Ndoa sio tu kumpata mtu sahihi katika maisha yako bali ni kuifanya Ndoa yenu kuwa sahihi katika madhaifu mliyonayo, Maana hakuna mtu aliesahihi kwa kila jambo.
Nikiolewa ntakutafuta unipe mawili matatu ili nikaishi vzr na shemu wako pia happy birthday to my dear brother Ibrah Thedon May Allah bless you enjoy your day 🎉🎂
Hy jaman ibra mungu akupe umri mrefu ili utujuze mengi nashukur sana nimejifunza kitu katika maisha mungu azid kukupa afya njema ili na sisi tuzid kujua mengi kutoka kwako
nimekuwa wa kwanza kuwach nipeni likes basi na hongera kwa kipindi kinna mafunzo kweli
😊😊😊
Asante sana
@@ibrahthedon kaka usifanye iwe mwisho bwana weka muendelezo awu towa nyingine zaid ya hii tuna jifunza mengi alafu tuna penda sana filamu zako
@Ibrah Thedon asaivi bola uwe unaweka move kuliko vile vipande
Weka muendelezo bhn ni nzur
Nikiolewa ntakutafuta unipe mawili matatu ili nikaishi vzr na shemu wako pia happy birthday to my dear brother Ibrah Thedon May Allah bless you enjoy your day 🎉🎂
I say kaka Ibrah unatuelimisha sana na kutufumbua macho ktk maisha na mahusiano😍... ubarikiwe sana🙏
Wee kivumbi ndoa
Asante zana kaka
Karibuni tangaaa kwa making makungwi wa uhakika najadi zisizo kwisha asante ibraaaa wasambaa hoyeeee❤❤❤😂😂😂
Ma Sha Allah hii iko chonjoo sana mungu akulinde uzidi kutufunza mazuri
Allah akufanyie wepes katika kutuelimish ww ni WA mfano Tanzania ww ni jembe Allah akueke lengo lako ni elimu ya maisha ya mahusiano
Wangapi tuko hapa bado tunajifunza kwa kungwi😂😂
Tuko apa sote daa acha tuchukue mawili matatu tufaidi
Nzur mnoo na inamafundisho mengi sana.
Hongera sana Ibra the don.
Tuletee na zawad ya mwezi mtukufu wa Ramadhan
Umenifanya nilie kwa furaha ka The Don 🤣
Vraiment merci beaucoup mon frère 🙏🏽
qu'Allah vous bénisse 😭😭😭
Kaka ibra nakupenda mm kutoka 🇰🇪 kenya haya magunzo lazima nimpe mwanangu wa kike ata nimazuri sana
It's very motivational and inspiring indeed.
Naipenda sana mungu akubariki kutupa mafujisho kama iyi kk yangu ibrah mungu akupe muda
Mashallaah hongera bro ❤️
Waleteeeeeee. Wapi kugwi dume napenda mafundo. Yako. Tu mwanaume ww hiii move jitahidi isifikie mwisho 😊😊
Mashallah kaka etu mwenyezi mungu azidi kumfungulia yarabii unazidi kutupa elimukwakweli tunafurahi Sana
Allah azidi kukupa elmu zaidi Ibra the Don wallah mafunzo mazuri na yenye mpangilio mzuri❤❤
Ww Ni wamoto Ibrah Asante sana kwa kutupa Funzo Maishani
Wasambaa sis twavumilia mengi twaogopa kuwapa aibu wazazi wetu daaa mhh hatareee mafunzo waume wavyee weangu washambaaa weanguuu mhaho
Yaani nilikuwa nakuonaga tu KUNGWI nakupita ila Jana nikasema acha niangalie ila najifunza sana form Oman 🇮🇷
Nakupenda bure kaka yangu, from Namibia
Asante Kaka nimejifuza mengi kutoka gulf
my favorite ibrah the don🙌🔥
Ubarikiwe kaka kwa funzo unalotupatia mwenyezi MUNGU azidishe karama yako asante
Nakukubali sana
Nakupenda sana my bro 😘😘😘
Hpo kwenye kupiga mwiko nlkuwa cjui daah... Clap 4 u kungwi dume❤
Wow!! Uyu kungwi dume aongea ukweli yaani mpaka basi Mungu akujaalie maisha marefu
Asante sana kwa kaz nzuri ❤❤
nakupend san kungwi dume
Daa jamanii huwa najifunza snaa ,asant kaka Ibra 🙏🏽tunakufatiliy tukiwa burundi
elimu tosha baba!!hongela sana
Nzur mnooo kaka asnte san
Mambo ya sufulia na mwiko mbona pambeeeeeee👌👌👌
Apo kwenye kopi la chooni kuna mm naogopa kutoka nje usiku😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hongera saaana elimu unayotoa ni mafunzo kamili kwa jamii unafunza mpaka vya uvunguni big up bro Allah Ibariq
😄😄😄😄😄😄hamna jipya kl
I'm from 🇰🇪 Kenya
Where are you watching from?
Hongera kaka mng akubariki Kwa ku2elimisha 🙏🙏
Kaka we n kiboko umenifunza xna kupitia hii movie💥💥💥❤️
Aky hii episode imenitoa chozi la furaha pasi kutarajia .ongera sana ibrah kungwi dume
Nice sana broh ubarikiwe unatufunza mengi
Sante ibrah the don endeleia kutupa elimu yako Kaká yetu🇲🇿🙏
Hansi iyo staili ya mayele nimeipenda iyo😘😘😄😄😄😄😄😄😄kazi nzr
Mashallah hongera sana kungwi dume
Asante sana kwaushauri mzuri, nakufata inchini Congo 🇨🇩
Allah akuzidishie kutufunza 🙌
Asante kaka ibra najifunza mengi sana ubarikiwe 🙏🏻🙏🏻
Mashallah mafunzo mazury mnoo ahsanten xana washiriki🙏❤
Hongera sana kungwi dume....
Kaka Ibrah mafundisho yako nayapenda sana yang pana shauri
Hy jaman ibra mungu akupe umri mrefu ili utujuze mengi nashukur sana nimejifunza kitu katika maisha mungu azid kukupa afya njema ili na sisi tuzid kujua mengi kutoka kwako
Hapa ndiyo najua mussa siyo Mme wangu ni Mme wa mtu coz yapo kama hivyo ila wanaume bhana mnambingu yenu
Ulivurugwa kungwi dume mwali kaolewa juzi Leo anaachika😅😅😅😅😅😅😅😅😅
KUNGWI DUME❤❤❤❤❤
Hekima ya hali ya juu,MUNGU akuzidishie kaka
Kuna kitu nimejifunza sna m/mungu akuongoze kaka ibra
Napenda jamani❤
Love you ibr
It's very nice video kaka ibrah
Ubarikiwe sana jamani 🙏🙏kuna kitu nimejifunza mno
Asante kaka yangu kwamafunzo yako mazur ❤❤❤
Mashaallah ina mafunzo. Sanaa🙏🙏
Hahaha jamani kisambaa kizuri na mafunzo yake🙏🙏🙏🙏
Mungu. Akubarriki ibra duuuu napendaa sana EP 6
Napenda Sanaa mafunzo yako nimetokea kenya
Asante nimejifunza kitu kaka
Lovely lessons
Maneno yako Kaka ibra ya mwishoni yameniuma Sana wanaume hawajali kabisa tunafanya mangapi
Yani hawana shukurani
Nzuri
Hongera kaka kaz nzur sana🤝🙏
Kwakweli Allah akubariki sana unawafunza vizuri
Kali sana brother
Mashallah kungwi dume Allah akueke
Hongera sana kaka
Mungu akubariki kaka ibrah watifundisha sana
Umeutish broo we ni zaidi ya mwalim
Jmn hawa wanatufuNza kweeli
Mashaallah unajua sana bro Ibrah
Mungu azidi kukuongezea uwezo mkubwa hongera san brother
Uko poh sana Allah akujalie uwe iviv
Penda sana mafunzo yako❤❤❤❤
Nakuku mbali kungwi dume jamani❤❤❤❤
Ibraa ntakuita uje unifunze na mm❤❤❤❤
Asante Sana Kaka yangu nime jifunza kitu
,nlikua nasubiri kwa hamu Asante kaka ibra
Wow nimewah mapem tu thanks for all broo
Nzuri sana🤗
❤❤❤❤❤
Kazi nashukuru sana kwa kutuelimisha
Kwa kweli kungwi dume umetuelimisha hongera kaka
Mafunzo mazur jaman mwiko uoshe na sufuria Hilo,🤣🤣mola awabarik wapendwa leten tamthilia jengn tujifunze Hadi Raha kwa kwey,
We jamaaa unajua sanaaaa khaaa!!😂
Asante sana kaka chukua maua ❤❤❤❤
Hongera kungwi dume
😂😂 mbavu zangu mieee 🤣🤣 sio Kwa sufuliya iyo
Hongera kazi nzuri sana
Unatufundixha xn kaka axante xanaa mng akupe umri mrefu
Uko juu thedon
Mmmh Asante kaka unatufundisha sana
Safi sana kungwi dume
Apo kwa chupi naitaji juwa zadi isini pite jamani❤❤❤🎉
Asante sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉