RAIS SAMIA ASHINDWA KUVUMILIA ANYANYUKA KWENYE KITI KUCHEZA WIMBO WA MAMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 157

  • @FourahaMoilimAbdouFouraha
    @FourahaMoilimAbdouFouraha หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤Mama tunakupena unapendeza MashaAllah ubarikiwe InshaAllah

  • @jacintamakokha1522
    @jacintamakokha1522 9 หลายเดือนก่อน +4

    Wow, this is truly a beautifully meaningful celebratory song !! Mama Samia, H.E the President of Tanzania, we do honour you truly. God bless you.

  • @MohammedHussein-l8p
    @MohammedHussein-l8p 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu Mpe afya njema rais wetu Mungu ibarikia Tanzania yatu

  • @paiwanjara3502
    @paiwanjara3502 ปีที่แล้ว +7

    Mke wa uncle Magu Mungu azidi kumbariki sana

  • @SnaniAli-u5k
    @SnaniAli-u5k ปีที่แล้ว +4

    Mashllah sio siri yule anaeshuhukika na mavazi kwa Rais samia vazi hili kusema kweli mama limemtoa kwelikweli kapenda sn mashllah

  • @fatimataidrissa-bangura202
    @fatimataidrissa-bangura202 หลายเดือนก่อน

    Shkamoo Mama. Ingawaje ni ya zamani hìi sherehe lakini nimeipenda. Nzuri Maashallahu. Kiĺa jema Allah akuteremshie. Asante sana kwa kunijali

  • @florarog548
    @florarog548 ปีที่แล้ว +10

    Mungu akutunze mama

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu ambariki mama yangu na mama nyerere, mama magufuri, mama mkapa, mama sokoine mama warioba, mama membe na wengine wote.

  • @JamilaFurahisha-n6i
    @JamilaFurahisha-n6i ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana cristian bellah kwa wimbo mzuri sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +8

    Naona Kikosi Kizito cha Wamama , Kwa hakika mnaweza tena Saaana , na Mungu awabarik Saaana, Tanzania kwanza Mengine baadae

  • @ZuhuraAthuman-u2i
    @ZuhuraAthuman-u2i หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mama yetu Samia mungu azidi kukubariki na afya njema

  • @rockzenamtui6296
    @rockzenamtui6296 ปีที่แล้ว +14

    Hongera sama mama samia kwa kweli umeweza hata hayati Magufuli alijua hii miradi itasimama ila Mungu anakupigania unamalizia miradi

    • @allykingu4348
      @allykingu4348 9 หลายเดือนก่อน

      Farid. A. Majid

  • @muna1165
    @muna1165 ปีที่แล้ว +3

    Yaani katika wa mama wote apo mama SALMA KIKWETE AMEPENDEZA SANA❤

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg ปีที่แล้ว

    Much love for All these Mothers ....surely mothers are the pillars of every Nation . much love from Kenya

  • @msungimashauri
    @msungimashauri 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wow I Love you Mama ❤#NasimamanaMama

  • @joyceabeli3787
    @joyceabeli3787 ปีที่แล้ว +10

    Piga kaz mama kusemwa kawaida mh hayati alifanya kazi usiku na mchan lakin wananchi hawakumshukuru sembuse wewe piga kazi kusemwa kupo mama nawapenda wamama wote

    • @mariamponera6386
      @mariamponera6386 ปีที่แล้ว

      sana na wema wa mtu unaonekana ukiwa haupo machoni mwao

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 ปีที่แล้ว +8

    ❤love mama

  • @bashirumandwanga130
    @bashirumandwanga130 ปีที่แล้ว +1

    Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying
    Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian
    Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake
    Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia
    Mungu wetu sote

  • @ThomasMcha-jk5yt
    @ThomasMcha-jk5yt ปีที่แล้ว +4

    Salute My Mamaaa!!

  • @aminamavura6834
    @aminamavura6834 ปีที่แล้ว +5

    Mama yangu ndo kila kitu uu uwuuuuuiii

  • @Bibishosh
    @Bibishosh 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama❤😂
    Umewapa Mama's kujiamini
    Shukrani saana ❤😂

  • @kalumunankarage9432
    @kalumunankarage9432 ปีที่แล้ว

    Rais Samia anachapa kazi siyo mchezo. Achana na hao wanaojikweza kwake lakini bahati nzuri anawajua.

  • @edithajonh2970
    @edithajonh2970 ปีที่แล้ว +2

    Kwa sifa hizo wanawaume tutaanza kuolewa Sasa Kama wanawake wanashika nchi na kuwa na pesa kuliko sisi inakuaje et

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 10 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli nakuombea hekima,busara na maarifa tuvuke salama,nani kama Mama🙏

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 6 หลายเดือนก่อน

    Ati mungu ambariki rais samia!!!!!!!!!! Baraka gani tena zaidi ya hio alioipata.? Chakushangaza wanaomuombea ni wlalahoi tu. Ati analipenda taifa hahahaaaa!!!!!!!!!!!! Mama kashikilia fedha atasifiwa na watu kuliko mungu!!!!!!!!

  • @hajjimanyikahp979
    @hajjimanyikahp979 ปีที่แล้ว +1

    ❤mama

  • @francenguruchuma9029
    @francenguruchuma9029 ปีที่แล้ว +4

    Hivi aliyomuwekeaga sumu ommy dimpoz anajisikiaje aisee🔥🔥🔥

    • @janewashe7276
      @janewashe7276 ปีที่แล้ว

      😂😂😂Aki ya nani anaumwa sana sana

    • @Mery-st4nu
      @Mery-st4nu ปีที่แล้ว +1

      Anajutia na adhabu ikimngoja siku ya qiama chake

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu ปีที่แล้ว

      😂😂😂 atakua ashakufa

  • @christinamsoka
    @christinamsoka ปีที่แล้ว +1

    Namwangalia Rais wetu na mama MAGUFULI tu.macho yanaganda kwao tuu nawaza mengi.

    • @kwangahudispensary7238
      @kwangahudispensary7238 11 หลายเดือนก่อน

      Yawaze yaliyo positive..dhana mbele ya Mungu ni dhambi

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 10 หลายเดือนก่อน

    Mama ww hoyeee; kazi iendelee.

  • @SamsonyFransisco-gf2yd
    @SamsonyFransisco-gf2yd ปีที่แล้ว +2

    Nawaza Sana siku mungu akisema atuache Tujipambanie Hapo ndipo Tutajua kuwa alieturoga Ni Nan?

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿nime waona wakina mama shupavu wa Tanzania wote hongereni sana

  • @ConfusedMonarchButterfly-bp5dx
    @ConfusedMonarchButterfly-bp5dx 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu hakubalik

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 ปีที่แล้ว +1

    nimewaona wakina mama makomandoo wote ndani ya dance 👏💪🇹🇿🇦🇪

  • @zainazaina9301
    @zainazaina9301 ปีที่แล้ว +4

    Ninyamaze miee sina uwezo wa kuweka wakili

  • @emmanueljoseph1496
    @emmanueljoseph1496 ปีที่แล้ว

    Hongera mama Samia kwakuleta suluhu

  • @PaulNyerembe-pj8fm
    @PaulNyerembe-pj8fm 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 หลายเดือนก่อน

    Royal Tour hoyee tunaomba mama SGR mlima Kilimanjaro ni hazina ya milele

  • @sss3s867
    @sss3s867 10 หลายเดือนก่อน

    MNAJARIBU KUSEMA NCHI ILIKUWQ IMEFUNGWA NA HAYATI MAGUFULI NA FUNGUO ALIKUWA NAZO MAMA 😮😮😮😮

  • @jumannemwebeya-xv2ji
    @jumannemwebeya-xv2ji ปีที่แล้ว

    Akitoka mungu nafkiri Tz inafuata kamasikosei, mama umeupga mwingi congratulation mungu akubarki

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 11 หลายเดือนก่อน

    Ila Huyu mama anakuaga na Upendo wa kweli kwa watu toka moyoni

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 ปีที่แล้ว +4

    Hamna kitu apa maisha mnayo nyie tu sisi twajipambania wenyewe eti nan kama mama mi namtambua mama yangu mzazi tu labda na mamkwe tu ndo wa muhimu kwangu hawa

  • @emmanuelnyinyigwa8043
    @emmanuelnyinyigwa8043 ปีที่แล้ว +3

    Sawa mimi ngoja nijiandalie ikulu ya mbiguni huku dunian sina changu tena

  • @clementmwita2433
    @clementmwita2433 ปีที่แล้ว

    Atwa husna sitephano mama kwakweli wanawake tunakupenda sana ILA tunachagamoto yamaisha hasta Mimi ninamagumu sana tusaidie HATA mitaji munguatakuogezea nadaiwa madeni telehe 12 10 2023 nadaiwa natu 700000 anakujakunifilisi Dani sina hatahela nisaidie mama

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว +1

    My forever love christian Bella❤❤😊😘😘😘😘

    • @lovenesskawa8469
      @lovenesskawa8469 ปีที่แล้ว

      Hongera sana Mama Samia na wamama. Wote

  • @KhamisJuma-r6i
    @KhamisJuma-r6i 3 หลายเดือนก่อน

    Pengine labda walitaka avae kamahuyo alievaa yawardi nusu uchi kichwawazi ndoangekua anafaa tuache dhana namitazamo mibovu haifai kabisaa kidoogo angesema nywele njekidogo. Kumbukeni kua naonibinaadam hawakukamilika kasoro niwajibu

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe ปีที่แล้ว

    Hongeren Wamama

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 ปีที่แล้ว

    Hakuna kama Mama

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 ปีที่แล้ว +3

    Acha ninyamaze tuu, japo ninayo mengi yakuongea 🤔🤔

    • @AshuraHatibu-tp3hy
      @AshuraHatibu-tp3hy ปีที่แล้ว

      We ongea shauri yako

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 ปีที่แล้ว +1

      Ata ukiongea sidhani kama watakusikia mpendwa.. ni kupambana na hali zetu... Tu🚶

  • @googleus4903
    @googleus4903 ปีที่แล้ว +2

    Mama KIKWETE❤

  • @gracemurondoro3869
    @gracemurondoro3869 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @Richard_Range
    @Richard_Range ปีที่แล้ว +2

    Inapendeza sana kumuona mpaka Mama Nyerere na wamama wengine,❤️

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 ปีที่แล้ว

      HAKUJA PALEKWA FURAHA WEWE

    • @Richard_Range
      @Richard_Range ปีที่แล้ว

      @@errydeo8865 Angalia video kabla ya kukurupuka kuropoka ropoka!

  • @AbubakariSaidi-mp4nk
    @AbubakariSaidi-mp4nk 11 หลายเดือนก่อน

    maashallah

  • @SatlankaSatlanka
    @SatlankaSatlanka ปีที่แล้ว

    Imetisha

  • @alimau7939
    @alimau7939 ปีที่แล้ว +7

    Nyinyi chezeni huku munaliacha taifa linaingia kwenye janga kubwa la ushoga

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 ปีที่แล้ว

      😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว +2

      Rais wetu mwanamke,,wanaume tufirane wenyewe then lawama kwa mwanamama!! Hayo ni mambo ya maadili...wakubwa wa dini zetu mbili ni wanaume..tupambane

    • @alimau7939
      @alimau7939 ปีที่แล้ว

      Huyo ndio Amiir Jeshi mkuu kwa hiyo kila mtu ataulizwa kwa nafasi yake tusione leo tunapua tukajisahau lazima tuoneshe kivitendo kama hili jambo tunalikemea sio linaishia midomoni

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว +2

      @@alimau7939 tuimarishe na kusimamia mafundisho ya dini zetu..wanaotoa misaada ushoga ndo utamaduni wao... vinginevyo turudi dini zetu asili..matunguli,mizizi kama kawa..

    • @alimau7939
      @alimau7939 ปีที่แล้ว

      Sawa tunasimamia lkn Rais ni Raisi atakopelisimamia kikweli kweli yatapungua au kuondoka kabisa au kama tumerika kama madawa ya kulevya sawa ila ipo siku tutajua

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 ปีที่แล้ว

    Mimi simshangaai yoyote anae Sema kuwa hampendi samia kwan hata muumba mbingu na ardh basi kuna watu wahampend jee samia na pia huwez kupendwa wote yy mwenyewe anajuw hilo

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz ปีที่แล้ว

    Hii safi sana mtu wa nguvu👊

  • @VeronicaMalya
    @VeronicaMalya 9 หลายเดือนก่อน

    2:25

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 ปีที่แล้ว

    HONGERA MAMA SAMIA

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 ปีที่แล้ว

    Nimemuona Mzungu wa Yanga naye pia n Mama

  • @andrewjuma2485
    @andrewjuma2485 ปีที่แล้ว

    Mama hoye hoyeeeer

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤tupo

  • @johnman4619
    @johnman4619 ปีที่แล้ว

    Hakuna cha salma kupendeza hapo .kulikuwa mashindano yakuvaa au

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +34

    Ila samia usigombee tena acha nchi iongozwe na wanaume hela ulizo nazo utakula mpaka kufa ni nyingi ni ushauri tu lakini sio kwamba sikupendi ila hilo jukumu la wanaume

    • @holymakere
      @holymakere ปีที่แล้ว +6

      Mimi simpendi Kwa kweli Yaan tutaabka Sana watu wadogo nataman JPM arudi leo kesho huyu mama jau tupu angekuwa magu huo mgogoro wa kariakoo angekuwa ashamalza

    • @stellahsimon4460
      @stellahsimon4460 ปีที่แล้ว

      😲🤔🤐

    • @evampuya-mp9vf
      @evampuya-mp9vf ปีที่แล้ว +12

      Acha kumkosoa mungu ni chaguo la mungu mama yupo vzr mpaka raha

    • @mohamedhamismagoraonlinetv459
      @mohamedhamismagoraonlinetv459 ปีที่แล้ว +4

      Yeye pia hakupendi

    • @johnmwambasi2299
      @johnmwambasi2299 ปีที่แล้ว +1

      Aliyo yafanya yanatosha sana hata kama ayana msaaada wa moja kwa moja kwa upande wa uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 11 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @JosphineKahara
    @JosphineKahara 10 หลายเดือนก่อน

  • @masoudmasoud8698
    @masoudmasoud8698 ปีที่แล้ว +5

    Nimegundua wanaume tunakufa mapema sana 😢😢

    • @aronatv47
      @aronatv47 ปีที่แล้ว

      Haaaahaaaa..Ndio unajua Leo Pole

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 ปีที่แล้ว

      Muache kututesa na kutusumbua kipindi mkiwa na umri sio mkubwa sana

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy ปีที่แล้ว

      Chezea mattress lazima tuqahi kufa mizigonyote tunabeba sisi😂😂😂

  • @googleus4903
    @googleus4903 ปีที่แล้ว +1

    Vibe la PINDI CHANA❤️😍

  • @SabahHassan-z7d
    @SabahHassan-z7d 9 หลายเดือนก่อน

    Hàkuna kama mama..mfa mama kaumili.Hakuna mama wawili

  • @mirajijumbe6568
    @mirajijumbe6568 ปีที่แล้ว

    Siku zote wenye wivu na wengine hua na chuki jukumu letu nikumwombea Samia Hilo lakua haumpendi sio jukumu lako hiyo nafasi ungepewa hata wewe Leo ungefanya nn kaa kwa kutulia acha husda utakufa vibaya kijana

  • @athuman7480
    @athuman7480 11 หลายเดือนก่อน

    Kwambali nimemuona kalikonji wa yanga

  • @aminakyungu8414
    @aminakyungu8414 ปีที่แล้ว +2

    Wakina mama oyeeee

  • @shemahabonayo1287
    @shemahabonayo1287 11 หลายเดือนก่อน

    Anacheza nini.shezi anaye maliza wa tutsi congo. Malipo nihapa hapa

  • @ZainabAbdallah-p5k
    @ZainabAbdallah-p5k 9 หลายเดือนก่อน

    Wachawee huu wamuwache mama etu ainjoi

  • @g-father9352
    @g-father9352 ปีที่แล้ว

    Apewe hip hop moja sasa ,,.

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 ปีที่แล้ว +1

    Yani Duniya bwana

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 ปีที่แล้ว

    Miaka 10 teena kwa mh mama

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 ปีที่แล้ว

    Safi sanasana !

  • @RashidDady-cb7hg
    @RashidDady-cb7hg ปีที่แล้ว +1

    Kuna mtu hapo kila sehemu yupo

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su 9 หลายเดือนก่อน

    Mim nimenyamaza

  • @laurenciakamata
    @laurenciakamata ปีที่แล้ว

    Hakuna

  • @abdulmalikkidege2731
    @abdulmalikkidege2731 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥

  • @halidiomari1377
    @halidiomari1377 ปีที่แล้ว

    Nice ❤

  • @SaraaSaraa-i1j
    @SaraaSaraa-i1j 9 หลายเดือนก่อน

    Mmh

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 ปีที่แล้ว

    🇹🇿♥️👏

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 ปีที่แล้ว +1

    Pongezi kwa akina mama Wote

  • @wargall2
    @wargall2 ปีที่แล้ว +2

    mungu akutunze

  • @seniorrm
    @seniorrm ปีที่แล้ว

    Nimeona kama manara anashangaa tu hapo kuna mwamba anapiga miayo

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su 9 หลายเดือนก่อน

    Ka hamuogopi kuyatamkaa

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 ปีที่แล้ว

    Jk alisema akili za kuambiwa changanya na zako jpm akasema watanzania siyo wajinga

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Awo nawo wakikosa kz

  • @hurumadavid6210
    @hurumadavid6210 ปีที่แล้ว

    Na aji manara yupo

  • @margaretmwingira1339
    @margaretmwingira1339 ปีที่แล้ว

    😮

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 ปีที่แล้ว

    Vinzuri sana❤️🇹🇿

  • @johnman4619
    @johnman4619 ปีที่แล้ว +1

    Wamemua magufuli wetu kisa wivu .alafu munamuita muke wake mama janet .nye washawi mama mujane anahangaika kukosa usingizi

    • @aysharamadhani941
      @aysharamadhani941 ปีที่แล้ว

      Hongera mama kwa kuchapa kazi mwenyezi mungu akupe uvumilivu kwa wanadamu mama baadhi Yao hawana jema

  • @Michoarbah
    @Michoarbah ปีที่แล้ว

    Maaamaa

  • @saverarwezaura7785
    @saverarwezaura7785 ปีที่แล้ว +1

    ASANTE MAMA

    • @divainhaule
      @divainhaule ปีที่แล้ว

      Magu mumemuweka wp nyny chezen tu IRA mungu anawaona

  • @annemuna6521
    @annemuna6521 9 หลายเดือนก่อน

    Is that even a song🤔

  • @phinumediaTV
    @phinumediaTV ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/zaMVuSgHnIM/w-d-xo.html WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWA TEKELEZEA MIRADI MPANDA

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 9 หลายเดือนก่อน

    Haramu haramu haramu

  • @JOSYLINREVETA
    @JOSYLINREVETA 9 หลายเดือนก่อน