MAGUFULI ALIVYOMFUATA ZUCHU JUKWAANI KWENYE KAMPENI ZANZIBAR NA KUCHEZA NAYE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbc_online
    Facebook: / tbconetanzania

ความคิดเห็น • 92

  • @kacheali4777
    @kacheali4777 3 ปีที่แล้ว +21

    Mmh nalia kila nkikumbuka matendo yako mazur kwa watu wte ...kenya yetu sijui nani atakuiga lala salama Baba Mlez wawa nyonge

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 ปีที่แล้ว +13

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @faustermatiko6960
      @faustermatiko6960 3 ปีที่แล้ว

    • @mosesndyeki3368
      @mosesndyeki3368 10 หลายเดือนก่อน

      wellcome TANZANIA we lost big thing in our nation,and we dont know when we will get another leader like magufuri,R.I.P MAGUFURI.

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 3 ปีที่แล้ว +7

    Hakuna kama wewe babaangu!! Magufuli wangu mie jamani and 😭😭😭😭😭😭😭😭 umetuacha baba yetu jembe. Tunashukuru Mungu kwa yote

  • @worldwidemedia570
    @worldwidemedia570 4 ปีที่แล้ว +15

    Kama umeona zuchu alivyosukumwa na bodoguard gonga like

  • @olivagurtu7993
    @olivagurtu7993 3 ปีที่แล้ว +5

    Yan sitosahau matokeo ya uchaguzi tulicheza huu wimbo kwa furaha Leo haupo baba km ndoto😥😥

  • @lamecktv4269
    @lamecktv4269 3 ปีที่แล้ว +4

    Japo Mh:Magufuli hayupo lkn.... Stomsahau na wala stoacha kumsifia....Sjawah kuona Shujaa wa namna hii....Simba Dume....Jiwe kwel kwel....
    Moja ya sifa kubwa ya Kiongoz anaekusudia kufanya mabadiliko n kutoogopa KUFA....Magufuli alikuw haogopi Kufa.

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 ปีที่แล้ว +14

    Daima tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭

  • @freddykippa
    @freddykippa 3 ปีที่แล้ว +5

    Ila Huyu Baba😭😭

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 ปีที่แล้ว +5

    Daah machozi hayakauki kila nikiangalia videos zake😭😭😭😭😭😭

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 3 ปีที่แล้ว +1

      Vigumu sana , pole haya majonzi hayaishi. RIP JPM

  • @omariamiri5556
    @omariamiri5556 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah hv ni kwel.... Maisha ni mafupi sana haswaaa kwa vipenz vya watu.... Na wale wenye manufaa sehemu... R. I. P magufuli haupo lakn vp vinavyosababisha tuendelee kuishi na ww kiroho

  • @Wakio231
    @Wakio231 3 ปีที่แล้ว +7

    😭😭😭😭😭😭😭💔🇰🇪, daima tutakuenzi

  • @laetitiazawadi1047
    @laetitiazawadi1047 2 ปีที่แล้ว +2

    I love Tanzania

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 ปีที่แล้ว +1

    I'm TANZANIA NAUSIKILIZA HUO WIMBO MACHOZI 😭😭YANANITOKA MOYO HUO UNAUMA KUMBUKUMBU HAISAHAULIKI 🇹🇿KAZI YA MOLA HAINA MAKOSA NASI TUO NYUMA YAKO😭😭😭

  • @halimagoodgoodsimbahalimag2940
    @halimagoodgoodsimbahalimag2940 3 ปีที่แล้ว +5

    Pumzika kwa amani magufuli baba 😓😓🙏

  • @carolineundisa8509
    @carolineundisa8509 3 ปีที่แล้ว +6

    Continue resting in peace magufuli

  • @zanpalmboutiquehotel2681
    @zanpalmboutiquehotel2681 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwenye kampeni zake JPM iligeuka kuwa sikuku kubwa san RIP

  • @rashidfatma2137
    @rashidfatma2137 3 หลายเดือนก่อน

    Amma Kweli Zuhura Hodari, Mgu akulinde, Masha'Allah❤👍

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles9014 3 ปีที่แล้ว +2

    Acha tu ibaki story 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @winniekephas5459
    @winniekephas5459 3 ปีที่แล้ว +3

    Udongo unameza,wazuri tu 😭😭😭😭😭

  • @Dotto-hp3qf
    @Dotto-hp3qf 9 หลายเดือนก่อน

    Ukisikia baba wa TAIFA..basi zingatia baba wa TAIFA ni nani na na ni kwa kazi zao za kizalendo KATIKATI nchi yetu.

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 ปีที่แล้ว

    Apo kipindi hicho Dr bashiru sijui alikua ana jikuta Nani vile 🤔😄😄

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria 3 ปีที่แล้ว +5

    Kifo hakina huruma 😭😭😭😭

  • @carolinaadolf6955
    @carolinaadolf6955 3 ปีที่แล้ว +4

    Nalia mm jmn magufuli 😭😭😭

  • @hamedaabdultaleb5341
    @hamedaabdultaleb5341 3 ปีที่แล้ว +1

    Imebaki storry wallah hakuna km maguful rest in peace

  • @SaraphinaKakweche
    @SaraphinaKakweche 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu alitupa ww kama zawad lakin ulizima gafla kama mshumaa😭pumzka baba

  • @idrissamohamed1100
    @idrissamohamed1100 8 หลายเดือนก่อน

    Kila kitu na muda wake tumshukuru Mungu

  • @TunuMbega-g2y
    @TunuMbega-g2y 11 หลายเดือนก่อน

    Tunaoangalia 2023 tujuane

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 6 หลายเดือนก่อน

    Ila jamani Tanzania hatuwezi kusahau hili pigo

  • @mariamsilla484
    @mariamsilla484 2 ปีที่แล้ว

    Imetisha mungu akupe nguvu

  • @khanbaba8125
    @khanbaba8125 3 ปีที่แล้ว +3

    Nguzo imara imelala 😢🙏

  • @angelmacha8278
    @angelmacha8278 3 ปีที่แล้ว +1

    Sio kweli kama kweli umeondoka baba

  • @georgebenard3923
    @georgebenard3923 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunakukumbuka baba yetu,

  • @missstellah6981
    @missstellah6981 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭😭we miss him 🥺

  • @benedictolubengo4324
    @benedictolubengo4324 2 ปีที่แล้ว

    Rest in peace😭😭Magufuli

  • @hugorkamanga527
    @hugorkamanga527 3 ปีที่แล้ว +1

    Paix son âme président magufur

  • @jonathanselei2371
    @jonathanselei2371 3 ปีที่แล้ว +2

    Utakumbwukwa milele Magufuli

  • @josephatjoshua167
    @josephatjoshua167 3 ปีที่แล้ว +3

    RIP MWAMBA

  • @alfredmbiti439
    @alfredmbiti439 2 ปีที่แล้ว +5

    As a Christian i believe in resurrection ,Lord Jesus just as you did during those days just do it again for our late and beloved President Magu we need him back

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 8 หลายเดือนก่อน

      Ok.wait ur load Jesus to bring him back crazy who told u or where have u seen .in.holy books dat ur load Jesus wil.bring the dead ones again????

  • @isayamlimbila1522
    @isayamlimbila1522 2 ปีที่แล้ว

    Cc

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 11 หลายเดือนก่อน

    Inshallah

  • @juniormgema2524
    @juniormgema2524 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mungu ana makusudi yake kwakwelii

  • @UmmyKassmu
    @UmmyKassmu 8 หลายเดือนก่อน

    💔❤️😢😟😟

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 3 ปีที่แล้ว +2

    Mhhh Mungu wewe ni mzuri

  • @Jay47tz
    @Jay47tz 3 ปีที่แล้ว +2

    tutampata wp tena rais kama huyu

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว +2

      Alikuwa mcheshi anakaa nakila mtu da yani wakati mwingine bado siamini 😭😭😭

  • @kingferguson2665
    @kingferguson2665 4 ปีที่แล้ว +3

    Mai zumo

  • @ferdinandmaisiba2899
    @ferdinandmaisiba2899 3 ปีที่แล้ว +1

    But why did it have to happen....dead😭😭

  • @georgebenard3923
    @georgebenard3923 2 ปีที่แล้ว

    Ulionyesha njia iliosahihi na sisi tutafata nyayo zako

  • @kennychristian6882
    @kennychristian6882 3 ปีที่แล้ว +1

    Dady nimemiss

  • @jacklineanthony7545
    @jacklineanthony7545 หลายเดือนก่อน

    😭😭💔

  • @jamilakelota6588
    @jamilakelota6588 2 ปีที่แล้ว

    Am so sad upumzike kwa amani baba yetu Magufuri

  • @esthergilbert407
    @esthergilbert407 2 ปีที่แล้ว

    Nakumisi babayngu mungu akuhifadhiiii

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 3 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kama mangu sijaona bado

  • @naimamohammed3243
    @naimamohammed3243 2 ปีที่แล้ว

    Allah amuhifadhi ndani ya jannatul firdhaus yaa rabb

  • @hellenholela5541
    @hellenholela5541 3 ปีที่แล้ว

    Jamani ndyo maisha ya mwanadam yalivyo mhhh

  • @etsnamazi3503
    @etsnamazi3503 3 ปีที่แล้ว

    RIP Mzee

  • @nas197
    @nas197 ปีที่แล้ว

    Who was the lady singing apart from Zuchu! Whoever she was ,she so talented and I guess she wrote the song for Zuchu

  • @thuwaybamachea396
    @thuwaybamachea396 2 ปีที่แล้ว

    Hatuto msahau maisha

  • @beatricemgalla7175
    @beatricemgalla7175 3 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭

  • @trytizankhoma2871
    @trytizankhoma2871 2 ปีที่แล้ว

    Visionary president..rest in peace

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor6315 3 ปีที่แล้ว +2

    Pumzma kwaamani baba😰😰

  • @braysonmrema2990
    @braysonmrema2990 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen mama

  • @razackkambi8318
    @razackkambi8318 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭🇹🇿

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 3 ปีที่แล้ว +2

    tutakukumbuka mileleeeee tunatamn ungekuepo hd leo😭😭😭

  • @praxidesnamukuru2314
    @praxidesnamukuru2314 3 ปีที่แล้ว +2

    😭😭😭

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 ปีที่แล้ว

      Mungu amrehemu kwa mema aliyo yafanya alikuwa mchangamfu sana.

  • @sakinafredy3653
    @sakinafredy3653 2 ปีที่แล้ว

    Legend JPM...😢🙌

  • @smolletmwakamele4275
    @smolletmwakamele4275 3 ปีที่แล้ว

    Ila siziani kamainawe tikookea tetaaaaa kwamweee

  • @visualmedia4183
    @visualmedia4183 4 ปีที่แล้ว +1

    Hhhshahahaaaaaa

  • @eliasluhinda9621
    @eliasluhinda9621 3 ปีที่แล้ว

    Kaz nzul xana big ap zuchu

  • @atanasmkondya5952
    @atanasmkondya5952 3 ปีที่แล้ว

    Dhaaa

  • @juliusmushi6428
    @juliusmushi6428 4 ปีที่แล้ว +3

    Nimempenda jamaa aliyemsukuma zuchu wakati Rais anaondoka yaani ni very professional sanaa wachache tunaojua hii tactics

    • @paulmaziku240
      @paulmaziku240 3 ปีที่แล้ว

      Ni kama jamaa anawahi kutekeleza majukumu yake...
      Kutetea kibarua chake kisiote nyasi

    • @elizabethemmanuels5898
      @elizabethemmanuels5898 3 ปีที่แล้ว

      🙄🤣🤣🤣🤣

  • @zilpahcharlotte3856
    @zilpahcharlotte3856 3 ปีที่แล้ว

    I really miss you Magufuli

  • @pascalmutentu1809
    @pascalmutentu1809 3 ปีที่แล้ว

    Ok

  • @esausilwamba6925
    @esausilwamba6925 2 ปีที่แล้ว

    He was a president for people, rest in peace

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 ปีที่แล้ว +1

    💃💃💃💃💔💔😭💛💛💛🙏

  • @nicksonjackson6186
    @nicksonjackson6186 2 ปีที่แล้ว

    Hakika tutakukumbuka kwa mema tu

  • @zakiarashed144
    @zakiarashed144 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @magrethmussa7655
    @magrethmussa7655 2 ปีที่แล้ว

    Udongo umemeza viongozi walioweza

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 3 ปีที่แล้ว

    R i p

  • @cordulaignas3568
    @cordulaignas3568 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭

  • @georgebenard3923
    @georgebenard3923 2 ปีที่แล้ว

    Waliobaki sasaivi ni kina lema kazi yaokuu kusema uongoz wako hawa sera