TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024
  • Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.

ความคิดเห็น • 43

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q หลายเดือนก่อน

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana ndg zetu .

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awalinde wapendwa

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le 5 หลายเดือนก่อน

    Polen sana

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 5 หลายเดือนก่อน +2

    MUNGU wangu...

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg 5 หลายเดือนก่อน

    Dah niatari sana

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari sanaa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanza sehemu gani?

  • @marymgimwa
    @marymgimwa 5 หลายเดือนก่อน

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 5 หลายเดือนก่อน +1

      "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @user-td8td3om5r
    @user-td8td3om5r 5 หลายเดือนก่อน

    Hatari sana

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Duh ni hatari xna

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn6885 5 หลายเดือนก่อน

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @00P288
    @00P288 5 หลายเดือนก่อน

    Huwaoni na Misafara yao ya magari mengi na majibu yakuhamia Burundi vipindi hivi. Kazi ni kuzingatia wapinzani wanafanya nini.

  • @pendopeter9075
    @pendopeter9075 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara3333 5 หลายเดือนก่อน +1

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @barakaaman2668
    @barakaaman2668 5 หลายเดือนก่อน

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 5 หลายเดือนก่อน

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @csato9415
    @csato9415 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi 5 หลายเดือนก่อน

    Cjc

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 5 หลายเดือนก่อน

    Uokowaji wako wapi?

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 5 หลายเดือนก่อน

    Yote tumwachie mungu

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 5 หลายเดือนก่อน

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

    • @josephkulija293
      @josephkulija293 5 หลายเดือนก่อน

      Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 5 หลายเดือนก่อน

      Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 5 หลายเดือนก่อน

      Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 5 หลายเดือนก่อน

      Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 5 หลายเดือนก่อน

      Two wrongs does not make it a right

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 5 หลายเดือนก่อน

    Hii hatar

  • @user-mw3jb3gb8j
    @user-mw3jb3gb8j 5 หลายเดือนก่อน

    Mwanza sehem gani

    • @dee4144
      @dee4144 5 หลายเดือนก่อน

      Daraja la Masai

  • @dee4144
    @dee4144 5 หลายเดือนก่อน

    Daraja la masai

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 5 หลายเดือนก่อน +1

      We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid 5 หลายเดือนก่อน

      Angalia ujumbe acha ushamba

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah3210 5 หลายเดือนก่อน

    Hii hatar