Brother, you have spoken the truth of God's word. Just keep going and don't be afraid. God will protect you. The Bible says your enemies will come before you in one way, but they will leave you in seven ways.
Amen mtumishi , tangu nimjue huyu nabii mkuu, nilijua Sio mtumishi wa Mungu wa mbinguni na Wala SI mtu halisi , yeye na Zumaridi ni mapepo kwa mwili wa mwanadamu ,( demon reincarnate) watakupea zawadi ama msaada ukisha pokea msaada kutoka kwao lazima Kuna mapepo yatakufuata
Mungu akupiganie sana Mtumishi. Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Yamkini wote watakaokusanyana juu lakini si katika shauri la Bwana wataanguka
Wewe Cassian ulikuwa bongo seshi juzi tu nikakupigia nakula kwa bidii hadi ukapita kumbe shetani kabisa lichawi likubwa unamtukana Nabii mkuu MTU aliye teuliwa naMungu leo wewe unajidal kuwa wewe ndo unahaki mbele za Mungu kwenda zako Acha kujifanya kama ndo una mbingu zakuwapeleka watu kwenda zako umeshindwa kuhubili neno unabaki kuwasema watumishi wewe unaukweli gani? Mpumbavu kabisa kichaa kabisa peleeka
Kwan we nae umepew gari, naona unatetea mashetan hao, acha atimize wito wake tatizo nyinyi njaa zenu zitawapeleka moton mtafuten Mung wa kwel co wa kugawa hela mazabahun
Nyakati za mwisho shetani anafanya kazi Kwa uwazi ili mtu achague njia ya kweli au ya uongo ili haki ya Mungu ijulikane atakapohukumu Kwa haki mtu asije skalaumu Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo endelea kusema kweli Amina Mtumishi wa Bwana Yesu Christo
@@apollokidakule-vg3lz Nimsikilize nini ....ivi ushaona waislamu wanalumbana kama sisi wakristo, kila siku mada zake hizi hizi anatafuta kik ...kuweni wajanja kama mataifa
Mtumishi wa mungu tupo pamoja sana tu mpaka mwisho mahubiri yako yana nifariji sana tu maana unasema ukweli kabisa tu
Brother, you have spoken the truth of God's word. Just keep going and don't be afraid. God will protect you. The Bible says your enemies will come before you in one way, but they will leave you in seven ways.
Hawaya kufanya kitu yesu akulinde
Ni mungu pekee anayestahili kuabuduwa,na kupigiwa magoti, sio mwanadamu, inatisha sana kuona watu wakipiga magoti kwa mwana damu
Amen mtumishi , tangu nimjue huyu nabii mkuu, nilijua Sio mtumishi wa Mungu wa mbinguni na Wala SI mtu halisi , yeye na Zumaridi ni mapepo kwa mwili wa mwanadamu ,( demon reincarnate) watakupea zawadi ama msaada ukisha pokea msaada kutoka kwao lazima Kuna mapepo yatakufuata
Mungu akupiganie sana Mtumishi. Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa. Yamkini wote watakaokusanyana juu lakini si katika shauri la Bwana wataanguka
Hongera sana mtumushi unatu fumbuamacho na kubaliana namaneno yako watu kulr wanafuatatuu msaada lakin sio kwa mafundi sho
Sema wazima ndugu tufungue penye giza
Deep Truth, ubarikiwe Evangelist Paschal Cassian
Amen tume barikiwa ❤❤
Amina sana Bwana akubarik😊
Yeremia 17:5
5Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mtu anayewatumaini wanadamu, Anayetegemea nguvu za wanadamu, Na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.
Amen ubarikiwe Sanaa mtumishi wa Mungu
Amina kweri kabisa powerful preaching
Kweli âme onyesha ninabihi wauhongo ubarikiwe sana m tumishi kazana naukweli
Amina sana
Malaika WA mbinguni Wako pamoja na wewe Mtuishi endelea kuhubiri neno
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Kanisani Kwa nabi akuna roho wa mungu kbisa
Asante mungu kwakukupa nguvu zakuongea ukweli ❤
Mungu aliye Hai atusaidie kujua ukweli
Waambie hao manabii wa uongo wapiga hela hao mbona wanawasaidia watu wenye uwezo wanaacha kuwasaidia masikini waongo hao jaman
Mtumishi msamehe nabii mkuu bado hajaijua kweli hajamkili yesu maana yake hajaokoka
Amen amen
Yesutu njonjia ya kweki na uzima
Mpuuzi mmoja
Ubalikiwe sanaa
Amina
Huyu baba anawatoa watu wasiamini neno bibilia sasa yeye anaubiri ukristo gani, nakumbuka nilivyosikiliza Hii clip nilisikia harissa mnooo
Amina ubarikiwe sana aliye katana neno euro la MUNGU utakaa wapi mille?
Ubarikiwe sana ,ongea ukweli, nawa kabisaa
Nakuelewa Sana mtumishi, YESU KRISTO akutie nguvu na kukutunza🙏
Ubarikiwe pia mtumishi wa mungu from 🇨🇩
Nakupenda sana Mungu akupe nguvu,na uzidi kuwa na wivu wa kristo ubarikiwe,be blessed
Vita Kuu ni Kati ya nuru na giza ,Kati ya wema na uovu NA si Kati ya Cassian na Geodave..( mwanadamu na mwanadamu)
Asante papa 🙏🏾
Ubarikiwe sanaa mtumishi,Mungu akupiganie
Ubariwe mtumishi.
Huyu pasian mahubili yake ni kumhubili Nabii geordev hauna mahubili yaMungu wewe sasa unambingu zako, unashida naye utahangaika sana mpumbavu,
Shetani niking'ang'anizi wakutafuta uongouliokaribu na mwanga ili awakokote waliowadhaifu waimani.
john1:14 nalo neno lilifanyika mwili.............
Tatzo watu n wavivu kuomba tunapenda kuombewa hata wakipakwa mafuta ya bebcare fresh
Amen in jesus christ.
Amina mtumishi SEMA kweli Ili tupone
Umekosa maneno yakuwshubilia waumini wako ili iweje unatafuta nini kwa nabii, peleka umbea wako wewe ndo utaenda jehanam maanaumebakikuwasema watumishi mpumbavu,wewe,
Leo ndiyo naelewa. Nilikuwa najiuliza huyu mbaba Mbona hasomagi biblia jamani. Hana hata aibu. Yaani hayuko kabisa rohoni. Mathew 24 linamhusu
Huyu nabii anawaleta wengi kuzimu akuna mtu anaetembeza pesa ovyo
Nataman sikumoja uje kanisan kwetu tutafurai kuku pata mgen kamawewe
🙏🙏
Biblia limebeba maneno ya uzima nadhani kenye Iko ni viongozi wenye wanaongoza kutafsiri Biblia Dunia,Kuna maneno zingine waliondoa
Omg!
Ukweli maubiri yako yanafundisha ukweli mungu amekujenga juuyamwamba autatikisika wajie maaduy zako watashindana nawwe lakini awatakushinda
Watu wamefungwaa na mwiri wa kondoo
Wewe Cassian ulikuwa bongo seshi juzi tu nikakupigia nakula kwa bidii hadi ukapita kumbe shetani kabisa lichawi likubwa unamtukana Nabii mkuu MTU aliye teuliwa naMungu leo wewe unajidal kuwa wewe ndo unahaki mbele za Mungu kwenda zako Acha kujifanya kama ndo una mbingu zakuwapeleka watu kwenda zako umeshindwa kuhubili neno unabaki kuwasema watumishi wewe unaukweli gani? Mpumbavu kabisa kichaa kabisa peleeka
Kwan we nae umepew gari, naona unatetea mashetan hao, acha atimize wito wake tatizo nyinyi njaa zenu zitawapeleka moton mtafuten Mung wa kwel co wa kugawa hela mazabahun
Nabii ajaongea baya amesema kwa facts....kulingana na wakati, utawala na geography za wakati huo
Hujaelewa vizuri msikilize vizuri uelewe
Nyakati za mwisho shetani anafanya kazi Kwa uwazi ili mtu achague njia ya kweli au ya uongo ili haki ya Mungu ijulikane atakapohukumu Kwa haki mtu asije skalaumu Mtumishi wa Mungu Alie Hai yaani Yesu Christo endelea kusema kweli Amina Mtumishi wa Bwana Yesu Christo
@@apollokidakule-vg3lz Nimsikilize nini ....ivi ushaona waislamu wanalumbana kama sisi wakristo, kila siku mada zake hizi hizi anatafuta kik ...kuweni wajanja kama mataifa
Hawezi kupinga biblia akasema yeye ndio nabii amesimama msingi upi akajikuta nabii mkuu wakati amepinga neno
@@1stnews283😂😂😂jaman wewe Bwana akusaidie
Amina
Amen
Amina
Ubarikiwe mt usiogope.onya .karipia.kemea
BARIKIWA MTUMISHI WA JEHOVA,HII NDIO INJILI YA KWELI ,UNALISHA WATU MAZIWA YASIYOGHOSHIWA,YESU FUNGUA WATU WAKO
Amina