Moringa,ulikuwa hustahili kucheza Yanga,lakini kitu ninachokupenda na nilkuwa nakupenda ni kwamba unaujua mpira kilichokuangusha ni unene,lakini ulikuwa unaeza mpira kuzidi hata Nchimbi kwa kuwa unajua majukumu yako uwanjani,hayo maoni yako kuhusu chama nakuelewa hata mimi naona chama ataongeza option kwa rotation lkn kiwango chake hakitaleta jipya yanga zaidi ya ukubwa wa squard.
Moringa umesema kwa hekima kubwa sana. Ukweli mtupu. Wachezaji wajue mpira ni ajira yao, tamaa mbaya haifai. Viongozi pia wachukue hatua mara wanapokuwa na uhakika kwa utovu wa maadili wa mchezaji.
Big up My Brother Molinga
Papa Molinga respect 🙏
Moringa,ulikuwa hustahili kucheza Yanga,lakini kitu ninachokupenda na nilkuwa nakupenda ni kwamba unaujua mpira kilichokuangusha ni unene,lakini ulikuwa unaeza mpira kuzidi hata Nchimbi kwa kuwa unajua majukumu yako uwanjani,hayo maoni yako kuhusu chama nakuelewa hata mimi naona chama ataongeza option kwa rotation lkn kiwango chake hakitaleta jipya yanga zaidi ya ukubwa wa squard.
Anacheza vizuri
unajua mpira moringa.
Papa moringa una bayaa
Papa MOLINGA
Moringa umesema kwa hekima kubwa sana. Ukweli mtupu. Wachezaji wajue mpira ni ajira yao, tamaa mbaya haifai. Viongozi pia wachukue hatua mara wanapokuwa na uhakika kwa utovu wa maadili wa mchezaji.
CHAMA USIONDOKE SIMBA WALIKUSEMA WEWE NI MZEE. UTAWEKWA BENCHI WEWE HUIEZI YANGA.