Nami nawasihi katika jina la Yesu tafuteni watu kwanza na hayo mengine mtazidishiwa.Yesu alipo tembea kando ya bahari ya galilaya acha kuvua samaki (kutafuta mali)nanyi twende mkawe wavuvi wa watu.Itapendeza zaidi.Mkiendelea hivyo hata tulioko tutawakimbia.AMINA.
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana huyo mwaikaki na mwambora si mali tu mpk vitabu litrugea na utaratibu wa KKKT wauache wabuni wakwao kwa hilo kanisa lao. Vya KKKT waviache BANIANI MBAYA KIATUNCHAKE DAWA? Kama mwaikali hataki mali mbona alihamishia makao makuu Luanda lengo nini sibfedha na bata?
Nami nawasihi katika jina la Yesu tafuteni watu kwanza na hayo mengine mtazidishiwa.Yesu alipo tembea kando ya bahari ya galilaya acha kuvua samaki (kutafuta mali)nanyi twende mkawe wavuvi wa watu.Itapendeza zaidi.Mkiendelea hivyo hata tulioko tutawakimbia.AMINA.
Kweli inasikitisha mnaacha kuokoa roho za watu mnakusanya mali mtakuja jibia kwa Mungu hizo roho zilizopotea
Mali za KKKT zibaki KKKT Mwaikali aache ujambazi
Hiyo dini yake mpya itafute zake
Mali za Kkkt lazima zilejeshwe kkkt siyo mali ya kkam watufute zakwao
Hao shida Yao ni Mali siyo roho za waumini tunakushukuru kwa kujipambanua
Wewe nawe ondoa ushabiki maandazi!!
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana huyo mwaikaki na mwambora si mali tu mpk vitabu litrugea na utaratibu wa KKKT wauache wabuni wakwao kwa hilo kanisa lao. Vya KKKT waviache BANIANI MBAYA KIATUNCHAKE DAWA? Kama mwaikali hataki mali mbona alihamishia makao makuu Luanda lengo nini sibfedha na bata?