BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • BMG Media- Pamoja Daima!
    Tovuti www.bmgblog.co...
    Facebook / bmghabari
    Twitter / bmghabari
    Instagram / bmghabari
    #BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG

ความคิดเห็น • 192

  • @littleheroe541
    @littleheroe541 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana mhe DC umezungumza kiuongozi Mungu akutunze sana

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 ปีที่แล้ว +1

    Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka

  • @RhodaKibona
    @RhodaKibona หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki baba yangu,

  • @geey7893
    @geey7893 ปีที่แล้ว +5

    DC wakwanza kuongea vzuri mpk mwisho bila kutaja SAMIA SAMIA SAMIAA DR SAMIAAA. BIG UP MURAAAAAA CHACHAAA

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 ปีที่แล้ว

      acha ukabila weweee, basi baki kwenu huko huko mbwinde usiende maeneo mengine ya Tanzania kama utapata maendeleo?!

    • @ejidemaswalikinoja5643
      @ejidemaswalikinoja5643 ปีที่แล้ว

      Oohooo ushamharibia Sasa agundulike hajaimba zile nyimbo😂😂😂😂😂

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 ปีที่แล้ว +2

    Asante mkuu uko vizuri sana

  • @oigenngonyani1124
    @oigenngonyani1124 ปีที่แล้ว +5

    Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Sahihi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 ปีที่แล้ว +1

      Wakuu, kuweni makini. Uwelewa wa wengi wa viongozi wa chini siyo kabisa

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      @@adelinelyaruu3036 sawa kabisa

  • @davidsamson8204
    @davidsamson8204 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli nchi hii imefika pabaya sana mpaka viongozi wa kijiji wanajadiliana kuuza eneo la kisiwa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 ปีที่แล้ว +4

    Peleka ndani hao, hawana uchungu na rasilimali zetu.

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo viongozi wa Tz wanaheshimu sana ngozi nyeupe. Wanatuuza bana

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 ปีที่แล้ว +5

    Inchi hii kuna watu wa ajabu sijapata kuona.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 ปีที่แล้ว +3

    Serikali inatakiwa kupima inchi nzima sehemu zote zijulikane sio wana inchi .

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba ปีที่แล้ว +3

    Huo ni wehu, m 25 , hii dunia aisee, mtendaji unamapungufu sana

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 ปีที่แล้ว +4

    😂🤣😂🤣Yaani nimecheka Sana maana hii nchi tunahitaji msaada wa Mungu

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว +2

    Mnauza lasilimali kwa milioni25 mabwege sana wanatuuza kisasa

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh หลายเดือนก่อน +1

    Kweli jivi. Linafuata mnyaji na nyinyi wananzengo mnaanza kuuza alidh wasukumwe ndani hao

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  หลายเดือนก่อน

      Hahahaaaa kwamba sukuma ndani

  • @paulkaisi5689
    @paulkaisi5689 ปีที่แล้ว +1

    Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 ปีที่แล้ว +2

    Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.

  • @yohanawihemba5825
    @yohanawihemba5825 ปีที่แล้ว +2

    Anhaaaa! sasa nimegundua mnauza kidogokidogo mwisho inchi tushituke imeisha ngoja namimi nitafute mteja nauza mwanza yote nawatuwake alafu nahamia malawi

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 ปีที่แล้ว +2

    Inakuwaje kila kitu kiuzwe ?

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 ปีที่แล้ว +2

    Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god

  • @maselemasanja4569
    @maselemasanja4569 ปีที่แล้ว +1

    DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.

  • @victormbinda1018
    @victormbinda1018 ปีที่แล้ว +2

    Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!

  • @nakali79
    @nakali79 ปีที่แล้ว +2

    Wataalamu Tanzania! Pumbavu hapa yapo majizi tu Wataalamu wako urusi kwa putin, huku zipo mbweha tu majizi matupu

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 ปีที่แล้ว +1

    Af sana DC.una mawazo ya kizalendoo

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 ปีที่แล้ว +1

    Bei Ya.kuuza.kisiwa cha utalii sikwea.moja Tsh 3000!
    elimu inatakiwaa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +3

    Huyo diwani hafai atumbuliwetu

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 ปีที่แล้ว

      Tena afukuzwe hata nchi akaone thamani ya ardhi

  • @nakali79
    @nakali79 ปีที่แล้ว +4

    Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Simu inaonyesha Dubai tena

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 ปีที่แล้ว

      Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      @@queenpiscator6117 hatari sana

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha hapo kwny simu kuonyesha uko Dubai😅😅

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      @@salomewandya7257 noma

  • @BennyChatanda
    @BennyChatanda ปีที่แล้ว +2

    Pumbavu. Zenu ...mmeanza kuuza hdi visiwa

  • @samhadas788
    @samhadas788 ปีที่แล้ว +2

    Aibuu

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 ปีที่แล้ว +2

    Mchanganyiko wa Vyama unasaidia sana lakini kuiachia CCM ni hasara. Hivi wanaupeo kweli hawa watu?

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw ปีที่แล้ว +2

    Ccm hii noma

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki mngekuwa hivyo hadi kwenye bandali ningesema ewala yarabi ningewaombea heri.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 ปีที่แล้ว +3

    Nchi hii inawapunguani wengi sana. Deal kila kona

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf ปีที่แล้ว

      Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq ปีที่แล้ว +1

    Haya ndiyo yanayo zungumzwa ya bandari bado tayari mwanza mmeanza acheni hayo

  • @rajabusamson8036
    @rajabusamson8036 ปีที่แล้ว +2

    Du

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watu kama hawa Sio wazalendo wanaweza kuuza Ata ikulu ya rais kuwafunga jela wakajifunze Uzalendo

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 ปีที่แล้ว +1

    Mwizi siku zote huwa akubali, mzee nyosha maneno,hao watu walikuwa wanakupa pesa kufanikisha hayo madeal

  • @jacksngeraldjacksnglukanga5652
    @jacksngeraldjacksnglukanga5652 ปีที่แล้ว +1

    Kweli wazalendo mpo andi raha nikweli hamna kuuza chochote kisiwa 🏝️ na mlima 🗻 nimali ya Tz🇹🇿

  • @ObligeeNdoni-pb4vs
    @ObligeeNdoni-pb4vs ปีที่แล้ว +2

    Ovyoo kabisa!

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 ปีที่แล้ว +1

    Naayo yote nikwa sababu ya taswila ya uongozi wa ngazi za juu, kuna shida kwa watanzania kwa sasa MUNGU, wa mbinguni atusaidie uo ndyo ukweri

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 ปีที่แล้ว +3

    Ila watu ni wapumbavu mtakufa mtaviacha yani TNA tumekwisha mara bandali mala visiwa tunaomba Magufuli Afufuke

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว +1

      Mambo ni mengi, muda ni mchache

    • @faustinmarko2278
      @faustinmarko2278 ปีที่แล้ว +1

      Watu wachache wanaangalia matumbo yao

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      @@faustinmarko2278 noma sana

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv ปีที่แล้ว +1

    Muwe ninaangalia mbali sio kuingia mikataba ya uchwara kisa umasikini ukiuza kisiwa au mlima ukamaliza shida zimeisha zitakuja nyingine itauza nini?

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya.
    Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp ปีที่แล้ว +2

    Yaan munauza visiwa vya inchi. ila mnavitamaasan. Hakunavyakuwafanyia hatuuzi.

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi ปีที่แล้ว +2

    Nyie mnaongea juu ya kisiwa wakati ziwa zima wameshachukua dp world mmelala kweli

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc ปีที่แล้ว

    Iyosekindali ataikiisha kazbule Kwan watu wanasoma nahawana kaz maana kazi wanapeana wenyewe nakoozao

  • @kiwalehonory2061
    @kiwalehonory2061 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mnauza ardhi kama njugu? Sasa vizazi vyetu wataishi wapi? Acheni tamaa. Ardhi haiuziki rudisheni hela.

  • @rajabusamson8036
    @rajabusamson8036 ปีที่แล้ว +2

    Hiyo ndotanzania yasasa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mbona nchi inakwenda kiajabu sjabu kila mtu anauza nchi

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +2

    Kuweni makini viongozi jaman

  • @paulkaisi5689
    @paulkaisi5689 ปีที่แล้ว

    Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu

  • @reganmartin5485
    @reganmartin5485 ปีที่แล้ว +1

    Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +2

    Kwahiyo hiyo njaa au tz viongozi hawajielewi

  • @NickyPeter-ec4gv
    @NickyPeter-ec4gv ปีที่แล้ว +1

    Mama ndo aliewafundisha vifaranga kunya kwenye sahan.

  • @andersonfrankswai6078
    @andersonfrankswai6078 ปีที่แล้ว +1

    hapa hakuna kucheka na mtu
    wanacheza na akili za watanzania
    kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho
    "mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"

  • @andrewzagaza908
    @andrewzagaza908 ปีที่แล้ว +2

    Wasukuma mkije hata hamuwezi fikilia kitu kama hicho, watani wangu nyie jajarukeni mtaibiwa sana

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Hao viongozi ni makabila mbalimbali

  • @OmarMuya-qm3ws
    @OmarMuya-qm3ws ปีที่แล้ว +1

    Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Afrika tuwe makini na uwekezaji

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 ปีที่แล้ว +2

    Nimegundua kitu katika nchi yetu,tusipo angaria tutakutwa tumeuzwa,na hili Ni tatizo lakutokuwa na hati za aridhi.

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 ปีที่แล้ว +2

    nchi yangu hyo

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 ปีที่แล้ว

    Mbona mnamuuliza suala Ile Ile,
    Mnamchanganya bhana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +2

    Mkuu wawilaya nimefurahi sana mawazo yako

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp ปีที่แล้ว +1

    Kwann mnatamaa yapesa kumanyie? Kwann mnauza mali yataifa? munashindwa kukataa kua hatuuz ziwa?

  • @kazimilkazimil8615
    @kazimilkazimil8615 ปีที่แล้ว

    Maeno ya wapi hapo

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 ปีที่แล้ว +1

    Hii nchi tunaelekea cjui tu ni Mungu aingilie kati ila kwa uongozi uliopo sasa mmmh cjui.

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Mbona unakata tamaa mapema mdau?

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 ปีที่แล้ว

    Huyu mwenyekiti mwizi, waliomtangulia wangefanya kama yeye, kwenye kijiji mali zote zingekuwa zimeuzwa.

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc ปีที่แล้ว

    Baba chukua ichii maana sasa Tanzania inakela viongoz rushwa nyingi

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 ปีที่แล้ว

    Namnukuu trampu alsema bara la afrika linahtaj viongoz wote kutenguliwa nakuanza na uongoz mpya sio huu hakna kiongoz afrika nzma

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 ปีที่แล้ว

    Kisiwa kinauzwaga ml 30 siujinga huo basi kila mtu angenunua angekaa kisiwani

  • @pamelamauki4209
    @pamelamauki4209 ปีที่แล้ว +2

    Kwani hizi tonzo zinafsnyanini jamani!

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 ปีที่แล้ว +2

    Sasa maongezi yanini tiandani waujumu uchumi yambavu mwekezaji ndio nani sukumandani yani sukuma ndani

    • @BMGOnlineTV
      @BMGOnlineTV  ปีที่แล้ว

      Siku hizi hakuna sukuma ndani

  • @maselemasanja4569
    @maselemasanja4569 ปีที่แล้ว +1

    Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.

  • @JoelNyambalya
    @JoelNyambalya ปีที่แล้ว +1

    Ahsate mweshimiwa hili nililisemea mapema sana hakuna mikataba ya selikali bila mwanashelia

  • @samuellugendo27
    @samuellugendo27 ปีที่แล้ว +1

    Blaa blaa blaaa

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps ปีที่แล้ว +1

    Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo

    • @stephanominja8927
      @stephanominja8927 ปีที่แล้ว

      Wapewe semina kila kiongozi anapopata uongozi!! Kwnai wanazungukana. Alafu uwajibishwaji ni mdogo kwa kweli

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 ปีที่แล้ว

    Madarasa 3 yapauliwe kwa ml 25 mbona vichekesho 😅

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +2

    Teteeni nchi yetu jaman

  • @eddiemsongelanzi5395
    @eddiemsongelanzi5395 ปีที่แล้ว

    Huwo no wizi ulizeni Kwa serikali Kwanza kwani nchi ikiachiea hivyo so itakuwa kama Kenya eananchi hawana sridhi baalli no kwawenye Pesa tu

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 ปีที่แล้ว

    Mkuu maneno ya huyo mheshimiwa hitaji maandishi Kwa hayo asemayo maana naona kama mengine utunzi

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 ปีที่แล้ว +1

    Duu tutafika.tumechoka kiukweli🎉😅

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 ปีที่แล้ว

    Hadi huluma maskini hivi ni vichwa au maboga? Kweli hamna kitu hapo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว

    Sasa Serikali inafanya nini kwann wasijenge hiyo shule,na kuna hela uwa zinapangwa kwny bajeti

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 ปีที่แล้ว

    Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 ปีที่แล้ว

    Anakiaprochi🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 ปีที่แล้ว

    Jamaani Hawa tunao wachagua wamevurugwa wachie nchi yetu hivi nivita vyadunia sisi nchiyetu tunaitaji amani hatutaki warabuuuu mpo warudi kwaooo mashemeji choka mbaya wakawekezee panya tutawarus

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +2

    Yani nyie mtawauza na wana nchi wenu

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 ปีที่แล้ว

    Hao niweziiiii

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +1

    Musiuze visiwa jaman mbona serikari hii yahovo jaman

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 ปีที่แล้ว +1

    Dah yaani bora DC ameshtukia wananchi walikuwa wanaenda kutapeliwa kisiwa😨😨😨

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 ปีที่แล้ว +1

    Eti eeeee eeee yaani was sijui nani ametuloga

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 ปีที่แล้ว

    Bado,sio bandaritu,sio loliondo tu,yatatokea mengi kisima cha bibi .

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp ปีที่แล้ว +1

    Yaan hii inchi. Mbona kunavijitu vinatamaa? Kimevimba vimba mashavu kumaww yaan muuze maliyainchi kwaajili ya shule. Eti wataaram. Acheniukumamae.

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 ปีที่แล้ว

    Ni u 🍻 yaani ubeer ukiingia kwenye u beer unalewa. Unakua mkataba🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️

  • @athanaschacha.9424
    @athanaschacha.9424 ปีที่แล้ว

    Haya mambo ya Mangungo wa Msovero ya kuuza ardhi kwa gharama ya shuka kuubwa, baadaye majuto. Ardhi ni ulisi wetu.nyie mnauza tu hivi hawa wasomi wetu wana nini? Hivi ni ujanja wa kubomoa tuu.

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 ปีที่แล้ว +1

    kila mtu anauza anachoweza

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 ปีที่แล้ว +1

    Kweri KABISA hatutakiiiii. WATU mmepatwa na ninii??? Mnauwanaa ovvoo nchini yetuuu

  • @MarygetrudeKyauke-hn8hi
    @MarygetrudeKyauke-hn8hi ปีที่แล้ว

    Mbona bandali mmeuza?

  • @hassangauday6272
    @hassangauday6272 ปีที่แล้ว +1

    Mbona sielewi bandari

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 ปีที่แล้ว +1

    Mirima yote tanzania ni mari ya jeshi ra wananchi nyambavu wewe wakikusikia jeshi kamata waripe era wariokura

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 ปีที่แล้ว

    Huyo Alie uza hicho kisiwa kwani hicho kilikwa Cha babake,au ameona hicho kisiwa hakina mwenye nacho,

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 ปีที่แล้ว +1

    Watu wa nje ndo watutawale kweli