ZUMARIDI ASIMULIA MAISHA YA GEREZANI "DUNIA IMENIFAHAMU, MWENYE KANSA KAPONA, SINA VITA NA SERIKALI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Mungu gani tena zumaridi unamshukuru
Hivi Eatv kwann msitoe hiyo nembo hapo katkati😕🙌
mungu anamshukuru Mungu nyie hii dunia haiishi vituko na sura yake mpya mikono ya zamani
Hahahahah ndo hapo sasa, ndo tujue huyu mtu anaigiza au anamatatizo ya akili
Its only God in heaven who understands her doctrine of being a woman leader and calling her self king,Let God continue to fight for U Mama Zumeridi I personally I love you ,your a blessing to you congregation mungu akuzidishie,Even the way you talk I see nothing wrong your a very appreciative woman of God
Hamna neno ana miungu tuuu na yesu hayukooooo yuko Sawa kujiita munguu
Leo Mungu Anaomba Dhamana Dunia Inawajinga Wengi Mnooooo.
🤣🤣🤣
@@tinamahega9848 😅😅😅 wajinga awaishi
😂😂😂😂
Huyu anafile milembe nyie
Amesema anamshukuru Mungu
Nimemuonea huruma maskini abadirishe style aliyokuwa anaitumia lkn aendelee kueneza injili.Haya mimi langu jicho.
Inatakiwa ukaungane na GODEVE utaeleweka vizuri.
Mama KANUMBA alikuongelea Zumalidi katafute video utaelewa wewe upo kiimani au wapi!?
ALAFU HUYU SIALIKUA ANAJIITA MUNGU, SASA MBONA LEO ANAMSHUKURU MUNGU
Jamani mikono ya huyu mungu na uso wake mbona ni rangi mbili tofauti?
Sasa hvi utamskia chadema wanamtaka ndio kazi yao...🤣🤣
Ww dada ni tapeli sana acha kuchezea mungu shetani mkubwa
Wanayumba
Jifunze kuwa Serikali iko kazini haijalishi Imani gani unahubiri lakini kama unapotosha jamii kaa chukua hilo kama funzo.
Eh sema Mtumishi wa Mungu sio Mungu
Una wivu
We kinakuuma nini?
Endelea tu kuongea ongea na media ushauri yako ... kwa ushauri tu ungeachana nahizi media
Ila ulipinga msosi vizur coz hujakonda.
Ulishakuwa mweusi naona usharud kwenye cream kwa kas🤣🤣🤣🤣
Sijajua ameaoka Saivi? Amejua ye si ye Mungu 🤣😂leo anamtaja Yesu sio kwa nguvu zake🤣😂😂😁
Naomba namba za zumarid inaonyesha ana upwiru umemkaba koo miezi yote hiyo
Aah aah aah
Mtaaalam king
😂😂😂😂🤣🤣
Toen nembo hiyo katkat weka hata pemben
Mtumishi gani mwrnye kucha ndefu hv?
Wap walipoandika mtumishi awe na kucha fupi???
Sasa hivi ni mtumishi wa MUNGU zumalidi Na sio MUNGU Ahahahaaa
Kwann waumini wako wapo kama Mazombi ww acha utapeli...
Eeeh endelea na hio rangi yako wakunyooshe Tena na ubadilike
Bado ww ni mungu?
Aweeee huoni Saivi anamtaja Yesu 🤣😂😊amejiona
Ameongea vizuri, inawezekana hatumuelew vile namna anavyowasilisha hoja zake
Huyo kanyooka baada ya kutoka jela. Hakuwa hivyo huyo.
Eeh makubwa umemuelewa?!
Duh ameanza kupata mazombi mapya mapema 😂😂
Mungu mwenyewe ndie ajuae. Hakika sisi hatujui kuwa ni Mtumishi wa Mungu ama laah
Mmmhh hii lafudhi jamani hata kama ni msukuma
Sauti imeuwaje
Mungu gani anawekwa gerezani yaani wewe ipo siku utajuta
😂😂😂😂 unaongea nini sasa!? Walioko gerezan sio wa Mungu?
@@jeniphachristian8351 huyu yy si anajiita Mungu chini ya just🤣🤣 tutamchapa viboko
Yesu si alikuwa Mungu, mbona alisulubiwa msalabani. Mungu kwa imani ya Kikristo, anaweza kuwekwa gerezani, kuteswa na hata kuuwawa. Rejea Biblia kuhusu maisha ya Mungu Yesu.
Mbona anakuja ndefu
N binadam pia na n mwanamke so mwache ajipambe...
KAMA GEREZA LA WANAWAKE NI DOGO NA KUKAA NI KWAKUBEBANA NA KUBANANA , VIPI WAKATI MWANAMKE YUPO KATIKA HEDHI YAKE ANAKUA NA HALI GANI JAMAN
Mnabebana utachagua tu nani akae juu au chini
Ww mwizi taka huna lolote