Salama Na KING AliKiba SE6 Ep 03 FULL SHOW | DELIGHTFUL Part 2 |SendTip MPESA LIPA NO 5578460
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - บันเทิง
Alikiba na kikwete kuna udungu;ongea na muonekano wafanana;mpaka busara
Ukimsikiliza Alikiba anavyojibu Maswali Na Kuongea .. Unaweza Kudhani Ndo Msanii Mwenye Tuzo Nyingi Kuliko Wasanii Wengi Sana 😂😂😂😂....He Is Very Smart &Calm
True
We love you more king kiba 🇰🇪 kenya unapendwa sanaa
Salama huyu brother umemleta late sana kwa show zake, but we still loved King and we love your show.. ❤️❤️❤️
Nikwamba SALAMA akifanya show inabaki kwenye ubongo aswaaah sababu anajua anachofanya ndio mana unahisi kafanya nyingi ILA bado snaa azitoshi Kwa ukubwa na consistent ya KIBA aiwezi fanana na ferooz au embdog au jafarai
Hakika Salama nimefurahi sana kumwona Alli Kiba leo ni mwanamziki ninayempenda sana sana. Mungu akuzidishie Alli the King.
Huyu jamaa kweli king anajua kupangilia maneno aongee nini anajua ajibu vipi pia ngoma zake ni nzuri naikubali bwana mdogo
Daaah nimegundua kumbe Alikiba anawatuwake wa kum-enterview, yaani ni bonge moja ya kitu. Daaah nimeenjoy Sana
Yani huyu yupo anakuangalia akikuuliza ushubwada na ye anakujibu ushubwada ila kuna sehem tulivu kama hapo aaaa ananyooka
@@ashurahatibu5069 kweli kabsa
"We love to have yo men"❤said by Salama💙
We love him (AliKiba) for real👑🎶🔥💕
Moree...We love SalamaJ too❤🎬💖💕
#SalamaNa
#AliKiba
Hawa wandishi wa online wajifunze kitu apa jinsi ya kuuliza maswali salama big up😘
We love Tanzania sana Mimi napenda kiba, rose muhando, Martha mwapaji 🌹
Hii ndo interview ,Cyo uchonganishi wa baadhi ya media ,ndo maana kiba huwa anawajibu vibaya
Very true I'm from Kenya 🇰🇪 n I love ali so much God bless you kaka ameen ❤
I'm from Kenya am proud of you king 👑 kiba.
Napenda unavyo post hunakwenda na wakati coz now days alikiba upo kwa fire na ww unatupa more details about him. I love this show. 🔥🔥🔥😏🔥🔥🔥🔥
Muhudumu nae aliyesave meza kusema na ukweli anamali jmn tusijifanye tunapotezea wakulungwa wenzangu😜🤣🤣🤣 afya ya mwili anayoo nasisitiza TU🤣🤣🤣...!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbinguni huendi David....yaan ulivyo insist tuu🙌🙌🙌
😂😂😂Yaani wewe... Umenifanya nirudie interview
😂😂😂😂duh
🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
What I love about the interview. 1 bcz the guest is Alikiba, 2 mme ongeya freely yaani 😍🤗well done you guys 👏🏾
Nakupenda sana KING👑KIBA na vile upo na mwanamke wa kizanzibar na ungazija ndani yake imekaa poa sana
Alikiba nakupenda saana kaka Niko burundi
Wow nice one good job salama and king Kiba magic interview 🛋️👑🔥🔥
Ali kiba is so way cool brother...May God bless this man and all the cast of YahStone crew
natamani kwandika mu français
J'aime beaucoup ally kiba et puis je m'ai salama depuis que elle journaliste de TBC et même aujourd'hui jtm fort mon cœur salama
Salama imebid nitafute enterviewr yako na kiba ya kwanza kabisa nimecheka sana
👑 watching you from abroad 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 but a Congolese 🇨🇩 🙏🙏🙏🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇨🇩🇨🇩🇨🇩🛌🎧
Ofcourse we kenyans we love kiba🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I real love king Alikiba❤❤ akuje Kenya jaman tumemiss yeye sana
Alikiba ameimprove sana katika kujibu maswali... interview zake za nyuma alikua anazingua sana kwenye kujibu... safi sana and keep on shining
Amekua anazingua aje mbona kiherehere ivo
Sema hakikutana Na waandish wa mchongo ndo anajibu hovyo
Hahaha salama banana it's your brother kumukosoa ni vizuri I naonyesha upendo nimefurai kusikia Alikiba na seven wako on business good 👍interview
Kwa kweli kenya tunampenda sana ali kiba, kama shemeji wetu, na mziki wako uko vizuri,
Nimefurahi san, nilkuwa naitafuta San hii interview,,,👏👏👏👏👏👏
Joho Na Alikiba 💗💯
🇺🇬pia twakupenda japo hujawahi kutemberea big up my king
Daaaah salama your amazing 👏 this is interview is the best 👌 life is a journey ❤✨ ilove you both
Nimependa Ki-Swanglish cha King Kiba. Ame improve sana. Nina hakika atakuwa anajinoa. Pia Napenda nyimbo zake sana.
Wale wapumbavu wengine wanaotaja taja hovyo tu majina Diamond diamond midomoni nwao haishi sasa waje hapa wasikilize ufundi wa maswali bila kitumia majina ya wahusika ila anaeulizwa anaelewa anachoulizwa na anajibu akiwa huru jabisa.
Interview Kali mbaka naona mda machache mmetumia kuongea salama irudiwe na alikiba Kuna vingi atuvijui bado
Yaaaaah yebaba 🔥🔥🔥💪💪nakubali sana uongo dhambi mziki mzuri
Best interview big up salama 😊 king kiba your the best😍😍😍😍😍
🤣🤣🤣anafurahisha sana ali kiba anasema interview ya kiingereza unafikiria swali pia unafikiria jinsi ya kujibu kiingereza ni kweli kabisa very funny guy .
✌🏾Kumbe Una majibu mazuri utazani maswali ya interview unalalaga nayo kabla ya mahojiano…!!?? 🤔
Kipezi shawatu kingi alikimba love you so much
May you bring for us our own an iconic hiphop star ONE THE INCREDIBLE 💥✌🏾
Jamaa alikua na njaa kweli, liko very bez na chakula
N ndomaana kasem ukwel kama ana njaa kali sema nimkweli
This was the best interview salama big up sana on point 💯💯💯💯💯💯💯💯
Alikiba,joh,salama respect to you guys
Napenda unapenda kuwa really alikiba hufake maisha
Best interview Salama and King Kiba ,I like that🙌
Interview ya lini hii make umeichelewesha Sana!!!
This man......we gat love for you both... 🇹🇿
I'm you fan from 254
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
#kingkiba
Yah Tommy ni kijana mzuri ukimtazama vizur unaiona nidhamu dhan yake, MUNGU awatangulie mfike mbalii
Salama na Kala Jeremiah ni lini jaman😂😂 kp it up kiba
Very humble man
Alikiba we love you
Tuwekee Salama na T.I.D full interview,I have missed his swaggs and the way he speaks his perfect English that other musicians are unable to speak.
M pia
😂😂😂 daah
I really...really appreciate dis show i like u dada #salama i started 4rm today to concentrate dis showw💜✌️😊
kingkiba💞Real Man
Who watched this video without skipping. Like this 😆.
Nauchungulia mpaja Wa salama nauona kwa mbali
Kiba kiba kibaaaaaaaaaaaa daaah i real love this man
Salama na king congratulations your selves
Safi salama
Sasa unaweka interview kwa urefu
Yohoooooo papileeeee , team kiba , sister salama mungu akubalikii Sana unatuletea kila sk vitu vizuri na kutufunza menjgii
Amazing Show!
Enjoyed this . Salama great job , just vibe with the people on your show !
Huyu kiba n bingwa hapa 🇰🇪
Kiba he is a Legend
I love love love love love King Kiba 🤴 ❤ 🇰🇪
Ni kweli Kenya tupenda King kiba sana
love it❤️🇨🇦🇹🇿
Mwanzo niljuaga mko differ kumbe mko poa tyuu Toka nimuone kwenye uznduz wa album ya only one king nikakubali
Nice interview I love
Salama💟👌kiba😍
I watch kiba i live kiba your the best man salam am your big fan since kitmbo sana kipindi kikarii
we salama hilo paja vipi..mbona zuri mashaallah 😋
😄😄😄😄 uchokozi
🤣🤣🤣🤣 wewe jamaa wewe
Dah nimefurahi sana interview bora ya mwaka
Salama noma sana interview nzuri sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Apo penye anatumwa kunawa imenifurahisha😂😂😂
Our king 🤴🏾
Was amazing show 👏 🙌 😍
King forever
Speshoz alikula bila kunawa haha 🤣🤣🤣🤣
ToB honest we Kenya love u MO🔥
Super interview.... Only one King..
Ilove this show
Dada hunaho hoji mflm bona hunamahulizo mazuri sana ila mfalm ana kujibu vizuri naww nimzuri sana dada by alackson swagg mcongomani
Interview king ni 👌👌👌👌👌
Good interview
Walahi sikutaka kiishe ... Yaani kama mlikuo mnapana story ... Hadi raha... Arudi Tena jamaniiii💖💖💖💖💖
Isee this interview is nicer👏
Love much my king
Ilove this guy
Mlete Dr. kumbuka tuvunje mbavu kdg.
The true king 🤗🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Uyo dada muudumu amenyooka sana aiseee♥️
My favorite Artist king KIBA
Big up #salama#king🤴
Show nzuri
Dada Salama yuko vizuri
King kajibu vizuri
Yoooh king 🤴🙌💙❤♥
Ukiniapiza Hahah kocha bwana
Very nice King kiba we love you
My favorite artist
Nimeipenda hii interview