Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka
Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana
Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana
Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.
Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god
DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.
Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!
Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu
Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu
Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii
Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya. Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!
Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu
Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.
hapa hakuna kucheka na mtu wanacheza na akili za watanzania kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho "mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"
Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍
Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.
Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo
Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?
Haya mambo ya Mangungo wa Msovero ya kuuza ardhi kwa gharama ya shuka kuubwa, baadaye majuto. Ardhi ni ulisi wetu.nyie mnauza tu hivi hawa wasomi wetu wana nini? Hivi ni ujanja wa kubomoa tuu.
Safi sana mhe DC umezungumza kiuongozi Mungu akutunze sana
Amen
Asante mkuu wa wilaya kwa kazi nzuri, tuna watu nchi hii Wana mawazo mbaya kwa kutaka pesa ya haraka hawajiulizi nini kitatokea apo badae, watanzania kueni makini tutawekwa mateka bila kujua mfano kuna dada mmoja amekimbia kutoka Africa kusini dada uyo ni muuaji mkubwa na anacho kifanya ukukutana naetakuomba urafiki, na kwa sasa amewasiri daa asriyake ni msukuma na mrundi. Kuweni makini msipende vitu vya haraka
Kabisa
Mungu akubariki baba yangu,
Amen
DC wakwanza kuongea vzuri mpk mwisho bila kutaja SAMIA SAMIA SAMIAA DR SAMIAAA. BIG UP MURAAAAAA CHACHAAA
acha ukabila weweee, basi baki kwenu huko huko mbwinde usiende maeneo mengine ya Tanzania kama utapata maendeleo?!
Oohooo ushamharibia Sasa agundulike hajaimba zile nyimbo😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Asante mkuu uko vizuri sana
Hongera Mh DC naomba iwe fundisho na maenneo mengine ya Nchi yetu Kuna Viongozi wa vijiji wanalichukua swala hili la kuuza maenneo Kwa urahisi Kwa kisngizio wananchi wameamua kumbe wao Viongozi wamelambishwa asali ni hatari sana
Sahihi
Wakuu, kuweni makini. Uwelewa wa wengi wa viongozi wa chini siyo kabisa
@@adelinelyaruu3036 sawa kabisa
Kweli nchi hii imefika pabaya sana mpaka viongozi wa kijiji wanajadiliana kuuza eneo la kisiwa
Noma sana
Peleka ndani hao, hawana uchungu na rasilimali zetu.
Tatizo viongozi wa Tz wanaheshimu sana ngozi nyeupe. Wanatuuza bana
Noma sana
Inchi hii kuna watu wa ajabu sijapata kuona.
Serikali inatakiwa kupima inchi nzima sehemu zote zijulikane sio wana inchi .
Huo ni wehu, m 25 , hii dunia aisee, mtendaji unamapungufu sana
😂🤣😂🤣Yaani nimecheka Sana maana hii nchi tunahitaji msaada wa Mungu
This is unprecedented 😅😅😅
Mnauza lasilimali kwa milioni25 mabwege sana wanatuuza kisasa
Kweli jivi. Linafuata mnyaji na nyinyi wananzengo mnaanza kuuza alidh wasukumwe ndani hao
Hahahaaaa kwamba sukuma ndani
Ni kitu cha ajabu sana mm nimefika mpka kwenye hiyo shule inayojengwa nimesikia hata maono ya watu kuna tatizo kubwa,hilo eneo na hicho kisiwa nakijua miaka mingi ,acheni kufanya kazi kwa masilahi yenu uongo ni mwingi sana
Waongo ni akina nani?
Kitu kimoja Mwalimu Nyerere alitupunja ni elimu yetu. Hapa kwenye Mima pengine kuna madini. Pengine kuna mafuta. Milioni 25 sio bei hata ya mawe. Serikali Ina uwezo wa kuwajengea shule. MBUNGE yuko wapi? Asante DC. W anatakiwa wanapenda Kama wewe kuilinda Tanzania.
Sahihi
Anhaaaa! sasa nimegundua mnauza kidogokidogo mwisho inchi tushituke imeisha ngoja namimi nitafute mteja nauza mwanza yote nawatuwake alafu nahamia malawi
Hahaha hujatulia wewe😅😅
Inakuwaje kila kitu kiuzwe ?
Hawa viongozi wetu hapa Tanzania . Hawana tofauti na wale wageni wa zamani kuuza watu wapelekwe utumwani kwa kupewa sukari na shanga. Sasa hawa wanatuuza kisasa oh my god
Aisee
DC elekeza Jambo liende vizuri tu, hapo Hakuna tatizo kabisa uoga ulionao nakuomba paza sauti hizo kwenye mkataba wa DP world. Wala sio wazawa lakini wanapigiwa chapuo waingie mikataba ambayo hata haionyeshi wananchi tutapata nini na Kwa wakati gani. Ushauri wangu waelekezwe wanakigongo kulekebusha mkataba uwe wa manufaa na sio kumtupilia mbali aliejitoa mpaka kapauwa madarasa.
Hahaha DP tena
Mbona huyu mkiti mnaendelea kumsikiliza upuuuzi wa anachosema mchakato hebu mpeni fundisho kali aishie hapo hapo na ujanja janja wao walivyozoea! Kweli sasa hii inch !!!!
Wataalamu Tanzania! Pumbavu hapa yapo majizi tu Wataalamu wako urusi kwa putin, huku zipo mbweha tu majizi matupu
Hahaha
Af sana DC.una mawazo ya kizalendoo
Bei Ya.kuuza.kisiwa cha utalii sikwea.moja Tsh 3000!
elimu inatakiwaa
😭😭😭😭😭
Huyo diwani hafai atumbuliwetu
Tena afukuzwe hata nchi akaone thamani ya ardhi
Hii nchi ina majitu ya hovyo jamani, hivi naota au kweli haya ninayoyatizama! Yaani ccm imeharibu nchi hivi! Kila mtu wanajifanyia atakavyo, huku Bandari, kule wanyama wanauzwa, mara ukifika loliondo simu inaonyesha uko dubai! Mara visiwa kuuzwa, pumbavu
Simu inaonyesha Dubai tena
Yahani watanzani vijijini wamekupa wapumbavu je?je ma baby zetu wangeuza msingekua hata sehemu ya kuishi pili je mifugo yenu itaishi wapi na kula kwa uchoyo wa million 25 ujinga mtia ahibu
@@queenpiscator6117 hatari sana
Hahaha hapo kwny simu kuonyesha uko Dubai😅😅
@@salomewandya7257 noma
Pumbavu. Zenu ...mmeanza kuuza hdi visiwa
Aibuu
Mchanganyiko wa Vyama unasaidia sana lakini kuiachia CCM ni hasara. Hivi wanaupeo kweli hawa watu?
Ccm hii noma
CCM tena
Mungu akubaliki mngekuwa hivyo hadi kwenye bandali ningesema ewala yarabi ningewaombea heri.
Nchi hii inawapunguani wengi sana. Deal kila kona
Jamani wananchi tuwatafakari sana Hawa viongozi kama maeneo yangu ya chekereni bonite wizi umezidi wanatumia masta kii lakini sii balozi Wala mwemyekiti Wala kitongoji Wala mtendaji WA Kijiji wore Hawa a habari Sasa msaada wetu uko wapi jamaniii natamani Julia uwiiiii
Haya ndiyo yanayo zungumzwa ya bandari bado tayari mwanza mmeanza acheni hayo
Hahaha
Du
Watu kama hawa Sio wazalendo wanaweza kuuza Ata ikulu ya rais kuwafunga jela wakajifunze Uzalendo
Hahaaaa
Mwizi siku zote huwa akubali, mzee nyosha maneno,hao watu walikuwa wanakupa pesa kufanikisha hayo madeal
Nani?
Kweli wazalendo mpo andi raha nikweli hamna kuuza chochote kisiwa 🏝️ na mlima 🗻 nimali ya Tz🇹🇿
Hahaha bado wapo
Ovyoo kabisa!
Naayo yote nikwa sababu ya taswila ya uongozi wa ngazi za juu, kuna shida kwa watanzania kwa sasa MUNGU, wa mbinguni atusaidie uo ndyo ukweri
Amen
Ila watu ni wapumbavu mtakufa mtaviacha yani TNA tumekwisha mara bandali mala visiwa tunaomba Magufuli Afufuke
Mambo ni mengi, muda ni mchache
Watu wachache wanaangalia matumbo yao
@@faustinmarko2278 noma sana
Muwe ninaangalia mbali sio kuingia mikataba ya uchwara kisa umasikini ukiuza kisiwa au mlima ukamaliza shida zimeisha zitakuja nyingine itauza nini?
Kabisa
Mwenyekiti,Mtendaji wote wanastahili adhabu ikiwemo kufukuzwa,ni tamaa na ujinga mkubwa viongozi mliopewa dhamana kujiamulia vitu bila kufuata sheria kwa kigezo kwamba wananchi wameridhia wakati mmewadanganya.
Ujinga ni kwamba pesa ya kujenga shule ni nyie viongozi mnapaswa kuwasiliana na Tamisemi wagharimie,na pia mna Mbunge-DAS-DC-RC hao wote wapo kwa ajiri ya kushughulikia hizo issues!
Sure
Yaan munauza visiwa vya inchi. ila mnavitamaasan. Hakunavyakuwafanyia hatuuzi.
Nyie mnaongea juu ya kisiwa wakati ziwa zima wameshachukua dp world mmelala kweli
😅😅😅😅
Iyosekindali ataikiisha kazbule Kwan watu wanasoma nahawana kaz maana kazi wanapeana wenyewe nakoozao
Yaani mnauza ardhi kama njugu? Sasa vizazi vyetu wataishi wapi? Acheni tamaa. Ardhi haiuziki rudisheni hela.
Hiyo ndotanzania yasasa
Jamani mbona nchi inakwenda kiajabu sjabu kila mtu anauza nchi
Kuweni makini viongozi jaman
Ukweli sisi tu wazawa wa hicho kijij tumesoma hapo tunayajua mazingira yyte nimefika hapo nimefanya nimeona na kusikia vitu vya ajabu ninaishauri serikali nendeni kijijini hapo chunguzeni vizuri pesa inapigwa tu
Mpaka wananchi wanauza kisiwa ili wajenge shule! Hatari sana Mkurugenzi hakujua mateso ya wanafunzi kutembea kilometer 320 kwa mwezi na kea mwaka ni km 3840 umbali wa Dar Mwanza naenda rudi.
Hatari sana
Kwahiyo hiyo njaa au tz viongozi hawajielewi
Mama ndo aliewafundisha vifaranga kunya kwenye sahan.
Ushahidi?
hapa hakuna kucheka na mtu
wanacheza na akili za watanzania
kuna baathi ya mambo siyo ya kufumbia macho
"mambo haya yanaanza taratiiibu mwisho wake mbaya sanaaa"
Kabisa
Wasukuma mkije hata hamuwezi fikilia kitu kama hicho, watani wangu nyie jajarukeni mtaibiwa sana
Hao viongozi ni makabila mbalimbali
Sasa wa africa 🌍 tunaenda wapi,mbona munaiuza africa wajuuku zako wataenda kuishi wapi,walo nunuwa wakija na familia zawo kuja kuishi hapo na walinunuwa kweli,mbona hamjali kwanini,yani marakumi afazali waafrica wale wa zamani na hawakuwa wamesoma munazidi bwanaa hivyo ndo kuijenga Africa 🌍
Afrika tuwe makini na uwekezaji
Nimegundua kitu katika nchi yetu,tusipo angaria tutakutwa tumeuzwa,na hili Ni tatizo lakutokuwa na hati za aridhi.
Kuuzwa tena
Kama Bandari
@@abdallahnkrumah6237 duh bandari tena
nchi yangu hyo
Mbona mnamuuliza suala Ile Ile,
Mnamchanganya bhana
Mkuu wawilaya nimefurahi sana mawazo yako
Kwann mnatamaa yapesa kumanyie? Kwann mnauza mali yataifa? munashindwa kukataa kua hatuuz ziwa?
Maeno ya wapi hapo
Hii nchi tunaelekea cjui tu ni Mungu aingilie kati ila kwa uongozi uliopo sasa mmmh cjui.
Mbona unakata tamaa mapema mdau?
Huyu mwenyekiti mwizi, waliomtangulia wangefanya kama yeye, kwenye kijiji mali zote zingekuwa zimeuzwa.
Baba chukua ichii maana sasa Tanzania inakela viongoz rushwa nyingi
Namnukuu trampu alsema bara la afrika linahtaj viongoz wote kutenguliwa nakuanza na uongoz mpya sio huu hakna kiongoz afrika nzma
Kisiwa kinauzwaga ml 30 siujinga huo basi kila mtu angenunua angekaa kisiwani
Kwani hizi tonzo zinafsnyanini jamani!
Sasa maongezi yanini tiandani waujumu uchumi yambavu mwekezaji ndio nani sukumandani yani sukuma ndani
Siku hizi hakuna sukuma ndani
Hisia zangu nafikiri angekuwa mwarabu maelekezo yangekuwa tofauti. Tuwaunge mkono wazawa wanaojitoa kuwekeza katika nchi Yao. Kama kuna kasoro wataalamu waingilie Kati kurekebisha na sio kumfurusha mzawa mwenye idea ya zoo. Naomba asikayishwe tamaa ila arekebishwe aendane na taratibu na Sheria za nchi.
Maoni mazuri
Ahsate mweshimiwa hili nililisemea mapema sana hakuna mikataba ya selikali bila mwanashelia
Blaa blaa blaaa
Nani?
Wenyeviti madiwani Na watendaji wawe Na elimu ya juu advance nk hawa watu wanaharibu sana mipango ya serikari ndio maana migogoro mingi husababishwa Na hawo. Serikari iliangalie hilo
Wapewe semina kila kiongozi anapopata uongozi!! Kwnai wanazungukana. Alafu uwajibishwaji ni mdogo kwa kweli
Madarasa 3 yapauliwe kwa ml 25 mbona vichekesho 😅
Teteeni nchi yetu jaman
Huwo no wizi ulizeni Kwa serikali Kwanza kwani nchi ikiachiea hivyo so itakuwa kama Kenya eananchi hawana sridhi baalli no kwawenye Pesa tu
Mkuu maneno ya huyo mheshimiwa hitaji maandishi Kwa hayo asemayo maana naona kama mengine utunzi
Duu tutafika.tumechoka kiukweli🎉😅
Hadi huluma maskini hivi ni vichwa au maboga? Kweli hamna kitu hapo
Sasa Serikali inafanya nini kwann wasijenge hiyo shule,na kuna hela uwa zinapangwa kwny bajeti
Kama wakina Samia wanauza bandari zote sioni ubaya wananchi nao wakichukua chao mapema..tena afadhali wao wamemuuzia Mtz Samia kawauzia wageni..wewe mkuu wa wilaya ni nani km wana kijiji wenyewe wameamua!?
Anakiaprochi🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Jamaani Hawa tunao wachagua wamevurugwa wachie nchi yetu hivi nivita vyadunia sisi nchiyetu tunaitaji amani hatutaki warabuuuu mpo warudi kwaooo mashemeji choka mbaya wakawekezee panya tutawarus
Yani nyie mtawauza na wana nchi wenu
Hao niweziiiii
Musiuze visiwa jaman mbona serikari hii yahovo jaman
Dah yaani bora DC ameshtukia wananchi walikuwa wanaenda kutapeliwa kisiwa😨😨😨
Eti eeeee eeee yaani was sijui nani ametuloga
Bado,sio bandaritu,sio loliondo tu,yatatokea mengi kisima cha bibi .
Yaan hii inchi. Mbona kunavijitu vinatamaa? Kimevimba vimba mashavu kumaww yaan muuze maliyainchi kwaajili ya shule. Eti wataaram. Acheniukumamae.
Ni u 🍻 yaani ubeer ukiingia kwenye u beer unalewa. Unakua mkataba🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Haya mambo ya Mangungo wa Msovero ya kuuza ardhi kwa gharama ya shuka kuubwa, baadaye majuto. Ardhi ni ulisi wetu.nyie mnauza tu hivi hawa wasomi wetu wana nini? Hivi ni ujanja wa kubomoa tuu.
kila mtu anauza anachoweza
Kweri KABISA hatutakiiiii. WATU mmepatwa na ninii??? Mnauwanaa ovvoo nchini yetuuu
Tuombeane amani
Mbona bandali mmeuza?
Mbona sielewi bandari
Mirima yote tanzania ni mari ya jeshi ra wananchi nyambavu wewe wakikusikia jeshi kamata waripe era wariokura
Huyo Alie uza hicho kisiwa kwani hicho kilikwa Cha babake,au ameona hicho kisiwa hakina mwenye nacho,
Watu wa nje ndo watutawale kweli