Sallam Afichua Walichokifanya WCB Baada Kufungiwa Na Media Zote Kubwa | SALAMA NA SALLAM SK PT 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Sallam Sharaff ni lejendari, na hilo liko wazi kwa anayetaka na asiyetaka, kwa umuhimu wake kwenye maisha ya msanii nambari moja kwa sasa ni kama nywele, usipomkuta kichwani basi hata kwapani hatokosekana. Na kwa utashi wangu nadhani kama wana Bongo Flava au wasanii ambao ‘wako tayari kuwekeza’ basi wangemkimbilia kwa kasi ya 4G ilimradi wapate mawazo tu ya jinsi gani wanaweza kufanya ‘meli’ yao ifike na pale panapotokea mrama wajue wimbi gani la kuliepuka na wimbi gani ndo walipandie kwa juu.
    Sallam si muongo na hili ninalijua kwasababu ni rafiki yangu, atakavyokuambia ndivyo lilivyo, Sallam anapenda pesa na hilo liko wazi na wala hajifichi nalo ila kubwa zaidi Sallam anapenda MAENDELEO. Ukitaka msielewane naye milele na milele basi onyesha nia au muonyeshe moja kwa moja kama unataka ’kumharibia’ mkate wake. Hakika hatokuacha salama. Atahakikisha unaenda na maji kwasababu mkate wake ndo maisha yake. Tofauti yake na wengi wetu ni kwamba wengi wetu tukijua mtu anataka kukuharibia basi na wewe utajificha au utamuepuka au utamchukia tu, Sallam yeye atakuonyesha waziwazi kama HAKUPENDI.
    Muziki anaufahamu vizuri tu na mengine anayang’amua as we go kama binadamu wa kawaida, mapenzi yake kwa mziki huu na kwa kupenda anachokifanya ndo kunamfanya awe THE BEST MANAGER. Maisha na mipango na maendeleo ya msanii nambari moja kwa sasa yalianza kubadilika sana mara baada ya Sallam kuingia kazini, na ilibidi aanze kama International Manager maana kwa upande wa ndani tayari Babu Tale na Said Fella walikua washapatawala. Haikua kesi kwake, ambacho alikifanya ni kuhakikisha Diamond anapata collabo na show nyingi za nje ambazo yeye alikua anaenda naye. Wakati akiwa wanapokua alitumia nafasi hiyo kutengeneza network nyengine. Mipango yake na uwajibikaji na jinsi vitu vilivyokua vinasogea vilimfanya Platnumz ampende zaidi, amshirikishe kwenye mambo mengi zaidi ambayo matunda na malipo yake ndo haya ambayo wanakula leo na kesho na keshokutwa ilhali mimi na wewe tunashuhudia historia inavyozidi kuandikwa.
    Kwa Said Fella kupata udiwani nako pia kulimfanya Sallam apate majukumu zaidi ya hata ya ndani sasa maana kipindi kile cha Hayati JPM kazi ilikua inabidi ifanyike na Sheikh Said alipigiwa kura na watu, so mara nyingi ilikua inabidi afanye kazi za kutumikia wananchi wake, na huku nyuma Sallam akawa anaezeka banda lake la kuishi kwenye ufalme wa Diamond Platnumz.
    Nakumbuka mwaka 2018, London Town, Diamond alimaliza show zake na Sallam akabaki nyuma, kilichowapeleka kule ilikua ni show ambayo yeye Sallam, my cousin Dulla Meru na moja ya mapromota hodari kutoka Nigeria ambaye anaishi London Ndugu Smed waliiandaa, ilienda poa na naamini ile ilifungua milango mingi sana. Alibaki nyuma kuhakikisha mambi yote yanakwisha freshi na pia kutengeneza network nyengine kwa matumizi ya baadae. Alibaki nyuma na mimi. Tuli enjoy, tuli jifunza na pia yeye aliweza kuweka MIZIZI yake vizuri ili mbuyu huu tunao uona leo usimame.
    Mawe mengi mno kapigwa. Maneno mengi sana yamesemwa juu yake, kama binadamu hawezi kuwa amekamilika au kamaliza, ila jitihada zake na kazi ambayo anaifanya inabaki inamzungumza kwa niaba yake. Kama ambavyo yeye anasema, kwanza yeye ni MFANYA BIASHARA, mengine yanakuja baada ya hapo. Diamond anamlipa Sallam kwa asilimia kila mara anapoleta BIASHARA kwenye MEZA YAKE. Faida ni ya WOTE. Sio mmoja ananenepa na mwengine anakonda kama ilivyo kwenye mahusiano mengi ya biashara hapa nyumbani na pengine Afrika na duniani kwa ujumla.
    Ukiniuliza mimi nitakuambia, hapa kuna mengi ya kujifunza.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 217

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 2 ปีที่แล้ว +35

    Sipendi marafiki Ila nahitaji wafanya biashara wenzangu that's big point Salam salute.

  • @nsaluhenry6435
    @nsaluhenry6435 2 ปีที่แล้ว +7

    Jamaaa anajua kuongea asee wasanii muweke heshima jamaa atawafikisha mbali Big Up SK

  • @Valdo.Suleiman
    @Valdo.Suleiman 2 ปีที่แล้ว +36

    Duh yani huna marafiki wala huitaji marafiki kweli we mwamba😁😆

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 11 หลายเดือนก่อน

      SALLAM
      NI LEVEL NYENGIN

  • @Igauf3
    @Igauf3 2 ปีที่แล้ว +16

    Great point, look at the top 100 of all African countries on Apple Music et al. You will agree with Salaam’s point the market reflect to what he is saying. Only, Northern African countries have high numbers of their musicians in those list.

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 ปีที่แล้ว +2

    Sipendi kuhulizwa maswali, so direct and straight forward salama. Keep it up miss

  • @UlimeA
    @UlimeA 2 ปีที่แล้ว +7

    Hii jamaaa inawaza PESA tu.🙌 big up

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 2 ปีที่แล้ว +16

    Mwamba Salam hapa duniani hakuna marafiki wengi wanafiki sana wakiona una hela kidogo wanajisogeza , harmonize alipokua ananuka vikwapa hakuna aliyekua anajali wala kutaka kumsaidia, leo katoka anapata hela na mademu kila mtu anajifanya anampenda . bindadamu WANAFIKI kinoma noma

  • @paulmbonika2459
    @paulmbonika2459 2 ปีที่แล้ว +6

    Napenda 'Kujiamini' kwa Salam SK, Big up, one of the people i would love kukutana nao FACE TO FACE niweze chimba madini mawili matatu.

  • @3kings63
    @3kings63 2 ปีที่แล้ว +11

    Nakubal sana📢🥰🔞🧡
    Marafik wanga tuu

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo 2 ปีที่แล้ว +4

    Everytime ukimsikiliza salama unajifunza upya

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 2 ปีที่แล้ว +4

    THE SMART INTELLIGENCE MANAGER no need kuwa na friends oh yeah

  • @mrmakungaone321
    @mrmakungaone321 2 ปีที่แล้ว +17

    Sallama hongera kwa kazi be blessed SK

  • @azamzahoro6548
    @azamzahoro6548 2 ปีที่แล้ว +11

    "Mimi sina rafiki mimi ninawafanyabiashara" unyama ni mwingi sana.

    • @patrickmarwa5024
      @patrickmarwa5024 16 วันที่ผ่านมา

      azamzahoro6548 huyu jamaa ana maneno mazuri kweli unyama ni mwingi sana

  • @mussachabonga9595
    @mussachabonga9595 2 ปีที่แล้ว +5

    Absolutely interview,big up sister Salama.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว +13

    This guy is a good businessman

  • @teggertegger3669
    @teggertegger3669 2 ปีที่แล้ว +3

    Big up SK kuazia leo nimekukubal salute 👏👏👏👏👏👏👏👏🍾🍾👑🤣🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kaongea point Sana

  • @roqerz
    @roqerz 2 ปีที่แล้ว +14

    This man is businessman

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 ปีที่แล้ว +13

    Niliisubiri Sana Hii interview

  • @robertmbaga9432
    @robertmbaga9432 2 ปีที่แล้ว +1

    Swali la mwisho zuri sana,Salama itabidi siku moja ujifanyie interview mwenyewe kwasababu unauliza vizur sana maswali nahisi hakuna anaekushinda.Halafu naomba niletee Alex Luambano wa Clouds

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 2 ปีที่แล้ว +14

    Show imekua Fupi Sana, Kuna Mambo mengi Sana yakuongea na Sallam Sk. Anamadini mengi Sana huyu mwamba.

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 2 ปีที่แล้ว +6

    *ila huyu jamaa ni kichwa asee 😂😂😂 hapa Diamond platnumz kapata meneja asee* 😂😂😂

  • @murschasser5503
    @murschasser5503 2 ปีที่แล้ว +15

    Interview ya salama ni borrra 👏

  • @emmanuelcaliph3714
    @emmanuelcaliph3714 2 ปีที่แล้ว +1

    Salam sk big up sanaaaaaaaaa

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 2 ปีที่แล้ว +5

    Naapa ....Najiona sahihi kwa mengi sana.
    Biashara ina mambo mengi sana,hawa watu wanawekeza wanawekeza muda,pesa,na akiri zao halafu wewe unataka usaidiwe kwa huruma ya maneno.Hili haliwezekani hata kidogo.

  • @alphamgimba7125
    @alphamgimba7125 2 ปีที่แล้ว +5

    Jamaa anaakili san

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 2 ปีที่แล้ว +1

    #Sallam ahsante kwa interview kali sana.

  • @brunofernandez6608
    @brunofernandez6608 2 ปีที่แล้ว +1

    The man talk the truth

  • @edwardokumu8453
    @edwardokumu8453 2 ปีที่แล้ว +24

    I feel like interviewing somebody like sallam you need more time..there were many issues about harmonize that were not asked e.g allegations he made at the airport,also issues around the exit of rayvanny and hanstone..

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 ปีที่แล้ว +3

    Vijana wengi wakiweza kuiga mindset kama ya Sallam SK watafika itakuwa vizuri sana...

  • @davismakule5965
    @davismakule5965 2 ปีที่แล้ว +5

    Jamaa anajibu maswal vizur sana, straight forward

  • @nassibsaid1348
    @nassibsaid1348 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimekuelewa sana salam

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 2 ปีที่แล้ว +1

    Mlete jamaa wa radio one wa habari nyepes

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce842 2 ปีที่แล้ว +2

    Bonge la interview ever huyu sallam ni intelligent sana

  • @byaminarehema6745
    @byaminarehema6745 2 ปีที่แล้ว +6

    Is so real !

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 2 ปีที่แล้ว +2

    Hii nimependa sanaaa

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 2 ปีที่แล้ว +5

    Diamond

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 2 ปีที่แล้ว +13

    someone OG that's sallam SK Mendez 🤣🤣hataki unafiki

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali hiki kipindi very 🔥🔥🔥🔥

  • @hassanikobelo3688
    @hassanikobelo3688 2 ปีที่แล้ว +3

    Salama is best and first presenter in Tz and east africa since day one no cap

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 ปีที่แล้ว

    Salama your international for really 😘 may God bless you 🙏

  • @fundiwamoldzapevingblock6378
    @fundiwamoldzapevingblock6378 2 ปีที่แล้ว +1

    Umetisha Sanaa sanaaa sk nakubariiiii sanaaaa

  • @moodymachinga8008
    @moodymachinga8008 2 ปีที่แล้ว +12

    Mendez Nimependa sn hii interview brother big up sn

  • @sheilanyahoza5633
    @sheilanyahoza5633 2 ปีที่แล้ว +3

    HUU NI WAKATI WA MOND SASA ....WE NEED HIM

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 2 ปีที่แล้ว +2

    Nomaaaàa sana sallam

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama na Diamond Platnumz next

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 2 ปีที่แล้ว +1

    Boss Mendez akili mingi sana. Anajua🙌

  • @yohanakaini
    @yohanakaini 2 ปีที่แล้ว +3

    one thing i like about SK is that the man is real, hajui ku fake yan black is black

  • @nsaluhenry6435
    @nsaluhenry6435 2 ปีที่แล้ว +1

    Wasafi itaendelea kuwa juu kwa menejas walionao jamaa yupo really anajitambua sana

  • @paulineonkoba5792
    @paulineonkoba5792 2 ปีที่แล้ว

    I love Salam his business oriented

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 2 ปีที่แล้ว +4

    i like him🤣wao waseme sisi tunaenda kweli kweli

  • @bigELLY-zz7tw
    @bigELLY-zz7tw 9 หลายเดือนก่อน

    Yeah don Mendez🎹🎹

  • @daudiraston747
    @daudiraston747 2 ปีที่แล้ว +1

    Big man congrats

  • @phranklynpius9478
    @phranklynpius9478 2 ปีที่แล้ว +5

    Ninachokubali kuhusu hii shoo, yanaulizwa maswali yenye majib 'uncomfortable'....bonge la podcast!

  • @henryedmund1046
    @henryedmund1046 2 ปีที่แล้ว +9

    That was life style harmonize issue

  • @yusuphwilliam5343
    @yusuphwilliam5343 2 ปีที่แล้ว +1

    Salam maswali yako mazuri sana

  • @franciskyombo9394
    @franciskyombo9394 2 ปีที่แล้ว +2

    Sk Multigenius

  • @bintyaroy6734
    @bintyaroy6734 2 ปีที่แล้ว +6

    Safi

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 2 ปีที่แล้ว +1

    I like this guy

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo mwamba aksema ukweli... Tamaa ndio inasumbua wasanii, hilo nalifahamu... ata Rayvanny bado ni tamaa, ila tamaa mwisho wake mbaya sana... Ona Harmonize sahivi ana mihela na Range Rover, kajala atamlamba ata mkundu... mmakonde!! mumngu kamsaidie!!

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 2 ปีที่แล้ว +6

    namuelewa salaam bongo ukiwa na misimamo utetereki sio mnafiki lazima uchukiwe ndio kinachomtokea salama yuko straight msimamo hayumbishwi ndio maana anachukiwa

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว +1

      Wabongo ukiwachekea sana watakupanda kichwani ndio mana Saĺlam hana marafiki

    • @UlimeA
      @UlimeA 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyu jamaa kwenye issue ya business ni makin sana

  • @zurrychannel235
    @zurrychannel235 2 ปีที่แล้ว

    Good interview

  • @MasterChief-Ortiz
    @MasterChief-Ortiz 2 ปีที่แล้ว +6

    sk hakuwa na njaa nin

  • @goodluckmgari9185
    @goodluckmgari9185 5 หลายเดือนก่อน

    Don Mendez akili nyingi xna🙌🙌🙌

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 ปีที่แล้ว +1

    Diamond❤️❤️❤️

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 2 ปีที่แล้ว +7

    Wa kwanz

  • @King-Buda
    @King-Buda 2 ปีที่แล้ว +3

    Bless

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini 2 ปีที่แล้ว

    Ndo Boss Boing

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 2 ปีที่แล้ว

    Salam mtu mzuri ukiwa mnafki ndio utamuona anazingua .....but very straight guy👊

  • @mirromsodoki2777
    @mirromsodoki2777 2 ปีที่แล้ว +3

    Ilauyo jamaa niatali 😂

  • @nsabiyaremyezacharie6387
    @nsabiyaremyezacharie6387 2 ปีที่แล้ว +7

    Mendez kama Mendez

  • @mao9622
    @mao9622 2 ปีที่แล้ว +2

    Boss Mendez

  • @user-sp3gg7id8q
    @user-sp3gg7id8q 2 ปีที่แล้ว +1

    Alikiba anatchokwama ni views na consistently ya kutoa video za nyimbo haraka haraka kila mwezi kama mondi, hizo views haziji kwa fans tu, unaboost ili uonekane umefanya vizuri iyo season /12 months hii itamfanya apate nomination kwenye awards za nje ya nchi na kualikwa kwenye matamasha mbali mbali. Pia views ni ghali that's why mondi hana hata nyumba ameinvesting sana huko akipiga shows anaenda kuboosti ili ashikilie position ya juu.

  • @michaeljeremiah5364
    @michaeljeremiah5364 2 ปีที่แล้ว +2

    Dada angu salama niweza pata angarabu nafasi nipige na ww pic tu....dada 😭

  • @foteliberty4080
    @foteliberty4080 2 ปีที่แล้ว

    Waiting for Kitenge.

  • @kashungamagohe2659
    @kashungamagohe2659 2 ปีที่แล้ว

    Interview ya salama.swal zur sana

  • @babalaujamaa7131
    @babalaujamaa7131 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwambaaaaa huyu hapaaaa ✌️✌️✌️✌️

  • @HallyTunchy
    @HallyTunchy 2 ปีที่แล้ว +5

    We need a Salama na Platnumz Podcast And Harmonize Too✈️

  • @siaammo1104
    @siaammo1104 2 ปีที่แล้ว

    jamaaa ana jiamini hatariiiii

  • @tanzania2559
    @tanzania2559 2 ปีที่แล้ว +1

    Business, Mimi sina haja ya kukutana na sk ila he is a business minded

  • @johanakunambi6975
    @johanakunambi6975 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @aaronernest3752
    @aaronernest3752 2 ปีที่แล้ว

    #Mogul 🔥🔥🔥

  • @thomaslyimo1729
    @thomaslyimo1729 2 ปีที่แล้ว +2

    He is mastermind

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 ปีที่แล้ว +7

    🙌

  • @pirato5462
    @pirato5462 2 ปีที่แล้ว +1

    Boss kama boss

  • @jamesngalijah3710
    @jamesngalijah3710 2 ปีที่แล้ว

    nakubali sanaaaa

  • @cossangraphix6843
    @cossangraphix6843 2 ปีที่แล้ว +5

    Nice interview

  • @salomesamson6904
    @salomesamson6904 2 ปีที่แล้ว +2

    Hamonize mibangi yule aache mibangi yule mibangi yake ndo inamharibu hamonize

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 ปีที่แล้ว +2

    Ht mm sipokei mkono. Wk ss msibani NDO nn kila. Kwani slm ndo mfiwa au korosho alitaka Kiki ndo maana alifanya vile

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa anasauti kama ya ridhiwani kabisa

  • @somyremy1302
    @somyremy1302 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mbona hamjala hicho chakula jaman😪na mbona nyama tupu

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 ปีที่แล้ว +1

    N'a base n'a kuskiliza WCB tuuuu

  • @muunganomapunda8440
    @muunganomapunda8440 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama aende The Joint

  • @egnokapinga16
    @egnokapinga16 2 ปีที่แล้ว +2

    BossMendez

  • @salmadulazi6876
    @salmadulazi6876 2 ปีที่แล้ว +1

    Hiv ile salama na Salma Msangi imeishia wapi mbona kila nikifungua nakutana tangazo tu kulikoni?

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE 2 ปีที่แล้ว +1

    We needy part 3

  • @romakoko2292
    @romakoko2292 2 ปีที่แล้ว +1

    Interview ya zuchu iko wapi

  • @ndanamwasheel219
    @ndanamwasheel219 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mkuu ako juu tu sana

  • @vincentkiprotich7959
    @vincentkiprotich7959 2 ปีที่แล้ว +1

    Sallam is real!

  • @hbboe1849
    @hbboe1849 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyu ndo mwamba sasa...😂😂