wow what a voice! huyu kijana kama angeamua kuimba nyimbo za matusi za bongo flava angevuna pesa sana kwa lipaji hicho na hyo sauti tamu dah nimesalute. si kwa sauti hiyo.
nashangaa nankujiuliza kwani kanisa zima ni waimbaj? maana ukifhania umemaliza huyu unapata nyimbo nyingine kali zaidi mungu awabariki sana watoto wa mbarikiwa. msoigope sababu mungu amawasikia vilio vyenu
CO SAD😢😢😢 6:30 Kifo NI kigumu Ila ni heli Kufa Ukiwa umesimama Ukiwa na Miaka 25 kuliko kuishi Miaka 70 Ukiwa umeinamishwa Kama Hawa Machawa wa mama akilizao zote ziko mfukoni kwenye rimoti ya MSOGA
Mama alisema ataendelea kukaa kimia ilamungu atanenatu minaomba mungu apige mapigo mawilitu utawala huu uanguke mana wengiwatu mioyoyao inajua kuwa haki inakandamiza watu
Daaaah hiii nimeielewa toka ndani ya kilindi cha moyo wa mtu,. Barikiwa sana... Baba yangu wa kiroho aliwahi niambia mtoto wa Simba ni simba.... Nimeelewa zaidi leo
Mch.MBARIKIWA MWAKIPESILE Mimi aliniokota nikiwa mraibu wa madawa ya kulevya na leo naonekana mtu na pia mama yangu alikua na ugonjwa wa presha baada ya kuokoka kwangu akapona kabisa
Baba yangu Mbarikiwa Mungu anaijua taabu yako kutufanya malaya kuwa watu wema haikuwa rahisi.Baba Mungu anayaona maumivu yako na mateso yako.Mungu naomba utuangalie tulipofikia hali yetu ni ngumu
@@festinamwakipale3919 Umekosa cha kuongea.Tunakujua una roho mbaya wala hatupi shida hata kidogo.Maisha yangu ya kuunga unga na unategemea serkali hii ikusaidie kula kwako na kulala kwako
@@festinamwakipale3919 usiongee kwa kiburi ndugu yangu haya mambo hayana mwenyewe. leo uko poa lakini kesho yako huijui. huna roho ya kiutu? humwogopi hata mungu? mungu aliyekuweka wwe salama leo usimdhihaki. Anaweza kukushangaza akakuonjesha ma wewe utamu wa matamshi ya ulimi wako. kuwa na moyo wa huruma kwa wengine
@@marieconnect6389 basi mmepofuka mtoto mdogo anasema maisha magumu anaimba kabisa kwani kuna sehemu imeandikwa serikali itampa mwananchi hela au kanisa litapewa hela na serikali acha kumdharau Mungu rais hakuandika biblia wala guaran wakulaumiwa Tz ni mashoga walawiti wanaotumia biashara uganga na uchawi waasherati hao ndio wanaoweza kuliharibu Taifa.la.Tanzania
Mbarikiwa Amejitaabisha kuwasaidia Ndugu na jamaa zenu usiku na Mchana na Matunda yake Tunayaona Ila Zawadi yake NI (KIFO)Mnataka KUMUUWA/KUMPOTEZA KABISAAA HUKO MAGELEZA baada ya Kumuuwa Mtotowake Hulu mtekelezaji mkiwa mmempa shavu nono NI balozi Sasa M!!!. 😢😢😢😢
Kifo cha MAGUFURI kilituuuma saana wa Tanzania. Lakini KUMUUWAMCHUNGAJI MBARIKIWA Anae WATANGAZIA WATU NENO LA Mungu Kifo hiki kitatuuma saaanaaa .... Maana Amekuwa na MCHANGO MKUBWA KTK NCHI YA TZ.
Hii serkali kama ni kumuua Mbarikiwa muuwe sisi watoto wake maana kimwili tulishakufa hapa ameturudisha kwa gharama kubwa.Hakuna sababu ya kuishi ikiwa maumivu ya baba yetu Mbarikiwa RCO ANDREW KANTIMBO anafurahi.Anatuumiza sana RCO wa Mbeya siyo sisi tuuu watu anachukua simu hatujui anapeleka wapi
Ila yote haya mm najua ni mabalaa.ya ulawiti wa watoto mashuleni na ushoga wanaouziwa vijana tanzania Mungu ainue watu watakao sema kama walivoinuka kusema.la.bandari
Nasikia uchungu huu wimbo umenitowa machozi😭😭 mimi niko nasema mbarikiwa atuhudumie sababu serikali ikimuuwa roho hizi ao watu hawa ànao wa ongoza wata ishi je
nimejiikuta nalia toka mwanzo wa wimbo hadi mwisho. mieurudia wimbo sijaweza kusikiza hadi misho nimelia kwa uchungu sana. huyo kijana ana sauti mzuri mno na historia yake inaumiza
Kwa hali tuliyokuwa nayo kabla ya kutusaidia Mbarikiwa tulikuwa waovu sana.Angalieni mchango wake mkubwa wa kubadilisha majambazi,makahaba ,wavuta mbangi,ndoa nyingi amezisaidia.Jamani tazameni kazi zao na wema wao kwa watanzani siku huyu tuuu tuko wengi mno
Harafu haya mambo ya kwa mwakipesile kwann yasiishe kwann mbalikiwa usinyamaze ya kaisha kwann wenye hekima Tz wapo watainuka kuna watu hawapendi machukizo watatetea na kwann mnafanya.hivi
Nyamaza wewe na uovu wako.Maana furaha yako nikuona umeme unawaka wanavyotaka,mafuta yako juu,bandari na watu wa ngorongoro kulizwa.Nyamaza hakuna uovu utakao nyamaziwa tutapiga kalele mpaka na wewe uache kuunga uovu wa mama yako na serkali yake
@@ombendaud5938 endeleeni kuchochea mnachopanda mtavuna yesu alisema msilipe baya kwa baya mnageuza ukweli kuwa uovu mtavuna chocheeni I'li jina LA Mungu litukanwe
@@MiriamAbdallah huyo ni mwana wa Mungu familia ya Mungu shetani amemfanyia tu ilitakiwa wajitokeze watu wa kumshauri cha achabu wanachochea eti anafanya vizuri tunashukuru ndo kuijenga mwili wa kristo Mungu atusamehe
Naaona kazi ya uchochezi ya kanisasa eti mpaka Sasa wanakanisa wanaamini RAISI kauza bandari WACHUNGAJI WANAHUBIRI UONGO NA KUWADANGANYA WATU KWA MASLAHI YA MATUMBO YAO MTAIMBA SANA NA MUNGU HAJALALA ANAWAONA MAKAFIRI WENYE CHUKI WOOTE MNAICHOKOZA SERIKALI ALAFU MNAJITAFUTISHA HURUMA
Ukiwa mjinga huwezi kuwajua wanaoharibu amani ya nchi! Wewe kama ulizaliwa ili uwe mfugo wa mtu mwingine kaa na kufugwa kwako, wengine wanatambua ubinadamu wao
Kichaa ni wewe usiyejua kama uko uchi, hujui kama huna faida, hujui kama umainiwa hujui kinachoendelea sasa wewe na chawa au ng'ombe waliotajwa na mheshimiwa wenu kuna tofauti gani.. Chawa ndio vichaa. Pole huoni utupu wako
Ila yote haya mm najua ni mabalaa.ya ulawiti wa watoto mashuleni na ushoga wanaouziwa vijana tanzania Mungu ainue watu watakao sema kama walivoinuka kusema.la.bandari
Mungu yupo atajibu
wow what a voice!
huyu kijana kama angeamua kuimba nyimbo za matusi za bongo flava angevuna pesa sana kwa lipaji hicho na hyo sauti tamu dah nimesalute.
si kwa sauti hiyo.
nashangaa nankujiuliza kwani kanisa zima ni waimbaj? maana ukifhania umemaliza huyu unapata nyimbo nyingine kali zaidi
mungu awabariki sana watoto wa mbarikiwa.
msoigope sababu mungu amawasikia vilio vyenu
Mungu simama katika haki........🙏🙏🙏
CO SAD😢😢😢 6:30 Kifo NI kigumu Ila ni heli Kufa Ukiwa umesimama Ukiwa na Miaka 25 kuliko kuishi Miaka 70 Ukiwa umeinamishwa Kama Hawa Machawa wa mama akilizao zote ziko mfukoni kwenye rimoti ya MSOGA
Dah mungu ingilia kati mapema suara la mchungaji MBALIKIWA MWAKIPESILE maana kwa hapa umebaki ww tu
Mama alisema ataendelea kukaa kimia ilamungu atanenatu minaomba mungu apige mapigo mawilitu utawala huu uanguke mana wengiwatu mioyoyao inajua kuwa haki inakandamiza watu
Daaaah hiii nimeielewa toka ndani ya kilindi cha moyo wa mtu,. Barikiwa sana...
Baba yangu wa kiroho aliwahi niambia mtoto wa Simba ni simba.... Nimeelewa zaidi leo
Uyu mama katuuza kwa mashetani wazungu ndio ndugu zake
Hata mimi natamani nikajiunge na kikosi kazi... hii inanitia hamasa, tunaofanana tupambane pamoja 😌
Mch.MBARIKIWA MWAKIPESILE Mimi aliniokota nikiwa mraibu wa madawa ya kulevya na leo naonekana mtu na pia mama yangu alikua na ugonjwa wa presha baada ya kuokoka kwangu akapona kabisa
Mungu muweza yote atutakase kwa Damu yake ee Mungu tunaomba uturehemu kwa yote tuyatendao mana ulimwengu unatisha
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏Pole Sana mpendwa, nyimbo inasikitisha, ila kwa uwezo wa mungu Hakuna wa kumuuwa mbarikiwa, Amina.
Huyu mama hana uchungu na Tanganyika,kwani hata wakiuwa,wao nao wataenda wapi, blessed mwimbaji
Bora wafu wafao katika bwana
Inahuzunisha sana,,,Hadi machozi
Mungu aingilie kati!
Mungu tunaamini uwezo wako na nguvu zako.Tuna uhakika sana na wewe hata usipofanya tunavyotaka lakini tunaamini mkono wako hautatuacha
Hakika my 😭😭
Baba yangu Mbarikiwa Mungu anaijua taabu yako kutufanya malaya kuwa watu wema haikuwa rahisi.Baba Mungu anayaona maumivu yako na mateso yako.Mungu naomba utuangalie tulipofikia hali yetu ni ngumu
Aliwasaidia nyie na nyie mngemsaidia mnachochea vita mtavuna
@@festinamwakipale3919 Umekosa cha kuongea.Tunakujua una roho mbaya wala hatupi shida hata kidogo.Maisha yangu ya kuunga unga na unategemea serkali hii ikusaidie kula kwako na kulala kwako
@@festinamwakipale3919 usiongee kwa kiburi ndugu yangu haya mambo hayana mwenyewe. leo uko poa lakini kesho yako huijui. huna roho ya kiutu? humwogopi hata mungu? mungu aliyekuweka wwe salama leo usimdhihaki. Anaweza kukushangaza akakuonjesha ma wewe utamu wa matamshi ya ulimi wako. kuwa na moyo wa huruma kwa wengine
@@festinamwakipale3919 vita gani? ameimba vita hapo? wewe ndiye mchochezi wa vita.
utavuna maneno ya ulimi wako
@@marieconnect6389 basi mmepofuka mtoto mdogo anasema maisha magumu anaimba kabisa kwani kuna sehemu imeandikwa serikali itampa mwananchi hela au kanisa litapewa hela na serikali acha kumdharau Mungu rais hakuandika biblia wala guaran wakulaumiwa Tz ni mashoga walawiti wanaotumia biashara uganga na uchawi waasherati hao ndio wanaoweza kuliharibu Taifa.la.Tanzania
msife moyo maana mungu anawasikia na atatenda maajabu yake
Mbarikiwa Amejitaabisha kuwasaidia Ndugu na jamaa zenu usiku na Mchana na Matunda yake Tunayaona Ila Zawadi yake NI (KIFO)Mnataka KUMUUWA/KUMPOTEZA KABISAAA HUKO MAGELEZA baada ya Kumuuwa Mtotowake Hulu mtekelezaji mkiwa mmempa shavu nono NI balozi Sasa M!!!. 😢😢😢😢
Kifo cha MAGUFURI kilituuuma saana wa Tanzania. Lakini KUMUUWAMCHUNGAJI MBARIKIWA Anae WATANGAZIA WATU NENO LA Mungu Kifo hiki kitatuuma saaanaaa .... Maana Amekuwa na MCHANGO MKUBWA KTK NCHI YA TZ.
Hii serkali kama ni kumuua Mbarikiwa muuwe sisi watoto wake maana kimwili tulishakufa hapa ameturudisha kwa gharama kubwa.Hakuna sababu ya kuishi ikiwa maumivu ya baba yetu Mbarikiwa RCO ANDREW KANTIMBO anafurahi.Anatuumiza sana RCO wa Mbeya siyo sisi tuuu watu anachukua simu hatujui anapeleka wapi
😭😭😭😭Mungu Atende Na ipo siku Atajibu Kwa wanaojikweza nakudharau Raia.
Kabla ya Ijumaa Mungu atafanya miujiza vijana wataachiliwa
Acha pa nyeshe tuone panapo vuja!
😢😢😢😢😢 nashindwa kucomment
Kote ni kufa heri kufa katika imani
Ukitoka wewe Mimi Niko njiani
Serikali yote ya CCM wote ni Nyani pamoja na hao POLICCM wao
tuombe maombi huyu mwizi wa bandari afe kabra ya uchaguzi mungu tusaidiee yatimiee amina
Ya mungu mengi unaweza kuanza kufa wewe kwa kijiba cha roho.
Wallah utaanza kufa wew Tena Kwa haraka kuanzia Leo hii
@@kassimualli1755kumbe waisilamu wanasikiliza kwaya
Usimuombee mtu kifo hata kama hakutendei unavyotakà .. inalillah wàinnalilah-sisi sote ni WA Mungu na kwake tutarejea.
Najua panauma ila mnapuliza
Huyu DADA Samia ni mwizi, kwaiyo hata ulie vipi huyu sister samia hawezi kukusikiliza, kwa sababu ni mwizi. Mwizi hana huruma, mlilie Mungu tu.
amekuibia nini? nyinyi ndio mnaowaponza hao wanajifanya mabaunsa wa vinanda
Jamani acheni ubaya mama anafanya kazi kumbuka serikali ni taasisi bandari bandari kuna nini hapo mnanufaika sana ee sasa mwisho umefika wa kula
Kila LENYE mwa Lina mwisho wake mwisho wahaya ukaribu
dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ila yote haya mm najua ni mabalaa.ya ulawiti wa watoto mashuleni na ushoga wanaouziwa vijana tanzania Mungu ainue watu watakao sema kama walivoinuka kusema.la.bandari
Nasikia uchungu huu wimbo umenitowa machozi😭😭 mimi niko nasema mbarikiwa atuhudumie sababu serikali ikimuuwa roho hizi ao watu hawa ànao wa ongoza wata ishi je
nao watakufa ata wafanye yapi eti tulienda hija kwamatendo aya kweri ndoo maana mungu alijificha kumbe wote ni🐊🐊🐊🐊🐊🐊
So pain ukweli unatuumiza San lakin uovu saiv ndo Dili siku Moja mtankumbuka maneno ya mwenda zak
Serikali ya Samia imeshindwa kupiga vita rushwa, inapiga vita wasema ukweli. Hii ni sifa ya uongozi mbaya wa Samia. Ripoti za CAG hazijafanyiwa kazi
nimejiikuta nalia toka mwanzo wa wimbo hadi mwisho. mieurudia wimbo sijaweza kusikiza hadi misho nimelia kwa uchungu sana.
huyo kijana ana sauti mzuri mno na
historia yake inaumiza
Watu wanalia utasikia nenda kaliangalieni wakati wanaotuumiza ni hao hao
yale yamajilan zetu kenya nayaona tanzania
Kifo cha mtu upangwa na mungu.Tusiombeane kufa,bali tuzidi kuombea taifa hili mema mungu pekee ndo atatuvusha.
Mungu yupo
Jaman jaman hivi haya lais na wewe unayaona kwel najiuliza sipat jibu,,
Naliona jambo kubwa sn linakuja.Tusubiri tarehe 27 mwezi huu.
Kwa hali tuliyokuwa nayo kabla ya kutusaidia Mbarikiwa tulikuwa waovu sana.Angalieni mchango wake mkubwa wa kubadilisha majambazi,makahaba ,wavuta mbangi,ndoa nyingi amezisaidia.Jamani tazameni kazi zao na wema wao kwa watanzani siku huyu tuuu tuko wengi mno
wengi sana
Haki haipotei
😭😭😭😭😭😭😭😭
Harafu haya mambo ya kwa mwakipesile kwann yasiishe kwann mbalikiwa usinyamaze ya kaisha kwann wenye hekima Tz wapo watainuka kuna watu hawapendi machukizo watatetea na kwann mnafanya.hivi
Nyamaza wewe na uovu wako.Maana furaha yako nikuona umeme unawaka wanavyotaka,mafuta yako juu,bandari na watu wa ngorongoro kulizwa.Nyamaza hakuna uovu utakao nyamaziwa tutapiga kalele mpaka na wewe uache kuunga uovu wa mama yako na serkali yake
@@ombendaud5938 endeleeni kuchochea mnachopanda mtavuna yesu alisema msilipe baya kwa baya mnageuza ukweli kuwa uovu mtavuna chocheeni I'li jina LA Mungu litukanwe
Ingekuwa mwanao
@@MiriamAbdallah huyo ni mwana wa Mungu familia ya Mungu shetani amemfanyia tu ilitakiwa wajitokeze watu wa kumshauri cha achabu wanachochea eti anafanya vizuri tunashukuru ndo kuijenga mwili wa kristo Mungu atusamehe
Naaona kazi ya uchochezi ya kanisasa eti mpaka Sasa wanakanisa wanaamini RAISI kauza bandari WACHUNGAJI WANAHUBIRI UONGO NA KUWADANGANYA WATU KWA MASLAHI YA MATUMBO YAO
MTAIMBA SANA NA MUNGU HAJALALA ANAWAONA MAKAFIRI WENYE CHUKI WOOTE
MNAICHOKOZA SERIKALI ALAFU MNAJITAFUTISHA HURUMA
Mama yako amesema sisi ni ng'ombe raisi wa mipasho.Amewahi jibu chochote kuhusu bandari? Ameuza kwani uongo
Wewe unasema mama amekuita Ngo'mbe mbona yesu alituita sis mbwaa 😢😢 na bado mfuas wake.
Nasema bado hamjaona mpaka muone, awamu hii sindano itawaingia ninyi panya road wa Tanzania kanisa litawatandika mpaka vitandani mwenu jiandae
@@babazungu3180unastahili kuitwa mbwa😂
Sijui kwanini mnaachiwa kutaka kuharibu amani ya nchi yetu
Ukiwa mjinga huwezi kuwajua wanaoharibu amani ya nchi! Wewe kama ulizaliwa ili uwe mfugo wa mtu mwingine kaa na kufugwa kwako, wengine wanatambua ubinadamu wao
Wanao haribu ya nchi yetu ni serikali yenyewe
Serikali inashindana na wananchi wake 😢😢 waliowaweka madalakani
Vichaa.
Kichaa ni wewe usiyejua kama uko uchi, hujui kama huna faida, hujui kama umainiwa hujui kinachoendelea sasa wewe na chawa au ng'ombe waliotajwa na mheshimiwa wenu kuna tofauti gani.. Chawa ndio vichaa. Pole huoni utupu wako
Ila yote haya mm najua ni mabalaa.ya ulawiti wa watoto mashuleni na ushoga wanaouziwa vijana tanzania Mungu ainue watu watakao sema kama walivoinuka kusema.la.bandari
Kila LENYE mwa Lina mwisho wake mwisho wahaya ukaribu