Jambo sana mutangazaji wetu wa ilyaba letu unajuwa kuna mambo mengini ya naleta asiri kuwa waziri waliyo tumika miaka 5 hawakufanya lolote alafu tene wamerudishwa tena kwenye serikali mpya unafiriya hii myaka tano inakuja ndo watafanya lamahana??yani wana wanashezeya shilingi shoni tu na wanasababisha wizi tu.
Hivo ndo taarifa za habari zinapashwa, kama gisi mlikuwa mkitangaza mwanzoni mwa mwaka 2023.
Jambo Mzee WA mbichi Leta habari tunakufata toka Gauteng/South Africa
Jambo ndugu... mzee wa kazi, tupe habari
poleni wakongo lwa wakimbizi wengi wanaoteswa na PAUL KAGAME
Sawa
Tumesikiya ya kwamba m23 wanaenda Luberon nikweli ama ni kakule muthamo kutoka beni territoire précisément kasindi lubiriha drc
Nakuomba unzie kwenye kusudi la Jabari maana unaongea Manteno mengi tofauti na Jabari usika.jaribu kufupisha Manteno nje la lengo
Jambo
Nakufuata 5juu 5 mjini Bukavu Ila hizi siku hautowe abari mingi ni George bukavu
Jambo sana mutangazaji wetu wa ilyaba letu unajuwa kuna mambo mengini ya naleta asiri kuwa waziri waliyo tumika miaka 5 hawakufanya lolote alafu tene wamerudishwa tena kwenye serikali mpya unafiriya hii myaka tano inakuja ndo watafanya lamahana??yani wana wanashezeya shilingi shoni tu na wanasababisha wizi tu.
Tuko pamoja mzee wambichi naitwa Sylvin nikiwa mujini kalemie
Jambo mtangazaji nahitwa selemani nimekupa 5/5
Hawa watu wamesema wameisha kombola mtaa wa Sake sasa leo imefika je ,mapambano sake?
Leta habari mbichi nakufata Sana,
Jambo nakupata kutoka USA 🇺🇸 Kentucky bowling Green mbona akuna sauti au ni simu yangu
Niko hewani,nikiwa Australia.
kwa nini musitoe video
Niko nawe Safi kabisa toka Goma