuri na wenye ujumbee🙏🙏
Nyimbo nzuri!! Mbarikiwe waimbaji maneno yanafariji sana
Amen Asante sana
The anointed 👏🏿Mungu awabariki
Amen amen
Hatimaye Mungu mwema,nmepata wimbo nilioungoja kwa muda mrefu.Mungu awainue zaidi wapendwa
Asante sana wapendwa kwa ujumbe mzito
Umenibariki
Amen
Nawapenda sn,, natamani kuona ,Mungu anaendelea kuwainua kwa viwango vya juu!!
Amen, Mungu mwema
Huduma Yenu ni njema na kwayo NABARIKIWA.Mungu Awe nanyi daima wala mkono wake wa Baraka usiwapungukie Daima.
Amen amen
Safi sana.
Tunashukuru sana
We need this true worshipper in Moravian Church, be blessed saints Eden Tabata Moravian
Amen 🙌🏻
Hongeren jaman anapenda saaaaaana
Asante sana
Munguuu mkubwaa na mzidiii kubalikaaa Sana Eden
Amen
Mungu awabariki sana kwa Huduma hii.....Wimbo mzuri sana huu!! God bless you Eden Choir...
I real like you!
Amen amen amen
Mbarikiwe sana na mungu awabariki ✔️🤝
Amen
Hakika Mungu ni wa rehema na ni mwingi wa fadhili na upendo mkuu
Eeh Mungu nishike mkono na usiniache.🙏
Barikiwa sana
"Baraka ziko ndani ya BWANAA mfurahishe Mungu kwa kushukuru" Barikiwa Eden Choir
Kazi nzuriii ..Mungu awabariki mnoo
Amen amen amen
I like this song, good tune. I expect alot from this. Be blessed.
I'm blessed
Eden 🔥🔥..
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Amen
MUNGU asantee sana kwa baraka zako, nimeinuliwa sana, kupitia kwaya hiii.. naipenda sna kwaya yangu❤❤
Mungu awatunze na kuwabarikiiii sana
Amen
Waooooooooooooooooo mychoir
Mungu aendelee kuwatunza na mshikilie hilo wingu la na hayo mafuta
Amen amen amen
Heko!
Mungu na azidi kuwatunzaa
Amen asante sana
Mnanibariki sana Eden choir, Mungu azidi kuwainua! 🔥🔥
Amen mama
Barikiwa kazi nzuri mnooooooo
Amen Asante sana
Mungu awasaidie mfike kwenye malengo yenu na kusudi lake Mungu......Stay blessed you all
Amen!!!
👏
Eden choir 🔥🔥🔥🔥🔥mungu wenu napenda sana!
Upako ulio juu ya huu wimbo ajuaye na anaelewa maana ya huu wimbo
🙌🏻
Mungu awabariki sana kwa wimbo huu.
Nimefurahi sana. Huu wimbo nimeungoja kwa hamu kubwa sana.
Mungu awabariki sana wapendwa.
Amen
Mungu awabariki kwa kazi njema
Amen, the job well done. Mungu aendelee kutuinuia kwa viwango vingine.!!!
Amen tunashukuru sana
Aminaaaa
Amen
Hongera Sana wapendwa siku zote mimi nawakubali MUNGU AWAKUMBUKE😍😍😍😋
Amen
Nabarikiwa kupitia uimbaji wenu
Amen amen, tunamshukuru Mungu sana
Kazi nzuri Mungu awabariki
Nimebarikiwa nimeguswa kwa mguso wa pekee nyimbo ina mafuta na nguvu ya roho matakatifu. Siyo kwasababu wamemba marafiki zangu Eden choir, ila ukweli hawa watu wanakusudi na wito katika utumishi. Mungu Ibariki Eden Choir na mafuta mapya ya majira na nyakati mbalimbali
Ameeen kaka sifa na utukufu kwa Mungu wetu
🙌🏻 amen amen amen
Mungu awabariki Sana umeguza moyo
pokes sifa Bwana Yesu
Mbarikiwe Sana🙌
Amen
Mungu awabariki sana
Amen
Barikiwe san🙏
Wow nimewamic. Mungu awabariki mno family
Amen familia
Wimbo mzuri Sana.....hauna video huu Wimbo?
Powerful sing🔥🔥🔥
🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Powerful
Woow very smart
God Blesss edeni
Amen
Nilikuwa nausubiri kwa hamu jaman asante duh
Tunashukuru sana
Karibu sana
Beautiful song
My favorite song 🔥🔥🔥🔥🙏🙏
Ubarikiwe
😍😍😍😍
Eden choir🔥🔥
Nice song
Barikiwa sana
Ameem
inspired song
🙌🏻
Nice,..maneno mazuri sana ,!! Mungu abariki uimbaji huu
Amen Mungu akubariki sana
I like this song, good tune. I expect alot from this. Be blessed.
Nice work.. Mungu azidi kuwainua
Amen
Amen