Mbarikiwa Mwakipesile apita mahali alipopata ajali. Akutana na wenyeji waliomsaidia.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 98

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300 2 ปีที่แล้ว +5

    Asante Yesu Kristo kwa wema wako waajabu namna hii. Walinde watumishi wako hawa daima. DAMU YAKO YESU ikanene mema juu yao siku zote.

  • @eliahmhanzi6357
    @eliahmhanzi6357 2 ปีที่แล้ว +5

    Kweli Yesu ashukuliwe sana, kwa ajali hii ilikuwa ni fundisho ya kwamba hakuna hatari asiyo weza kutuokoa hakuna lisilowezekana kwake, asante Mungu kwa kutuongezea Imani

  • @daudirubibi9601
    @daudirubibi9601 2 ปีที่แล้ว +3

    Ninajifunza mengi kutoka kwako baba. Mimi naamini kuwa ROHO YAKO ITAKUWA JUU YANGU. Ndio maana nakaza butu kwa hali yoyote niwe na MOYO wa upendo kwa watu wengi. Sina mashaka kwa familia yangu na wazazi wangu najua hao ndio watakao kuwa wankwanza kuiamini ROHO YAKO, KWAKUWA MPAKA SASA WANAKUAMINI SANA HATAKAMA HAWAJAKUONA KWA MACHO.
    Lakini nina uhakika ULINIPONYA, UNANIPONYA NA UTANIPONYA ILI NAMIMI NIKAPONYE. NA NITAPONYA KWA NGUVU NA MSAADA WA MUNGU KUPITIA WINGI WA IBADA, MAOMBI NA MAFUNDISHO MENGI YA NENO LA MUNGU TOKA KINYWANI MWAKO, NA WATUMISHI WAKO.
    Ameeen

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 ปีที่แล้ว +3

    Kilichonibariki kwa Mtumishi huyu was Bwana ni kurudi mahali pa ajari na kusoma Neno sio wengi hukumbuka kufanya hivyo.

  • @mkongojoomari2657
    @mkongojoomari2657 2 ปีที่แล้ว

    Aweza kutuokoa hata asipotuokoa bado atabakia kuwa Mungu;Huwa naingia rohoni kila nikisikiliza nyimbo za Mbarikiwa;Mungu akupe vitisho na Mamlaka ktk jina la Yesu Amina!

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid5406 2 ปีที่แล้ว

    Kilicho nitia Moyo Sana nikwamba hamkukata tamaa kuitangaza injili kweli wewe Ni mpambanaji k atika ufalme wa Mungu bwana Yesu kristo atakusaidia kufikia hatima kubwa Sana mtumishi wa Mungu following from Geita Tanzania

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nasemaka yesu akulinde mbarikiwa milele tena nikasema akuepushe n'a mitego yote adui ana tegaga kwa watumishi wa mungu yesu akupiganie munjia yote iyo ilikuwa bondé la mauti ila amezuia mauti yasifike kwako kwani alisema yesu eti nakunawale hawataonja mauti hâta milele amina

  • @ahadimwakaniemba8401
    @ahadimwakaniemba8401 2 ปีที่แล้ว +2

    HALLELUJAH, YESU NI MSHINDI HAJAWAHI KUSHINDWA, MMETUNZWA NA YESU NA NDIYE MTAKAYEKWENDA NAYE AWATANGULIE KILA MUENDAKO.

  • @rosenamenge7891
    @rosenamenge7891 2 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mkuu analinda watu wake from Kenya 🇰🇪 na penda nyimbo zako mchunganji

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    Mbona sehemu ipo vizuri shetani shindwa kwa jina la Yesu

  • @chrispincharles3616
    @chrispincharles3616 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina sana, hapo naamini itakuja kujengwa madhabau (hema), kuna mbegu ya wema kwa Hao ndugu. Mkono wa MUNGU ulikuwa mkubwa, huenda tungejenga makaburi hapo ila BWANA NI EBENEZA

    • @daudirubibi9601
      @daudirubibi9601 2 ปีที่แล้ว +2

      Nikweli kabisa. Huenda tungejenga makabuli hapo. Ila kusudi la MUNGU ni kuwaokoa hao ndugu walio husika kuwatoa wazazi wetu kwenye gali hiyo. UPENDO WA HAO NDUGU HAUTAKUWA WABURE. NA SADAKA YA SUKALI ILIYO JAA SHUKRANI ALIYO TOA BABA Ikaponye na ikaokoe kwa jina LA YESU KRISTO WA NAZALETI ALIE HAI.

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 2 ปีที่แล้ว +2

    Mzeee anakumbuku kweliii "etiii tumekufaaaa yesu tumekufaaa""
    Mzeeee hongera sana apewe kimiminika na Wokovu uingie ndani yake

  • @briezedngunda6704
    @briezedngunda6704 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna kama Mungu eye ndiye atendaye mambo makuu makubwa tusiyoyajua mbarikiwe sana sana

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 2 ปีที่แล้ว +2

    Kuzuia mkoba usiporwe na vibaka hakika anayo imani kubwa.

  • @maryjustertarimo9858
    @maryjustertarimo9858 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ni mwema kila wakati. Atukuzwe Mungu juu Mbinguni.

  • @thefinalwhistler2493
    @thefinalwhistler2493 2 ปีที่แล้ว

    YESU KRISTO NI MWAMBA wetu kweli kabisa Songa mbele watu wajaziri Wa YESU KRISTO

  • @gabrielngoda6197
    @gabrielngoda6197 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aliekuokoa kwenye hiyo ajali huyohuyo akutoe kwenye bonde unalopita.

  • @devotasanga9239
    @devotasanga9239 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika hata sasa Mungu amewasaidia sana wazazi wetu.
    Kweli hapo ni mahali pa kukumbukwa sanaaaaaaaaa!

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 ปีที่แล้ว

    Yesu mnazareth

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana watumishi wa Mungu kwa ushindi hakika Yesu anaokoa anatulinda

  • @igiranezablaise7087
    @igiranezablaise7087 2 ปีที่แล้ว

    Poleni Sana kweli Mungu anaweza Mungu ataendeleya kuwa protect 🇧🇮🇧🇮🙏🇹🇿

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 2 ปีที่แล้ว

    Huyu Mzee mfanyeni kama ndugu wa damu. Mungu amemtumia pakubwa mno kuhifadhi simu yenu hadi mmerudi, kumzuia mkoba

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 ปีที่แล้ว

    Yesu ni mukubwa ana weza yote kwa kweli chochote kime wezekana kwake amina

  • @josephlameck6609
    @josephlameck6609 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wetu tunakushukuru sana kuwaokoa wazazi wetu na ndugu zetu

  • @blandinalukole5535
    @blandinalukole5535 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana Yesu kwa ajil ya watumishi hawa

  • @davidmazengo626
    @davidmazengo626 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏 barikiwaaa sanaa

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 2 ปีที่แล้ว

    Hakika ni Mungu tu twasema asante sana Mungu wetu kwakuwakoa wapendwa wetu

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni mwemwa sana

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 2 ปีที่แล้ว

    Asante Yesu uliwaokoa watu waliokutumainia na mauti ikawa haina nguvu yao.

  • @restituta5206
    @restituta5206 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu kwa yote.

  • @sofianafasi6285
    @sofianafasi6285 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeeni hakika mwokozi hakupita nimeona mkono wake ukiokoa

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Yesu anaokoa amen 🙏🙏

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 2 ปีที่แล้ว

    Yesu Kristo hakika ni mwokozi wetu yupo nasi Kila wakati Kila mahali.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    Dah! mwanao huyo mtoto tulikupenda sana Mungu akupokee

  • @amashapatrick211
    @amashapatrick211 2 ปีที่แล้ว

    Nguruvi va UDaada Vangu Mdiimi Marikiwa Mwakipesile ndikumsaka uyo yemwene ye Agewise imivili givedzage ikyuuma mtane kudenyeka ,mtane kufuua

  • @valerianakilumile8517
    @valerianakilumile8517 2 ปีที่แล้ว

    Pole Sana mtumishi wa Mungu shetani kapata aibu

  • @remigisrenatus424
    @remigisrenatus424 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie tuweke madha bauhuuu ya Bwana

  • @liberatusmathias211
    @liberatusmathias211 2 ปีที่แล้ว

    Amina Asante Yesu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    Aminaaaaaaa

  • @mamahasanhasan6050
    @mamahasanhasan6050 ปีที่แล้ว

    Ashukuliwe mungu

  • @honorathapaschal1523
    @honorathapaschal1523 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atabaki kubwa Mungu Ameen

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 ปีที่แล้ว

    MUNGU ni mwema !!!!!

  • @jafarikidagayo7562
    @jafarikidagayo7562 2 ปีที่แล้ว

    Hakika huo ni mkono wa BWANA, tunakushukuru Mungu kwa matendo yako makuu.

  • @user-sz4zj3ol7g
    @user-sz4zj3ol7g ปีที่แล้ว

    Mungu mwema

  • @magwaza8904
    @magwaza8904 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aliwainulia watu wa kuwasaidia

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏🙏!

  • @danieltingide4187
    @danieltingide4187 2 ปีที่แล้ว

    Ameneeeeni yesu amen yesu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU si mwanadamu wala halinganishwi na kitu chochote

  • @susanmshami409
    @susanmshami409 2 ปีที่แล้ว

    Hakika mungu ni mungu tu hakuna kinacho shindikana kwake

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 2 ปีที่แล้ว

    Yesu mwokozi ni mponyaji sana

  • @omanss268
    @omanss268 2 ปีที่แล้ว

    Pole sana mutumishi

  • @ev.emmanuelkawema2493
    @ev.emmanuelkawema2493 2 ปีที่แล้ว

    Asante Mungu kwa Ukuu wako

  • @yohanachaula4399
    @yohanachaula4399 2 ปีที่แล้ว

    Ameeen Baba Mungu anaokoa

    • @omegamwaikuju9467
      @omegamwaikuju9467 2 ปีที่แล้ว

      Speed 100 kwa gari aina canter ni udereva usio salama kabisa, si kila tatizo ni shetani mengine chanzo ni sisi, mahubir 7:14, Hosea 4:6

  • @murishoaloys6327
    @murishoaloys6327 2 ปีที่แล้ว

    Amen🙏🙏🙏🙏

  • @everinasango292
    @everinasango292 2 ปีที่แล้ว

    Amen sn

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @Elizabeth-777-r3p
    @Elizabeth-777-r3p 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @beatricebless2633
    @beatricebless2633 2 ปีที่แล้ว

    Amen amen 🙏

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU mkubwa polen sna lkn asifiwe BWANA YESU aliyekuwa pamoja nanyi sayan band km c MUNGU aliyekuwa nas adui wangetumeza hai

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 2 ปีที่แล้ว

    Hallelujah 👏

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 ปีที่แล้ว

    Nampalahala jmn majina mengine

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 2 ปีที่แล้ว

    AMINAAA BABA...

  • @aengelukalula7036
    @aengelukalula7036 2 ปีที่แล้ว

    YESU MWEMA SANA APEWE SIFA

  • @alfredbalazire
    @alfredbalazire 2 ปีที่แล้ว

    Mungu mwema Baba

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 2 ปีที่แล้ว

    Lakini mlikuwa speed Kali Sana .
    speed +100
    Sio mchezo NI vizuri kuendesha Kwa tafadhali

  • @alfredbalazire
    @alfredbalazire 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeena

  • @tumainmwasote7004
    @tumainmwasote7004 ปีที่แล้ว

    YotevyatapitA. Baba

  • @miriamma3063
    @miriamma3063 2 ปีที่แล้ว

    Ameen🙏🙏

  • @dorsandollah3384
    @dorsandollah3384 2 ปีที่แล้ว

    Vyote hivyo ni kwa utukufu wa MUNGU, shetani ameshindwa kabisa

  • @gracezunda8804
    @gracezunda8804 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeen

  • @gracezunda8804
    @gracezunda8804 2 ปีที่แล้ว

    Ameeen

  • @elisaalbert3201
    @elisaalbert3201 2 ปีที่แล้ว

    Songa mbele mtu wa Mungu

  • @gracezunda8804
    @gracezunda8804 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeen

  • @mwassamwassa7264
    @mwassamwassa7264 2 ปีที่แล้ว

    Wewe ni Baba wa wengi hakika

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 2 ปีที่แล้ว

    Yesu aweza Yote

  • @christopherhando8049
    @christopherhando8049 2 ปีที่แล้ว

    Wokovu unalipa sana

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 ปีที่แล้ว

    Ninampenda sana huyu yesu

  • @HelbethMlelwa
    @HelbethMlelwa 2 ปีที่แล้ว

    Ebenezaaaaaaaaaa......

    • @richardkivambe8260
      @richardkivambe8260 ปีที่แล้ว

      MUngu atukuzwe kwahilo wazolangu pale ilipotwatokea ajali nimependa pajengwe kanisa lauponyaji mtumishi mbalikiwa

  • @gooddeeds162
    @gooddeeds162 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji nimempenda sana huyu baba na familia yake, Ikikupendeza please naomba andika number yake na mimi nimtumie ya sukari kama sadaka.
    Asante sana

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 2 ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @twendetuishi2316
    @twendetuishi2316 2 ปีที่แล้ว

    Nina jambo mtumishi wa Mungu nataka kukuuuliza naweza kupata namba yako wapi?ubarikiwe sana.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  2 ปีที่แล้ว

      0769015164

    • @reubenshaban6488
      @reubenshaban6488 2 ปีที่แล้ว

      Namba yake uli ipata??

    • @twendetuishi2316
      @twendetuishi2316 2 ปีที่แล้ว

      @@reubenshaban6488 sijapata nina jambo muhimu sana but namna ya kumpata ndo tabu.kuna jambo nataka kumuuuliza

  • @barakandabunganie6585
    @barakandabunganie6585 2 ปีที่แล้ว

    Glory be to God

  • @rosenamenge7891
    @rosenamenge7891 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @pastor.frank.tmwaisemba7401
    @pastor.frank.tmwaisemba7401 2 ปีที่แล้ว

    Lakini mlikuwa speed Kali Sana .
    speed +100
    Sio mchezo NI vizuri kuendesha Kwa tafadhali

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏