Hasa maajabu gani haya mbona vitu vya kawaida sanaaa Hasa hilo la Chui,mifupa,mamba,bunduki,,mabomu,,suala la kuzkwa kwa gari ni kawaida pia Alfu kwann yote ni ya wazungu ebu jarbu kutafuta maajabu ya Africa
Tuletee story ya watu wenye Akili Na Ubunifu mkubwa Duniani Kama Einstein na Wengine...Jaribu kuona ubunifu wa Alux You tube channel ....Lakini Mnajitahidi sana ..Muongeze ubunifubzaidi ongeza hata...BONUS baada ya simulizi .
Napenda sana mambo ya ajabuajabu,na mambo ya zamani yaliokwisha kutokea,asante sana nimefurahi kupata story hii.
Yaani wewe kama mimi
Sasa twende kazi by Justin shed
Tunaopenda kusoma comment huku tunasikia habar tujuane
Thanks buddy for your time to introducing us the awesome story. Allah bless u. Keep up.
Good job kaka napenda story za zaman zaid na za kutisha pia
Nice story ❤❤❤
Bongofasta mmetishaaa sana
Hasa maajabu gani haya mbona vitu vya kawaida sanaaa
Hasa hilo la Chui,mifupa,mamba,bunduki,,mabomu,,suala la kuzkwa kwa gari ni kawaida pia
Alfu kwann yote ni ya wazungu ebu jarbu kutafuta maajabu ya Africa
Bongo mtu aokote hela apige simu polisi 😂😂😂😂😂
Weeee sema ilishwahitokea enzi za uhujumu uchumi azimio lá arusha watu walitupa saana pesa uliza utaambiwa
Happy Nehemiah 😂😂 akuna
This is what I want❤.
Really???
Sawaaa
Thanks
Duh, namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa wakwanza kukoment
OK
Asante
Wow nice
Huyo sio Chui uongo
Nakubali 🍷🙌
Nice
Kwel
Hizo pesa zenye laana mi nazitaka sana, siziachi ngoo,tutajuana mbele
i like this history
Mzikwe na magali bongo tutafukua siku iyo iyo
Safiiiiiii Sana
Nataka story ya firauni tokea uhai wake hadi anakufa
BONGO FASTA izi ndio habari ulikua unafaa kutuletea
Tuletee story ya watu wenye Akili Na Ubunifu mkubwa Duniani Kama Einstein na Wengine...Jaribu kuona ubunifu wa Alux You tube channel ....Lakini Mnajitahidi sana ..Muongeze ubunifubzaidi ongeza hata...BONUS baada ya simulizi .
Asante kwa mchango wako,nitafanyia kazi kila ulichonishauri.asante sana.
Iko vizuli sana hii stoli
Kelele za ndg....
eti mmhh....😄😚😚😄😄
Ingekuwa kwetu hizo pesa angepigwa na Polisi bila kisubilishwa
Ohoooo
Dingiii nakuelewa Sana
Dah kwelly yote ni maajabu 2
🙏💯
Unajua kuadisia history na kuongea kwa rafudhi nzuli Kaka, enderea kupambana
Uyo wa hela ni balaaa
Mmmu kweli ni maajabu,Lakin pia Marekan kuiomba China msaada nayo ni maajabu.
Tupo pamoja
Siri ya corona
Dooooo
tuleteee stor ya genaral ididi
Wizi wa kura inchini kenya
Vya kawaida tu
Twambiye habari za mauzedon wa China
Picha ya kwanza duniani video ys kwanza duniani binadamu aliyevaa nguo wa kwanza duniani nchi gani ya mwanza iliyojengeka duniani kabla ya nchi zote
Fala sana kupeleka pesa polisi
Hahaha aliogopa zisije kuwa zimeibiwa bank au tukio la mauwaji akaunganishwa.
poaa
Mambo kuhusu youtube
Huna jipya
OK
Bongo mtu aokote hela apige simu polisi 😂😂😂😂😂
Haiji tokea
Sema police wa bongo siyo waaminifu
Ndo kwanza watakwambia Mali ya serikali ndo mana hatupeleki
Inakuwa yao na wanakuchamba kwa kuipeleka
Mambow