KING LION WATAJA SIRI YA UBORA WA BIDHAA ZAO WAKITANGAZA KUPELEKA HUDUMA MIKOA YOTE TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • Meneja Mauzo wa Kiwanda cha King Lion Joseph Banzi amesema kuwa wamekuja kivingine katika utoaji huduma bora lakini kwa gharama nafuu zaidi.
    Banzi ametaja baadhi ya bidhaa ambazo zinapatikana kwenye kiwanda hicho ni Mabati, pikipiki na Generator ambavyo bei zake ni nafuu ukilinganisha na ubora wa bidhaa zenyewe.
    Kwa upande wake Afisa mauzo wa kiwanda hicho Kedrick Mwakipesile amesema hivi hivi wamekuja na bidhaa mpya za mabati ambayo yapo katika ubora na size tofauti.
    Mwakipesile amesema wanakamilisha ujenzi wa kiwanda kikubwa Kibaha Mkoani Pwani ambacho kitaongeza nguvu ya uzalishaji wa bidhaa zao ambazo kwa sasa zinauzwa hadi nje ya nchi.

ความคิดเห็น •