#TBC1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Kipindi hiki cha Wekeza Tanzania kinakuletea mahojiano maalum na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL), Eric Hamis akidadavua uwekezaji unaofanyika ndani ya maziwa Makuu.
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK
謝謝上帝保佑!阿們!
Safi kabisa,kwa mwendelezo wa kazi za kampuni ya huduma za meli. Swali; tofauti ya cherezo na ship yard ni ipi?
Mwaka 2024 ni mwaka ambao miradi mingi mikubwa ya maendeleo inatazamiwa kukamilika.
Kujenga meri zetu Si tunahitaji chuma ? Vipi muchuchuma chuma kinaanza kuchimbwa lini ??
imechubuka rangi hio alipiga rangi nan