MOLINGA AMPA USHAURI CHAMA KWENDA YANGA AU KUBAKI SIMBA, YANGA HII YA SASA NI BORA KULIKO ILE YETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2024
  • HIKI NDICHO ALICHOSEMA MSHAMBULIAJI WA ZAMANI WA YANGA MOLINGA BAADA YA KUFANYIWA MAHOJIANO NA SPOGA ONLINE
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 9

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Big up My Brother Molinga

  • @titochalemanga4238
    @titochalemanga4238 2 วันที่ผ่านมา

    Papa Molinga respect 🙏

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 3 วันที่ผ่านมา +1

    Moringa,ulikuwa hustahili kucheza Yanga,lakini kitu ninachokupenda na nilkuwa nakupenda ni kwamba unaujua mpira kilichokuangusha ni unene,lakini ulikuwa unaeza mpira kuzidi hata Nchimbi kwa kuwa unajua majukumu yako uwanjani,hayo maoni yako kuhusu chama nakuelewa hata mimi naona chama ataongeza option kwa rotation lkn kiwango chake hakitaleta jipya yanga zaidi ya ukubwa wa squard.

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 3 วันที่ผ่านมา

    Anacheza vizuri

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 3 วันที่ผ่านมา +1

    unajua mpira moringa.

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g 2 วันที่ผ่านมา

    Papa moringa una bayaa

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 วันที่ผ่านมา

    Papa MOLINGA

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 วันที่ผ่านมา

    Moringa umesema kwa hekima kubwa sana. Ukweli mtupu. Wachezaji wajue mpira ni ajira yao, tamaa mbaya haifai. Viongozi pia wachukue hatua mara wanapokuwa na uhakika kwa utovu wa maadili wa mchezaji.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 วันที่ผ่านมา

    CHAMA USIONDOKE SIMBA WALIKUSEMA WEWE NI MZEE. UTAWEKWA BENCHI WEWE HUIEZI YANGA.