Neema Gospel Choir - Tubariki Leo (Live Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- "Na Mungu anaweza kukubariki kwa wingi, ili katika mambo yote, kila wakati, ukiwa na kila kitu unachohitaji, utapata kwa wingi kufanya kazi njema zote." "Bwana alikaa juu katika gharika, na Bwana anakaa kama Mfalme milele. Bwana atawapa nguvu watu wake; Bwana atawabariki watu wake na amani."
"And God can bless you abundantly, so that in all things at all times, having all that you need, you will abound in every good work." "The Lord sat enthroned at the flood, and the Lord sits as King forever. The Lord will give strength to His people; the Lord will bless His people with peace."
Songwriter & Composer: Samuel Limbu
Leader: Glorie Kazadi Mutombo 🇨🇩
--
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024
Ulisema hautatuacha kamwe
Ulisema hautatuacha kamwe
Hadi mwisho wa dahari
hautatuacha kamwe
Ulisema hautatutupa nje
Ulisema hautatutupa nje
Kila ajae kwako eeh hautamtupa nje
Baba tunaomba utubariki Leo
Tumeng'ang'ana nawe utubariki Leo
Hatuna mashaka na wewe
Mungu unafanya mambo yote
Kwa Utukufu wako,
Kwa Utukufu wako
Twatazamia baraka za rohoni na mwilini.
Hazitakawia twazingoja,
Baraka zi malangoni
Malangoni
Baraka zi Malangoni.
Hatuna mashaka na wewe
Mungu unafanya mambo yote
Kwa Utukufu wako.
Brilliant ❤
Hakika tunaendelea kubarikiwa
Timely thanks giving song.
Amen❤
Tunaoikubali NEEMA GOSPEL CHOIR tujuane hapa kwa like
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Nahuu ni ukweli!,
Kwa kweli nimebarikiwa sanaaaaa.
Mnaorudia mara kwa mara wimbo huu like za kutoshaa hapa❤.
Neema Gospel Tembeeni vifua mbele, Mungu amewabariki!!.
Amen 🙏 🙏.
Barikiwa sana!!.
Nawapenda mnoooooooòoooo❤!!
Amen ubarikiwe sana mpendwa, utukufu kwa Mungu 🙌
I didn't know MCA Tricky was such a good singer.😂
😂
😅😅😅😅😅... I know, right??? Tricky saana
😂😂😂😂😂😂😂
Hallelujah 🙌🙌 hatuna mashaka na wewe Mungu wetu🙏🙏
Hakika🙏🙏🔥🔥
This song is fire!! God bless NGC. And the lead vocalist is on fire
Tubariki wote ma familia yangu- NGC -big up 🔥💪🙏
Amen Glory to God
Tupo haipingwi neema gospel ninoma zaidi ya noma
Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏
My new fav🥰🔥
🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
❤❤❤❤❤❤❤ loooove this 🔥🔥🔥🔥
👍
tunaobarikiwa gonga likes hapa 🇺🇬🇰🇪🇹🇿🇷🇼
🔥🔥🔥🔥
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰🥰❤️
Wewe ndo umenileta huku😊
Wapi likes za Wakenya🇰🇪🇰🇪
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🇰🇪🇰🇪
Tuko hapa kufanaya kama vile tulifanya mungu ni mmoja 🙏👍👍👍
Tuko hapa kufanaya kama vile tulifanya mungu ni mmoja 🙏👍👍👍
Tuko hapa...hasa kwa wakati hii mgumu wa mafuriko...wakenya tujitieni nguvu hapa....
The guitar guy 👍
Like za kutosha kwa neema gospel 🔥🔥 nyimbo kali vibe 💯
🔥🔥🔥
The soloist has a very unique way of soloing the song......effortlessly
Meaning of a complete song..
Kwanza mmependeza sana..
Soloist kawaka sana na hizo makoti,madogo wamedance poa sana..
MD frester na team yako ni wa kutunzwa sana...
Drummer kaua...
Solo ndio balaaa 🔥
dakika ya 5:08-15 - give that BASIST his flowers NOW!!
Sweet melodies vocals, instruments na kila kitu kimeenda sawa kabisaa... bassist is on point, Freddie,willian, Andrew amd and yhe the drumisist though haonekani sura yake.... Kenyans lets do it as usual likes zije kabisaa 🇰🇪🇰🇪
Amen God bless you guys🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
I can tell the lead is a strong tenor. I like the variations. Lovely song hatuna mashaka na wewe YESU
Wanaosikia bass like hapa
🔥🔥🔥🙌
Huu wimbo umezima playlist yangu yote umebaki umesimama no 1 treding tangu umeachiwa… Kweli ni Baraka tele
Amen utukufu kwa Mungu 🙏
The soloist carried that song so beautifully!!! 🎉🎉
Hatuna mashaka na Wewe Mungu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bwana Awabariki sana NGC❤
Amen 🙏
These people from AICT Changombe gonna kill me one day😋😋🤣🤣kafupi katamu ....next song let a lady singer lead...i would love to see that
🔥🔥🔥🙏🙏 Amen, tutazingatia hili
Wueeeeeeh... Now commenting after the third repeat because.... Ahhhhhhhhhh... The Music arrangement is something else... Then the Bass guy and the drummer are so in sync.... I am so jazzed.....
Now come to the vocal parts... All so well balanced.. each one so sweet to the ears.....
Then the leader has quite a vocal range and he knows what he is doing.... Then now the simple but uniform choreography....
Last but not least, the penmanship...the words have really touched me... and I have made them my prayer. I take this as my prayer for my 40th birthday which just happened three days ago!... So hii nitaucheza everytime I pray this year....Kwa sababu natazamia baraka za roho na mwili na hazitakawia. Baraka zi malangoni. I love this song.
Wow, thank you for this powerful message, we are really energized, may God bless you so much🙏🙏🙏🙏❤️
My best choir, always doing the best
This song has me praising Jesus at 1am in the morning. Sina mashaka na yeye!! Mungu unafanya major yote kwa utukufu wako🗣🗣🗣🎵🙌
Mungu awabariki sana Neema Gospel Choir, mnafanya safari yetu ya mbinguni iwe more enjoyable.
Mbinguni itakuwa hivi day and night......
Wako wapi wale wanaosema gospel music inaboa😅😅😅
😀😀😀
Kama unaamini Bwana ana bariki nione likes watumishi wa Mungu......
🙏🙏🙏🙏
Tuache masihara; BROTHER UNAIMBA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Amazing, Glory be to the Lord. Hapa ni wapi? Duniani! ndo mnaimba vizuri hivi, Je tutakapofika mbinguni? I can't imagine uzuri wake .. mbarikiwe sana kwa kazi nzuri
Amen ubarikiwe sana mpendwa, utukufu kwa Mungu 🙏🙏🙏
Inamaana ni mimi peke yangu nimeuona wimbo mfupi..😢Nimebarikiwa sana..Yaani ni mfupi mzuri unatamani uendelee zaidiiii
😃😃😃Urudie tena na tena mpendwa
Mungu ailinde Team hii kwa damu ya Yesu
Amen🙏🙏
You are talented brethrens!
Tukazane na Yesu ili tukaimbe mbinguni milele, tusiishie duniani 🥰🥰🥰🔥🔥
Amen utukufu kwa Mungu 🙏 🙌
Who is this soloist?! Respectfully 😊
His style is on point!
His way of his singing and pronunciation of words is unique, nuanced. Uhuru wa mshairi umetumika vyema hapa.
The backing, the instrumentalists, the sound, the dancing, the outfits. Everything is to perfection and all for the glory of God.
Pronunciation is just on another level 🎉
@@Maestropinchez254 kabisa. Adds flavor to the song
Nice arrangements in the song. Reminds me of 🎵Bwana Twapenda kulisifu Jina Lako🎵
My favourite song,now naelekea mara ya 50 kurudia kuangalia na sioni hata dalili ya kuchoka. God bless you my fam kazi yenu ni njema sana
Amen utkufu kwa Mungu
hahahah mimi kesho hawa jamaa nitakuwa hewan kuwasubir yaan afu na mwaka huu waandae ibaada mm sijawah kosa ibaada zao yaan kiingilio kiwe vilevile alfu 3000 hahahahaah
Oya tayari huku
Achana na afu tatu kuja huku
2:46 umenigusa... Unaki feel unachokitamka na unakiamini ndio maana umeeii deliver perfect kbsa... Kongole kwa cameraman aliyei capture hiyo moment.... THIS is how gospel inasambazwa... ubarikiwe
I love love this hit🔥🔥🔥
Twatazamia baraka zi malangoni❤❤
Ahaaa sawa c mmeamua nisiskizee wimbo mngineee wowote zaid ya huuu aya sawa..... 😂😂😂 ntafanya hivyoo 24 7
😀😀😀😀Hakika Utabarikiwa sana🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥 the guy who is leading has a nice voice...wooow
Amen Glory be to God🙏🔥🔥
Blessings from your muslim friend of neema
Amen Glory to God 🙏
Waooow
Please give us the name of the Soloist and we will flood his TH-cam channel...... ❤❤❤
Please 🙏😭
Gloire Kazad
“Malangoniiiiiii 💃🏽💃🏽, malango malango malangooo eeeh..🎶🎶 “ I am extremely blessed. 🙌🏾
This song deserves as many views as possible,get the blessings from this song 🙏❤️🙏
That soloist he's very creative he add flavor, texture to the song and the way he carried himself plus that coat... O N POINT, endelea kumtumikia aliye hai....
My son asked....kwani anasikia baridi(yes Kenya huwa tunasikia baridi) aje??? Coz of the 2 jackets
Mmmm❤❤wouw Kenya hapa twabarikiwa na Kazi yenu Wapendwa ..
Amen utukufu kwa Mungu 🙌🙌🇰🇪
Kama unakubari Mungu anatubariki usipiti bira kugonga like kweny comment hii
Amen
Itoshe kusema Neema gospel choir Ur the best in Tz, East Africa na afrika Kwa ujumla. bassist apewe Maua yake jamaniii He did his best
Amen utukufu kwa Mungu 🙏
Neema Choir you are the title of your Choir name. You sing in Grace and I pray that God will be more gracious to you all the more.....much ❤️ love from Kenya
Bassist umetisha Mungu awabariki sana 🎉
Amen
Che che chezaaaa.... Cheza weeeeeeh 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Another masterpiece from Neema Gospel Choir🙌🎉🎉😘…Oooh my goodness the Soloist 🙌 what a beautiful and unique rendition..the same was executed so effortlessly🙌🙌…God bless you NGC we are indeed blessed by your ministry…may the Lord increase you❤
Nephtalie tu as frappé fort, gloire à Dieu 🎉, et surtout j'aime beaucoup votre groupe neema gospel depuis Tanzanie
Suis depuis RDC 🇨🇩
He sounds like late Eric moyo (Joyous celebration SA)
Glory be to God🙌🙌
For sure 😘😊... God Bless them
Motoo saana Nehema choir God atawainua This year. Wacheza vyombo kuanzia baba Yao masanja,willian, Andrew na wengine. Bassist amekaa vizuri sana hususan Kwenye dakika ya 5:10 Hadi 5:15 huyu bingwa anakung'uta hio gitaa na passion..huku Kenya mnapendwa sana 🇰🇪🇰🇪 watu wa mungu be blessed 🙏🙏
Amen we love you more 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hadi mwisho wa dahari hatatuacha kamwe huyu Yesu, 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.
Yaani ukisikiliza nyimbo za Neema cospel hakika unasahau yote ya duniani unabaki kuwaza.utukufu wa MUNGU tu
Haya Wacongo wamewakilishwa vyema aiii ila NGC vocal is another level😂😂😂🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿
🔥🔥🔥🔥🔥To God be the Glory 🙏🙏🙏
Nani amemuona the Drummer anavyofurahia huduma yake ya ngoma
Huu wimbo ni utukufu wa Mungu anayeongoza sasa loooh ni anajua mpaka basi Mungu awabariki sana❤
AMEN utukufu kwa Mungu 🙏🙏
Nyimbo nzuri saana imenibariki mno
Amen
kama mlikua mnataka tusiione sura ya drumer kweny hii nyimbo mngesema mapema 😂🤣 anyway 🎉 To God be the Glory
😂😂😂
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Sina mashaka nawe Mungu ...unafanya mambo yote kwa utukufu wako 🙏🙏
Mwenye anafinya hio bass guitar... 🫡 🫡
🔥🔥🔥🔥
Ohooo solo list umenifrahisha sana ,Mbarikiwe sana wimbo ni 💥💥💥💥
Amen
Mungu aendelee kuwatumia hakika kazi yenu ni njema sana katika Kristo Yesu na Mungu atawalipa msipo zimia mioyo...... 🔥🔥🔥
Amen🙏🙏🙏🙏
nasubiri huo wimbo ambao umenibariki Toka kweny mkesha wa choirs and friends victorious thanksgiving,,pa1 na nyimbo pendwa ya kisukuma,kicongo, kingereza pa1 na kiswahili hiyo ngoma naisubil saana "yahwe uliwawiza no wewe ni Mungu wa pekee milele""
Amen utakuwa hewani siku zijazo🙏🙏
@@NeemaGospelChoir Mubarikiwe watumishi wa Mungu
Wape likes 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼 Tunaobarikiwa 🔥
🙌🙌🙌🙌
International gospel,Mungu aibariki kazi ya mikono yenu.Amen>nabarikiw sana nyimbo zenu,kundi lidumu milele.Amen
Amen utukufu kwa Mungu 🙏
Che che chezaa😂😂🎉🎉❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥
Site ya wapiga vyombo ni ma engineers wa muziki dah izo melod wanavyo ziunda cio pow 🥁🎹🎹🎸🎸👏
Haiyaa aaayaaaa nakuunga mkono mia Kwa mia ... bassist, lead guitar 1&2 wako sambamba wakiwa na masanja Freddie mkali waoo❤🔥
Hakika utukufu wote ni kwa Mungu🙏🙏
Kenya twawapenda
Amen tunawapenda pia🙏
In The house of the lord we rejoice without shame❤
The lead vocalist and the bassist guy 🔥🔥🔥.. This song just did come at the moment when I needed an assurance 😊🙏
Glory be to God🙏🙏🙌🙌
Muimbishaji kaupiga mwingi,,, be blessed bro❤❤❤❤
Amen
Hatuna mashaka na wewe
Mungu unafanya mambo yote
Kwa Utukufu wako.❤❤❤❤
Je vous aime énormement ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ depuis Congo kinshasa 🇨🇩 🇨🇩. Much love ❤️
Amen🇨🇩 we love you more ❤️
Je vous aime énormement ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ depuis kinshasa 🇨🇩 ❤️ ❤️ ❤️
J'adore la touche compa. Un grand bravo au directeur musical... c'était du bon travail. Plus d'amour du Kenya
mwimbo nzuri kabisa
musiki compa safi 👌🏽
sauti nyororo 👌🏽
maneno yana nshindo kabisa👌🏽
na burudika na ku janzwa tokeya Drc 🇨🇩🇨🇩
Napenda mnavyotumia Kiswahili kitamu ,
Asante sana🤝
Bassist 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
🔥🔥🔥🔥🙌
🇹🇿#1♥️
Bassist hiyo bass utatuua sisi wapenda bass
hahaha zoezi tu
😃😃😃😃🙌🙌
Hallelujah ❤❤❤ utubariki leo am so proud kua ndani ya YESU na yeye kua ndani yangu JESUS THE KING✨
Amen
Ndugu zangu mwenye Neema gospel yake Niko hapa nasubilia kazi yangu ❤😂....
Amen
Nashindwa hata la kusema.. Maneno hayatoshi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Loving this song,well arranged in everthing,the soloist oh he knows what he does,the whole choir oh jesus,more anoiting servants
Kwa wakati ambao nimekata tamaa kwa mambo magumu nimekutana na hii na imekuwa faraja yangu"Nangojea baraka zangu zi malangoni"🙏🏾
Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏
Sifa na utukufu vimrudie Mungu...nyie watumishi mnajua sana .....Jamani mkianza Upcountry tour muanze na Jamhuri ya Muungano wa watu wa Mbeya.....tuna barikiwa saaaaana na huduma yenu njema... ni maombi yangu na dua Mungu azidi kuitanuia mipaka yenu mtoke utukufu kwenda utukufu... .
☺️☺️☺️Tutazingatia hili, ubarikiwe sana 🙏
😂
Viwango vyenu ni vya Juu sanaa atukuzwe Mungu kwaajili ya utumishi huu uliotukuka🥰🥰🥰🥰🥰🙏
Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏
Mungu awabariki sanaa daah siku yangu imekuwa njema baada ya kusikiliza hii nyimbo on repeat for the whole day🎉
Aiaiaiii you peopleeeee❤❤❤❤❤❤❤Mungu azidii kuwainuaaa
Nawapendaa❤❤
Amen tunakupenda pia 🙏🙏
kila kitu ni kwaajili ya utukufu wako Mungu wetu.
Mwimbo unausikiliza, hutamani uishe🔥🔥
🔥🔥🔥🙌🙌🙌
OMG the song is absolutely extraordinary and I'm so much blessed.🔥🔥🔥
Amen Glory to God 🙏🙏
Nani karudia kusikiliza mar nying nying km mm
🙏🔥🔥🔥
Getting more blessings from Kenya..Hii ni moto ya bakulutu.