ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Nimeiona chanel yako kachara media tayari #nishasubscribe
Shukrani sana 🙏Naomba uwe balozi kwa wengine, kazi mpya zipo nyingi kaeni tayari kuzipokea na kuniunga mkono
@@kacharamedia uko vizuri sana kakeee big up kwako
Kachara unatufelisha maana new film hatuzioni ,au hata vile vipande vipande pyaa hatuvipati,
Hv ndo inavyotakiwa, lkn sisi twafanya kinyume chake
Kweli kabisa hapa mi ndipo ninapomkubali kachara anaozungumzia masuala ya jamii yetu ambayo tunayaona kama si makosa#hongera kake kachara
Heee Kachara weeeh! Rafikiye Dargube, wan'vunja mbavu zangu mieee kwa kicheko.
Ujumbe upo sawa lakn kwel ss hatufanyi hivo na kama hwepewa chai bas ukiondoka msibani wenda msema pembezoni
Mafunzo mazur😂
Mzee kachara mbna hatuoni michezo mipyaa 😍🔥🔥😍🔥😍😍😍😍
Yaan hii ndio sharia itakavo lkn watu tunafanya zigzagaa
Safi mafund mm mwenzio wa wete nipo omani lakini nikuona kama niko wete bopwe asanteni zidisheni juhudi tupo pamoja
@@OmanOman-ph4ng upoo Oman seem gan my
First comment napendaa sanaaa
Ami kachara ni kweli maneno yako uyasemayo leo lazima tuoneane huruma
jina liko sawa ila Logo aifanyie Kazi zaidi
Hakika pole aikai kidondan
Seponaa Haha safisana kachara ujumbe umefika maana yamezidi haya
Nc one , ami kachara , bora ulivowatoroka maana imekua shida , #wapemba wenzangu .
Hahahahahaha
Uhakikaaaaa
Kachara uko sahihi
Ahsante sana kachara Hilo fundisho kubwa kwetu
Ugwao ndio unamiwaooo
Safi sannaaa!!
kwelikabisa kukiwa na misiba ni shida mty kafiwa wakifika 2kuna nn kuna wagen ipo shilingi gapi tununue maharange na mchele kaaa mmeenda kula au 🤣🤣🤣🤣💃
Ujumbe umetufikia na tuufanyie kazi
Mafunda nakukumbuka sana, nilikuja Pemba kipindi cha Ramadhani lkn sijabahatika kukuona, mm mdogo wake Yussuf niko Dar!!!
Kweli lakin
Ami kachara ssa iv kazi nsafi sana ami....
Haha. Ujumbe umefika
Nice sana
Huo ni ujumbe wa kweli hakuuna hasa ktk dini mtu kupata mcba wa kufiwa halafu watu wakakusanyika cku kadhaa na kutegemea huduma kwa mfiwa, kilichopo ni kumpa faraja na kusaidia ktk kipindi cha mcba amba hakizid cku 3 kisheria ya dini ya uisilamu
😂😂😂👏👍kweli Pole haiingi kidondani
Nice one
😂😂😂😂😂
Hilo kweli wengine huomba pafiliwe wapate kula
Haha
Asante kachara Asante unaweza
2:20
Asante kachara, upo sahihi
Pole haingii kidondani 🤣🤣
Pôle haingiii kidondan
Ujumbe umefika
Safi kachara
Watakao kunywa kahawa sawa hewekunywa shaurizao 😁😁😂
Kachara ww hodar uyo mmoja kanchukua kichamo
Safi sana
nshazingilika kote nakutafuta
Wambile Kachara
nikweli kachara, yaani mtu kafiwa lakini, alishe watu, siku mbili Au tatu, mtihan wallah
Ugwao ndo unamiwao:@
Kachara 😂😂😂😂😂😂
Hahahahaaa
Nimeiona chanel yako kachara media tayari #nishasubscribe
Shukrani sana 🙏
Naomba uwe balozi kwa wengine, kazi mpya zipo nyingi kaeni tayari kuzipokea na kuniunga mkono
@@kacharamedia uko vizuri sana kakeee big up kwako
Kachara unatufelisha maana new film hatuzioni ,au hata vile vipande vipande pyaa hatuvipati,
Hv ndo inavyotakiwa, lkn sisi twafanya kinyume chake
Kweli kabisa hapa mi ndipo ninapomkubali kachara anaozungumzia masuala ya jamii yetu ambayo tunayaona kama si makosa#hongera kake kachara
Heee Kachara weeeh! Rafikiye Dargube, wan'vunja mbavu zangu mieee kwa kicheko.
Ujumbe upo sawa lakn kwel ss hatufanyi hivo na kama hwepewa chai bas ukiondoka msibani wenda msema pembezoni
Mafunzo mazur😂
Mzee kachara mbna hatuoni michezo mipyaa 😍🔥🔥😍🔥😍😍😍😍
Yaan hii ndio sharia itakavo lkn watu tunafanya zigzagaa
Safi mafund mm mwenzio wa wete nipo omani lakini nikuona kama niko wete bopwe asanteni zidisheni juhudi tupo pamoja
@@OmanOman-ph4ng upoo Oman seem gan my
First comment napendaa sanaaa
Ami kachara ni kweli maneno yako uyasemayo leo lazima tuoneane huruma
jina liko sawa ila Logo aifanyie Kazi zaidi
Hakika pole aikai kidondan
Seponaa Haha safisana kachara ujumbe umefika maana yamezidi haya
Nc one , ami kachara , bora ulivowatoroka maana imekua shida , #wapemba wenzangu .
Hahahahahaha
Uhakikaaaaa
Kachara uko sahihi
Ahsante sana kachara Hilo fundisho kubwa kwetu
Ugwao ndio unamiwaooo
Safi sannaaa!!
kwelikabisa kukiwa na misiba ni shida mty kafiwa wakifika 2kuna nn kuna wagen ipo shilingi gapi tununue maharange na mchele kaaa mmeenda kula au 🤣🤣🤣🤣💃
Ujumbe umetufikia na tuufanyie kazi
Mafunda nakukumbuka sana, nilikuja Pemba kipindi cha Ramadhani lkn sijabahatika kukuona, mm mdogo wake Yussuf niko Dar!!!
Kweli lakin
Ami kachara ssa iv kazi nsafi sana ami....
Haha. Ujumbe umefika
Nice sana
Huo ni ujumbe wa kweli hakuuna hasa ktk dini mtu kupata mcba wa kufiwa halafu watu wakakusanyika cku kadhaa na kutegemea huduma kwa mfiwa, kilichopo ni kumpa faraja na kusaidia ktk kipindi cha mcba amba hakizid cku 3 kisheria ya dini ya uisilamu
😂😂😂👏👍kweli Pole haiingi kidondani
Nice one
😂😂😂😂😂
Hilo kweli wengine huomba pafiliwe wapate kula
Haha
Asante kachara Asante unaweza
2:20
Asante kachara, upo sahihi
Pole haingii kidondani 🤣🤣
Pôle haingiii kidondan
Ujumbe umefika
Safi kachara
Watakao kunywa kahawa sawa hewekunywa shaurizao 😁😁😂
Kachara ww hodar uyo mmoja kanchukua kichamo
Safi sana
nshazingilika kote nakutafuta
Wambile Kachara
nikweli kachara, yaani mtu kafiwa lakini, alishe watu, siku mbili Au tatu, mtihan wallah
Ugwao ndo unamiwao:@
Ugwao ndo unamiwao:@
Kachara 😂😂😂😂😂😂
Hahahahaaa
Hahahahaaa